< Danieli 5 >

1 Mfalme Belshaza alifanya karamu kubwa kwa ajili ya maelfu ya wakuu wake na akanywa mvinyo pamoja nao.
Belesia: sa e da Ba: bilone amo ganodini hina bagade dunu esalu. E da lolo nasu bagade hamoi. E da ea lolo nasu amo ganodini ea ouligisu boboga amo 1000 agoane misa: ne wei. Amo gilisisu amo ganodini, ilia da waini hano manu.
2 Wakati Belshaza alipokuwa akinywa mvinyo wake, aliamuru viletwe vile vikombe vya dhahabu na fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka hekaluni huko Yerusalemu, ili mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake waweze kuvinywea.
Ilia da waini nananoba, Belesia: sa da ea hawa: hamosu dunuma ilia da hano dili nasu faigelei gouli amola silifa amoga hamoi, amo liligi ea eda Nebiuga: denese ea da musa: Gode Ea diasu Yelusalemega lai, amo gaguli misa: ne sia: i. Belesia: sa ea hanai da e amola ea dunu boboga, ea udadafa ilia amola ea gidisedagi uda ili hulu gilisili manusa: dawa: i.
3 Kwa hiyo wakavileta vile vikombe vya dhahabu ambavyo vilikuwa vimechukuliwa kutoka Hekalu la Mungu huko Yerusalemu, naye mfalme na wakuu wake, wake zake na masuria wake wakavinywea.
Hawa: hamosu dunu da faigelei amola ofodo gouliga hamoi amo huluane gaguli misini, ilia huluane da amo faigelei amoga waini mai.
4 Walipokuwa wakinywa mvinyo, wakaisifu miungu ya dhahabu na fedha, ya shaba, chuma, miti na mawe.
Ilia waini hano amo nanoba, ilia da ogogole ‘gode’ amo da gouli, silifa, balase, ifa amola igi amoga hamoi, amo loboga hamoi ogogosu ‘gode’ma nodosu.
5 Ghafula vidole vya mkono wa mwanadamu vilitokea na kuandika juu ya ukuta, karibu na kinara cha taa ndani ya jumba la mfalme. Mfalme akatazama kitanga kilivyokuwa kikiandika.
Amola hedolodafa dunu ea lobo fawane (dunu da: i hodo hame) amo da misini, hina bagade ea diasu dobea amoga sia: dedenenebe ba: i. Amola gamali la: ididi nebeba: le, Belesia: sa da amo dunu ea lobo amo noga: le ba: i.
6 Uso wa mfalme ukageuka rangi, naye akaogopa sana, kiasi kwamba magoti yake yaligongana na miguu yake ikalegea.
Belesia: sa da amo hou ba: beba: le bagadedafa beda: i. Amola ea odagi da afadenene haliga: i agoane ba: i. Amola ea muguni da bagadewane yagugui.
7 Mfalme akawaita wasihiri, wanajimu na waganga waletwe, naye akawaambia hawa wenye hekima wa Babeli, “Yeyote asomaye maandishi haya na kuniambia maana yake atavikwa nguo za zambarau, na kuvikwa mkufu wa dhahabu shingoni mwake, naye atafanywa mtawala wa cheo cha tatu katika ufalme.”
E da gasa bagade wele sia: i, “Ba: la: lusu dunu, gasumuni ba: su dunu amola fefedoasu dunu huluane misa: ne sia: ma.” Ilia da huluane gilisilalu, e da ilima amane sia: i, “Nowa da amo dedei ea bai nama adolalu, na da ema abula sesedado ouligisu dunu ilia salasu defele yoiyai imunu e sia: i. Amola sia: ine gouliga hahamoi ili asogoaga ligisisia, ea dio da bagade ba: mu. Amola e da Ba: bilone soge amo ganodini hina bagade osoda agoane ba: mu!”
8 Ndipo watu wote wa mfalme wenye hekima wakaingia, lakini hawakuweza kusoma yale maandishi wala kumwambia mfalme maana yake.
Amalalu, bagade dawa: su dunu huluane da misini be dedei amo ilia da idimu gogolei amola bai Belesia: sama olelemu hamedeiwane ba: i.
9 Basi Mfalme Belshaza akazidi kujawa na hofu, na uso wake ukageuka rangi zaidi. Wakuu wake wakapigwa na bumbuazi.
Amola hina bagade Belesia: sa da bagadedafa beda: i. Amola ea odagi afadenene, baligili haliga: i agoane ba: i. Amola bagade dawa: su dunu ilia da adi hamoma: bela: le bagadewane dawa: lalu.
10 Malkia aliposikia sauti za mfalme na wakuu wake, alikuja katika ukumbi wa karamu. Akasema, “Ee mfalme, uishi milele! Usishtuke! Usibadilike rangi kiasi hicho!
Belesia: sa eme da hina bagade amola bagade dawa: su dunu ilia wele sia: su nababeba: le, e da ha: i nasu seseiga fila asi. Amalalu, e amane sia: i, “Hina bagade! Di eso huluane esalalalumu da defea. Bagadewane mae fofogadigima amola amo liligi bagade mae dawa: ma.
11 Yuko mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu mitakatifu ndani yake. Wakati wa baba yako, mtu huyo alionekana kuwa na ufahamu, akili na hekima kama ile ya miungu. Mfalme Nebukadneza baba yako, yaani nasema mfalme baba yako, alimweka kuwa mkuu wa waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi.
Dunu afae da dia soge amo ganodini esala, amo ea dogo ganodini Gode Ea A: silibu da aligila sa: i dagoi. Amola dia ada da musa: hina bagade esaloba, amo eso galu, ea ba: lobada, amo dunu da ‘gode’ huluane ilia dawa: su noga: i amo defele dawa: i dagoi. Amaiba: le, dia ada Nebiuga: denese da amo dunu bagade dawa: su dunu fi amo ganodini bisilua hamoi dagoi.
12 Mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza, alionekana kuwa na akili nyepesi, maarifa na ufahamu, pia uwezo wa kufasiri ndoto, kueleza mafumbo na kutatua matatizo magumu. Mwite Danieli, naye atakuambia maana ya haya maandishi.”
Bai amo dunu da dawa: su enoenoia dawa: su galu. Amola e da simasi ea bai olelesu dawa: , amola e da wamolegei liligi huluane dawa: Amo dunu ea dio da Da: niele, be hina bagade Nebiuga: denese da ema dio eno asuli amo Beledesia: sa. Amaiba: le, Da: niele amo dedei liligi ea bai huluane dima olelema: ne, e da dima misa: ne sia: ma!”
13 Hivyo Danieli akaletwa mbele ya mfalme, naye mfalme akamuuliza, “Je, wewe ndiwe Danieli, mmoja wa watu wa uhamisho walioletwa na mfalme baba yangu kutoka Yuda?
Amalalu ilia da hedolowane Da: niele oule misini, e da ganodini golili sa: ili hina bagade dunu amola dafulili fi. Hina bagade da ema amane sia: i, “Di da Da: niele, amo musa: na ada Nebiuga: denese da Yuda sogega lale guiguda: oule misi. Di da amo dunula: ?
14 Nimesikia kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na kwamba una ufahamu, akili na hekima ya pekee.
Na amane nabi, Gode Ea A: silibu da dia dogo ganodini aligila sa: i dagoi, amola di da bagade dawa: su dunu.
15 Watu wenye hekima na wasihiri waliletwa mbele yangu ili kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, lakini hawakuweza kunifafanulia.
Na da bagade dawa: su dunu ili da amo dedei idima: ne amola ea bai nama olelema: ne ili mafia: ma: ne wei. Be ilia da amo idimu amola bai olelemu hamedei agoane ba: i.
16 Basi nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo magumu. Ikiwa unaweza kusoma maandishi haya na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni mwako, nawe utafanywa mtawala wa tatu katika ufalme.”
Be na amane nabi, di da wamolegei liligi huluane dawa: mu defele esala. Di da amo dedei ea bai nama adolalu, na da dima abula sesedado ouligisu dunu ilia salasu defele yoiyai imunu. Amola sia: ine gouliga hahamoi dia asogoaga ga: sisia, dia dio da bagade ba: mu. Amola di da Ba: bilone hina bagade soge amo ganodini eagene hina bagade amo bagia osoda agoane ba: mu.”
17 Ndipo Danieli akamjibu mfalme, “Waweza kubaki na zawadi zako mwenyewe na kumpa mtu mwingine zawadi zako. Hata hivyo, nitasoma maandishi kwa mfalme na kumwambia maana yake.
Da: niele da dabe amane sia: i, “Mae dawa: ma! Dia liligi imunu dawa: i galea disu lamu da defea o amo liligi dunu enoma ima. Be amo dedei na da dima idimu amola ea bai dima olelemu.
18 “Ee mfalme, Mungu Aliye Juu Sana alimpa baba yako Nebukadneza utawala, ukuu, utukufu na fahari.
Nabima! Gode Gadodafa esala amo Ea da musa: dia ada Nebiuga: denese amo gasa bagade amola hadigi hamoi dagoi.
19 Kwa sababu ya nafasi ya juu aliyompa baba yako, kabila zote za watu, mataifa na watu wa kila lugha walimhofu na kumwogopa. Wale ambao mfalme alitaka kuwaua, aliwaua; wale aliotaka kuwaacha hai, aliwaacha hai; wale aliotaka kuwapandisha cheo, aliwapandisha; aliotaka kuwashusha, aliwashusha.
E da gasa bagadedafa hamoi galu. Amaiba: le, fifi asi gala dunu amola uda huluane amola sia: hisu hisu huluane da ema bagadewane beda: i. E da dunu afae medole legemusa: dawa: lalu, e da amo dunu medole legei. E da dunu eno gaga: musa: dawa: lalu, amo dunu da esalebe ba: i. E da dunu afae ea dio gaguia gadoma: ne dawa: lalu, e da amanewane hamoi. Amola e da dunu afae banenesili osa: la heda: musa: dawa: lalu, e da amanewane hamoi.
20 Lakini moyo wake ulipokuwa na majivuno na kuwa mgumu kwa kiburi, aliondolewa kutoka kwa kiti chake cha ufalme na kuvuliwa utukufu wake.
Be dia ada ea hou da heda: le, e da gasa fi hou, hame asigi hou amola hame nabasu hou enoenoi amoga wadela: i hou hamosu. Amo hou Gode da ba: beba: le, E da ea hina bagade hou amola ea dio bagade huluane fadegale fasili, e da dafai dagoi.
21 Akafukuzwa mbali na wanadamu na kupewa akili ya mnyama, akaishi pamoja na punda-mwitu, akala majani kama ngʼombe, nao mwili wake ukaloweshwa kwa umande wa mbingu, mpaka alipotambua kwamba Mungu Aliye Juu Sana ndiye mtawala juu ya falme za wanadamu na kwamba humtawaza juu yao yeyote amtakaye.
E da dunu amola uda ilia gilisisu amoga sefasi dagoi ba: i. Amola e da asili ohe sogega e amola ohe da gilisili esalu. Amola e da bulamagau agoane gisi nanu. Amola e da hamega gadili golai amola oubi baea da e da: iya sa: i. E da amanewane ode fesuale esalu. Amalalu e da Gode Gadodafa amo da fifi asi gala ilima Hinadafa esalebe, amo e da dafawaneyale dawa: i. Amola E da Hina hou Hi hanaiga hamosa amola E da fi ouligisu hou eso enoga dunu afae amoga fadegalalu, Ea hanaiga eno dunu ilima (dunu bagade o fonobahadi Hi fawane dawa: ) ilima iaha, amo e da dawa: i galu.
22 “Lakini wewe mwanawe, ee Belshaza, hukujinyenyekeza, ingawa ulifahamu haya yote.
Di da Nebiuga: denese ea manoba: le, amo hou huluane dawa: le dagoi. Be di da gasa fi hamone amola dia hou da hame fonoboi ba: sa.
23 Badala yake, umejiinua dhidi ya Bwana wa mbingu. Uliletewa vikombe vya Hekalu lake, nawe na wakuu wako, wake zako na masuria wako mlivitumia kwa kunywea mvinyo. Ukaisifu miungu ya fedha na dhahabu, ya shaba, chuma, miti na mawe, miungu ambayo haiwezi kuona, au kusikia wala kufahamu. Lakini hukumheshimu Mungu ambaye anaushikilia uhai wako na njia zako zote mkononi mwake.
Be di da Gode Hebene amo ganodini esala, Ema hasalasimusa: dawa: i. Di da hano dili nasu faigelei gouli amola silifa amoga hamoi, amo liligi dia ada Nebiuga: denese ea da musa: Gode Ea diasu Yelusalemega lai, amo gaguli misa: ne sia: i. Amalalu di amola dia dunu boboga amola dia udadafa amola dia gidisedagi uda hulu gilisili amoga nasu. Amola dilia da waini hano amo nanoba, dilia da ogogole ‘gode’ amo da gouli, silifa, balase, ifa amola igi amoga hamoi, amo ogogosu ‘gode’, amo da hame naba, hame ba: sa amola hame dawa: sa, ilima dilia da nodosu. Godedafa da dilia esalusu logo amola dia bogosu logo amola hou huluanedafa ouesala. Be dilia da Ema hame nodosa amola Ea Dio hame gaguia gadosa.
24 Kwa hiyo ameutuma mkono ule ulioandika maneno.
Amaiba: le, Gode da amo sia: loboga dedema: ne asunasi dagoi.
25 “Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli na peresi
Goe sia: da agoane dedei diala amo, ‘Idi, idi, dioi defei, afafasu.’
26 “Hii ndiyo maana ya maneno haya: “Mene: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.
Amola goe sia: bai da agoane. ‘Idi’ amo ea bai da Gode da dia ouligisu eso idi dagoi. Amola wali dia hina bagade dagosu eso da doaga: i dagoi.
27 Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.
‘Dioi defei’ amo ea bai da Gode da dia dioi defei ba: i dagoi amola E da dia dioi defei da haga: i amola defele hame ba: i.
28 Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”
‘Afafasu’ amoea bai da Gode da dia ouligisu fi amola soge amo afafae dagoi. La: idi E da Midia fi ilima i dagoi. La: idi eno E da Besia fi ilima i dagoi.”
29 Ndipo kwa amri ya Belshaza, Danieli akavikwa nguo za zambarau na mkufu wa dhahabu shingoni, tena akatangazwa kuwa mtawala wa tatu katika ufalme.
Belesia: sa da amo sia: , nababeba: le, e da ea hawa: hamosu dunuma ilia da abula sesedado ouligisu dunu ilia salasu defele yoiyai Da: niele ema imunu sia: i. Amola sia: ine gouliga hahamoi ea asogoaga ga: sima: ne sia: i. Amola e da Ba: bilone soge amo ganodini Da: niele eagene hina bagade e bagia osoda agoane hamoi.
30 Usiku ule ule, Belshaza mfalme wa Wakaldayo akauawa,
Amo gasi amoga, Midia fi dunu da misini, Belesia: sa (Ba: bilone hina bagade galu) amo medole legei dagoi.
31 naye Dario Mmedi akashika ufalme akiwa na miaka sitini na miwili.
Amola Midia hina bagade dunu amo Da: liase, e Ba: bilone soge huluane lai dagoi. Amo esoga, Da: liase ea esalebe ode gidigi da62 galu.

< Danieli 5 >