< Torati 27 >

1 Mose na wazee wa Israeli wakawaagiza watu: “Yashikeni maagizo haya yote ninayowaagiza leo.
Or Moïse ordonna, et les anciens d’Israël, disant au peuple: Gardez tous les commandements que je vous prescris aujourd’hui.
2 Mtakapokuwa mmevuka Mto Yordani na kuingia katika nchi awapayo Bwana Mungu wenu, msimamishe mawe makubwa na mkayatie lipu.
Et lorsque vous aurez passé du Jourdain dans la terre que le Seigneur ton Dieu te donnera, ta érigeras de grandes pierres, et tu les enduiras de chaux,
3 Andikeni juu yake maneno yote ya sheria hii wakati mtakapokuwa mmevuka na kuingia katika nchi awapayo Bwana Mungu wenu, nchi itiririkayo maziwa na asali, kama vile Bwana, Mungu wa baba zenu, alivyowaahidi.
Afin que tu puisses y écrire toutes les paroles de cette loi, le Jourdain passé, pour que tu entres dans la terre que le Seigneur ton Dieu te donnera, terre où coulent du lait et du miel, comme il a juré à tes pères.
4 Mtakapokuwa mmevuka Yordani, simamisheni mawe haya juu ya Mlima Ebali, kama ninavyowaagiza leo, mkayatie lipu.
Quand donc vous aurez passé le Jourdain, érigez les pierres que moi, je vous prescris aujourd’hui, sur le mont Hébal, et tu les enduiras de chaux;
5 Huko mjengeeni Bwana Mungu wenu madhabahu, madhabahu ya mawe. Msitumie kifaa chochote cha chuma juu yake.
Et tu bâtiras là un autel au Seigneur ton Dieu, avec des pierres que le fer n’aura pas touchées,
6 Jengeni madhabahu ya Bwana Mungu wenu kwa mawe ya shambani, na mtoe sadaka za kuteketezwa juu yake kwa Bwana Mungu wenu.
Des pierres informes et. non polies; et tu offriras sur cet autel des holocaustes au Seigneur ton Dieu.
7 Toeni sadaka za amani juu yake, mkizila na kufurahia mbele za Bwana Mungu wenu.
Et tu immoleras des hosties pacifiques, et tu mangeras là, et tu feras des festins devant le Seigneur ton Dieu.
8 Nanyi mtaandika maneno yote ya sheria hii kwa wazi sana juu ya mawe haya ambayo mmesimamisha.”
Et tu écriras sur les pierres toutes les paroles de cette loi nettement et clairement.
9 Kisha Mose na makuhani, ambao ni Walawi, wakawaambia Israeli wote, “Nyamaza ee Israeli, sikiliza! Sasa umekuwa taifa la Bwana Mungu wako.
Alors Moïse et les prêtres de la race lévitique dirent à tout Israël: Sois attentif, et écoute, ô Israël: tu as été fait aujourd’hui le peuple du Seigneur ton Dieu;
10 Mtii Bwana Mungu wako, na kufuata amri zake na maagizo ninayokupa leo.”
Tu écouteras sa voix, et tu pratiqueras les commandements et les lois que moi, je te prescris.
11 Siku ile ile Mose akawaagiza watu:
Or, Moïse ordonna au peuple, en ce jour-là, disant:
12 Mtakapovuka Mto Yordani, makabila haya yatasimama juu ya Mlima Gerizimu kubariki watu: Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, Yosefu na Benyamini.
Ceux-ci se tiendront pour bénir le peuple, sur le mont Garizim, le Jourdain passé: Siméon, Lévi, Juda, Issachar, Joseph et Benjamin.
13 Makabila haya yatasimama juu ya Mlima Ebali kwa kutamka laana: Reubeni, Gadi, Asheri, Zabuloni, Dani na Naftali.
Et vis-à-vis, ceux-ci se tiendront pour maudire sur le mont Hébal: Ruben, Gad, Aser, Zabulon, Dan et Nephthali.
14 Nao Walawi watawasomea watu wote wa Israeli kwa sauti kubwa:
Et les Lévites prononceront, et diront à tous les hommes d’Israël, à haute voix:
15 “Alaaniwe mtu afanyaye sanamu ya kuchonga au mwenye kusubu sanamu, kitu ambacho ni chukizo kwa Bwana, kazi ya mikono ya fundi stadi, na kuisimamisha kwa siri.”
Maudit l’homme qui fait une image taillée au ciseau, et une idole de fonte, l’abomination du Seigneur, l’œuvre des mains des artisans, et qui la mettra dans un lieu secret! et tout le peuple répondra, et dira: Amen.
16 “Alaaniwe mtu amdharauye baba yake na mama yake.”
Maudit celui qui n’honore point son père et sa mère! et tout le peuple dira: Amen.
17 “Alaaniwe mtu asogezaye jiwe la mpaka wa jirani yake.”
Maudit celui qui déplace les bornes de son prochain! et tout le peuple dira: Amen.
18 “Alaaniwe mtu ampotoshaye kipofu njiani.”
Maudit celui qui fait égarer un aveugle dans le chemin! et tout le peuple dira: Amen.
19 “Alaaniwe mtu apotoshaye haki ya mgeni, yatima au mjane.”
Maudit celui qui pervertit le jugement d’un étranger, d’un orphelin et d’une veuve! et tout le peuple dira: Amen.
20 “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mke wa baba yake, kwa maana anadharau malazi ya baba yake.”
Maudit celui qui dort avec la femme de son père, et découvre la couverture de son lit! et tout le peuple dira: Amen.
21 “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mnyama yeyote.”
Maudit celui qui dort avec une bête quelconque! et tout le peuple dira: Amen.
22 “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na dada yake, binti wa baba yake au binti wa mama yake.”
Maudit celui qui dort avec sa sœur, fille de son père ou de sa mère! et tout le peuple dira: Amen.
23 “Alaaniwe mtu akutanaye kimwili na mama mkwe wake.”
Maudit celui qui dort avec sa belle-mère! et tout le peuple dira: Amen.
24 “Alaaniwe mtu amuuaye jirani yake kwa siri.”
Maudit celui qui frappe en secret son prochain! et tout le peuple dira: Amen.
25 “Alaaniwe mtu apokeaye rushwa ili kumuua mtu asiye na hatia.”
Maudit celui qui reçoit des présents pour verser un sang innocent! et tout le peuple dira: Amen.
26 “Alaaniwe mtu yule ambaye hatashikilia maneno ya sheria hii kwa kuyatekeleza.”
Maudit celui qui ne persévère pas dans les paroles de cette loi, et ne les accomplit point par ses œuvres! et tout le peuple dira: Amen.

< Torati 27 >