< Torati 1 >

1 Haya ni maneno Mose aliyoyasema kwa Israeli yote jangwani mashariki ya Yordani, ambayo iko Araba, inayokabiliana na Sufu, kati ya Parani na Tofeli, Labani, Haserothi na Dizahabu.
Amo buga ganodini da Mousese ea sia: dedei diala. Amo sia: e da Isala: ili dunu ilia da wadela: i soge Yodane Hano amoga gusu ganodini esalu ilima sia: i. Ilia da Yodane Hano sogebi dio amo Sufe amo ganodini esalu. (Sufe da dogoa dialu. La: idi da Balane hafoga: i soge galu, la: idi da Dofele moilai, La: ibane moilai, Ha: selode moilai amola Disahabe moilai.)
2 (Ni mwendo wa siku kumi na moja kutoka Horebu kwa njia ya Mlima Seiri mpaka Kadesh-Barnea.)
(Eso gidayale gala emoga ahoasea, dilia da Sainai goumi yolesili, Idome agolo soge amoga asili, Ga: idesie Bania amoga doaga: mu.)
3 Katika mwaka wa arobaini, siku ya kwanza ya mwezi wa kumi na moja, Mose aliwatangazia Waisraeli yale yote Bwana aliyomwamuru kuwahusu.
Isala: ili dunu da Idibidi yolesili ode 40 agoane wadela: i soge ganodini lalu. Eso age, oubi gida amola ode 40 amoga Mousese da Gode Ea olelei liligi huluane Isala: ili fi ilima olelei.
4 Hii ilikuwa baada ya kumshinda Sihoni mfalme wa Waamori, ambaye alitawala Heshboni, na pia huko Edrei alikuwa amemshinda Ogu mfalme wa Bashani, ambaye alitawala huko Ashtarothi.
Hina Gode da hina bagade Saihone (A: moulaide dunu ouligisu musa: Hesiabone moilai bai bagade ganodini esalu) amola hina bagade Oge (Ba: isane dunu ouligisu musa: da Asadalode amola Edelei, amo moilai ganodini esalu), amo fane legei dagoi. Amo fa: no Mousese da sia: olelei.
5 Huko mashariki ya Yordani katika nchi ya Moabu, Mose alianza kuielezea sheria hii, akisema:
Isala: ili dunu da Moua: be soge (Yodane Hano amoga gusu galu) amo ganodini esalu. Amo esoga Mousese da Gode Ea olelesu amola Ea Sema ilima muni olelesu.
6 Bwana Mungu wetu alisema nasi huko Horebu, “Mmekaa vya kutosha katika mlima huu.
E amane sia: i “Ninia da Sainai Goumia esaloba, Hina Gode da ninima amane sia: i, ‘Dilia da amo goumia esala helesa.
7 Vunjeni kambi, msonge mbele kuelekea nchi ya vilima ya Waamori; nendeni kwa watu wote ambao ni majirani wa Araba, katika milima, upande wa magharibi chini ya vilima, katika Negebu na kandokando ya pwani, mpaka nchi ya Wakanaani hadi Lebanoni, na kufika mto mkubwa Frati.
Dilia abula diasu mugululi, masa. Dilia A: moulaide dunu ilia agolo soge amola eno soge amo da amo sisiga: i amoga masa. Dilia Yodane Hano fago soge amola agolo soge amola gano soge amola Medidela: inia Wayabo Bagade bega: amoga masa. Ga: ina: ne soge baligili, asili Lebanone Goumi baligili, Iufala: idisi Hano bagade amoga doaga: ma.
8 Tazama, nimewapa ninyi nchi hii. Ingieni mkaimiliki nchi ambayo Bwana aliapa kuwa angaliwapa baba zenu, Abrahamu, Isaki na Yakobo, pamoja na vizazi vyao baada yao.”
Amo soge huluane Na, dilia Hina Gode, da dilia aowalali dunu amo A: ibalaha: me, Aisage, Ya: igobe amola iligaga fi ilima imunu sia: i. Dilia amo sogega fimusa: lala masa.’”
9 Wakati ule niliwaambia, “Ninyi mmekuwa mzigo mzito sana kwangu kuwachukua peke yangu.
Mousese da Isala: ili dunuma amane sia: i “Ninia da Sainai Goumiga esaloba na da dilima amane sia: i, ‘Nisu da dilima ouligisu amola hina esalumu da hamedei. Hawa: hamosu da bagadedafa.
10 Bwana Mungu wenu ameongeza hesabu yenu, hivi kwamba leo ninyi ni wengi kama nyota za angani.
Dilia Hina Gode da dilia fi bagade hamobeba: le, dilia idi da wali gasumuni muagado gala amo ilia idi defele ba: sa.
11 Naye Bwana, Mungu wa baba zenu na awaongeze mara elfu na kuwabariki kama alivyoahidi!
Hina Gode, dilia aowalalia Gode, Ea sia: i defele da dilia idi bu bagade hamone, afadafa da 1000 hamomu da defea, amola liligi bagade dilima imunu da defea.
12 Lakini mimi nitawezaje kubeba matatizo yenu, na mizigo yenu, na magomvi yenu peke yangu?
Be nisu da habodane dia sia: ga gegesu amola dioi bagade hou hahamoma: bela: ?
13 Chagueni baadhi ya watu wenye hekima, wenye ufahamu na wanaoheshimika kutoka kila kabila lenu, nami nitawaweka juu yenu.”
Amaiba: le, dilia fi hisu hisu dunu amo da bagade dawa: su dunu amoga ilegema. Amasea, amo dunu da dilima ouligisu amola hina esaloma: ne, na da ilegemu.’
14 Mlinijibu, “Shauri ulilolitoa ni zuri.”
Amo na da sia: i amola dilia da amo hou da noga: i sia: i dagoi.
15 Kwa hiyo niliwachukua wanaume viongozi wa makabila yenu, wenye hekima na wanaoheshimika, nami nikawateua wawe na mamlaka juu yenu kama majemadari wa maelfu, wa mamia, wa hamsini, na wa makumi, na kama maafisa wa makabila.
Amaiba: le, na da asigilai amola bagade dawa: su dunu, dilia fi hisu hisu amoga lale, dili ouligima: ne ilegei. Mogili da dunu 1000 ouligi, mogili da 100 ouligi, mogili da 50 ouligi amola mogili da 10 ouligi. Amola na da eno ouligisu dunu, dilia fi huluane ganodini ilegei.
16 Nami wakati ule nikawaagiza waamuzi wenu: Sikilizeni magomvi kati ya ndugu zenu na mwamue kwa haki, hata kama shauri ni kati ya ndugu wa Kiisraeli, au kati ya mmoja wa ndugu wa Kiisraeli na mgeni.
Amo esoga na da amo ouligisu dunuma amane sia: i, ‘Dilia fi amo ganodini sia: ga gegesu amola sia: eno heda: sea, dilia amo sia: noga: le nabima. Sia: huluane moloiwane fofada: ma. Isala: ili fidafa dunu amola ga fi dilia fi amo ganodini esalebe, amo huluane defele fofada: ma.
17 Msionyeshe upendeleo katika maamuzi; wasikilizeni wote sawasawa, wadogo kwa wakubwa. Msimwogope mtu yeyote, kwa kuwa hukumu ni ya Mungu. Mniletee mimi shauri lolote lililo gumu sana kwenu, nami nitalisikiliza.
Dunu hisu hisu ilima hisu hisuwane mae fofada: ma. Dunu huluanedafa ilima defele fofada: ma. Dunu huluane ilima mae beda: ma. Dilia fofada: su da dunuga hame hamoi, be Gode Hi fawane da amo fofada: su olelesa. Be sia: da baligili gasa bagade ba: sea, amo dilia nama fofada: musa: gaguli misa. Amasea, na da sia: mu.’
18 Nami wakati ule niliwaambia kila kitu ambacho mngefanya.
Amo esoga amola na da dilia hawa: hamosu eno dilima olelei dagoi.”
19 Kisha, kama Bwana Mungu wetu alivyotuamuru, tuliondoka kutoka Horebu na kwenda kuelekea nchi ya vilima ya Waamori, kupitia jangwa lile kubwa lote la kutisha, lile mliloliona, nasi tukafika Kadesh-Barnea.
Mousese da eno amane sia: i, “Ninia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele hamoi. Ninia da Sainai Goumi yolesili, wadela: i hafoga: i soge bagade amo baligili asili, A:moulaide agolo sogega asili, Ga: idesie Bania amoga doaga: i.
20 Kisha niliwaambia, “Mmefika katika nchi ya vilima ya Waamori, ambayo Bwana Mungu wetu anatupa.
21 Tazama, Bwana Mungu wenu amewapa nchi. Pandeni mkaimiliki kama Bwana, Mungu wa baba zenu, alivyowaambia. Msiogope, wala msikate tamaa.”
Amogawi na da dilima amane sia: i, ‘Dilia da wali A: moulaide dunu ilia agolo sogega doaga: i dagoi. Hina Gode, ninia aowalali ilia Gode, da amo soge ninima iaha. Ba: ma! Soge da goea. Gode Ea sia: defele, amo sogega fimusa: lala masa. Mae gigiluma amola mae beda: ma!”
22 Ndipo ninyi nyote mkanijia na kusema, “Tupeleke watu watutangulie kuipeleleza nchi kwa ajili yetu, na kutuletea taarifa kuhusu njia tutakayopita, na miji tutakayoiendea.”
Be dilia da nama misini amane sia: i, ‘Ninia da desega ahoasu dunu amo soge ba: ma: ne, ninima bisili masunusa: asunasimu da defea. Ilia da ninima masunu logo amola amo soge fi ilia hou, ninima olelema: mu.’
23 Wazo hilo lilionekana zuri kwangu; kwa hiyo niliwachagua watu wenu kumi na wawili, mwanaume mmoja kutoka kila kabila.
Amo hou na da hahawane ba: i. Amaiba: le, na da dilia fi fagoyale gala afae afae amoga dunu afae lale, huluane desega ahoasu dunu fagoyale gala ilelegei.
24 Waliondoka na kukwea katika nchi ya vilima, wakafika katika Bonde la Eshkoli na kuipeleleza.
Ilia da agolo sogega asili, hou hogolalu, Esegole Fago amoga doaga: i.
25 Wakachukua baadhi ya matunda ya nchi, wakatuletea na kutuarifu, “Ni nchi nzuri ambayo Bwana Mungu wetu anatupa.”
Amoga ilia ifa fage lale, ninima gaguli misi. Ilia da soge ea hou ninima olelei. Soge amo Hina Gode da ninima iaha amo da noga: idafa, ilia sia: i.
26 Lakini hamkuwa tayari kukwea, mkaasi dhidi ya amri ya Bwana Mungu wenu.
Be dilia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i amoga odoga: i dagoi. Dilia da amo soge ganodini golili sa: imu higa: i galu.
27 Mkanungʼunika ndani ya mahema yenu na kusema, “Bwana anatuchukia, kwa hiyo alitutoa Misri ili kututia mikononi mwa Waamori kutuangamiza.
Dilia da gilisili higale sia: dasu. Dilia da amane sia: i, ‘Hina Gode da nini higasa. E da nini amo A: moulaide dunu ilia nini medole legemusa: , Idibidi sogega fisili masa: ne ilima i.
28 Twende wapi? Ndugu zetu wametufanya kufa moyo. Wanasema, ‘Watu wa huko wana nguvu zaidi na ni warefu kuliko sisi tulivyo; miji ni mikubwa, yenye kuta zilizofika juu angani. Zaidi ya hayo, tumewaona Waanaki huko.’”
Ninia abuliba: le amo sogega masa: bela: ? Ninia da bagade beda: i. Ninia desega ahoasu asunasi amo da ninima agoane olelei: , amo soge dunu ilia sedade amola ilia gasa amola da ninia bagade baligisa. Ilia moilai gagoi da muagado heda: sa. Dunu baligili bagadedafa ilia da amo soge ganodini esalebe ba: i.’
29 Ndipo nikawaambia, “Msihofu, wala msiwaogope.
Be na da dilima amane sia: i, ‘Amo dunuba: le mae beda: ma.
30 Bwana Mungu wenu anayewatangulia, atawapigania, kama alivyofanya kwa ajili yenu huko Misri, mbele ya macho yenu hasa,
Hina Gode da dilima bisili masunu, E da dili fidili gegemu. E da Idibidi soge ganodini dili fidi amo defele fidimu.
31 na pia huko jangwani. Huko mliona jinsi Bwana Mungu wenu alivyowachukua, kama baba amchukuavyo mwanawe, katika njia yote mliyoiendea mpaka mkafika mahali hapa.”
Amola E da wadela: i hafoga: i soge amo ganodini dili fidi amo defele fidimu. E da mae yolesili eda da ea gofe ouga: ne oule ahoa, amo defele dili amo sogega doaga: musa: noga: le ouligi.’
32 Pamoja na hili, hamkumtegemea Bwana Mungu wenu,
Be dilia da na sia: mae nabawane, Hina Gode Ea hou dafawaneyale hame dawa: i.
33 ambaye aliwatangulia katika safari yenu, kwa moto usiku na kwa wingu mchana, kuwatafutia mahali penu pa kupiga kambi na kuwaonyesha njia mtakayoiendea.
E da eso huluane dilima bisili, dilia golamu sogebi olelesu. E da dilima logo olelemusa: gasia lalu sawa: agoai amo ganodini bisili asi amola esoga mu mobi agoai mogomogoi amo ganodini bisili asi. Be dilia da Ea hou dafawaneyale hame dawa: i.
34 Wakati Bwana aliposikia lile mlilosema, alikasirika, akaapa, akasema:
Hina Gode da dilia egane sia: nababeba: le, ougi ba: i. E da moloiwane amane sia: i,
35 “Hakuna mtu wa kizazi hiki kiovu atakayeona nchi nzuri niliyoapa kuwapa baba zenu,
‘Dunu afae amo wadela: i fi ganodini da amo soge noga: i Na da dilia aowalali ilima imunu sia: i, amo ganodini da hame masunu.
36 isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune. Yeye ataiona, nami nitampa yeye na wazao wake nchi aliyoikanyaga kwa miguu, kwa sababu alimfuata Bwana kwa moyo wote.”
Ga: ilebe (Yefane ea mano), hi fawane da golili sa: imu. E da Na hame yolesiba: le, Na da e amola ea mano, soge e da ba: i ilima imunu.’
37 Kwa sababu yenu Bwana pia alinikasirikia mimi, akasema, “Hutaingia hiyo nchi pia.
Amola dilia houba: le, Hina Gode da nama ougi galu. E nama amane sia: i, ‘Mousese! Di da amo soge ganodini hame masunu.
38 Lakini msaidizi wako, Yoshua mwana wa Nuni, ataingia. Mtie moyo, kwa sababu atawaongoza Waisraeli kuirithi hiyo nchi.
Be dia fidisu dunu Yosiua (Nane egefe) amo ea dogo denesima: ne di fidima. E da Isala: ili dunu amo soge lala masa: ne, bisili masunu.’
39 Wale watoto ambao mliwasema wangelichukuliwa mateka, yaani watoto wenu ambao bado hawajui jema na baya, wataingia katika nchi. Nitawapa hiyo nchi, nao wataimiliki.
Amalalu, Hina Gode da nini huluanema amane sia: i, ‘Dilia mano da hame asigilaiba: le, wadela: i hou amola hou noga: i afafamusa: hame dawa: Dilia da giadofale dilima ha lai dunu da dilia mano gasawane gagumu sia: i. Be ilia fawane da soge ganodini masunu. Na da amo soge ilima imunu amola ilia fawane da amo ganodini fimusa: masunu.
40 Bali ninyi geukeni, mwondoke kuelekea jangwani kwa kufuata njia ya Bahari ya Shamu.”
Be dilia! Dilia sinidigima! Dilia da hafoga: i wadela: i soge amoga masa. Maga: me Hano Wayabo Bagade ahoasu, amo logoga masa.’
41 Ndipo mkanijibu, “Tumemtenda Bwana dhambi. Tutakwenda kupigana, kama Bwana Mungu wetu alivyotuamuru.” Hivyo kila mmoja wenu akachukua silaha zake, huku mkifikiri kuwa ni rahisi kukwea katika nchi ya vilima.
Be dilia da nama amane sia: i ‘Dafawane! Ninia Godema wadela: le hamoi dagoi. Be wali ninia da Hina Gode Ea hamoma: ne sia: i defele doagala: musa: heda: mu. Amalalu, dunu huluane da ea gegesu liligi salawane, dilia da agolo sogega gegemusa: masunu da asaboi liligi dawa: i galu.
42 Lakini Bwana aliniambia, “Waambie, ‘Msipande kupigana, kwa sababu sitakuwa pamoja nanyi. Mtashindwa na adui zenu.’”
Amola Hina Gode da nama amane sia: i, ‘Isala: ili dunuma ilia da mae doagala: la masa: ne sia: ma. Bai Na amola da dili gilisili hame masunu. Dilima ha lai dunu da bu gegesea, dilia da se bagade nabasa: besa: le, mae masa: ne sia: ma.’
43 Hivyo niliwaambia, lakini hamkutaka kusikia. Mliasi dhidi ya amri ya Bwana, na katika kiburi chenu mlienda katika nchi ya vilima.
Amaiba: le, na da dilima sia: i dagoi. Be dilia da na sia: hame nabi amola Gode Ea hamoma: ne sia: i liligi nabimu higa: i galu. Dilisu hanaiga hidale agolo sogega heda: i.
44 Waamori ambao waliishi katika vilima hivyo waliinuka dhidi yenu, wakawafukuza kama kundi la nyuki wakiwapiga njia yote ya Seiri mpaka Horma.
Amalalu, A:moulaide dunu amo agolo soge ganodini esalu da dilima doagala: le, agime ilia hou defele dili sefasi. Ilia da Idome sogega dili fane legei amola dili sefasili, Homa moilai bai bagade amoga doaga: le fawane yolesi.
45 Mlirudi na kulia mbele za Bwana, lakini Mungu hakusikiliza kilio chenu, wala hakuwajali.
Amalalu, dilia da bu misini, Godema bagadewane dinanu. Be Gode da dilia disu hamedafa nabi.
46 Hivyo mlikaa Kadeshi kwa siku nyingi, kwa muda ule wote mliokaa huko.
Amalalu, ninia da Ga: idesie sogega eso bagohame esalu,

< Torati 1 >