< Torati 12 >

1 Hizi ndizo amri na sheria ambazo ni lazima mwe waangalifu kuzifuata katika nchi ambayo Bwana, Mungu wa baba zenu, amewapa kumiliki, kwa muda wote mtakaoishi katika nchi.
Amo da Hina Gode Ea malasu. Dila da soge (dilia aowalalia Hina Gode da dili gesowale fima: ne dilima iaha) amo ganodini esalea, amo malasu amola hamoma: ne sia: i mae yolesili fa: no bobogema.
2 Haribuni kabisa kila mahali pao pa kuabudia kwenye milima mirefu, vilima na chini ya kila mti mkubwa ambamo mataifa haya mnayokwenda kuchukua ardhi yao huabudia miungu yao.
Dunu fi amo ilia soge dilia da lamu da ilia ogogosu ‘gode’ liligi amo goumia, eno agologa amola ifa hagudu amoga nodone sia: ne gadosa. Dilia amo sogebi huluane gugunufinisima.
3 Bomoeni madhabahu zao, vunjeni yale mawe wanayoabudu, chomeni moto nguzo zao za Ashera; katilieni mbali sanamu za miungu yao na mfute majina yao mahali hapo.
Ilia oloda huluane goudane gugunufinisima. Ilia sema igi amo goudama. Ilia A: sela ifa momomogoi amo laluga gobema. Ilia loboga hamoi ogogosu ‘gode’ liligi abusa: ma amola ilia ogogosu ‘gode’ ilia dio amo sogebi ganodini bu mae dawa: ma: ne gugunufinisima.
4 Kamwe msimwabudu Bwana Mungu wenu kama wanavyoabudu wao.
Dilia da dilia Hina Godema nodone sia: ne gadosea, ilia hou defele mae hamoma.
5 Bali mtatafuta mahali Bwana Mungu wenu atakapopachagua katika makabila yenu yote ili aliweke jina lake huko kuwa makao yake. Mahali hapo ndipo iwapasapo kwenda;
Be dilia Hina Gode da dilia fi huluane amo ganodini sogebi afae ilegemu. Amoga E da esalumu amola E da Ea Dio ilegemu. Amo sogebiga, dilia Hina Godema nodone sia: ne gadoma.
6 hapo ndipo mtakapoleta sadaka zenu za kuteketezwa na dhabihu, zaka zenu na changizo zenu, kile ulichoweka nadhiri kutoa, sadaka zenu za hiari na malimbuko ya makundi yenu ya ngʼombe pamoja na mbuzi na kondoo.
Amoga, dilia laluga gobei iasu, gobele salasu, ‘daide’ (dilia gagui liligi nabuane mogili, afae Godema imunu iasu liligi), dilia imunu ilegele sia: i liligi, dilia hahawane udigili iasu amola dilia ohe fi magobo mano amo huluane gaguli misa.
7 Hapo, katika uwepo wa Bwana Mungu wenu, ninyi pamoja na jamaa zenu, mtakula na kufurahia kila kitu ambacho mmegusa kwa mikono yenu, kwa sababu Bwana Mungu wenu amewabariki.
Hina Gode da dilima hahawane dogolegesu hou bagade i dagoi. Dilia amola dilia sosogo fi da E ba: ma: ne, ha: i manu noga: iwane dilia hawa: hamobeba: le lai amo manu.
8 Msifanye kama tunavyofanya hapa leo, kila mtu anavyopenda mwenyewe,
Amo esoha dilia musa: hou defele mae hamoma. Musa: asili wali dilia da nodone sia: ne gadosu hou dilisu hanaiga hamosu.
9 kwa kuwa bado hamjafikia mahali pa mapumziko na urithi ambao Bwana Mungu wenu anawapa.
Bai dilia da soge amo dilia Hina Gode da dilima dili olofoiwane esaloma: ne iaha amo ganodini hame golili sa: i.
10 Lakini mtavuka Yordani na kuishi katika nchi Bwana Mungu wenu anayowapa kama urithi, naye atawapa pumziko kutokana na adui zenu wote wanaowazunguka ili ninyi mpate kuishi kwa salama.
Dilia da Yodane Hano degesea, Hina Gode da dili amo soge gesowale fima: ne dili fidimu. E da dilima ha lai ilima dili gaga: mu amola dilia da olofoiwane esalumu.
11 Kisha kuhusu mahali Bwana Mungu wenu atakapopachagua kuwa mahali pa makao ya Jina lake, hapo ndipo inapowapasa kuleta kila kitu ninachowaamuru: sadaka zenu za kuteketezwa na dhabihu, zaka zenu na changizo, pamoja na vitu vyote vyenye thamani ambavyo mmeweka nadhiri kumtolea Bwana.
Hina Gode da sogebi afadafa amoga dilia da Ema nodosu hou hamoma: ne ilegemu. Amogawi na sia: i liligi huluane Ema gaguli misa. Amo da dilia gobele salasu liligi, dilia ‘daide’, hahawane udigili iasu amola noga: i iasu dilia da Godema imunusa: ilegele sia: i.
12 Hapo furahini mbele za Bwana Mungu wenu, ninyi, wana wenu na binti zenu, watumishi wenu wa kiume na wa kike, pamoja na Walawi kutoka miji yenu ambao hawana mgawo wala urithi wao wenyewe.
Dilia, dilia mano, dilia hawa: hamosu dunu amola Lifai dunu dilia moilai ganodini esala, amo huluane Gode hahawane ba: ma: ne, hahawane hamoma. Lifai dunu da ilisu soge hame gagubiba: le, ilima dawa: ma.
13 Kuweni waangalifu, msitoe dhabihu zenu za kuteketezwa mahali popote mnapopapenda.
Dilia gobele salasu amo udigili dilia hanaiga sogebi enoenoi amoga mae ima.
14 Mtazitoa tu mahali pale ambapo Bwana atachagua katika mojawapo ya makabila yenu, nanyi hapo zingatieni kila jambo ninalowaamuru.
Be sogebi afadafa Hina Gode Ea ilegei sogebi, dilia fi afae ilia soge ganodini amoga dilia gobele salasu ima. Amo sogebi dilia gobei iasu ima amola na hamoma: ne sia: i liligi huluane hamoma.
15 Hata hivyo, mnaweza kuwachinja wanyama wenu katika miji yenu yoyote ile na kula nyama nyingi mpendavyo kama vile mmemchinja paa au kulungu, kulingana na baraka mtakazojaliwa na Bwana Mungu wenu. Watu walio najisi au walio safi wanaweza kula.
Be dilia esalebe sogebi amo ganodini dilia ohe fi medole legele manu da defea. Hina Gode E dilima iasu defele manu da defea. Dilia huluane (ledo hamoi dunu amola ledo hame hamoi defele), huluane manu da defea. Amo hu dilia ‘dia’ o ‘a: deloubi’ medole legei defele moma.
16 Lakini kamwe usinywe damu; imwage juu ya ardhi kama maji.
Be ilia maga: me mae moma. Ilia maga: me amo dilia hano agoane osoboga sogadigima.
17 Hamruhusiwi kula katika miji yenu zaka yenu ya nafaka, ya divai mpya na ya mafuta, au mzaliwa wa kwanza wa makundi yenu ya ngʼombe na makundi yenu ya mbuzi na kondoo, wala chochote ambacho mmeweka nadhiri kukitoa, au sadaka zako za hiari, wala matoleo maalum.
Dilia Hina Godema iasu liligi amo huluane dilia esalebe sogebi amoga mae moma. Amo da dilia gagoma ‘daide’, waini, dilia olife susuligi, dilia bulamagau, sibi, magobo mano, dilia Godema hahawane udigili iasu sia: i amola iasu liligi eno huluane.
18 Badala yake, mtakula vitu hivyo katika uwepo wa Bwana Mungu wenu mahali ambapo Bwana Mungu wenu atapachagua: wewe, wana wako na binti zako, watumishi wako wa kiume na wa kike, na Walawi kutoka miji yenu. Mnatakiwa mfurahi mbele za Bwana Mungu wenu kwa kula kitu mtakachoweka mikono yenu.
Dilia, dilia mano, dilia hawa: hamosu dunu amola Lifai dunu dilia moilai ganodini esala, amo iasu liligi dilia Hina Gode ba: ma: ne Ea ilegei nodone sia: ne gadosu sogebi amo ganodini fawane moma. Amola dilia hamoi huluane dawa: beba: le, dilia amogawi hahawane ba: ma.
19 Mwe waangalifu msiwapuuze Walawi kwa muda wote mnaoishi katika nchi yenu.
Amola dilia soge amo ganodini esalea, Lifai dunu mae gogolema.
20 Bwana Mungu wenu atakapokuwa ameongeza nchi yenu kama alivyowaahidi, nanyi mkitamani nyama na mkisema, “Ningependa nyama,” hapo unaweza kula nyingi upendavyo.
Dilia Hina Gode da Ea sia: i defele dilia soge bu bagade hamosea, dilia ohe hu hanai galea defele moma.
21 Kama mahali ambapo Bwana Mungu wenu atapachagua kuweka Jina lake ni mbali sana kutoka kwenu, unaweza kuchinja wanyama kutoka makundi yenu ya ngʼombe, ya mbuzi na ya kondoo ambayo Bwana amewapa, kama nilivyokuamuru, na mkiwa katika miji yenu wenyewe mnaweza kula nyingi mtakavyo.
Be nodosu sogebi amo Hina Gode da ilegei, amo da dilia sogebi amoga sedade ba: sea, defea, bulamagau o sibi amo Hina Gode da dilima i, amo medole legele dilia diasuga manu da defea. Na da amo dilima sia: i dagoi.
22 Mle kama vile mngekula paa na kulungu. Wote walio najisi kiibada na walio safi mwaweza kula.
Dunu huluane, ledo gala o ledo hamedei, huluane manu da defea. Amo hu dilia ‘dia’ o ‘a: deloubi’ medole legei amo defele moma.
23 Lakini hakikisheni kwamba hamkunywa damu, kwa sababu damu ni uhai, kamwe msile uhai pamoja na nyama.
Be hu amo ganodini maga: me diala, amo mae moma. Bai esalusu da maga: me amo ganodini diala amola dilia esalusu amola hu gilisili manu da defea hame.
24 Hamruhusiwi kamwe kunywa damu; imwageni juu ya ardhi kama maji.
Dilia maga: me ha: i manu agoane mae moma. Be amo hano agoane osoboga sogadigima.
25 Msinywe damu, ili mweze kufanikiwa ninyi pamoja na watoto wenu baada yenu, kwa sababu mtakuwa mkifanya lililo haki machoni pa Bwana.
Dilia da amo hamoma: ne sia: i noga: le nabasea, dilia amola diligaga fi da hahawane ahoanumu amola Hina Gode da dilia hou hahawane ba: mu.
26 Lakini vichukueni vitu vyenu vilivyowekwa wakfu pamoja na vile mlivyoweka nadhiri, mwende mahali pale Bwana atakapopachagua.
Dilia Hina Godema imunu ilegele sia: i liligi amo huluane ilegei nodosu sogebi amoga gaguli masa.
27 Leteni sadaka zenu za kuteketezwa juu ya madhabahu ya Bwana Mungu wenu, vyote nyama na damu. Damu ya dhabihu zenu lazima imiminwe kando ya madhabahu ya Bwana Mungu wenu, lakini nyama mnaweza kula.
Amogawi gobele salasu liligi ima. Dilia amo liligi Hina Gode Ea oloda da: iya gogo gobele salima. Amola gobele salasu eno amo dilia ohe hu manu amola maga: me oloda da: iya sogadigimu amo amola ima.
28 Mwe waangalifu kutii masharti haya yote ninayowapa, ili kwamba siku zote mweze kufanikiwa, ninyi pamoja na watoto wenu baada yenu, kwa sababu mtakuwa mkifanya lililo jema na sahihi mbele za macho ya Bwana Mungu wenu.
Dilia mae yolesili, na hamoma: ne sia: i huluane noga: le nabawane hamoma. Amasea, dilia amola diligaga fi da hahawane esalumu. Bai Hina Gode da amo moloidafa hou hahawane ba: sa.
29 Bwana Mungu wenu atayakatilia mbali mbele yenu mataifa ambayo punde kidogo mtayavamia na kuyaondoa. Lakini mtakapokuwa mmeyafukuza na kuishi katika nchi yao,
Dilia da amo dunu fi ilia sogega golili dasea, dilia Hina Gode da amo fi huluane gugunufinisimu. Amasea, dilia amo sogega osobo dogone fimu.
30 na baada ya kuangamizwa mbele yenu, mwe waangalifu msijiingize katika tanzi kwa kuuliza habari za miungu yao, mkisema, “Je, mataifa haya hutumikiaje miungu yao? Nasi tutafanya vivyo hivyo.”
Hina Gode da amo dunu fi huluane gugunufinisi dagosea, dawa: ma! Dilia da bogosu ba: sa: besa: le, ilia sia: ne gadosu hou mae lalegaguma. Ilia ogogosu ‘gode’ ilima sia: ne gadosu hou amo dilia hamomusa: , mae hogoma.
31 Kamwe msimwabudu Bwana Mungu wenu kwa njia wanayoabudu miungu yao, kwa sababu katika kuabudu miungu yao, wanafanya aina zote za machukizo anayoyachukia Bwana. Hata huwateketeza wana wao na binti zao kwa moto kama kafara kwa miungu yao.
Dilia Hina Godema sia: ne gadosea amola nodosea, ilia hou defele mae hamoma. Bai ilia sia: ne gadosu amo ganodini ilia wadela: idafa hou (Gode da amo hou higasa) amo hamosa. Ilia hou afae da ilia da ilila: manolali oloda da: iya laluga gobele sala.
32 Angalieni kwamba mnafanya yote niliyowaamuru; msiongeze kitu wala msipunguze kitu.
Na sia: i huluane noga: le nabawane hamoma. Amoga hou eno mae gilisima amola amoga hou eno mae fadegale fasima.

< Torati 12 >