< Danieli 5 >

1 Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na akanywa mvinyo pamoja nao.
Paççah Belyşassaree aazırne cune insanıs xədın otxhun-ulyodğiy hele, manbışika çaxır ulyoğa.
2 Wakati Belshaza alipokuwa akinywa mvinyo wake, aliamuru viletwe vile vikombe vya dhahabu na fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekaluni huko Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake waweze kuvinywea.
Belyşassaree çaxır ulyodğuyle qiyğa əmr haa'a, cune dekkee Navuxodonosoree İyerusalimeene Allahne xaançe qığı'iyn k'ınəəğəyniy nuk'rayn g'abbı cusqa alleva. Paççahıs, cune k'anebınbışika, cune yedaaşika, cune caariyebışika mançee çaxır ulyoğas ıkkiykan.
3 Kwa hiyo wakavileta vile vikombe vya dhahabu ambavyo vilikuwa vimechukuliwa kutoka Hekalu la Mungu huko Yerusalemu, naye mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake wakavinywea.
Manke maqa Allahne İyerusalimeene xaançe qığı'iyn k'ınəəğəyn g'abbı adayle. Paççahee vucee, cus k'anebınbışe, cune yedaaşe, cune caariyebışe mançee çaxır ulyoğa.
4 Walipokuwa wakinywa mvinyo, wakaisifu miungu ya dhahabu na fedha, ya shaba, chuma, miti na mawe.
Manbışe çaxır ulyoğa-ulyoğa k'ınəəğəyke, nuk'rayke, yezıke, yivayke, yiveke, g'ayeyke hav'uyn allahar axtı qaa'a vuxha.
5 Ghafula vidole vya mkono wa mwanadamu vilitokea na kuandika juu ya ukuta, karibu na kinara cha taa ndani ya jumba la mfalme. Mfalme akatazama kitanga kilivyokuwa kikiandika.
Mane gahıl maa'ad, insanne xılen t'ubar g'ece giyğal, paççahne sarayne xənne axtıne şamdamıs k'anene cabırıl, mane t'ubaaşe hucoomecad oyk'anan. Paççahık'le mane xılen oyk'anang'a, g'ece ıxha.
6 Uso wa mfalme ukageuka rangi, naye akaogopa sana, kiasi kwamba magoti yake yaligongana na miguu yake ikalegea.
Man g'acu, paççahne aq'vaylin rangcad ayk'an, mana mançile məxı'r qəyq'ən giyğal, q'aratsabı çiçıs qiyxhar, iykaras dəxə axva.
7 Mfalme akawaita wasihiri, wanajimu na waganga waletwe, naye akawaambia hawa wenye hekima wa Babeli, “Yeyote asomaye maandishi haya na kuniambia maana yake atavikwa nguo za zambarau, na kuvikwa mkufu wa dhahabu shingoni mwake, naye atafanywa mtawala wa cheo cha tatu katika ufalme.”
Paççahee it'umna ts'ir hav'u eyhen: – Cadu ha'anbı, Baabilin k'oran ək'elynanbı, falçer zasqa see'e! Abıyne Baabilyne k'orane ək'elynanbışik'le paççahee inəxüd eyhe: – Şavaayiy man otk'unin, nenvayiy uvhu mang'ulqa paççahaaşin karbı alya'as, gardanaqab k'ınəəğəyna tsep qaa'as, cuker paççahiyvalina xhebır'esda insan ha'as.
8 Ndipo watu wote wa mfalme wenye hekima wakaingia, lakini hawakuweza kusoma yale maandishi wala kumwambia mfalme maana yake.
Paççahın gırgın k'oran ək'elynanbı aqa ikkepç'eeyiyb, manbışisse man qətqəsıd əxə deş, paççahık'le maa nenvayiy otk'unva eyhesıd əxə deş.
9 Basi Mfalme Belshaza akazidi kujawa na hofu, na uso wake ukageuka rangi zaidi. Wakuu wake wakapigwa na bumbuazi.
Manke paççah sık'ırar geer qəyq'ən, aq'vad hak xhinne qexhe. Mang'us k'anebınbıb nyaqame vuxhesınbı aaxva.
10 Malkia aliposikia sauti za mfalme na wakuu wake, alikuja katika ukumbi wa karamu. Akasema, “Ee mfalme, uishi milele! Usishtuke! Usibadilike rangi kiasi hicho!
Kraliçayk'le paççahıniy cune k'anenbışin sesbı g'ayxhı mihmanarnane gozeeqa qiyeele. Kraliçee eyhen: – Paççah, geer qa'ana! Nişilecar qı'məyq'ən, hak xhinne qımexhe.
11 Yuko mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu mitakatifu ndani yake. Wakati wa baba yako, mtu huyo alionekana kuwa na ufahamu, akili na hekima kama ile ya miungu. Mfalme Nebukadneza baba yako, yaani nasema mfalme baba yako, alimweka kuwa mkuu wa waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi.
Yiğne paççahiyvalee, muq'addasne allahaaşin rı'hnana sa insan vor. Yiğne dekkıne gahıl, mana gırgın kar ats'anava, ək'elikanava, allahaaşina xhinne k'orana ək'elynanava qıvaats'a ıxha. Yiğne dekkee, paççah Navuxodonosoree, mana sehirbazaaşina, cadu ha'anbışda, Baabilyne k'orane ək'elynanbışda, falçeeşina xərna gixhxhı.
12 Mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza, alionekana kuwa na akili nyepesi, maarifa na ufahamu, pia uwezo wa kufasiri ndoto, kueleza mafumbo na kutatua matatizo magumu. Mwite Danieli, naye atakuambia maana ya haya maandishi.”
Mane insanın do Daniyalniy vod. Qiyğa paççahee mang'un do badal hı'ı, Belyteşassar ha'a. Mana k'orana ək'elynana, ats'alynana, geer ək'elikana, nyak'bı nen eyhenbıyiy eyhes əxəna, dağamne karbışde sirrılqa hixharas əxəna, alikkı-gikkiyke vuk'ul qığaahana insan ıxha. Eyhe, vasqa mana Daniyal qot'lecen, mang'veeyid vak'le maa'ad nenvayiy otk'un eyhesın.
13 Hivyo Danieli akaletwa mbele ya mfalme, naye mfalme akamuuliza, “Je, wewe ndiwe Danieli, mmoja wa watu wa uhamisho walioletwa na mfalme baba yangu kutoka Yuda?
Manke paççahısqa Daniyal ayra'a, paççahee mang'uke qiyghanan: – Yizde paççah dekkee, Yahudeençe ögilqa gyapq'ır qabıyne çühüt'yaaşina dişde Daniyal ğu vor?
14 Nimesikia kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na kwamba una ufahamu, akili na hekima ya pekee.
Zak'le yiğne hək'ee g'ayxhiyn, vaqa allahaaşin rı'h, nuraaniyvalla, ats'al, k'orana ək'el vobva.
15 Watu wenye hekima na wasihiri waliletwa mbele yangu ili kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, lakini hawakuweza kunifafanulia.
Zasqa k'oran ək'elynanbıyiy sehirbazar abı, maa'ad hucooyiy otk'unva qətqı' eyhesva. Man nen eyhenenva manbışisse zak'le eyhes əxı' deş.
16 Basi nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo magumu. Ikiwa unaweza kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwako, nawe utafanywa mtawala wa tatu katika ufalme.”
Yiğneme hək'ee zak'le g'ayxhiyn, ğu alikkı-gikkiyke vuk'ul yugba qığahava. Həşdemee vasse maa'ad otk'uniyn qətqı', maa'ad nenvayiy otk'un eyhes əxeene, yiğne tanalqa paççahaaşin karbı alya'as, gardanaqab k'ınəəğəyna tsep qaa'as. Yizde paççahiyvaleyir xhebır'esda insan ha'as.
17 Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa mtu mwingine zawadi zako. Hata hivyo, nitasoma maandishi kwa mfalme na kumwambia maana yake.
Daniyalee paççahık'le eyhen: – Ğu helesın paybı vascad ixhe, helesva eyhen mukaafatbıd maa sang'us hele. Maa'ad otk'uniynıd zıcad qətqı' vak'le eyhesın.
18 “Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Sana alimpa baba yako Nebukadneza utawala, ukuu, utukufu na fahari.
Paççah, Allah-Ta'aalee yiğne dekkıs Navuxodonosorus paççahiyvalla, xəbvalla, guc, qıvaatsıvallaniy huvu.
19 Kwa sababu ya nafasi ya juu aliyompa baba yako, kabila zote za watu, mataifa na watu wa kila lugha walimhofu na kumwogopa. Wale ambao mfalme alitaka kuwaua, aliwaua; wale aliotaka kuwaacha hai, aliwaacha hai; wale aliotaka kuwapandisha cheo, aliwapandisha; aliotaka kuwashusha, aliwashusha.
Allahee mang'us huvuyne xəbvalike gırgın xalq'bı, milletbı, menne-menne mizyaaşil yuşan haa'anbı mang'ule qəvəyq'ən vuxha. Manava uvhumee, manbışde caneeqa zeze ooxha vuxha. Paççahıs gyapt'as vukkananbı gyabat'a, g'avkkas vukkanbı g'ookka, axtı qaa'as vukkananbı axtı qaa'a, avqa qaa'asınbıb avqa qaa'a vuxha.
20 Lakini moyo wake ulipokuwa na majivuno na kuwa mgumu kwa kiburi, aliondolewa kutoka kwa kiti chake cha ufalme na kuvuliwa utukufu wake.
Mang'une yik'en zale ğayrı deşdava eyhemee, mang'vee q'ı't'y keççumee, mana paççahne taxtıle gyaqqana, xəbvallab xıleençe g'ooşena.
21 Akafukuzwa mbali na wanadamu na kupewa akili ya mnyama, akaishi pamoja na punda-mwitu, akala majani kama ngʼombe, nao mwili wake ukaloweshwa kwa umande wa mbingu, mpaka alipotambua kwamba Mungu Aliye Juu Sana ndiye mtawala juu ya falme za wanadamu na kwamba humtawaza juu yao yeyote amtakaye.
Mana insanaaşençer g'e'eşşena, mang'una ək'elib həyvanaaşina ək'el xhinnecab qooxhe. Mana əməleeşika axva ıxha, yatsın xhinneyib mang'vee ok' opxhan vuxha. Mang'un tanıd xəəne çiyin hoyğal ıxha. Allah Ta'aalee insanaaşin paççahiyvallabıd vuk'lek ıkkekkava qiyğa mang'ulqa hiyxhar. Mang'vee, Cus ıkkanar paççahiyvalina xərna ha'ana.
22 “Lakini wewe mwanawe, ee Belshaza, hukujinyenyekeza, ingawa ulifahamu haya yote.
Vak'lemee, mang'une duxayk'le Belyşassarık'le man gırgın ats'a ıxha. Ğumee, Allahne ögil k'ıl qıxhesde cigee,
23 Badala yake, umejiinua dhidi ya Bwana wa mbingu. Uliletewa vikombe vya Hekalu lake, nawe na wakuu wako, wake zako na masuria wako mlivitumia kwa kunywea mvinyo. Ukaisifu miungu ya fedha na dhahabu, ya shaba, chuma, miti na mawe, miungu ambayo haiwezi kuona, au kusikia wala kufahamu. Lakini hukumheshimu Mungu ambaye anaushikilia uhai wako na njia zako zote mkononi mwake.
ğucar ğu xəəne Xudavandayne ögil axtı qı'ı. Mang'une xaadın g'abbı vasqa allyı'ı ğunad, vas k'anebınbışed, yiğne yedaaşed, yiğne caariyebışed mançeençe çaxırbı ulyodğu. Ğu k'ınəəğəyke, nuk'rayke, yezake, yivayke, yiveke, g'ayeyke hav'une allahaaşilqa şukur hav'u. Mane allahaaşik'le g'iyxhed deş, g'eced deş, manbışik'le vuççudud ats'a deş. Vas nafas huvuna, ğu haa'ana gırgına işib vaats'ana Allah ğu axtıcar qı'ı deş.
24 Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika maneno.
Mançil-allad Mang'vee, xıl g'axuvu, man ok'anas alikkı.
25 “Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli na peresi
Cabırıl invaniy otk'un vod: MENE, MENE, TEKEL, PARSİN.
26 “Hii ndiyo maana ya maneno haya: “Mene: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.
Otk'uninçina mə'na ina vob: MENE (qətqəs) – Allahee ğu paççahnan yiğbı qətqı', manbı ç'əvı'iynbı.
27 Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.
TEKEL (gyoorkas) – ğu terezyugul gyoorku geer sibıkra qarı.
28 Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”
PARSİN (bit'al ha'as) – yiğna paççahiyvalla bit'al hav'u, Midiyabışisiy Farsbışis huvu.
29 Ndipo kwa amri ya Belshaza, Danieli akavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni, tena akatangazwa kuwa mtawala wa tatu katika ufalme.
Manke Belyşassarne əmrıka Daniyalılqa paççahaaşin tanalinbı alya'a, gardanaqa k'ınəəğəyna tsep qaa'a, mang'uke paççahiyvalina xhebır'esda insan hı'ıva ses adaççe.
30 Usiku ule ule, Belshaza mfalme wa Wakaldayo akauawa,
Manecar xəmde Baabilyna paççah Belyşassar g'ek'ana.
31 naye Dario Mmedi akashika ufalme akiwa na miaka sitini na miwili.
Mang'une cigee yixhts'ale q'ölle sennana Midiyabışikena Dara donana paççah eyxhe.

< Danieli 5 >