< Torati 19 >

1 Wakati Bwana Mungu wenu atakapokuwa amewaangamiza mataifa ambayo nchi yao anawapa ninyi, wakati mtakapokuwa mmewafukuza na kuishi katika miji yao na nyumba zao,
Hina Gode da dunu fi amo da wali soge amo E da dilima iaha amo ganodini esala, amo E da gugunufinisimu. Amasea, dilia da ilia moilai bai bagade amola ilia diasu huluane lale, amo ganodini fimu.
2 ndipo mtenge miji mitatu iliyopo katikati ya nchi kwa ajili yenu, katika nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kuimiliki.
3 Jengeni barabara katika miji hiyo na kuigawa mara tatu, nchi anayowapa Bwana Mungu wenu kama urithi, ili kwamba yeyote amuuaye mtu aweze kukimbilia humo.
Amo fa: no, dilia da amo soge fifili, soge udiana agoane ilegema. Amo udiana afae afae soge dogoa ganodini moilai bai bagade afae ilegema. Amasea, dunu da mae ougili giadofale dunu eno medole legesea, e da hehenane amo moilai bai bagade ganodini gaga: su ba: mu.
4 Hii ndiyo kanuni kuhusu mtu amuuaye mwingine na kukimbilia humo kuokoa maisha yake, yaani, yeye amuuaye jirani yake bila kukusudia, wala hakumchukia kabla ya hapo.
Dunu afae da dunu eno ema ha lai dunu hame be dunu eno mae ougili giadofale medole legesea, e da amo moilaiga hobeale ahoasea, gaga: su ba: mu.
5 Kwa mfano, mtu aweza kwenda msituni na jirani yake kukata miti, naye anapozungusha shoka kuangusha mti, shoka linaweza kuchomoka kutoka kwenye mpini na kumpiga jirani yake na kumuua. Yule mtu anaweza kukimbilia katika mmojawapo ya miji hii na kuokoa maisha yake.
Fedege sia: agoane, dunu aduna da iwilaga ifa aba ahoasea, afae da ifa abasea goahei ea dialuma da da: ba: ga duga: gala: le eno dunu medole legesea, ifa abasu dunu da hobeale Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade udiana amo afaega masunu da defea.
6 Kama sivyo, mlipiza kisasi cha damu anaweza kumfuatilia kwa hasira kali, naye akamkamata na kumuua kama umbali ni mrefu sana hata ingawa hastahili kifo, kwa sababu amemuua jirani yake bila kukusudia.
Moilai bai bagade udiana ilegemu da defea. Be moilai bai bagade afae fawane ilegesea, dunu da amoga hobeale ahoasea logo sedade ba: mu. Amasea, maga: me dabe imunu dunu da amo dunu baligisia, ougiba: le medole legemu. Be amo da defea hame. Bai amo dunu da ougiba: le o hanaiba: le ea na: iyado hame medole legei be mae ougili giadofale fawane medoi.
7 Hii ndiyo sababu nimewaagiza ninyi kutenga miji mitatu ya makimbilio kwa ajili yenu.
Amaiba: le, na da dilima sia: sa. Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagade udiana ilegema.
8 Kama Bwana Mungu wenu akipanua nchi yenu, kama alivyoahidi kwa kiapo kwa baba zenu na kuwapa nchi yote aliyowaahidi,
Dilia Hina Gode da dilia aowalali ilima ilegele sia: i defele dilia soge bu bagade hamosea, amola dilima imunu ilegele sia: i soge huluane dilima i dagosea,
9 kwa sababu mmefuata kwa uangalifu sheria zote ninazowaamuru leo, kumpenda Bwana Mungu wenu na kuenenda siku zote katika njia zake, ndipo mtenge miji mingine, mitatu zaidi.
dilia moilai bai bagade udiana eno ilegema. (Dilia da na sia: i liligi huluane noga: le nabasea amola dilia Hina Godema asigisia amola Ea olelesu defele esalea, E da amo soge dilima imunu.)
10 Fanyeni hivi ili damu isiyo na hatia isimwagwe katika nchi yenu, ambayo Bwana Mungu wenu anawapa kama urithi wenu, ili kwamba msije mkawa na hatia ya kumwaga damu.
Wadela: i hame hamosu dunu da udigili bogosa: besa: le, amola dilia da soge Hina Gode da dilima iaha amo ganodini wadela: i hame hamosu dunu udigili medole legesa: besa: le, Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilale bai bagade ilegema.
11 Lakini kama mtu anamchukia ndugu yake, akamvizia, akamshambulia na kumuua, kisha akakimbilia katika mmojawapo ya miji hii,
Be dunu afae da ougiba: le amola hanaiba: le ema ha lai dunu medole legesea amola ea maga: me da ahoa, amasea e da Dabe Fasa: besa: le Gaga: su Moilai bai bagadega hi esalusu gaga: musa: ahoasea,
12 wazee wa mji wake watatuma ujumbe kwake, kumleta kutoka mji ule na kumkabidhi mlipiza kisasi cha damu kumuua.
amo dunu hi moilai asigilai dunu ilia da e da ilima misa: ne sia: mu. Amasea, ilia da medole bogoi dunu amo ea fi dabe iasu dunu ema imunu. Amola amo dunu da fasu dunu medole legemu.
13 Msimwonee huruma. Lazima mwondoe katika Israeli hatia ya umwagaji damu isiyo na hatia ili kwamba mpate kufanikiwa.
Agoai dunuma mae asigima. Amo fasu dunu da Isala: ili fi ganodini esalumu hamedei. Dilia da hahawane hou ba: ma: ne, amo dunu medole legema.
14 Usisogeze jiwe la mpaka wa jirani yako ambao uliwekwa na wale waliokutangulia katika urithi upokeao katika nchi Bwana Mungu wako anayowapa kuimiliki.
Dilia na: iyado dunu ea soge alalo amo mae afadenema. Amo ilegei ilia da musa: hemonega soge amo dilia Hina Gode da dilima iaha amo ganodini hamosu.
15 Shahidi mmoja hatoshi kumtia hatiani mtu kwa uhalifu au kosa lolote ambalo anaweza kuwa amelitenda. Lazima shauri lolote lithibitishwe kwa ushuhuda wa mashahidi wawili au watatu.
Dunu afae fawane da ba: i dagoiba: le, dunu da wadela: le hamoi dagoi mae sia: ma. Ba: su dunu aduna o amo idi baligi ilia da wadela: i hou hamoi ba: i dagoi sia: sea fawane fofada: ma.
16 Kama shahidi mwenye nia ya kumdhuru mwingine akisimama kumshtaki mtu kwa uhalifu,
Be dunu afae da eno dunu gugunufinisimusa: , ogogole e da wadela: i hamoi dagoi sia: sea,
17 watu wawili wanaohusika katika mabishano lazima wasimame mbele za Bwana na mbele ya makuhani na waamuzi ambao wako kazini wakati huo.
ela da Gode Ea ilegei sogebi amoga asili, gobele salasu dunu amola fofada: su dunu (amo esoga ilegei), ilia da amo dunu ilima fofada: mu.
18 Waamuzi lazima wafanye uchunguzi kwa makini na shahidi akionekana kuwa ni mwongo, akitoa ushuhuda wa uongo dhidi ya ndugu yake,
Fofada: su dunu da amo hou noga: le fofada: mu. Be amo dunu da ogogole ea na: iyado Isala: ili dunu amo wadela: musa: sia: i dagoi ba: sea,
19 basi mtende kama alivyotaka kumtendea ndugu yake. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.
e da se nabasu amo se nabasu eno dunuma e da ogogoi defele lamu galu, amo lamu. Amasea, dilia da wadela: i hou fadegamu.
20 Watu watakaosalia watasikia hili na kuogopa, uovu kama huo kamwe hautatendeka tena miongoni mwenu.
Amo hou, dunu huluane da nabimu. Amasea, ilia da beda: iba: le, agoai wadela: i hou bu hamedafa ba: mu.
21 Msionyeshe huruma, uhai kwa uhai, jicho kwa jicho, jino kwa jino, mkono kwa mkono, mguu kwa mguu.
Amo hou amoma mae asigima. Dunu da eno dunu medole legesea, amo dunu medole legema. E da eno ea si wadela: sea, ea si amola wadela: ma. Eno ea bese gusia, ea bese guma. Eno ea emo wadela: sea, ea emo wadela: ma.

< Torati 19 >