< Torati 19 >

1 Wakati Bwana Mungu wenu atakapokuwa amewaangamiza mataifa ambayo nchi yao anawapa ninyi, wakati mtakapokuwa mmewafukuza na kuishi katika miji yao na nyumba zao,
Kad Gospod Bog tvoj potre narode kojih zemlju daje tebi Gospod Bog tvoj, i kad ih naslijediš i nastaniš se po gradovima njihovijem i po kuæama njihovijem,
2 ndipo mtenge miji mitatu iliyopo katikati ya nchi kwa ajili yenu, katika nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kuimiliki.
Odvoj tri grada usred zemlje svoje, koju ti daje Gospod Bog tvoj da je naslijediš,
3 Jengeni barabara katika miji hiyo na kuigawa mara tatu, nchi anayowapa Bwana Mungu wenu kama urithi, ili kwamba yeyote amuuaye mtu aweze kukimbilia humo.
Naèini put, i razdijeli na troje krajeve zemlje svoje, koju ti da Gospod Bog tvoj u našljedstvo, pa neka bježi onamo svaki krvnik.
4 Hii ndiyo kanuni kuhusu mtu amuuaye mwingine na kukimbilia humo kuokoa maisha yake, yaani, yeye amuuaye jirani yake bila kukusudia, wala hakumchukia kabla ya hapo.
A ovako neka bude s krvnikom koji uteèe onamo, da bi ostao živ: ko ubije bližnjega svojega nehotice, ne mrzivši prije na nj,
5 Kwa mfano, mtu aweza kwenda msituni na jirani yake kukata miti, naye anapozungusha shoka kuangusha mti, shoka linaweza kuchomoka kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake na kumuua. Yule mtu anaweza kukimbilia katika mmojawapo ya miji hii na kuokoa maisha yake.
Kao kad bi ko otišao s bližnjim svojim u šumu da sijeèe drva, pa bi zamahnuo sjekirom u ruci svojoj da posijeèe drvo, a ona bi spala s držalice i pogodila bi bližnjega njegova tako da umre, on neka uteèe u koji od tijeh gradova da ostane živ,
6 Kama sivyo, mlipiza kisasi cha damu anaweza kumfuatilia kwa hasira kali, naye akamkamata na kumuua kama umbali ni mrefu sana hata ingawa hastahili kifo, kwa sababu amemuua jirani yake bila kukusudia.
Da ne bi osvetnik potjerao krvnika dok mu je srce raspaljeno, i da ga ne bi stigao na daleku putu i ubio ga, premda nije zaslužio smrti, jer nije prije mrzio na nj.
7 Hii ndiyo sababu nimewaagiza ninyi kutenga miji mitatu ya makimbilio kwa ajili yenu.
Zato ti zapovijedam i velim: tri grada odvoj.
8 Kama Bwana Mungu wenu akipanua nchi yenu, kama alivyoahidi kwa kiapo kwa baba zenu na kuwapa nchi yote aliyowaahidi,
A kad raširi Gospod Bog tvoj meðe tvoje, kao što se zakleo ocima tvojim, i da ti svu zemlju koju je rekao dati ocima tvojim,
9 kwa sababu mmefuata kwa uangalifu sheria zote ninazowaamuru leo, kumpenda Bwana Mungu wenu na kuenenda siku zote katika njia zake, ndipo mtenge miji mingine, mitatu zaidi.
Ako uzdržiš i ustvoriš sve ove zapovijesti, koje ti ja danas zapovijedam, da ljubiš Gospoda Boga svojega i hodiš putovima njegovijem svagda, onda dodaj još tri grada osim ona tri,
10 Fanyeni hivi ili damu isiyo na hatia isimwagwe katika nchi yenu, ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kama urithi wenu, ili kwamba msije mkawa na hatia ya kumwaga damu.
Da se ne proljeva krv prava u zemlji tvojoj, koju ti Gospod Bog tvoj daje u našljedstvo, i da ne bude na tebi krv.
11 Lakini kama mtu anamchukia ndugu yake, akamvizia, akamshambulia na kumuua, kisha akakimbilia katika mmojawapo ya miji hii,
Ali ako ko mrzi na bližnjega svojega i vreba ga, i skoèi na nj, i udari ga tako da umre, a on uteèe u koji od tijeh gradova,
12 wazee wa mji wake watatuma ujumbe kwake, kumleta kutoka mji ule na kumkabidhi mlipiza kisasi cha damu kumuua.
Onda starješine mjesta njegova neka pošlju i uzmu ga odande, i predadu ga u ruke osvetniku da se pogubi.
13 Msimwonee huruma. Lazima mwondoe katika Israeli hatia ya umwagaji damu isiyo na hatia ili kwamba mpate kufanikiwa.
Neka ga ne žali oko tvoje, nego skini krv pravu s Izrailja, da bi ti dobro bilo.
14 Usisogeze jiwe la mpaka wa jirani yako ambao uliwekwa na wale waliokutangulia katika urithi upokeao katika nchi Bwana Mungu wako anayowapa kuimiliki.
Ne pomièi meðe bližnjega svojega koju postave stari u našljedstvu tvojem koje dobiješ u zemlji koju ti Gospod Bog tvoj daje da je naslijediš.
15 Shahidi mmoja hatoshi kumtia hatiani mtu kwa uhalifu au kosa lolote ambalo anaweza kuwa amelitenda. Lazima shauri lolote lithibitishwe kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.
Neka ne ustaje jedan svjedok na èovjeka ni za kako zlo i ni za kakav grijeh izmeðu svijeh grijeha koji se èine, nego na rijeèima dva ili tri svjedoka da ostaje stvar.
16 Kama shahidi mwenye nia ya kumdhuru mwingine akisimama kumshtaki mtu kwa uhalifu,
Ako bi ustao lažan svjedok na koga da svjedoèi na njega da se odmeæe Boga,
17 watu wawili wanaohusika katika mabishano lazima wasimame mbele za Bwana na mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako kazini wakati huo.
Onda neka stanu ta dva èovjeka, koji imaju tu raspru, pred Gospoda, pred sveštenike i pred sudije koje budu u to vrijeme;
18 Waamuzi lazima wafanye uchunguzi kwa makini na shahidi akionekana kuwa ni mwongo, akitoa ushuhuda wa uongo dhidi ya ndugu yake,
I neka dobro ispitaju sudije; ako svjedok onaj bude lažan svjedok i lažno svjedoèi na brata svojega,
19 basi mtende kama alivyotaka kumtendea ndugu yake. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.
Uèinite mu onako kako je on mislio uèiniti bratu svojemu; i izvadi zlo iz sebe,
20 Watu watakaosalia watasikia hili na kuogopa, uovu kama huo kamwe hautatendeka tena miongoni mwenu.
Da se ostali èuvši to boje, i unapredak više ne èine tako zlo usred tebe.
21 Msionyeshe huruma, uhai kwa uhai, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
Neka ne žali oko tvoje: život za život, oko za oko, zub za zub, ruku za ruku, nogu za nogu.

< Torati 19 >