< Torati 26 >

1 Mtakapokuwa mmeingia nchi ile ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kama urithi na mtakapokuwa mmeimiliki na kukaa ndani yake,
Dilia da soge amo dilia Hina Gode da dilima iaha, amo lai dagosea amola amo ganodini fi dagosea,
2 chukueni baadhi ya mavuno ya kwanza ya yale yote mtakayozalisha kutoka udongo wa nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa na mweke kwenye kapu. Kisha uende mahali ambapo Bwana Mungu wako atapachagua kuwa makao kwa ajili ya Jina lake
ha: i manu dilia da soge amo dilia Hina Gode da dilima iaha amo ha: i manu degabo fai lale, daba ganodini salima. Amasea, sogebi Godema nodomusa: E da ilegei, amoga masa.
3 na umwambie kuhani atakayekuwepo kwa wakati huo, “Ninatangaza leo kwa Bwana Mungu wako kwamba nimekuja katika nchi ambayo Bwana aliwaapia baba zetu kwamba atatupa.”
Gobele salasu dunu da amo esoha ouligisu hou hamonana, ema amane sia: ma, ‘Na da wali sia: sa, na da soge amo Gode da ninia aowalali ilima imunu ilegele sia: i, amoga na da misi dagoi.’
4 Kuhani atapokea lile kapu mikononi mwako na kuliweka chini mbele ya madhabahu ya Bwana Mungu wako.
Amasea, gobele salasu dunu da dima daba lale, dilia Hina Gode amo Ea oloda midadi ligisimu.
5 Kisha utatangaza mbele za Bwana Mungu wako: “Baba yangu alikuwa Mwaramu aliyekuwa anatangatanga, akaenda Misri pamoja na watu wachache, akaishi huko hadi akawa taifa kubwa, lenye nguvu na watu wengi.
Amasea di da Hina Godema amane sia: mu, “Na aowalali ada da udigili lalebe A: lamiane dunu. Ea fi da bagahame amola e da Idibidi sogega asili fi. Amogawi, ea fi da bagade hamosu amola gasa bagade ba: i.
6 Lakini Wamisri walituonea na kututaabisha, wakitufanyisha kazi ngumu.
Be Idibidi dunu da ninima se bagade iasu. Ninia da ilia udigili hawa: hamosu dunu esalu, se bagade nabasu.
7 Kisha tulimlilia Bwana, Mungu wa baba zetu, naye Bwana akasikia sauti yetu na akaona huzuni yetu, taabu yetu na mateso yetu.
Amalalu, ninia da ninia aowalalia Hina Godema se nabawane wesu. Amola Hina Gode da ninia wesu nabi dagoi. E da ninia se nabasu amola ninia gasa bagade udigili hawa: hamosu ba: i dagoi.
8 Kwa hiyo Bwana akatutoa nchi ya Misri kwa mkono wenye nguvu na ulionyooshwa, pamoja na utisho mkuu, ishara za miujiza na maajabu.
Amaiba: le, Hina Gode da gasa bagadewane nini Idibidi sogega fisili masa: ne, guiguda: oule misi. E da gasa bagade musa: hame ba: su hou, amoga nini oule misi. Amola dunu huluane da bagade beda: i.
9 Akatuleta mahali hapa akatupa nchi hii, nchi inayotiririka maziwa na asali;
E da amo noga: i sogega oule misi. Amo soge noga: i ganodini da fedege agoane bulamagau dodo maga: me amola agime hani bagade hano agoane a: i ahoabe.
10 nami sasa ninaleta malimbuko ya ardhi ambayo wewe, Ee Bwana, umenipa.” Weka kapu mbele za Bwana Mungu wako na usujudu mbele zake.
Amola wali Hina Gode, na da ha: i manu degabo fai Di da ninima i liligi, amo dilima imunusa: gaguli misi.’ Amasea daba amo dia Hina Gode Ea midadi ligisima amola Ema beguduma.
11 Kisha wewe pamoja na Walawi na wageni wote walioko miongoni mwenu mtafurahi katika vitu vyote vizuri ambavyo Bwana Mungu wenu amewapa pamoja na wa nyumbani mwenu.
Amasea, dilia, dilia sosogo fi, Lifai dunu amola ga fi dilia fi ganodini esala da liligi huluane noga: iwane dilia Hina Gode da dilima amola dilia fi ilima i, amo dawa: beba: le, hahawane nodomu.
12 Wakati utakapokuwa umeshatoa zaka zote za mazao yako katika mwaka wa tatu, ambao ni mwaka wa zaka, utampa Mlawi, mgeni, yatima na mjane, ili waweze kula katika miji yenu na kushiba.
Ode osoda da ‘daide’ ode. Amo ode ganodini dilia liligi lai huluane nabuane fifili, la: idi afae ligisili Lifai dunu, ga fi dunu, guluba: mano amola didalo dilia diasu ganodini esala, ilima sadima: ne ima.
13 Kisha umwambie Bwana Mungu wako: “Nimeondoa katika nyumba yangu ile sehemu iliyowekwa wakfu na nimempa Mlawi, mgeni, yatima na mjane, kulingana na yote uliyoamuru. Sijazihalifu amri zako wala kusahau hata mojawapo.
Amasea, dilia Hina Godema amane sia: ma, ‘Sema ‘daide’ liligi afae da na diasu ganodini hame diala. Na da Dima i ha: i manu lale, Lifai dunu, ga fi dunu, guluba: mano amola didalo ilima Dia sia: i defele i dagoi. Dia sia: i huluane na da fa: no bobogei amola afae da hame gogolei.
14 Sijala sehemu iliyowekwa wakfu wakati nilipokuwa nikiomboleza, wala sijaondoa mojawapo wakati nilipokuwa najisi, wala sijatoa sehemu yake yoyote kwa wafu. Nimemtii Bwana Mungu wangu; nimefanya kila kitu ulichoniamuru.
Na da na Hina Gode Ea sia: huluane nabi dagoi. Na da dunu bogoiba: le dinanoba, Dima i ha: i manu hame mai. Na da ledo galea hame mai amola bogoi dunuma dawa: ma: ne hame i. Hina Gode! Na da Dia ‘daide’ imunu hamoma: ne sia: i huluane defele hamoi dagoi.
15 Angalia chini kutoka mbinguni, maskani yako matakatifu, uwabariki watu wako Israeli pamoja na nchi uliyotupa kama ulivyoahidi kwa kiapo kwa baba zetu, nchi inayotiririka maziwa na asali.”
Di da Dia Hadigi Diasu Hebene amo ganodini esala. Amoga, Di ba: le guduli, amola Dia fi Isala: ili amola soge (amo ganodini da fedege agoane bulamagau dodo maga: me amola agime hani bagade hano agoane a: i ahoabe) amo Di da musa: ninia aowalali ilima ima: ne ilegele sia: i defele, ninima i dagoi, amo hahawane dogolegelewane fidima: ne sia: ma.’
16 Bwana Mungu wako anakuagiza leo kufuata amri hizi na sheria; zishike kwa bidii kwa moyo wako wote na kwa roho yako yote.
Dilia Hina Gode da wali eso amo Ea hamoma: ne sia: i amola Ea sema fa: no bobogema: ne sia: sa. Dilia dogoga amola dilia asigi dawa: suga, amo noga: le nabawane hamoma.
17 Umetangaza leo kwamba Bwana ndiye Mungu wako na kwamba utafuata njia zake, kwamba utayashika maagizo yake, amri zake na sheria zake nawe utamtii.
Dilia da wali eso, Hina Gode da dilia Godedafa sia: i dagoi. Dilia da Ea hamoma: ne sia: i noga: le nabimu amola Ea Sema huluane hamomu amo dilia da ilegele sia: i dagoi.
18 Naye Bwana ametangaza leo kwamba ninyi ni taifa lake, hazina yake ya thamani kama alivyoahidi, ili kwamba mpate kuyashika maagizo yake yote.
Wali eso Hina Gode da Ea musa: ilegele sia: i defele, dilia da Ea fidafa sia: i. Amola E da dili Ea sema noga: le nabawane hamoma: ne sia: sa.
19 Ametangaza kwamba atawaweka juu kuliko mataifa mengine aliyoyafanya katika sifa, kuwa fahari na heshima, na kwamba mtakuwa taifa takatifu kwa Bwana Mungu wenu, kama alivyoahidi.
E da dilia fi amo fi huluane E da hamoi amo baligimusa: hamomu. Dilia hou hamomuba: le, dunu fi eno da Gode Ea Dio hadigi gala ba: mu amola Ema nodomu. Dilia da Ea ilegele sia: i defele, Ea: fidafa ba: mu.

< Torati 26 >