< Torati 13 >
1 Kama nabii, au yule anayetabiri kwa njia ya ndoto, akijitokeza miongoni mwenu na akawatangazia ishara ya miujiza na ajabu,
Dilia da ba: mu! Ba: la: lusu dunu o simasia ba: i amo ea bai dawa: su dunu da musa: hame ba: su hou hamomu dilima olelesea,
2 ikiwa ishara au ajabu ya aliyozungumza ikatokea, naye akasema, “Na tufuate miungu mingine” (miungu ambayo hamjaifahamu) “na tuiabudu,”
e da dilia eno ogogosu ‘gode’ liligi dilia musa: hame dawa: i ilima nodone fa: no bobogema: ne e da dilima olelesea, amo dunu ea sia: mae nabima. Amola ea sia: i liligi da dafawane doaga: sea, mae nabima.
3 kamwe msiyasikilize maneno ya nabii wala mwota ndoto huyo. Bwana Mungu wenu anawajaribu kuangalia kama mnampenda kwa moyo wenu wote na kwa roho yenu yote.
Bai Hina Gode da ea ogogosu hou amoga dilia hou ado ba: lala. E da dilia dogo huluane amoma Godema asigima: bela: le ba: ma: ne Hina Gode da agoane ado ba: lala.
4 Ni Bwana Mungu wenu ambaye mnapaswa kumfuata tena ni yeye mnapaswa kumheshimu. Shikeni maagizo yake na kumtii, mtumikieni na kushikamana naye.
Hina Godema fa: no bobogema amola nodoma. Ea sema amola hamoma: ne sia: i nabima. Hina Gode mae fisima amola Ema nodoma.
5 Huyo nabii au mwota ndoto lazima auawe, kwa sababu amehubiri uasi dhidi ya Bwana Mungu wenu, ambaye aliwatoa kutoka nchi ya Misri na kuwakomboa kutoka nchi ya utumwa; amejaribu kuwageuza kutoka njia ambayo Bwana Mungu wenu aliwaagiza mfuate. Ni lazima mwondoe uovu miongoni mwenu.
Be simasia ba: i ea bai olelesu dunu o ba: la: lusu dunu da Hina Gode (amo da dilia Idibidi sogega gaga: i amola gadili masa: ne fadegai) amo yolesili Ema gegemusa: sia: sea, amo dunu fane legema. Bai agoai dunu da wadela: i. E da dilia esalusu Gode Ea sema amo ganodini amo yolesimusa: dilima olelesa. Amo wadela: i hou dilia fi amoga fadegamusa: , amo dunu medole legemu.
6 Kama ndugu yako hasa, au mwanao au binti yako, au mke umpendaye, au rafiki yako wa karibu sana akikushawishi kwa siri, akisema, “Na twende tukaabudu miungu mingine” (miungu ambayo ninyi wala baba zenu hamkuifahamu,
Amabela: ? Dia ola o dia gofe o didiwi o dia dima asigi uda, o dia na: iyadodafa da wamowane di ogogosu ‘gode’ liligi amo di amola dilia aowalali fi da musa: ilima hame sia: ne gadosu, amoma nodone sia: ne gadomusa: dima olelemu.
7 miungu ya watu wanaowazunguka, ikiwa karibu au mbali, kutoka mwisho mmoja wa nchi mpaka mwingine),
Amabela: ? Amo dunu afae da dilia dunu ilia dilima gadenene esala o dunu ilia sedadewane esala, amo ilia ogogosu ‘gode’ liligi ilima nodone sia: ne gadomusa: sia: mu.
8 usikubali wala usimsikilize. Usimhurumie! Usimwache wala usimkinge.
Be amo dunu ea sia: maedafa nabima. Amo dunuma mae asigima amola mae gaga: ma.
9 Hakika ni lazima auawe. Ni lazima mkono wako uwe wa kwanza katika kumuua kisha mikono ya watu wengine wote.
E medole legema. Di bisili e igiga gala: le medoma, amasea dunu huluane e medole legema: ne sia: ma.
10 Mpigeni kwa mawe mpaka afe, kwa sababu alijaribu kuwageuza mtoke kwa Bwana Mungu wenu ambaye aliwatoa Misri, kutoka nchi ya utumwa.
E bogoma: ne igiga gala: le medole legema. Bai e da dilia Hina Gode amo da dilia Idibidi soge ganodini se iasu diasu hawa: hamosu amo doasi dagoi, amoga e da fadegamusa: dawa: i galu.
11 Kisha Israeli wote watasikia na kuogopa, wala hakuna mmoja miongoni mwenu atakayefanya uovu tena.
Amasea, dilia amo wadela: i dunu medole legesea, Isala: ili fi dunu huluane da amo hou nabimu. Amasea, ilia da beda: iba: le, agoai wadela: i hou bu hame hamomu.
12 Kama mkisikia ikisemwa kwamba moja ya miji ambayo Bwana Mungu wenu anawapa mkae ndani yake
Dilia da diasu amo Hina Gode da dilima imunu, amo ganodini esalea,
13 kuna wanaume waovu wameinuka miongoni mwenu na wamewapotosha watu wa mji, wakisema, “Twendeni tukaabudu miungu mingine” (miungu ambayo hamkuifahamu),
dilia fi hamedei dunu eno da ogogole diasu afae fi dunu ilima ilia ogogosu ‘gode’ liligi musa: dilia hame dawa: i amoma fa: no bobogema: ne sia: i dagoi, amo nabasea,
14 ndipo itakubidi kuuliza, kupima na kuchunguza kwa makini. Kama ni kweli, tena ikihakikishwa kwamba jambo hili lichukizalo limefanyika miongoni mwenu,
bai noga: le hogoma. Amo sia: da dafawaneyale ba: sea,
15 kwa hakika ni lazima mwaue kwa upanga wale wote wanaoishi katika mji ule. Uharibuni kabisa, pamoja na watu wake na mifugo yake.
amo moilaiga esalebe dunu huluane amola ilia lai gebo huluane fane lelegema. Ilia moilai huluane mugululi gugunufinisima.
16 Kusanyeni nyara zote za mji katika uwanja wa wazi na kuuchoma mji kabisa pamoja na nyara zake zote kama sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana Mungu wenu. Utabaki kuwa magofu milele na hautajengwa tena.
Ilia liligi huluane moilai dogoa sogebi amoga gilisili, laluga ulagima. Amasea, diasu huluane Godema gobele salasu hamoma: ne laluga gobesima. Amo moilai da mugului dagoi dialumu - eso huluane dialu bu mae gaguma.
17 Hakuna kimoja kati ya vitu vilivyolaaniwa kitakachokutwa mikononi mwenu, ili Bwana ageuze hasira yake kali. Atawahurumia na kuwa na rehema kwenu pia kuongeza idadi yenu, kama alivyowaahidi baba zenu,
Gode da amoga gagabusu aligima: ne hamoi dagoiba: le, dilia amoga gagumusa: liligi maedafa lama. Amasea, Gode da ea gia: i bagade ougi yolesili bu dilima asigimu. E da dilima asigimu amola E da dilia aowalali ilima sia: i defele, dilia idi bu bagadewane hamomu.
18 kwa sababu mnamtii Bwana Mungu wenu, mkizishika amri zake zote zile ninazowapa leo na kufanya lile lililo jema machoni pake.
Dilia da Ea hamoma: ne sia: i huluane na dilima olelei, amo nabawane hamosea, E da agoane hamomu.