< Torati 14 >

1 Ninyi ni watoto wa Bwana Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa,
son: child you(m. p.) to/for LORD God your not to cut and not to set: make bald spot between eye your to/for to die
2 kwa maana ninyi ni taifa takatifu kwa Bwana Mungu wenu. Bwana amewachagua ninyi kuwa taifa la kipekee kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia, mwe tunu yake.
for people holy you(m. s.) to/for LORD God your and in/on/with you to choose LORD to/for to be to/for him to/for people possession from all [the] people which upon face: surface [the] land: planet
3 Msile kitu chochote ambacho ni machukizo.
not to eat all abomination
4 Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi,
this [the] animal which to eat cattle sheep sheep and sheep goat
5 kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani.
deer and gazelle and roebuck and wild goat and ibex and antelope and mountain goat
6 Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua.
and all animal to divide hoof and to cleave cleft two hoof to ascend: regurgitate cud in/on/with animal [obj] her to eat
7 Hata hivyo, miongoni mwa wale wanaocheua au wale walio na kwato zilizogawanyika kamwe msile ngamia, sungura na pelele. Iwapo wanacheua, lakini hawana kwato zilizogawanyika; ni najisi kwenu kwa taratibu za kiibada.
surely [obj] this not to eat from to ascend: regurgitate [the] cud and from to divide [the] hoof [the] to cleave [obj] [the] camel and [obj] [the] hare and [obj] [the] rock badger for to ascend: regurgitate cud they(masc.) and hoof not to divide unclean they(masc.) to/for you
8 Nguruwe pia ni najisi; ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui. Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.
and [obj] [the] swine for to divide hoof he/she/it and not cud unclean he/she/it to/for you from flesh their not to eat and in/on/with carcass their not to touch
9 Katika viumbe hai vyote viishivyo kwenye maji, mnaweza kula yeyote aliye na mapezi na magamba.
[obj] this to eat from all which in/on/with water all which to/for him fin and scale to eat
10 Lakini chochote kisicho na mapezi na magamba msile; kwenu ni najisi.
and all which nothing to/for him fin and scale not to eat unclean he/she/it to/for you
11 Mnaweza kula ndege yeyote aliye safi.
all bird pure to eat
12 Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu,
and this which not to eat from them [the] eagle and [the] vulture and [the] vulture
13 kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,
and [the] glede and [obj] [the] falcon and [the] hawk to/for kind her
14 kunguru wa aina yoyote,
and [obj] all raven to/for kind his
15 mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote,
and [obj] daughter [the] ostrich and [obj] [the] ostrich and [obj] [the] gull and [obj] [the] hawk to/for kind his
16 bundi, mumbi, bundi mkubwa,
[obj] [the] owl and [obj] [the] owl and [the] chameleon
17 mwari, nderi, mnandi,
and [the] pelican and [obj] [the] carrion [to] and [obj] [the] cormorant
18 korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
and [the] stork and [the] heron to/for kind her and [the] hoopoe and [the] bat
19 Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.
and all swarm [the] bird unclean he/she/it to/for you not to eat
20 Lakini viumbe vyote vyenye mabawa vilivyo safi mwaweza kula.
all bird pure to eat
21 Msile kitu chochote mtakachokuta kimekufa. Mnaweza kumpa mgeni yeyote anayeishi katika mojawapo ya miji yenu, naye anaweza kula au mnaweza kumuuzia mtu wa nchi nyingine. Lakini ninyi ni watu watakatifu kwa Bwana Mungu wenu. Msitokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.
not to eat all carcass to/for sojourner which in/on/with gate: town your to give: give her and to eat her or to sell to/for foreign for people holy you(m. s.) to/for LORD God your not to boil kid in/on/with milk mother his
22 Hakikisheni mmetenga sehemu ya kumi ya mazao yote ya mashamba yenu kila mwaka.
to tithe to tithe [obj] all produce seed your [the] to come out: produce [the] land: country year year
23 Mtakula zaka za nafaka yenu, divai mpya, mafuta na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na ya kondoo na mbuzi mbele za Bwana Mungu wenu pale mahali atakapopachagua kama maskani kwa ajili ya Jina lake, ili kwamba mpate kujifunza kumheshimu Bwana Mungu wenu daima.
and to eat to/for face: before LORD God your in/on/with place which to choose to/for to dwell name his there tithe grain your new wine your and oil your and firstborn cattle your and flock your because to learn: learn to/for to fear: revere [obj] LORD God your all [the] day: always
24 Lakini ikiwa mahali pale ni mbali sana nanyi mmebarikiwa na Bwana Mungu wenu na hamwezi kubeba zaka yenu (kwa sababu mahali pale Bwana atakapopachagua kuliweka Jina lake ni mbali sana),
and for to multiply from you [the] way: journey for not be able to lift: bear him for to remove from you [the] place which to choose LORD God your to/for to set: make name his there for to bless you LORD God your
25 basi badilisheni zaka yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha mwende nayo mahali Bwana Mungu wenu atakapopachagua.
and to give: give in/on/with silver: money and to confine [the] silver: money in/on/with hand your and to go: went to(wards) [the] place which to choose LORD God your in/on/with him
26 Tumieni hiyo fedha kununua chochote ukitakacho: ngʼombe, kondoo, divai au kinywaji chochote chenye chachu au chochote mnachotaka. Kisha ninyi na wa nyumbani mwenu mtaila mbele za Bwana Mungu wenu na kufurahi.
and to give: give [the] silver: money in/on/with all which to desire soul: myself your in/on/with cattle and in/on/with flock and in/on/with wine and in/on/with strong drink and in/on/with all which to ask you soul: appetite your and to eat there to/for face: before LORD God your and to rejoice you(m. s.) and house: household your
27 Msiache kuwajali Walawi waishio katika miji yenu, kwa kuwa hao hawana shamba wala urithi wao wenyewe.
and [the] Levi which in/on/with gate: town your not to leave: neglect him for nothing to/for him portion and inheritance with you
28 Mwishoni mwa kila mwaka wa tatu, leteni zaka zote za mazao ya miaka ile na uyahifadhi kwenye miji yenu,
from end three year to come out: send [obj] all tithe produce your in/on/with year [the] he/she/it and to rest in/on/with gate: town your
29 ili Walawi (ambao hawana mashamba wala urithi wao wenyewe) na wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenye miji yenu wapate kuja kula na kushiba, ili Bwana Mungu wenu apate kuwabariki ninyi katika kazi zote za mikono yenu.
and to come (in): come [the] Levi for nothing to/for him portion and inheritance with you and [the] sojourner and [the] orphan and [the] widow which in/on/with gate: town your and to eat and to satisfy because to bless you LORD God your in/on/with all deed: work hand your which to make: do

< Torati 14 >