< Torati 14 >
1 Ninyi ni watoto wa Bwana Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa,
Nangmouh teh, BAWIPA Cathut e ca lah na o awh. Kadoutnaw hanelah na tak na kâbouk mahoeh. Na mitmuen hai na ngaw mahoeh.
2 kwa maana ninyi ni taifa takatifu kwa Bwana Mungu wenu. Bwana amewachagua ninyi kuwa taifa la kipekee kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia, mwe tunu yake.
Nangmouh teh BAWIPA Cathut hanelah kathounge miphun lah na o awh. BAWIPA ni talai van dawk kaawm e miphun pueng hlakvah, ama ni tawn e miphun lah na o awh nahanelah nangmouh na rawi awh toe.
3 Msile kitu chochote ambacho ni machukizo.
Panuetkatho e na cat mahoeh.
4 Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi,
Na ca hane saringnaw teh, maito, tu, hmae,
5 kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani.
sakhi, sazuk, saya, atha, savi, kahrawngmaito, mon dawk e tu ti e
6 Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua.
khoksamen samka ni teh a thepkaai e pueng teh na ca thai awh.
7 Hata hivyo, miongoni mwa wale wanaocheua au wale walio na kwato zilizogawanyika kamwe msile ngamia, sungura na pelele. Iwapo wanacheua, lakini hawana kwato zilizogawanyika; ni najisi kwenu kwa taratibu za kiibada.
Hatei, a thepkaai niteh, a khoksamen ka samka e naw thung dawk na ca hoeh hane naw teh, kalauk, saveh, cahi, naw heh athepai eiteh, a khoksamen a samka hoeh dawkvah kakhin e lah ao.
8 Nguruwe pia ni najisi; ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui. Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.
Vok teh a khoksamen a samka eiteh, athepai hoeh dawkvah, nangmouh hanelah a khin. a moi na cat awh mahoeh. A ro hai na tek awh mahoeh.
9 Katika viumbe hai vyote viishivyo kwenye maji, mnaweza kula yeyote aliye na mapezi na magamba.
Tui dawk kaawm e naw thung dawk hetnaw heh na ca awh han. A pathuet hoi a lakep kaawm pueng na ca thai awh.
10 Lakini chochote kisicho na mapezi na magamba msile; kwenu ni najisi.
A pathuet hoi a lakep kaawm hoeh e pueng na cat awh mahoeh, nangmouh hanelah a khin.
11 Mnaweza kula ndege yeyote aliye safi.
Kathounge tava aphunphun na ca thai awh.
12 Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu,
Na ca hoeh hane tavanaw teh, langta, tuilangta, mataw,
13 kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,
masi, ungngang,
14 kunguru wa aina yoyote,
vonga,
15 mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote,
kalaukva, basairek, batuiling, pingpit,
16 bundi, mumbi, bundi mkubwa,
bukbu, kawhna, balengek,
18 korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
kahrawngcawmpai, bongpi,
19 Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.
a rathei a tawn ei, kâva e saring pueng teh nangmouh hanelah a thoung hoeh dawkvah, na cat awh mahoeh.
20 Lakini viumbe vyote vyenye mabawa vilivyo safi mwaweza kula.
Kathounge tava pueng na ca thai awh.
21 Msile kitu chochote mtakachokuta kimekufa. Mnaweza kumpa mgeni yeyote anayeishi katika mojawapo ya miji yenu, naye anaweza kula au mnaweza kumuuzia mtu wa nchi nyingine. Lakini ninyi ni watu watakatifu kwa Bwana Mungu wenu. Msitokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.
A mahmawk kadout e moi na cat mahoeh. Na tengonaw ni a ca hanelah na poe han. Hoehpawiteh, ramlouk e tami longkha thung kaawmnaw koe na yo han. Nangmouh teh nangmae BAWIPA Cathut hanelah kathounge miphun lah na o awh. Hmaeca hah a manu e sanutui hoi mek na thawng mahoeh.
22 Hakikisheni mmetenga sehemu ya kumi ya mazao yote ya mashamba yenu kila mwaka.
Kum tangkuem na law dawk hoi ka tâcawt e pueng pung hra pung touh na kapek awh han.
23 Mtakula zaka za nafaka yenu, divai mpya, mafuta na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na ya kondoo na mbuzi mbele za Bwana Mungu wenu pale mahali atakapopachagua kama maskani kwa ajili ya Jina lake, ili kwamba mpate kujifunza kumheshimu Bwana Mungu wenu daima.
Nangmae BAWIPA Cathut ni a min ao nahanelah a rawi e hmuen koe cakang, misurtui, satui hoi tuhu, maitohu naw dawk e camin pung hra pung touh hah a hmalah na ca awh han.
24 Lakini ikiwa mahali pale ni mbali sana nanyi mmebarikiwa na Bwana Mungu wenu na hamwezi kubeba zaka yenu (kwa sababu mahali pale Bwana atakapopachagua kuliweka Jina lake ni mbali sana),
Nangmae BAWIPA Cathut ni yawhawi na poe awh torei teh, a min ao nahanelah a rawi e hmuen teh, ekvoi ahla dawkvah, pung hra pung touh na phawt thai awh hoeh pawiteh,
25 basi badilisheni zaka yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha mwende nayo mahali Bwana Mungu wenu atakapopachagua.
hote hno hah na yo vaiteh, tangka na sin vaiteh, na BAWIPA Cathut ni a rawi e hmuen koe na cei vaiteh,
26 Tumieni hiyo fedha kununua chochote ukitakacho: ngʼombe, kondoo, divai au kinywaji chochote chenye chachu au chochote mnachotaka. Kisha ninyi na wa nyumbani mwenu mtaila mbele za Bwana Mungu wenu na kufurahi.
ca han na ngai e patetlah maito, tu, misurtui, yamu tie ca han na ngai e pueng hah na ran vaiteh, BAWIPA Cathut e hmalah, na imthung abuemlahoi na ca awh vaiteh, kanawm lah na o awh han.
27 Msiache kuwajali Walawi waishio katika miji yenu, kwa kuwa hao hawana shamba wala urithi wao wenyewe.
Hatei, nangmae longkha thung kaawm e Levih miphunnaw teh, a ham awm hoeh, râw hai ao hoeh dawkvah, na hnoun awh mahoeh.
28 Mwishoni mwa kila mwaka wa tatu, leteni zaka zote za mazao ya miaka ile na uyahifadhi kwenye miji yenu,
A kum thum dawk na hmu awh e pueng hah pung hra pung touh na tâcokhai awh vaiteh, khothung longkha vah na pâkueng awh han.
29 ili Walawi (ambao hawana mashamba wala urithi wao wenyewe) na wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenye miji yenu wapate kuja kula na kushiba, ili Bwana Mungu wenu apate kuwabariki ninyi katika kazi zote za mikono yenu.
Nangmouh koe kaawm e ham kaawm hoeh e, râw kaawm hoeh e Levihnaw koe kaawm van e Jentelnaw, naranaw, na longkha thung kaawm e lahmainaw a tho awh vaiteh, a ca awh han. Hottelah na sak pawiteh, nangmae BAWIPA Cathut ni na sak e pueng dawk yawhawi na poe awh han.