< Danieli 7 >

1 Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Belshaza mfalme wa Babeli, Danieli aliota ndoto, nayo maono yakapita mawazoni yake alipokuwa amelala kitandani mwake. Akayaandika mambo aliyoyaona katika ndoto yake.
Baabilyne paççahee Belyşassaree paççahiyvalla haa'ane ts'eppiyne sen, Daniyal g'alirxhumee, mang'uk'le sa nyak' g'ece. Mang'vee cun nyak' oyk'anan. Daniyalee cun nyak' inəxüd yuşan ha'a:
2 Danieli akasema: “Katika maono yangu usiku nilitazama, na hapo mbele yangu kulikuwepo na upepo kutoka pande nne za mbingu, ukivuruga bahari kuu.
– Zak'le xəmde nik'ek, xəybışde yoq'ne mıtsen xəbna deryah ı'ğviykar haa'a g'avcu.
3 Wanyama wanne wakubwa, kila mmoja tofauti na mwenzake, wakajitokeza kutoka bahari.
Deryaheençe sana-sançık idyakarna yoq'uble həyvan qığeevç'u.
4 “Mnyama wa kwanza alifanana na simba, naye alikuwa na mabawa kama ya tai. Nikatazama mpaka mabawa yake yalipongʼolewa, naye akainuliwa katika nchi, akasimama kwa miguu miwili kama mwanadamu, naye akapewa moyo wa binadamu.
Ts'eppiyna həyvan şirık akaraba vuxheeyib, mançiqa q'acırın xhinnen xılibıyiy. Zı ilyakkamee, mançin xılibı qodu, mana ç'iyele oza qav'u, insan xhinne g'elil ulyoozar hav'u. Mançis insanın xhinne ək'el huvu.
5 “Hapo mbele yangu kulikuwa na mnyama wa pili, ambaye alionekana kama dubu. Upande wake mmoja ulikuwa umeinuka, na alikuwa na mbavu tatu katika kinywa chake kati ya meno yake. Akaambiwa, ‘Amka, ule nyama mpaka ushibe!’
Qöb'esda həyvanmee, syoyukiy akar. Mana sa suraqqa axtıbayiy, mançine ghalene silibışde yı'q'neençeb xheyible barkviy k'yaqqı. Mançik'le eyhe ıxha: «Oza quvxha, avts'esınmeen çuru oxhne».
6 “Baada ya huyo, nilitazama, na mbele yangu kulikuwa na mnyama mwingine, aliyefanana na chui. Juu ya mgongo wake alikuwa na mabawa manne kama ya ndege. Mnyama huyu alikuwa na vichwa vinne, naye akapewa mamlaka ya kutawala.
Mançile qiyğa zak'le vaşaq'ık akarna sa həyvan g'avcu. Mançiqa yoq'uble vuk'uliy, mançine yı'q'əkıd şit'ençik akaran yoq'ulle xıliyiy. Mançine xılyaqa xəbna hökum quvu vuxha.
7 “Baada ya huyo, katika maono yangu usiku nilitazama, na mbele yangu kulikuwa na mnyama wa nne, mwenye kutisha na kuogofya, tena mwenye nguvu nyingi. Alikuwa na meno makubwa ya chuma; akapondaponda na kuangamiza wahanga wake, na kukanyaga chini ya nyayo zake chochote kilichosalia. Alikuwa tofauti na wanyama wote waliotangulia, naye alikuwa na pembe kumi.
Nekke qiyğa zak'le nik'ek xəmde g'avcuna sa curaynacab, geeb qəlana, geeb gucnana həyvaniy. Mançiqa ç'ak'ın yivayn silibıyiy. Mançe gırgın qodu otxhan, axuynıd g'elybışika k'öq'ə ıxha. Mana menne həyvanaaşik akarcab deşiy, sayıb mançiqa yits'ıble gaçiy.
8 “Wakati nilipokuwa ninafikiri kuhusu pembe hizo, mbele yangu kulikuwa na pembe nyingine, ambayo ni ndogo, iliyojitokeza miongoni mwa zile kumi; pembe tatu za mwanzoni zilingʼolewa ili kuipa nafasi hiyo ndogo. Pembe hii ilikuwa na macho kama ya mwanadamu, na mdomo ulionena kwa majivuno.
Zı gaçbışiqa ilyakkamee, sayıb manisa gaçbışde yı'q'neençe sa mebna k'ınna gaç ələə g'avcu. Mançis qığevç'esda ciga haa'asdemee, mançile ögil qığeevç'una xheyible gaç ulqopxu dağepçı vuxha. Mane k'ınne gaçıqa insanıqa xhinne ghaliy uleppıyiy. Mançine ghalin yic geed xədın kar xhinneyiy ıkkeka.
9 “Nilipoendelea kutazama, “viti vya enzi vikawekwa, naye Mzee wa Siku akaketi. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji; nywele za kichwa chake zilikuwa nyeupe kama sufu. Kiti chake cha enzi kilikuwa kinawaka kwa miali ya moto, nayo magurudumu yake yote yalikuwa yanawaka moto.
Zak'le qiyğa in g'acu: Maqa paççahaaşin taxtbı giyk'an, Avalacar Vorna qarı, mançine sançil giy'ar. Mang'une tanal nyak xhinne cagvaran karbıyiy, vuk'lelin ç'ərbıd xha xhinne cagvaradayiy. Mang'una paççahaaşina taxt ts'ayiniy alyapt'ı əə, Mang'une paççahaaşine taxtın tekarbıd ts'ayeeyiy.
10 Mto wa moto ulikuwa unatiririka, ukipita mbele yake. Maelfu elfu wakamhudumia; kumi elfu mara kumi elfu wakasimama mbele zake. Mahakama ikakaa kuhukumu, na vitabu vikafunguliwa.
Mang'une ögüyleb ts'ayına damayiy gyobatstse. Qəpqəs-ələpqəs devxhesdemeene insanaaşe Mang'vee uvhuynbıyiy ha'a. Gırgın man insanar Mang'une ögiyl ulyoozar. Kitabbı aaqa, məhkama giyğal.
11 “Kisha nikaendelea kutazama kwa sababu ya yale maneno ya majivuno yaliyosemwa na ile pembe. Nikaendelea kuangalia mpaka yule mnyama alipouawa, na mwili wake ukaharibiwa na kutupwa katika ule moto uliowaka.
Gaç ghal gyatsts'ı yuşan haa'amee, zı ilyakka k'ırıniy iliyxhe vod. Mana gaçnana həyvan yizde ulene ögil gyuvk'u, ts'ayeeqa dağepçı, gyooxhan hav'u.
12 (Wanyama wengine walikuwa wamevuliwa mamlaka yao, lakini waliruhusiwa kuishi kwa muda fulani.)
Manisa həyvanaaşin haakimiyyat xılençe g'ayşu, mançina ı'mı'r sabara gahıs xıliy qav'u.
13 “Katika maono yangu ya usiku nilitazama, na mbele yangu nikamwona anayefanana na mwanadamu, akija pamoja na mawingu ya mbinguni. Akamkaribia huyo Mzee wa Siku, na akaongozwa mbele zake.
Zak'le xəmde nik'ek, İnsanne Duxayk akarana xəybışeene buludbışika sacigee qöö g'acu. Mana Avalacar Vornang'une suralqa qöömee, ıkekkana Avalacar Vornang'usqa.
14 Akapewa mamlaka, utukufu na ufalme wenye nguvu; nao watu wa kabila zote, mataifa, na watu wa kila lugha wakamwabudu. Utawala wake ni utawala wa milele ambao hautapita, nao ufalme wake ni ule ambao kamwe hautaangamizwa.
Mang'us xədın doyiy haakimiyyat, paççahiyvallaniy huvu, gırgıne xalq'bışe, milletbışe, menne-menne mizyaaşil yuşan haa'anbışe Mang'us k'ılyvalla he'ecenva. Mang'un haakimiyyat ç'əvcad dexhen haakimiyyat vodun. Mang'una paççahiyvalla mısacab hığəəkaras deş.
15 “Mimi, Danieli, nilipata mahangaiko rohoni, nayo maono yale yaliyopita ndani ya mawazo yangu yalinisumbua.
Zı, Daniyal, hucoome ha'asda axuna, mane nik'ek g'acuyne karbışe zı qəq'ən hı'ı.
16 Nikamkaribia mmoja wa wale waliosimama pale na kumuuliza maana halisi ya haya yote. “Basi akaniambia na kunipa tafsiri ya vitu hivi:
Zı maa'ar ulyorzulinbışde sang'usqa qıxha, «İn gırgın hucoo eyheniyva?» – qidghın hı'iyn. Maane sang'vee man gırgın nen eyheniyva zak'le uvhuyn:
17 ‘Hao wanyama wanne wakubwa ni falme nne zitakazoinuka duniani.
– Mana yoq'uble xəbna həyvan, dyunyelyne aq'val vuxhesda yoq'uble paççahiyvalla vobna.
18 Lakini watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana watapokea ufalme na kuumiliki milele: naam, milele na milele.’
Qiyğa paççahiyvalla Haq'-Ta'aalayne muq'addasne insanaaşina vuxhes, gırgıne gahbışiscab manbışde xıle aaxvas.
19 “Kisha nilitaka kufahamu maana ya kweli ya mnyama yule wa nne, ambaye alikuwa tofauti na wale wengine wote, tena wa kutisha sana, na meno yake ya chuma na makucha ya shaba: mnyama ambaye alipondaponda na kuangamiza wahanga wake, na kukanyaga chochote kilichosalia.
Manke zı mang'uke, manisa həyvanaaşik idyakarne yivayn silibınane, yezan xhınt'arnane yoq'ub'esde həyvanne hək'ee qiyghın. Mana həyvan gırgın insanar qəvəq'ənaa'asda xhinnena həyvan vuxha. Mançin yivayne silibışikayiy yezane xhınt'aaşikayiy qıtt'axı'ı otxhan. Çike axuyn karıd g'elybışik avqa qı'ı k'öq'ə ıxha.
20 Pia mimi nilitaka kujua kuhusu zile pembe kumi juu ya kichwa chake, na pia kuhusu ile pembe nyingine iliyojitokeza, ambayo mbele yake zile tatu za mwanzoni zilianguka, ile pembe ambayo ilionekana kuvutia macho zaidi kuliko zile nyingine, na ambayo ilikuwa na macho na kinywa kilichonena kwa majivuno.
Zas ats'axhxhesniy ıkkan, mançine vuk'lelyna mana yits'ıble gaç nen eyhenniy vod. Sayid zas nekke qiyğa qığevç'uyne gaçıne hək'eeniy ats'axhxhes ıkkan. Mana qığevç'umee, mançine ögilyna xheyible gaç g'oo'oxhana. Mana, uleppınana, ghal gyatsts'ı yuşan haa'ana, mansane gaçbışile xəppa g'oocena gaçniy vob.
21 Nilipoendelea kutazama, pembe hii ilikuwa inapigana vita dhidi ya watakatifu na kuwashinda,
Zak'le, mana gaç muq'addasne insanaaşika sıç'ooka, manbışile ğamooxheniy g'ooce vob.
22 mpaka huyo Mzee wa Siku alipokuja na kutamka hukumu kwa kuwapa ushindi watakatifu wa Yeye Aliye Juu Sana, na wakati ukawadia walipoumiliki ufalme.
Sayır mane gahıl Avalacar Vorna qarı, Haq'-Ta'aalayne muq'addasne insanaaşine xayıreeqan cuvab uvhu. Qiyğab paççahiyvalla muq'addasaaşine xılyaqa ılğooç'ena gah qabı hipxhır.
23 “Alinipa maelezo haya: ‘Mnyama wa nne ni ufalme wa nne ambao utatokea duniani. Utakuwa tofauti na falme nyingine zote, nao utaharibu dunia nzima, ukiikanyaga chini na kuipondaponda.
Mang'vee zak'le inəxüd uvhu: «Yoq'ub'esda həyvan, ç'iyene aq'val vuxhesda yoq'ub'esda paççahiyvalla vobna. Mana manisançik akaraba vuxhes deş, mançin gırgın ç'iyeyn aq'vacad höğəsın, gırgın karıd k'öq'ü, haq'vara'asın.
24 Zile pembe kumi ni wafalme kumi watakaotokana na ufalme huu. Baada yao mfalme mwingine atainuka, ambaye atakuwa tofauti na wale waliotangulia, naye atawaangusha wafalme watatu.
Yits'ıble gaç, ine paççahiyvaleençe qığeç'esda yits'ıyre paççah vorna. Manbışile qiyğa, manbışik idyakarna sa merna paççah qığeç'u, mana xhebiyre paççah hığəkkar ha'asda.
25 Atanena maneno kinyume cha Yeye Aliye Juu Sana na kuwaonea watakatifu wake, huku akijaribu kubadili majira na sheria. Watakatifu watatiwa chini ya mamlaka yake kwa wakati, nyakati mbili, na nusu wakati.
Mang'vee Haq'-Ta'aalayk idvaak'ıyn cuvabbı eyhes, Mang'une muq'addasne insanaaşilqa yiğbı allya'as. Gırgın g'at'u, mang'us bayrambıyiy Q'aanun badal haa'as vukkiykanas. Muq'addasın insanar mang'usqa sa seniys, q'öne seniys, sura seniys qevles.
26 “‘Lakini mahakama itakaa kuhukumu, nayo mamlaka yake yataondolewa na kuangamizwa kabisa milele.
Qiyğaleme məhkama ixhes, mang'un haakimiyyatcad xılençe g'ayşu, vucur ot'al-oxal hı'ı, ak'ana'asda.
27 Ndipo ufalme, mamlaka na ukuu wa falme chini ya mbingu yote utakabidhiwa kwa watakatifu, watu wa Yeye Aliye Juu Sana. Ufalme wake utakuwa ufalme wa milele, nao watawala wote watamwabudu na kumtii yeye.’
Paççahiyvalla, haakimiyyat, ç'iyene aq'valyne gırgıne paççahiyvalybışda guccab Haq'-Ta'aalayne muq'addasne milletne xılyaqa qevles. Mana paççahiyvalla gırgıne gahbışisdacab paççahiyvalla vuxhes, gırgıne hökumdaraaşe Mang'us xidmat haa'as, Mang'vee eyhen ha'as».
28 “Huu ndio mwisho wa jambo lile. Mimi Danieli nilitaabika sana katika mawazo yangu, nao uso wangu ukabadilika, lakini nililiweka jambo hilo moyoni mwangu.”
İnçikab gaf ç'əvooxhena. Zı Daniyal, yizde fıkırbışilecar geer qərq'ı'n, aq'va hak xhinne qıxha. Man eyhenbımee, zı yik'el aqqıynbı.

< Danieli 7 >