< Torati 25 >

1 Watu wanapokuwa na ugomvi, wapeleke mahakamani na waamuzi wataamua shauri hilo; watawaachia wasio na kosa na kuwahukumu wenye hatia.
for to be strife between human and to approach: approach to(wards) [the] justice: judgement and to judge them and to justify [obj] [the] righteous and be wicked [obj] [the] wicked
2 Kama mtu mwenye hatia anastahili kuchapwa, mwamuzi atamwamuru alale chini ili achapwe mbele yake idadi ya viboko kulingana na kosa lake,
and to be if son: descendant/people to smite [the] wicked and to fall: fall him [the] to judge and to smite him to/for face his like/as sufficiency wickedness his in/on/with number
3 lakini kamwe asichapwe zaidi ya viboko arobaini. Ikiwa atachapwa zaidi ya viboko arobaini, nduguyo atadhalilika machoni pako.
forty to smite him not to add: again lest to add: again to/for to smite him upon these wound many and to dishonor brother: compatriot your to/for eye: seeing your
4 Usimfunge maksai kinywa anapopura nafaka.
not to muzzle cattle in/on/with to tread he
5 Ikiwa ndugu wanaishi pamoja na mmoja wao akafa bila kuacha mwana, kamwe mjane wake asiolewe nje ya jamaa hiyo. Ndugu wa mumewe atamchukua, amwoe na kutimiza wajibu wa shemeji kwake.
for to dwell brother: male-sibling together and to die one from them and son: child nothing to/for him not to be woman: wife [the] to die [the] outside [to] to/for man be a stranger brother-in-law her to come (in): come upon her and to take: marry her to/for him to/for woman: wife and be brother-in-law her
6 Mwana wa kwanza atakayemzaa atapewa jina la ndugu aliyekufa ili jina lake lisifutike katika Israeli.
and to be [the] firstborn which to beget to arise: establish upon name brother: male-sibling his [the] to die and not to wipe name his from Israel
7 Hata hivyo, ikiwa ndugu huyo wa mume hataki kuoa huyo mke wa nduguye, mjane atawaendea wazee kwenye lango la mji na kusema, “Ndugu wa mume wangu anakataa kuendeleza jina la nduguye katika Israeli. Hataki kutimiza wajibu wa shemeji kwangu.”
and if not to delight in [the] man to/for to take: marry [obj] sister-in-law his and to ascend: rise sister-in-law his [the] gate [to] to(wards) [the] old: elder and to say to refuse brother-in-law my to/for to arise: establish to/for brother: male-sibling his name in/on/with Israel not be willing be brother-in-law me
8 Ndipo wazee wa mji wake watamwita na kuzungumza naye. Kama atashikilia kukataa akisema, “Sitaki kumwoa,”
and to call: call to to/for him old: elder city his and to speak: speak to(wards) him and to stand: stand and to say not to delight in to/for to take: marry her
9 mjane wa nduguye atamwendea mbele ya wazee, atamvua kiatu kimoja na kumtemea mate usoni, na kusema, “Hivi ndivyo ambavyo hufanywa kwa mtu ambaye atakataa kuendeleza jamaa ya ndugu yake.”
and to approach: approach sister-in-law his to(wards) him to/for eye: before(the eyes) [the] old: elder and to rescue sandal his from upon foot his and to spit in/on/with face his and to answer and to say thus to make: do to/for man which not to build [obj] house: household (brother: male-sibling his *L(abh)*)
10 Jamaa ya mtu huyo itafahamika katika Israeli kama Jamaa ya Aliyevuliwa Kiatu.
and to call: call by name his in/on/with Israel house: household to rescue [the] sandal
11 Ikiwa watu wawili wanapigana na mke wa mmoja wao akaja kumwokoa mumewe na yule anayemshambulia, naye mke huyo akifika na kumkamata sehemu za siri,
for to struggle human together man: anyone and brother: compatriot his and to present: come woman: wife [the] one to/for to rescue [obj] (man: husband her *LAB(h)*) from hand to smite him and to send: reach hand her and to strengthen: hold in/on/with genitalia his
12 huyo mwanamke utamkata mkono wake. Usimhurumie.
and to cut [obj] palm her not to pity eye your
13 Usiwe na mawe ya kupimia ya aina mbili katika mkoba wako, moja zito na jingine jepesi.
not to be to/for you in/on/with purse your stone: weight and stone: weight great: large and small
14 Usiwe na vipimo viwili tofauti katika nyumba yako, kimoja kikubwa, kingine kidogo.
not to be to/for you in/on/with house: home your ephah and ephah great: large and small
15 Ni lazima uwe na uzito na vipimo sahihi na vya haki, ili upate kuishi maisha marefu katika nchi anayokupa Bwana Mungu wako.
stone: weight complete and righteousness to be to/for you ephah complete and righteousness to be to/for you because to prolong day your upon [the] land: soil which LORD God your to give: give to/for you
16 Kwa maana Bwana Mungu wako humchukia yeyote ambaye hufanya mambo kama haya, yeyote anayetenda kwa udanganyifu.
for abomination LORD God your all to make: do these all to make: do injustice
17 Kumbuka kile Waamaleki walichowatendea mlipokuwa njiani mkitoka Misri.
to remember [obj] which to make: do to/for you Amalek in/on/with way: journey in/on/with to come out: come you from Egypt
18 Wakati mlipokuwa mmechoka na kuishiwa nguvu kwa safari yenu, wakawapiga wale wote waliokuja nyuma. Waamaleki hawakumwogopa Mungu.
which to meet you in/on/with way: journey and to cut off the tail in/on/with you all [the] be feeble after you and you(m. s.) faint and weary and not to fear God
19 Bwana Mungu wako atakapokupa pumziko mbali na adui zako wote wanaokuzunguka katika nchi akupayo kuimiliki kuwa urithi, utafutilia mbali kumbukumbu lote la Waamaleki chini ya mbingu. Usisahau!
and to be in/on/with to rest LORD God your to/for you from all enemy your from around in/on/with land: country/planet which LORD God your to give: give to/for you inheritance to/for to possess: take her to wipe [obj] memorial Amalek from underneath: under [the] heaven not to forget

< Torati 25 >