< Torati 26 >
1 Mtakapokuwa mmeingia nchi ile ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kama urithi na mtakapokuwa mmeimiliki na kukaa ndani yake,
"Apabila kamu sudah masuk ke negeri yang diberikan TUHAN Allahmu kepadamu dan sudah berdiam di situ,
2 chukueni baadhi ya mavuno ya kwanza ya yale yote mtakayozalisha kutoka udongo wa nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa na mweke kwenye kapu. Kisha uende mahali ambapo Bwana Mungu wako atapachagua kuwa makao kwa ajili ya Jina lake
maka hasil pertama dari segala yang kamu kumpulkan dari tanahmu harus kamu masukkan ke dalam sebuah bakul, dan kamu bawa ke tempat yang dipilih TUHAN Allahmu.
3 na umwambie kuhani atakayekuwepo kwa wakati huo, “Ninatangaza leo kwa Bwana Mungu wako kwamba nimekuja katika nchi ambayo Bwana aliwaapia baba zetu kwamba atatupa.”
Pergilah kepada imam yang bertugas pada waktu itu dan katakanlah kepadanya, 'Saya menyatakan kepada TUHAN Allahmu bahwa saya sudah masuk ke negeri yang dijanjikan-Nya kepada nenek moyang kita untuk diberikan kepada kita.'
4 Kuhani atapokea lile kapu mikononi mwako na kuliweka chini mbele ya madhabahu ya Bwana Mungu wako.
Imam akan menerima bakul itu dari tanganmu dan meletakkannya di depan mezbah TUHAN Allahmu.
5 Kisha utatangaza mbele za Bwana Mungu wako: “Baba yangu alikuwa Mwaramu aliyekuwa anatangatanga, akaenda Misri pamoja na watu wachache, akaishi huko hadi akawa taifa kubwa, lenye nguvu na watu wengi.
Kemudian di hadapan TUHAN Allahmu, engkau harus mengucapkan kata-kata ini: 'Ya TUHAN, nenek moyang saya seorang Aram yang mengembara. Ia membawa keluarganya ke Mesir untuk tinggal di sana sebagai pengungsi. Ketika pergi ke sana jumlah mereka hanya sedikit, tetapi mereka menjadi bangsa yang besar dan kuat.
6 Lakini Wamisri walituonea na kututaabisha, wakitufanyisha kazi ngumu.
Orang Mesir memperlakukan kami dengan kejam dan memaksa kami bekerja sebagai budak.
7 Kisha tulimlilia Bwana, Mungu wa baba zetu, naye Bwana akasikia sauti yetu na akaona huzuni yetu, taabu yetu na mateso yetu.
Lalu kami berseru minta tolong kepada-Mu, TUHAN, Allah nenek moyang kami. Engkau mendengar seruan kami dan melihat penderitaan, kesusahan serta kesengsaraan kami.
8 Kwa hiyo Bwana akatutoa nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa, pamoja na utisho mkuu, ishara za miujiza na maajabu.
Dengan kuasa dan kekuatan yang besar Engkau membebaskan kami dari Mesir. Engkau melakukan mujizat-mujizat dan keajaiban-keajaiban serta menimbulkan kejadian-kejadian yang menggemparkan musuh.
9 Akatuleta mahali hapa akatupa nchi hii, nchi inayotiririka maziwa na asali;
Kemudian Engkau membawa kami ke sini dan memberikan tanah yang kaya dan subur ini kepada kami.
10 nami sasa ninaleta malimbuko ya ardhi ambayo wewe, Ee Bwana, umenipa.” Weka kapu mbele za Bwana Mungu wako na usujudu mbele zake.
Sebab itu, ya TUHAN, saya persembahkan di sini hasil pertama dari tanah yang Kauberikan kepada saya.' Lalu letakkanlah bakul itu di hadapan TUHAN Allahmu, dan sembahlah Dia.
11 Kisha wewe pamoja na Walawi na wageni wote walioko miongoni mwenu mtafurahi katika vitu vyote vizuri ambavyo Bwana Mungu wenu amewapa pamoja na wa nyumbani mwenu.
Bersyukurlah untuk segala rezeki yang telah diberikan TUHAN Allahmu kepadamu dan keluargamu. Ajaklah orang Lewi dan orang asing yang tinggal di antara kamu ikut dalam perayaan itu.
12 Wakati utakapokuwa umeshatoa zaka zote za mazao yako katika mwaka wa tatu, ambao ni mwaka wa zaka, utampa Mlawi, mgeni, yatima na mjane, ili waweze kula katika miji yenu na kushiba.
Tiap tahun yang ketiga kamu harus memberikan persembahan sepersepuluhan, yaitu sepersepuluh dari hasil tanahmu kepada imam Lewi, orang asing, anak yatim piatu dan janda, sehingga di dalam setiap kotamu mereka mendapat makanan yang mereka perlukan. Kalau sudah,
13 Kisha umwambie Bwana Mungu wako: “Nimeondoa katika nyumba yangu ile sehemu iliyowekwa wakfu na nimempa Mlawi, mgeni, yatima na mjane, kulingana na yote uliyoamuru. Sijazihalifu amri zako wala kusahau hata mojawapo.
berkatalah kepada TUHAN Allahmu, 'Dari sepersepuluh hasil tanah yang harus dipersembahkan kepada-Mu, TUHAN, tidak sedikit pun tertinggal di rumah saya; semuanya sudah saya berikan kepada orang Lewi, orang asing, anak yatim piatu dan janda, seperti yang diperintahkan TUHAN Allahku kepada saya. Dari perintah TUHAN tentang persembahan sepersepuluhan tak ada yang saya langgar.
14 Sijala sehemu iliyowekwa wakfu wakati nilipokuwa nikiomboleza, wala sijaondoa mojawapo wakati nilipokuwa najisi, wala sijatoa sehemu yake yoyote kwa wafu. Nimemtii Bwana Mungu wangu; nimefanya kila kitu ulichoniamuru.
Dari persembahan itu tidak sedikit pun yang saya makan waktu saya sedang berkabung, atau saya bawa ke luar rumah waktu saya sedang najis, atau saya berikan sebagai sajian kepada orang mati. Saya telah taat kepada-Mu, ya TUHAN; segala yang Kauperintahkan sudah saya lakukan.
15 Angalia chini kutoka mbinguni, maskani yako matakatifu, uwabariki watu wako Israeli pamoja na nchi uliyotupa kama ulivyoahidi kwa kiapo kwa baba zetu, nchi inayotiririka maziwa na asali.”
Dari tempat-Mu yang suci di surga sudilah Engkau memandang dan memberkati umat-Mu Israel; berkatilah juga negeri kaya dan subur yang telah Kauberikan kepada kami sesuai dengan janji-Mu kepada nenek moyang kami.'"
16 Bwana Mungu wako anakuagiza leo kufuata amri hizi na sheria; zishike kwa bidii kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote.
"Hari ini TUHAN Allahmu memerintahkan kamu untuk melakukan segala perintah itu; lakukanlah semuanya dengan setia dan dengan seluruh jiwa ragamu.
17 Umetangaza leo kwamba Bwana ndiye Mungu wako na kwamba utafuata njia zake, kwamba utayashika maagizo yake, amri zake na sheria zake nawe utamtii.
Hari ini kamu mengakui TUHAN sebagai Allahmu. Kamu berjanji untuk taat kepada-Nya dan melakukan segala hukum serta perintah-Nya.
18 Naye Bwana ametangaza leo kwamba ninyi ni taifa lake, hazina yake ya thamani kama alivyoahidi, ili kwamba mpate kuyashika maagizo yake yote.
Hari ini TUHAN menerima kamu sebagai umat-Nya sendiri, seperti yang dijanjikan-Nya kepadamu, dan Ia memerintahkan kamu untuk melakukan segala perintah-Nya.
19 Ametangaza kwamba atawaweka juu kuliko mataifa mengine aliyoyafanya katika sifa, kuwa fahari na heshima, na kwamba mtakuwa taifa takatifu kwa Bwana Mungu wenu, kama alivyoahidi.
TUHAN akan membuat kamu lebih besar dari semua bangsa lain yang sudah diciptakan-Nya, dan kamu akan dipuji dan dihormati. Kamu menjadi umat TUHAN Allahmu seperti yang dijanjikan-Nya."