< Danieli 8 >
1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Mfalme Belshaza, mimi Danieli, nilipata maono, baada ya maono ambayo yalikuwa yamenitokea mbeleni.
Ode udiana amoga Belesia: sa da Besia soge amoga hina bagade esalu, amo odega na da simasia eno ba: i.
2 Katika maono yangu, nilijiona nikiwa ndani ya ngome ya Shushani katika jimbo la Elamu. Katika maono nilikuwa kando ya Mto Ulai.
Amo simasi ganodini, na da moilai bai bagade afae ea dio amo Susa (amo da Ila: me soge ganodini dialu) amo ganodini esalebe ba: i. Na da hano amo ea dio Iulai amo ea bega: esalebe ba: i.
3 Nikatazama juu, na hapo mbele yangu kulikuwa na kondoo dume mwenye pembe mbili, akiwa amesimama kando ya mto, nazo pembe zake zilikuwa ndefu. Pembe moja ilikuwa ndefu kuliko hiyo nyingine, lakini iliendelea kukua baadaye.
Na sodolaloba, sibi gawali afae hano amo gadenene lelebe ba: i. E da hono aduna sedadedafa gala. Be hono afae ea sedade da eno ea defei baligi amola amo hono da gaheabolodafa ba: i.
4 Nikamtazama yule kondoo dume alivyokuwa akishambulia kuelekea magharibi, kaskazini na kusini. Hakuna mnyama yeyote aliyeweza kusimama dhidi yake, wala hakuna aliyeweza kuokoa kutoka nguvu zake. Alifanya kama atakavyo, naye akawa mkuu.
Na ba: laloba, sibi gawali da nimiwane haimanosa hamafelalebe ba: i. E da guma: goe amola ga (north) amola ga (south) amoga haimanosa hamafelalebe ba: i. E da gasa fi bagade ba: i. Eno ohe fi da ema gegemu amola ea logo hedofamu hamedei ba: i. Amola ea gasa fi heda: le, hisu hi hanaiga hamomusa: dawa: lalu.
5 Nilipokuwa ninatafakari hili, ghafula beberu mwenye pembe moja kubwa sana katikati ya macho yake alikuja kutoka magharibi, akiruka kasi juu ya dunia yote bila kugusa ardhi.
Na da amo hou ea bai bagade dadawa: laloba, goudi gebo gawali eno da hehenane eso dabe gudu fisili manebe ba: i. E da hedolodafa hehenabeba: le, ea emo da gado osoba gudu noga: le hame osa: i. Ea si amo dogoa da hono afae bagadedafa amo dialebe ba: i.
6 Alikuja akimwelekea yule kondoo dume mwenye pembe mbili niliyemwona akisimama kando ya mto, akamshambulia kwa hasira nyingi.
Amo goudi gawali da sibi gawali, amo na da hano bega: lelebe ba: i, amoma doagala: musa: , ha: giwane hehenai.
7 Nikamwona akimshambulia yule kondoo dume kwa hasira nyingi, akimpiga yule kondoo dume na kuvunja pembe zake mbili. Yule kondoo dume hakuwa na nguvu za kumzuia yule beberu, hivyo akamwangusha yule kondoo dume chini na kumkanyaga, wala hakuna aliyeweza kumwokoa yule kondoo dume kutoka nguvu za huyo beberu.
Na ba: loba, goudi gawali da sibi gawali amoma doagala: i. E da nimi bagadedafa. Gasa bagade gegebeba: le, e da sibi gawali amo ea hono aduna goudane fasi. Sibi gawali da gasa hameba: le, bu gegemu gogolei. Goudi amo ea gasaga, e da osoboga gisalugala: gudui ba: i. Amalalu goudi da ema bagade ososa: gi, amola enoga gaga: mu da hamedafa ba: i.
8 Yule beberu akawa mkubwa sana, lakini katika kilele cha nguvu zake ile pembe yake ndefu ilivunjika, na mahali pake pakaota pembe nne kubwa kuelekea pande nne za dunia.
Amalalu, goudi gawali ea gasa da heda: le, bagadedafa ba: i. Be ea gasa da baligili bagade heda: lalu, amo esoga, ea hono amo ea si dogoa sogebi dialu, amo fi dagoi ba: i. Be amo hono ea musa: sogebi amoga hono biyaduyale heda: lebe ba: i. Amo hono da hisu hisu sogiagai. Afae da eso mabadili, eno da eso dabadili, eno da gadili, eno da ganodini, agoane sogia gagai ba: i.
9 Kutoka mojawapo ya zile pembe nne palitokea pembe ndogo ukaongezeka nguvu kuelekea kusini, na kuelekea mashariki, na kuelekea Nchi ya Kupendeza.
Hono afae amoga eno gaheabolo hono da dulu heda: lebe ba: i. Amo hono ea gasa da ga (south) amola eso mabadili asi. E amola, soge amo Gode da Ea fi dunu ilima imunu ilegele sia: i, amo sogega hina bagade ba: i.
10 Pembe hiyo ikaendelea kukua hadi kufikia jeshi la mbinguni, nayo ikalitupa baadhi ya jeshi la vitu vya angani hapa chini duniani, na kulikanyaga.
Ea gasa da bagade heda: iba: le, e da fedege Hebene dadi gagui gilisisu (gasumuni gilisisu) ilima gegemusa: defele ba: i. E da gasumuni mogili fadegale osoboga galagale, ilima osa: gili gugunufinisi.
11 Pembe hiyo ikajikweza ili iwe kama Mkuu wa hilo jeshi; ikamwondolea dhabihu ya kila siku, napo mahali pake patakatifu pakashushwa chini.
Amola e da Hebene dadi gagui gilisisu amo ilia Hina Bagade Ema gegemusa: dawa: i galu. Hina Bagadema eso huluane gobele salasu hou, amo e da hedofai amola e da Debolo diasu gugunufinisi dagoi.
12 Kwa sababu ya uasi, jeshi la watakatifu na dhabihu za kila siku vikatiwa mikononi mwake. Ikafanikiwa katika kila kitu ilichofanya, nayo kweli ikatupwa chini.
Amalalu, Debolo diasu amoga dunu amola uda da gobele salasu houdafa amo fisili, ilia Debolo ganodini wadela: i hou fawane hamosu. Godema dafawaneyale dawa: su houdafa da yolesi dagoi ba: i. Amola gaheabolo hono da hi hanai hou amo hahawane didili hamonanu.
13 Kisha nikamsikia mtakatifu mmoja akizungumza na mtakatifu mwingine, akamwambia, “Je, itachukua muda gani maono haya yatimie: maono kuhusu dhabihu ya kila siku, uasi unaosababisha ukiwa, kutwaliwa kwa mahali patakatifu, na jeshi litakalokanyagwa chini ya nyayo?”
Amalalu, na nabaloba, a:igele dunu afae da eno a: igele dunuma amane adole ba: i, “Goe hou wadela: lesibi amo ninia wali ba: sa. Amo da adi esoga fisima: bela? Habowali seda eso huluane noga: i gobele salasu hou da fisili, ilia da wadela: i hou fawane hamoma: bela: ? Amola hono gaheabolo da Hebene dadi gagui gilisisu amola Debolo amoga osa: la heda: lala. Amo hou da adi esoga fisima: bela?”
14 Akaniambia, “Itachukua siku 2,300. Ndipo mahali patakatifu patawekwa wakfu tena.”
Amola na nabaloba, a:igele dunu eno da bu adole i, “Amo hou da daeya amola hahabe idi 2300agoane ba: lalumu. Amoga, hahabe amola daeya gobele salasu hou da hame ba: mu. Be amo eso da dagolalu, Debolo da bu gagui amola gobele salasu da bu hahawane hamonanebe ba: mu,” a: igele da eno a: igelema amane sia: i.
15 Mimi Danieli nilipokuwa ninaangalia maono na kujaribu kuelewa, mbele yangu alisimama mmoja aliyefanana na mwanadamu.
Na da amo simasi dadawa: lalu amola bai hogolaloba, na da hedolodafa na midadini dunu afae lelebe ba: i.
16 Kisha nikasikia sauti ya mwanadamu kutoka Mto Ulai ikiita, “Gabrieli, mwambie mtu huyu maana ya maono haya.”
Amola na nabaloba, sia: afae amo da Iulai hano na: iyadodili amoga manebe nabi, amane, “Ga: ibaliele! Amo dunuma di da ea simasi ba: i liligi ea bai ema olelema!”
17 Alipokuwa akikaribia pale nilipokuwa nimesimama, niliogopa, nikaanguka kifudifudi. Akaniambia, “Mwana wa mwanadamu, fahamu kuwa maono haya yanahusu siku za mwisho.”
Ga: ibaliele da nama misini, na afodili dafulili lelu. Na da bagade beda: iba: le, osobaga diasa: i. Ga: ibaliele da nama amane sia: i, “Osobo bagade dunu di! Na da simasi ea bai dima olelemu. Amo simasi da hobea soge wadela: mu eso doaga: lalu hamomu olelesa.”
18 Alipokuwa akinena nami, nilikuwa katika usingizi mzito, huku nimelala kifudifudi. Ndipo aliponigusa na kunisimamisha wima.
E da nama adolaloba, na da osobaga sidinasa: i dagoi. Be amomane e da na lobolele, bu wa: lesi.
19 Akaniambia, “Nitakuambia yale yatakayotokea baadaye wakati wa ghadhabu, kwa sababu maono haya yanahusu wakati wa mwisho ulioamriwa.
Amola e da amane sia: i, “Na da hobea misunu hou dima olelesa. Gode da wadela: i hou amoma ougiba: le, E da fofada: nanu, soge wadela: mu eso da doaga: mu. E da amo hou dima olelesa. Dia simasi ea ba: i da amo.
20 Kondoo dume mwenye pembe mbili ambaye ulimwona anawakilisha wafalme wa Umedi na Uajemi.
Sibi gawali hono aduna gala di ba: i, amo da fedege sia: , osobo bagade fi aduna ela hou olelesa. Amo fi ela dio da Midia amola Besia.
21 Yule beberu mwenye nywele nyingi ni mfalme wa Uyunani, nayo ile pembe ndefu katikati ya macho yake ni mfalme wa kwanza.
Goudi di ba: i amo da fedege Galigi fi olelesa. Hono bagade amo goudi ea si dogoa sogebi galu da Galigi hina bagade age.
22 Zile pembe nne zilizoota badala ya ile pembe iliyovunjika zinawakilisha falme nne ambazo zitatokea kutoka taifa lake, lakini hakuna hata mmoja utakaokuwa na nguvu kama ule uliovunjika.
Hono biyaduyale gala, amo da musa: hono goudane fadegaiba: le eno heda: i, amo ea dawaloma: ne da musa: fi da afafane fi biyaduyale bu hamomu. Be afafaeba: le, ilia gasa da musa: fi ea gasa amo defele hame be gudu agoane ba: mu.
23 “Katika sehemu ya mwisho ya utawala wao, wakati waasi watakapokuwa waovu kabisa, atainuka mfalme mwenye uso mkali, aliye stadi wa hila.
Amo fi biyaduyale da wadela: i hou bagadedafa hamomu. Ilia da Gode Ea fofada: su amola se imunu ba: mu agoai galebe. Amo eso da gadenesea, eno hina bagade da heda: mu. Ea hou da nimi bagade, gasa fi amola hohonosu ba: mu.
24 Atakuwa na nguvu nyingi, lakini si kwa uwezo wake mwenyewe. Atasababisha uharibifu wa kutisha, na atafanikiwa kwa chochote anachofanya. Atawaangamiza watu maarufu na watu watakatifu.
E da gasa bagade heda: mu. Be hisu ea gasaga hame heda: mu. E da liligi amola fi huluane hahawane gugunufinisimu amo ea wadela: i hawa: hamosu huluane didilisimu. E da gasa bagade dunu bagohame wadela: lesimu amola e da Gode Ea fidafa dunu gugunufinisimu.
25 Atasababisha udanganyifu ustawi, naye atajihesabu mwenyewe kuwa bora. Wakati wajisikiapo kuwa wako salama, atawaangamiza wengi, na kushindana na Mkuu wa wakuu. Lakini ataangamizwa, isipokuwa si kwa uwezo wa mwanadamu.
E da ogogosu hou amola hohonosu hou amo bagade dawa: beba: le, e da ogogosu bagade hahawane hamomu. E da hi hou bagadewane hidale gaguia gadomu. Amola dunu amola uda ilia da noga: le esalumu dawa: lalu, e da hedolodafa amo huluane wadela: lesimu. Amola e da Baligili Bagadedafa Hina Gode, Ema gegemusa: dawa: mu. Be osobo bagade dunu ilia gasaga hame, be Gode Ea gasaga, e da gugunufinisi dagoi ba: mu.
26 “Maono kuhusu jioni na asubuhi ambayo umepewa ni kweli, lakini yatie muhuri maono haya, kwa maana yanahusu wakati mrefu ujao.”
Amo simasi da daeya amola hahabe gobele salasu amoma hobea misunu hou olelesa, amo da dafawane ba: mu. Be wahadafa, amo hou mae adole, wamolegema. Bai amo hou da waha hame be fa: nodafa ba: mu!”
27 Mimi Danieli nilikuwa nimechoka sana, na nikalala nikiwa mgonjwa kwa siku kadhaa. Ndipo nikaamka, nikaenda kwenye shughuli za mfalme. Nilifadhaishwa na maono hayo, nami sikuweza kuyaelewa.
Na da amo sia: nababeba: le, da: i dioi galu. Amola eso mogili na da oloi galu. Amalalu, oloi da damunuba, na wa: legadole, bu hawa: hamosu amo hina bagade da nama ilegei, amo hamomusa: asi. Be na da simasi amo bu dadawa: lalu. Be amomane, amo ea bai na da noga: le hame dawa: i.