< Torati 16 >

1 Shikeni mwezi wa Abibu, na kuiadhimisha Pasaka ya Bwana Mungu wenu, kwa sababu katika mwezi wa Abibu, Mungu aliwatoa Misri usiku.
Dilia Hina Godema nodone dawa: ma: ne, Abibi oubi amoga Baligisu Lolo Nasu hamoma. Amo oubi ganodini E da gasi afae dili Idibidi sogega esalu amodili gadili masa: ne fadegai.
2 Mtatoa dhabihu ya Pasaka ya mnyama kwa Bwana Mungu wenu kutoka kundi lenu la mbuzi na kondoo au la ngʼombe, mahali pale ambapo Bwana atapachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake.
Dilia Hina Godema sia: ne gadomusa: sogebi E da ilegei, amoga masa. Amogawi, dilia sibi o bulamagau afae amo Hina Godema nodomusa: Baligisu Lolo moma: ne, medole legema.
3 Msile nyama hiyo pamoja na mikate iliyotiwa chachu, lakini kwa siku saba mtakula mikate isiyotiwa chachu, mikate ya kujitesa, kwa sababu mliondoka Misri kwa haraka, ili kwamba siku zote za maisha yenu mpate kukumbuka wakati wenu wa kuondoka Misri.
Amo lolo nasea, agi amo yisidi gilisi amo mae moma. Eso fesuale amoga dilia da yisidi hame sali agi moma. Dilia da musa: Idibidi soge hedolowane fisimusa: momagele mai, amo defele moma. Dilia da musa: Idibidi soge ganodini se bagade nabasu be eso afaega dilia gadili asi. Amo se nabasu dawa: ma: ne, amo agi (se nabasu agi) moma.
4 Chachu isionekane katika mali zenu katika nchi yenu yote kwa siku saba. Nyama yoyote ya dhabihu mtakayotoa jioni ya siku ya kwanza isibakizwe mpaka asubuhi.
Eso fesuale amoga Isala: ili dunu ilia diasu ganodini, yisidi da hamedafa ba: mu. Amola eso age amoga, ohe medole legei amo ea hu da amo gasi ganodini huluanedafa manu. Golale hahabe amo ea hu da hamedafa ba: mu.
5 Kamwe msitoe dhabihu ya Pasaka katika mji wowote ambao Bwana Mungu wenu amewapa,
6 isipokuwa mahali atakapopachagua kama makao kwa ajili ya Jina lake. Hapo ndipo lazima mtoe dhabihu ya Pasaka jioni, jua litakapotua, iwe kumbukumbu yenu ya kutoka Misri.
Hina Godema sia: ne gadomusa: sogebi ilegei amoga Baligisu Lolo Nasu ohe medole legema. Soge amo dilia Hina Gode da dilima iaha, amo ganodini sogebi eno amoga mae medole legema - ilegei sogebi fawane. Eso dabe galu amoga dilia Idibidi soge fisi. Amaiba: le, eso dabe amoga Baligisu ohe medole legema.
7 Okeni na mle mahali pale ambapo Bwana Mungu wenu atakapopachagua, kisha asubuhi mrudi kwenye mahema yenu.
Amo hu hano ganodini gobema amola ilegei sogebi amoga moma. Golale hahabe, dilia diasuga bu masa.
8 Kwa siku sita mtakula mikate isiyotiwa chachu na siku ya saba fanyeni kusanyiko kwa ajili ya Bwana Mungu wenu na msifanye kazi.
Eso gafeyale ganodini, yisidi hame sali agi moma. Amasea, eso fesu amoga, hawa: hamosu mae hamoma, be dilia Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: gilisima.
9 Mhesabu majuma saba tangu wakati mnapoanza kuchukua mundu kuvuna nafaka.
Dilia da gagoma faisu eso doaga: sea, fa: no hi fesuale idima.
10 Kisha msherehekee Sikukuu ya Majuma kwa Bwana Mungu wenu kwa kutoa sadaka ya hiari kwa kadiri ya baraka ambayo Bwana Mungu wenu amewapa.
Amasea, dilia Hina Godema nodomusa: , Ha: i Manu Gamibi Lolo Nasu (Bedigosidi) hamoma. E da dilima hahawane udigili iasu, amo dawa: le Ema ima: ne, hahawane udigili iasu Ema gaguli misa.
11 Shangilieni mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua kama makao ya Jina lake, ninyi, wana wenu na binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi walio katika miji yenu, na wageni, yatima na wajane waishio miongoni mwenu.
Dilia, dilia mano, dilia hawa: hamosu dunu, Lifai dunu, ga fi dunu, guluba: mano amola didalo dilia moilai ganodini esala, amo huluane dilia Hina Gode ba: ma: ne, Ea ilegei nodomusa: sogebi amo ganodini hahawane gilisima.
12 Kumbukeni kwamba mlikuwa watumwa kule Misri na mfuate amri hizi kwa uangalifu.
Amo gasa bagade sia: noga: le nabima. Dilia da musa: Idibidi soge ganodini udigili hawa: hamosu dunu esalu. Amaiba: le, mae gogolema.
13 Adhimisheni sikukuu ya vibanda kwa siku saba baada ya kukusanya mazao yenu ya nafaka na kukamua zabibu.
Dilia da gagoma huluane fai dagosea amola waini huluane hamoi dagosea, eso fesuale amoga Fasela Diasuga Lolo Nasu Gilisisu hahawane hamoma.
14 Mfurahie sikukuu yenu, ninyi, wana wenu, binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, Walawi, wageni, yatima na wajane ambao wanaishi katika miji yenu.
Dilia, dilia mano, dilia hawa: hamosu dunu, Lifai dunu, ga fi dunu, guluba: mano amola didalo dilia moilai ganodini esala, amo huluane hahawane gilisima.
15 Kwa siku saba mtaiadhimisha sikukuu ya Bwana Mungu wenu katika mahali atakapopachagua Bwana. Kwa kuwa Bwana Mungu wenu atawabariki katika mavuno yenu na katika kazi zote za mikono yenu na furaha yenu itakamilika.
Dilia Hina Godema nodomusa: , eso fesuale amoga amo Lolo Nasu gilisisu hahawane hamoma. Bai Hina Gode da dilia ha: i manu faisu amola dilia hawa: hamosu hahawane dogolegelewane fidi dagoi.
16 Wanaume wenu wote lazima wajitokeze mara tatu kwa mwaka mbele za Bwana Mungu wenu mahali atakapopachagua: kwa ajili ya Sikukuu ya Mikate Isiyotiwa Chachu, Sikukuu ya Majuma, na Sikukuu ya Vibanda. Hakuna mtu atakayejitokeza mbele za Bwana mikono mitupu:
Dilia Isala: ili fi dunu huluane da ode huluane amoga udianawane Hina Godema nodone sia: ne gadomusa: Ea ilegei sogebiga gilisima: ne sia: ma. Amo Lolo Nasu udiana da: 1. Baligisu Lolo Nasu Gilisisu 2. Ha: i Manu Gamibi Lolo Nasu Gilisisu 3. Sogega Fasela Diasuga Lolo Nasu Gilisisu.
17 Kila mmoja wenu ni lazima alete zawadi kulingana na jinsi ambavyo Bwana Mungu wenu alivyowabariki.
Amo gilisisu amoma dunu huluane da hahawane iasu gaguli misa: ne sia: ma. Dilia Hina Gode da dunu hisu hisu ilima hahawane dogolegelewane iabe, amo defele e da gaguli misunu da defea.
18 Wateue waamuzi na maafisa kwa kila kabila lenu katika kila mji ambao Bwana Mungu wenu anawapa, nao watawaamua watu kwa usawa.
Moilai huluane amo dilia Hina Gode da dilima iasea, amo ganodini fofada: su dunu amola ouligisu dunu ilegema. Amo dunu da dunu huluane ilima defele fofada: mu.
19 Msipotoshe haki wala msifanye upendeleo. Msikubali rushwa kwa sababu rushwa hupofusha macho ya wenye busara na kugeuza maneno ya wenye haki.
Ilia da moloidafa fofada: su hou mae yolesili, dunu eno da bagade eno da hamedei agoane hamedafa ba: mu. Ilia da moloidafa fofada: su yolesima: ne, hano suligi mae lama: mu. Bai hano suligi da bagade dawa: su dunu amola moloidafa dunu amo ilia si wadela: sa, amola ilia fofada: su da moloi hame ba: mu.
20 Mfuate haki na haki peke yake, ili mweze kuishi na kuimiliki nchi ambayo Bwana Mungu wenu anawapa.
Be dilia da dunu huluane defele ba: ma amola hou huluane moloidafa hamoma. Amasea, dilia da soge amo dilia Hina Gode da dilima iaha, amo huluane gesowale fimu amola amo ganodini eso huluane esalumu.
21 Msisimamishe nguzo yoyote ya Ashera kando ya madhabahu mliyomjengea Bwana Mungu wenu,
Dilia da dilia Hina Godema oloda hamosea, amoga dafulili leloma: ne ifa uda ‘gode’ agoane liligi ea dio A: sela mae bugima.
22 wala msisimamishe jiwe la kuabudu, kwa maana Bwana Mungu wenu anavichukia vitu hivi.
Amola loboga hamoi ogogosu ‘gode’ igi mogomogoi amoma sia: ne gadomusa: mae hamoma. Hina Gode da agoai liligi bagadewane higasa.

< Torati 16 >