< Torati 18 >

1 Makuhani ambao ni Walawi, yaani kabila lote la Lawi, hawatakuwa na mgawo wala urithi pamoja na Israeli. Wataishi kwa sadaka zitolewazo kwa ajili ya Bwana za kuteketezwa kwa moto, kwa maana huo ndio urithi wao.
Sveštenici Leviti i sve pleme Levijevo da nemaju dijela ni našljedstva s ostalijem sinovima Izrailjevijem; neka jedu ognjene žrtve Gospodnje i njegovo našljedstvo.
2 Hawatakuwa na urithi miongoni mwa ndugu zao; Bwana ndiye urithi wao, kama alivyowaahidi.
Našljedstva dakle da nemaju meðu braæom svojom: Gospod je našljedstvo njihovo, kao što im je kazao.
3 Hili ndilo fungu la makuhani kutoka kwa watu watakaotoa dhabihu ya fahali au kondoo: mguu wa mbele, mataya na matumbo.
Ali ovo da pripada sveštenicima od naroda, od onijeh koji prinesu žrtvu, bilo vola ili jagnje: da se daje svešteniku pleæe i obje vilice i želudac.
4 Mtawapa malimbuko ya nafaka zenu, divai mpya, mafuta na sufu ya kwanza kutoka manyoya ya kondoo zenu,
Prvine od žita svojega, od vina svojega i od ulja svojega, i prvine od vune s ovaca svojih podaj mu.
5 kwa kuwa Bwana Mungu wenu amewachagua pamoja na wazao wao kutoka makabila yenu kusimama na kuhudumu katika jina la Bwana siku zote.
Jer njega izabra Gospod Bog tvoj izmeðu svijeh plemena tvojih da stoji i služi u ime Gospodnje on i sinovi njegovi dovijeka.
6 Ikiwa Mlawi atahama kutoka mmojawapo ya miji yenu popote katika Israeli ambapo anaishi, akaja kwa moyo wote mahali ambapo Bwana atapachagua,
I kad doðe koji Levit iz kojega god mjesta tvojega iz svega Izrailja, gdje nastava, kad doðe po želji duše svoje u mjesto koje izbere Gospod,
7 anaweza akahudumu katika jina la Bwana Mungu wake kama Walawi wenzake wote wanaohudumu hapo mbele za Bwana.
Neka služi u ime Gospoda Boga svojega kao i druga braæa njegova Leviti, koji ondje stoje pred Gospodom.
8 Atashiriki sawa katika mafao yao, hata kama amepokea fedha kutoka mauzo ya mali ya jamaa yake.
Neka jedu jednak dio, osim onoga što bi koji prodao u porodici otaca svojih.
9 Wakati mtakapoingia katika nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa, msijifunze kuiga njia za machukizo za mataifa ya huko.
Kad uðeš u zemlju koju ti Gospod Bog tvoj daje, ne uèi se èiniti gadna djela onijeh naroda.
10 Asionekane mtu yeyote miongoni mwenu ampitishaye mwanawe au binti yake katika moto, atakayefanya uaguzi, ulozi, anayetabiri nyakati, anayejishughulisha na uchawi,
Neka se ne naðe u tebe koji bi vodio sina svojega ili kæer svoju kroz oganj, ni vraèar, ni koji gata po zvijezdama, ni koji gata po pticama, ni uroènik,
11 wala arogaye kwa kupiga mafundo, wala mwaguzi au anayeabudu mizimu, wala awaombaye wafu.
Ni bajaè, ni koji se dogovara sa zlijem duhovima, ni opsjenar, ni koji pita mrtve.
12 Mtu yeyote afanyaye mambo haya ni chukizo kwa Bwana, tena ni kwa sababu ya matendo haya ya kuchukiza wayafanyayo ndiyo maana Bwana Mungu wenu atayafukuza mataifa hayo mbele yenu.
Jer je gad pred Gospodom ko god tako èini, i za take gadove tjera te narode Gospod Bog tvoj ispred tebe.
13 Kamwe msilaumiwe mbele za Bwana Mungu wenu.
Drži se sasvijem Gospoda Boga svojega.
14 Mataifa mtakayowafukuza husikiliza wale wafanyao ulozi na uaguzi. Lakini kwenu ninyi, Bwana Mungu wenu hajawaruhusu kufanya hivyo.
Jer ti narodi koje æeš naslijediti, slušaju gatare i vraèare; a tebi to ne dopušta Gospod Bog tvoj.
15 Bwana Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe. Msikilizeni yeye.
Proroka isred tebe, izmeðu braæe tvoje, kao što sam ja, podignuæe ti Gospod Bog tvoj; njega slušajte,
16 Kwa kuwa hivi ndivyo mlivyomwomba Bwana Mungu wenu kule Horebu siku ile ya kusanyiko, wakati mliposema, “Na tusiisikie sauti ya Bwana Mungu wetu, wala kuuona moto huu mkubwa tena, ama sivyo tutakufa.”
Po svemu kako si iskao od Gospoda Boga svojega na Horivu na dan sabora svojega govoreæi: da više ne èujem glasa Gospoda Boga svojega i da više ne gledam ognja toga velikoga, da ne poginem.
17 Bwana akaniambia: “Wanachosema ni vyema.
Zato mi reèe Gospod: dobro rekoše što rekoše.
18 Nitawainulia nabii kama wewe kutoka miongoni mwa ndugu zao; nitaweka maneno yangu kinywani mwake, naye atawaambia kila kitu nitakachomwamuru.
Proroka æu im podignuti izmeðu braæe njihove, kao što si ti, i metnuæu rijeèi svoje u usta njegova, i kazivaæe im sve što mu zapovjedim.
19 Kama mtu yeyote hatasikiliza maneno yangu ambayo huyo nabii atayasema kwa Jina langu, mimi mwenyewe nitamwajibisha.
A ko god ne bi poslušao rijeèi mojih, koje æe govoriti u moje ime, od toga æu ja tražiti.
20 Lakini nabii ambaye atathubutu kusema kwa Jina langu kitu chochote ambacho sikumwamuru akiseme, au nabii ambaye husema kwa jina la miungu mingine ni lazima auawe.”
Ali prorok koji bi se usudio govoriti što u moje ime što mu ja ne zapovijedim da govori, ili koji bi govorio u ime drugih bogova, taki prorok da se pogubi.
21 Mnaweza kuulizana wenyewe, “Tutawezaje kujua wakati ujumbe haukusemwa na Bwana?”
Ako li reèeš u srcu svojem: kako æemo poznati rijeè koje nije Gospod rekao?
22 Ikiwa kile nabii anachotangaza kwa jina la Bwana hakikutokea au kutimia, huo ni ujumbe ambao Bwana hakusema. Nabii huyo amesema kwa ujuaji. Msimwogope huyo.
Što bi prorok rekao u ime Gospodnje, pa se ne zbude i ne navrši se, to je rijeè koje nije rekao Gospod; nego je iz oholosti rekao onaj prorok, ne boj ga se.

< Torati 18 >