< Torati 14 >

1 Ninyi ni watoto wa Bwana Mungu wenu. Msijichanje ama kujinyoa upara kwenye paji la uso kwa ajili ya aliyekufa,
Dilia da Hina Gode Ea Fi dunu. Amaiba: le, dilia dunu bogobeba: le, didiga: sea, dilia da: i gobiheiga mae abigima amola dilia dialuma mae ougelema.
2 kwa maana ninyi ni taifa takatifu kwa Bwana Mungu wenu. Bwana amewachagua ninyi kuwa taifa la kipekee kutoka mataifa yote juu ya uso wa dunia, mwe tunu yake.
Dilia da Hina Gode Ea: dunu fi. E da dunu fifi asi gala amo huluane hodole, dilima fawane ilegei dagoi.
3 Msile kitu chochote ambacho ni machukizo.
Hina Gode da ha: i manu da ledo gala ilegei galea, amo mae moma.
4 Hawa ndio wanyama mtakaokula: ngʼombe, kondoo, mbuzi,
Ohe fi dilia manu da defea da bulamagau, sibi, goudi,
5 kulungu, paa, kongoni, paa mweupe, mbuzi-mwitu, pofu na kondoo wa mlimani.
dia, soge sibi, soge goudi, a:deloubi amola
6 Mnaweza kumla mnyama yeyote mwenye kwato zilizogawanyika mara mbili, pia yule anayecheua.
adi ohe fi ilia emo sasafo adobo amola ilia gisi hedesini esaga salawane aduga: le guda: le bu hi naha.
7 Hata hivyo, miongoni mwa wale wanaocheua au wale walio na kwato zilizogawanyika kamwe msile ngamia, sungura na pelele. Iwapo wanacheua, lakini hawana kwato zilizogawanyika; ni najisi kwenu kwa taratibu za kiibada.
Be ohe fi ilia emo da sasafo adobo, be ilia gisi hedesini esaga salawane aduga: le guda: le bu hi hame naha, amo da sema - mae moma. ‘Ga: mele’, ‘la: bidi’ amola ‘igi ba: dege’ da ledoba: le mae moma. Ilia ha: i manu da hedesini esaga salawane aduga: le guda: le bu hi naha, be ilia emo da sasafo adobo hame.
8 Nguruwe pia ni najisi; ingawa ana kwato zilizogawanyika, hacheui. Msile nyama yake wala kugusa mzoga wake.
Gebodafa mae moma. Ilia da ledo gala. Ilia da emo sasafo adobo gala be ilia ha: i manu da hedesini esaga salawane aduga: le guda: le bu hi naha hame hamosa. Agoaiwane ledo ohe fi amo mae moma amola ilia bogoi da: i hodo mae digili ba: ma.
9 Katika viumbe hai vyote viishivyo kwenye maji, mnaweza kula yeyote aliye na mapezi na magamba.
Menabo amo da aiya galebe, amo dilia manu da defea.
10 Lakini chochote kisicho na mapezi na magamba msile; kwenu ni najisi.
Be hano ganodini esalebe fi huluane da aiya hame gala amo mae moma. Amo da dilima ledo gala.
11 Mnaweza kula ndege yeyote aliye safi.
Ledo hamedei sio fi dilia manu da defea.
12 Lakini wafuatao msiwale: tai, furukombe, kipungu,
Be amo dedei sio mae moma - buhiba, sia, sedia, waialima sononi, wida, aowa ahea, ‘gala: ini’, ‘beliga: ne’ amola ganeba.
13 kengewa mwekundu, kengewa mweusi, mwewe wa aina yoyote,
14 kunguru wa aina yoyote,
15 mbuni, kiruka-njia, dudumizi, kipanga wa aina yoyote,
16 bundi, mumbi, bundi mkubwa,
17 mwari, nderi, mnandi,
18 korongo, koikoi wa aina yoyote, hudihudi na popo.
19 Wadudu wote warukao kwa makundi ni najisi kwenu, msiwale.
Amola agime, gugu, aowaba amola huluane agoaiwane liligi ougia galebe da dilima ledo gala. Amo huluane mae moma.
20 Lakini viumbe vyote vyenye mabawa vilivyo safi mwaweza kula.
Be ledo hamedei agoaiwane liligi dilia manu da defea.
21 Msile kitu chochote mtakachokuta kimekufa. Mnaweza kumpa mgeni yeyote anayeishi katika mojawapo ya miji yenu, naye anaweza kula au mnaweza kumuuzia mtu wa nchi nyingine. Lakini ninyi ni watu watakatifu kwa Bwana Mungu wenu. Msitokose mwana-mbuzi katika maziwa ya mama yake.
Ohe fi da hi bogoi, amo mae moma. Ga fi dunu dilia fi amo ganodini esala amo ilia manu da defea. O hou eno dilia da ohe hisu bogoi amo ga fi dunu eno ilima bidi lama. Be dilia da Hina Gode Ea fidafa. Amaiba: le, mae moma. Dilia sibi o goudi mano amo ea ame ea dodo maga: me ganodini mae gobema.”
22 Hakikisheni mmetenga sehemu ya kumi ya mazao yote ya mashamba yenu kila mwaka.
“Dilia ‘daide’ la: ididili ligisima. Amo da dilia ifabi ha: i manu legei nabuane fifili afadafa Godema ima.
23 Mtakula zaka za nafaka yenu, divai mpya, mafuta na wazaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na ya kondoo na mbuzi mbele za Bwana Mungu wenu pale mahali atakapopachagua kama maskani kwa ajili ya Jina lake, ili kwamba mpate kujifunza kumheshimu Bwana Mungu wenu daima.
Amasea, Hina Gode Ea dilia Ema nodomusa: ilegei sogebi afae amoga asili, Ea midadi dilia gagoma, waini, olife susuligi, bulamagau magobo amola sibi magobo amo nabuane fifili afae moma. Dilia eso huluane Hina Godema nodoma: ne hamoma.
24 Lakini ikiwa mahali pale ni mbali sana nanyi mmebarikiwa na Bwana Mungu wenu na hamwezi kubeba zaka yenu (kwa sababu mahali pale Bwana atakapopachagua kuliweka Jina lake ni mbali sana),
Be Godema nodomu sogebi da dilia diasu baligili sedade ba: sea, amola ‘daide’ amo Gode da dima hahawane i amo da amoga gaguli masunu da hamedei ba: sea, agoane hamoma.
25 basi badilisheni zaka yenu kuwa fedha, mkaichukue hiyo fedha mwende nayo mahali Bwana Mungu wenu atakapopachagua.
Dia ha: i manu ‘daide’ bidi lale, muni fawane Godema nodone sia: ne gadosu sogebi amoga gaguli masa.
26 Tumieni hiyo fedha kununua chochote ukitakacho: ngʼombe, kondoo, divai au kinywaji chochote chenye chachu au chochote mnachotaka. Kisha ninyi na wa nyumbani mwenu mtaila mbele za Bwana Mungu wenu na kufurahi.
Amogawi, amo muniga dilia hanai lama. Ohe hu, sibi mano, waini hano o agoai hano - amo lale, dilia Hina Gode ba: ma: ne, dilia amola dilia sosogo fi da hahawane moma: mu.
27 Msiache kuwajali Walawi waishio katika miji yenu, kwa kuwa hao hawana shamba wala urithi wao wenyewe.
Dilia Lifai dunu dilia moilai ganodini esala amo mae gogolema. Bai ilia da soge hame gagusa.
28 Mwishoni mwa kila mwaka wa tatu, leteni zaka zote za mazao ya miaka ile na uyahifadhi kwenye miji yenu,
Ode osodayale huluane gidigisia, dilia ha: i manu legei ‘daide’ amo gaguli misini dilia moilai amo ganodini legema.
29 ili Walawi (ambao hawana mashamba wala urithi wao wenyewe) na wageni, yatima na wajane wanaoishi kwenye miji yenu wapate kuja kula na kushiba, ili Bwana Mungu wenu apate kuwabariki ninyi katika kazi zote za mikono yenu.
Amo ha: i manu da Lifai (bai ilia da soge hame gagusa), ga fi, guluba: mano amola didalo dilia moilai ganodini esala amo moma: ne gilisima. Ilia da misini ilia hanaiga manu. Dilia da agoane hamosea, Hina Gode da dilia hawa: hamosu huluane hahawane dogolegelewane fidimu.

< Torati 14 >