< Danieli 4 >

1 Mfalme Nebukadneza, Kwa kabila za watu, mataifa na watu wa kila lugha, wanaoishi katika ulimwengu wote: Mafanikio yawe kwenu sana!
Hina bagade Nebiuga: denese da dunu fifi asi gala amola sia: hisu hisu amola dunu huluane osobo bagadega esalu ilima sia: sia: negai agoane, “Na da dilima asigi sia: sia: sa!
2 Ni furaha yangu kuwaambia kuhusu ishara za miujiza na maajabu ambayo Mungu Aliye Juu Sana amenifanyia.
Nabima! Gode Gadodafa da nama musa: hame ba: su amola dawa: digima: ne olelesu gasa bagade hou amo nama olelei dagoi. Amo hou na da dilima olelemu.
3 Ishara zake ni kuu aje, na maajabu yake yana nguvu aje! Ufalme wake ni ufalme wa milele; enzi yake hudumu kutoka kizazi hadi kizazi.
Gode Gadodafa Ea hou da noga: idafa. E da musa: hame ba: su amola dawa: digima: ne olelesu gasa bagade hou hamonana. E da Hina Bagade. Ea Hinadafa Hou da eso huluane mae fisili dialalalumu.
4 Mimi, Nebukadneza, nilikuwa nyumbani katika jumba langu la kifalme, nikiwa ninaishi kwa raha na hali ya kufanikiwa.
Na da Nebiuga: denese. Na da ni diasuga gebewane esalu. Na amola da na hawa: hamosu da defeadafa. Na da liligi bagade gaguiba: le, na da hahawane esalu.
5 Niliota ndoto iliyoniogopesha. Nilipokuwa nimelala kitandani mwangu, njozi na maono yaliyopita mawazoni mwangu vilinitisha.
Be gasi afadafaga na simasi amoga na da beda: i bagade galu.
6 Hivyo nikaagiza kwamba watu wote wenye hekima wa Babeli waletwe mbele yangu kunifasiria ndoto yangu.
Na da Ba: bilone amo ganodini bagade dawa: su dunu huluane amo simasi ea bai nama olelema: ne, nama misa: ne sia: i.
7 Walipokuja waganga, wasihiri, wanajimu na waaguzi, niliwaambia ndoto yangu, lakini hawakuweza kunifasiria.
Amaiba: le, bagade dawa: su dunu, ba: la: lusu dunu, nabi dunu, fefedoasu dunu amola gesami dasu dunu huluane ilia da nama oule misi. Na da na simasi amo ilima olelei. Be ilia da amo bai nama olelemu hamedei agoane ba: i.
8 Mwishoni, Danieli alikuja mbele yangu nikamweleza hiyo ndoto. (Danieli anaitwa Belteshaza, kwa jina la mungu wangu, nayo roho ya miungu mitakatifu inakaa ndani yake.)
Fa: no, Da: niele da misi. Na da ema dio eno asuli amo Beledesia: sa. Go da na ‘gode’ amo ea dio sia: sa. Gode Ea A: silibu da ea dogo ganodini sali dagoi ba: i. Amaiba: le, na simasi amo na da ema adole i. Na da ema amane adoi,
9 Nilisema, “Belteshaza, mkuu wa waganga, ninajua kuwa roho ya miungu mitakatifu iko ndani yako, wala hakuna siri iliyo ngumu kwako. Hii ndiyo ndoto yangu, nifasirie.
“Beledesia: sa! Di da bisili ba: la: lusu dunu. Hadigi Gode Ea A: silibu da dia dogo ganodini sali, amo na dawa: Di da wamolegei hou huluane dawa: Defea, wali na simasi hou nabima. Amola di da amo ea bai nama olelema.
10 Haya ndiyo maono niliyoona nilipokuwa nimelala kitandani mwangu: Nilitazama, na mbele yangu ulisimama mti katikati ya nchi. Ulikuwa mrefu sana.
Na da golai simasia agoane ba: i. Na ba: loba ifa sedade lelebe ba: i. E da osobo bagade dogoa amo ganodini lelu.
11 Mti ule ulikua, ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga; ulionekana mpaka miisho ya dunia.
Amo ifa da bagadedafa alele amola ea banuguma amo da heda: le muagadodafa amoga doaga: i ba: i. Amola osobo bagadega dunu fi ilia huluane sodosu.
12 Majani yake yalikuwa ya kupendeza, matunda yake yalikuwa mengi, na juu yake kulikuwa na chakula kwa ajili ya wote. Chini ya kivuli chake wanyama wa kondeni walipata hifadhi, na ndege wa angani waliishi katika matawi yake. Kila kiumbe kililishwa kutokana na mti huo.
Goe ifa da lubi huluanedafa da noga: idafa ba: i. Amola amo ea fage da bagohamedafa ba: i. Amola fage amo da osobo bagade dunu huluane nawene sadimu defele ba: i. Ohe sogega fi amo da misini ea ougiha helefisu. Amola sio fi da misini, ea amoda amoga bibisu amola liligi enoenoi ilia da misini, ea fage amo nasu.
13 “Katika maono niliyoyaona nikiwa nimelala kitandani mwangu, nilitazama, na mbele yangu alikuwepo mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni.
Na da amo simasi goe dadawa: laloba, amola ba: loba da a: igele dunu da Hebene amoga dalebe ba: i. Amo a: igele da liligi huluane ouligisu dawa:
14 Akaita kwa sauti kubwa: ‘Kateni mti huu, myafyeke matawi yake; yaondoeni majani yake na kuyatawanya matunda yake. Wanyama na wakimbie kutoka chini yake na ndege waondoke kutoka matawi yake.
E da gasa bagade wei amo nabi, ‘Goe ifa gelele sa: ima: ne abima! Amalalu ea amoda dadamuma! Amola ea lubi amola ea fage huluane gilifuli fasima. Amola ea ougiha ohe fi go sefasima. Amola sio ea amodaga fi gala sefasima.
15 Lakini acheni kisiki chake na mizizi, kikiwa kimefungwa kwa chuma na shaba, kibaki ardhini, kwenye majani ya kondeni. “‘Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, naye aachwe aishi pamoja na wanyama miongoni mwa mimea ya dunia.
Be ifa ea bai amo fawane yolesima. Amola amo ifa bai bulu agoai ouli amola balase amoga hamoi amoga idinigilisima. Amo ifa bai sogega gisi amola gilisili dialoma: ne yolesima. Amola oubi baea da amo dunuma sa: imu da defea. Amola e amola ohe fi gisiaga gilisili esaloma: mu.
16 Akili yake na ibadilishwe kutoka ile ya mwanadamu na apewe akili ya mnyama, mpaka nyakati saba zipite juu yake.
E da ea asigi dawa: su fisili, ode fesuale amoga ohe fi ilia asigi dawa: su defele da ea dogo ganodini dialumu.
17 “‘Uamuzi huu umetangazwa na walinzi, hukumu imetangazwa na watakatifu, ili walio hai wajue kuwa Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme zote za wanadamu, naye humpa yeyote amtakaye na kumtawaza juu yake hata yeye aliye mnyonge sana miongoni mwa wanadamu.’
A: igele dunu ilia da eso huluane mae golale liligi huluane ba: lala. Ilia da amo hou waha sia: i amo ilegei dagoi. Bai dunu fifi asi gala huluane Baligisu Gode da gasa gala amola E da dunu huluanedafa ilima Hina esala, amo ilia da dawa: mu da defea. E da hina hou Hi hanaiga hamosa amola E da fi ouligisu hou eso enoga dunu afae amoga fadegalalu, Ea hanaiga eno dunu ilima (dunu bagade o fonobahadi Hi fawane dawa: ) ilima iaha,’ a: igele da amane sia: i.
18 “Hii ndiyo ndoto niliyoipata mimi, Mfalme Nebukadneza. Sasa Belteshaza, niambie maana yake, kwa maana hakuna hata mmoja wa wenye hekima katika ufalme wangu anayeweza kunifasiria. Bali wewe waweza, kwa sababu roho ya miungu mitakatifu imo ndani yako.”
Na da amo simasia ba: i. Defea, wali Beledesia: sa, di da amo simasi bai amo nama adole ima. Na fada: i sia: su ouligisu dunu huluane da nama amo ea bai olelemu hamedeiwane ba: i. Be Gode Ea A: silibu da dia dogo ganodini aligila sa: i dagoiba: le, di da na simasia bai nama olelemusa: dawa: ,” Nebiuga: denese da amane sia: i.
19 Ndipo Danieli (aliyeitwa pia Belteshaza) alipofadhaika sana kwa muda, nayo mawazo yake yakamtia hofu. Basi mfalme akasema, “Belteshaza, usiruhusu ndoto wala maana yake kukutia hofu.” Belteshaza akamjibu, “Bwana wangu, laiti ndoto hii ingehusu adui zako, na maana yake iwahusu watesi wako!
Amo sia: nababeba: le, Da: niele (ea eno dio da Beledesia: sa) e da fofogadigili beda: iba: le, bu adole imunu gogolei. Be Nebiuga: denese da ema amane sia: i, “Di amo simasi amola ea bai nababeba: le, mae beda: ma!” Beledesia: sa da bu adole i, “Hina bagade! Goe simasi ea hou amola ea bai da dima ha lai dunu ilima doaga: mu da defea galu.
20 Mti uliouona, uliokua ukawa mkubwa na wenye nguvu, nayo ncha yake ikagusa anga na kuonekana duniani kote,
Dia ifa afae bagade ba: i. Amo ea banuguma da mu amoga doaga: idafa ba: i amola osobo bagade fi dunu huluane amo ba: i.
21 ukiwa na majani ya kupendeza na matunda mengi, ukitoa chakula kwa wote, na ukiwapa hifadhi wanyama wa kondeni na kuwa mahali pa viota katika matawi yake kwa ajili ya ndege wa angani.
Goe ifa da lubi huluanedafa da noga: idafa ba: i. Amola amo ea fage da bagohamedafa ba: i. Amola fage amo da osobo bagade dunu huluane nawane sadimu defele ba: i. Ohe sogega fi amo da misini ea ougiha helefisu. Amola sio fi da misini, ea amoda, amoga bibisu amola liligi enoenoi ilia da misini, ea fage amo nasu.
22 Ee mfalme, wewe ndiwe ule mti! Umekuwa mkubwa na mwenye nguvu, nao ukuu wako umekua mpaka kufika juu angani, nayo mamlaka yako yameenea mpaka miisho ya dunia.
Hina bagade! Amo ifa fedege da difawane. Dia gasa da bagade heda: iba: le, fedege agoane muagado doaga: i dagoi. Di da osobo bagade dunu huludafa ouligisa.
23 “Ee mfalme, wewe ulimwona mlinzi, aliye mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni na kusema, ‘Ukateni mti na kuuangamiza, lakini kiacheni kisiki kikiwa kimefungwa kwa chuma na kwa shaba, kwenye majani ya kondeni, wakati mizizi yake inabaki ardhini. Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, mwacheni aishi kama wanyama pori mpaka nyakati saba zipite juu yake.’
Dia simasi amo ganodini amane ba: i. Amola dia ba: i a: igele dunu da Hebene amoga dalebe ba: i. Amo a: igele da liligi huluane ouligisu dawa: E da gasa bagade wei agoane nabi, ‘Goe ifa gelele sa: ima: ne abima. Amalalu ea amoda amola dadamuma! Amola ea lubi amola ea fage huluane gilifuli fasima. Amola ea ougiha ohe fi go sefasima. Amola sio ea amodaga fi go sefasima. Be ifa ea bai amo fawane yolesima. Amola amo ifa bai bulu agoai ouli amola balase amoga hamoi amoga idiniginisima. Amo ifa bai sogega gisi amola gilisili dialoma: ne yolesima. Amola oubi baea da amo dunuma sa: imu da defea. Amola e amola ohe fi gisiaga esalumu da defea. E da ea asigi dawa: su fisili, ode fesuale amoga ohe fi ilia asigi dawa: su defele da ea dogo ganodini dialumu,’ a: igele da amane sia: i.
24 “Ee mfalme, hii ndiyo tafsiri, na hii ni amri ya Aliye Juu Sana aliyoitoa dhidi ya bwana wangu mfalme:
Hina bagade! Goe simasi ea bai da agoane. Gode Gadodafa da fa: no dima misunu hou olelei dagoi.
25 Wewe utafukuzwa mbali na wanadamu, nawe utaishi pamoja na wanyama pori; utakula manyasi kama ngʼombe, na kuloana kwa umande wa mbinguni. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.
Di da dunu amola uda ilia gilisisu amoga sefasi dagoi ba: mu. Amola di da asili ohe sogega di amola ohe fi da gilisili esalumu. Amola di da bulamagau agoane gisi nanumu. Amola di da hamega gadili golamu amola oubi baea da di da: iya sa: imu. Di da amanewane ode fesuale esalumu. Amalalu di da Gode Gadodafa amo da fifi asi gala ilima Hinadafa esalebe, amo di da dafawaneyale dawa: mu. Amola E da hina hou Hi hanaiga hamosa amola E da fi ouligisu hou eso enoga dunu afae amoga fadegalalu, Ea hanaiga eno dunu ilima (dunu bagade o fonobahadi Hi fawane dawa: ) ilima iaha, amo di da dawa: mu.
26 Amri ya kuacha kisiki pamoja na mizizi yake inamaanisha kwamba ufalme wako utarejezwa kwako utakapokubali kwamba Mbingu ndizo zitawalazo.
Dia da a: igele ea adobe amo nabi dagoi. E da ifa bai amo da osoba amoga: iwane dialumu sia: i. Amo bai da agoane. Di da Gode Hifawane da osobo bagade fifi asi gala amola liligi huluanedafa ouligisa, amo dafawaneyale dawa: lalu, defea, di da bu hina bagade dunu hamomu.
27 Kwa hiyo, ee mfalme, uwe radhi kupokea shauri langu: Acha dhambi zako kwa kutenda yaliyo haki, ukaache uovu wako, na uwe na huruma kwa walioonewa. Hivyo itawezekana baada ya hayo, mafanikio yako yakaendelea.”
Amaiba: le, hina bagade! Na dima adoi amo di nabima. Wadela: i hou amo fisima. Di da moloidafa hou fawane hamoma. Amola nowa dunu liligi hamedei galea dia fidima. Amalalu, dia da bagade gaguiwane wali dia gagui defele ba: mu,” Da: niele da amane sia: i.
28 Haya yote yalimpata Mfalme Nebukadneza.
Fa: no, amo hou huludafa da hina bagade Nebiuga: denese ema doaga: i.
29 Miezi kumi na miwili baadaye, mfalme alipokuwa akitembea juu ya paa la jumba la kifalme la Babeli,
Ode afae da gidigilalu, eso afaega e da asili diasu Ba: bilone ganodini amo ea gadodili fila ahoasu amoga ahoanoba,
30 alisema, “Je, huu si Babeli mji mkuu nilioujenga kama makao ya kifalme, kwa uwezo wangu mkubwa, na kwa ajili ya utukufu wa enzi yangu?”
e amane sia: i, “Ba: bilone moilai bai bagade da bagade amola bisili noga: idafa. Amo moilai bai bagade nisu na hadigi amola na gasa amola na baligisu hou amo dunu huluane ba: ma: ne amola nama nodoma: ne, nisu da gagui dagoi.”
31 Maneno hayo yalikuwa bado katika midomo yake wakati sauti ilipokuja kutoka mbinguni, ikisema, “Mfalme Nebukadneza, hiki ndicho kilichoamriwa kwa ajili yako: Mamlaka yako ya ufalme yameondolewa kutoka kwako.
Ea sia: ne gabe galu, Hebene amoga sia: afae misini amane nabi, “Hina bagade, Nebiuga: denese! Dia na sia: nabima! Gode da dia gasa bagade ouligisu hou amo dima fadegai dagoi.
32 Utafukuzwa mbali na wanadamu, ukaishi pamoja na wanyama pori, na utakula manyasi kama ngʼombe. Nyakati saba zitapita juu yako, mpaka utakapokubali kuwa Yeye Aliye Juu Sana ndiye anayetawala juu ya falme za wanadamu, naye humtawaza yeyote amtakaye.”
Di da dunu amola uda ilia gilisisu amoga sefasi dagoi ba: mu. Amola di da asili ohe sogega di amola ohe fi da gilisili esalumu. Amola di da bulamagau agoane gisi nanumu. Amola di da hamega gadili golamu amola oubi baea da di da: iya sa: imu. Di da amanewane ode fesuale esalumu. Amalalu di da Gode Gadodafa amo da fifi asi gala ilima Hinadafa esalebe, amo di da dafawaneyale dawa: mu. Amola E da Hina: hou Hi hanaiga hamosa amola E da fi ouligisu hou eso enoga dunu afae amoga fadegalalu, Ea hanaiga eno dunu ilima (dunu bagade o fonobahadi Hi fawane dawa: ) ilima iaha, amo di da dawa: mu!”
33 Papo hapo yale yaliyokuwa yamesemwa kuhusu Nebukadneza yakatimia. Alifukuzwa mbali na wanadamu, akala majani kama ngʼombe. Mwili wake uliloweshwa kwa umande wa mbinguni mpaka nywele zake zikakua kama manyoya ya tai na kucha zake kama makucha ya ndege.
Hedolodafa, a:igele ea sia: i defele, amo hou da doaga: i dagoi. Nebiuga: denese da dunu amola uda amo ilia gilisisu amoga sefasi dagoi ba: i. E da bulamagau agoane, gisi nanu. Oubi baea da ea da: i da: iya sa: i amola ea hinabo da sedagili buhiba ea hinabo defele ba: i amola ea ifi sewe go da ma: ni amo ea ifi agoai ba: i.
34 Mwisho wa huo wakati, mimi Nebukadneza, niliinua macho yangu kuelekea mbinguni, nazo fahamu zangu zikanirudia. Ndipo nikamsifu Yeye Aliye Juu Sana, nikamheshimu na kumhimidi yeye aishiye milele. Utawala wake ni utawala wa milele; ufalme wake hudumu kutoka kizazi na kizazi.
Nebiuga: denese da amane sia: i, “Amalalu, ode fesuale amo gidigili, na da mu amoga ba: le gadole, na asigi dawa: su da bu noga: i misi. Amanoba, na da Gode Gadodafa Ema nodoi. Na hahawane bagadeba: le, Ea hadigi Dio amo nodone gagui gadoi, amane, ‘Hina Gode Bagadedafa da eso huluane Hinawane ouligilalumu.
35 Mataifa yote ya dunia yanahesabiwa kuwa si kitu. Hufanya kama atakavyo kwa majeshi ya mbinguni, na kwa mataifa ya dunia. Hakuna anayeweza kuuzuia mkono wake au kumwambia, “Umefanya nini wewe?”
E da osobo bagade dunu huluane ouligisa. Amola E da Ea ouligibi amo da liligi fonobahadi agoane ba: sa. Amola E da a: igele fi dunu amola osobo bagade fi dunu huluane ouligisa. E da liligi afae hamomusa: sia: nanu dunu enoga Ea logo hame ga: mu. Amola ea sia: i amo da enoga hame gua: ne fasimu.’
36 Wakati huo huo fahamu zangu ziliponirudia, nikarudishiwa heshima yangu na fahari yangu kwa ajili ya utukufu wa ufalme wangu. Washauri wangu na wakuu wangu walikuja kunitafuta, nami nikarudishwa kwenye kiti changu cha ufalme hata nikawa mkuu kuliko mwanzoni.
Na doulasi fisi dagoi ba: loba, Gode da na musa: ouligisu hou amola na hadigi amola na gasa nama bu i. Na fidisu dunu amola na eagene dunu da na hahawane bu yosia: i. Amola na hadigi gasa bu lai da na musa: hadigi amo baligili ba: i.
37 Basi mimi, Nebukadneza, humhimidi, na humtukuza na kumsifu Mfalme wa mbinguni, kwa sababu kila kitu afanyacho ni haki, na njia zake zote ni adili. Nao waendao kwa kiburi anaweza kuwashusha.
Amaiba: le, wali, na Nebiuga: denese, na da hahawane bagade Gode Hebene amo ganodini esalebe amoma, na da Ea Dio gaguia gadosa. E da eso huluane moloidafa fawane hamosa. Amola E da nowa dunu hina: dio gaguia gadosa amola gasa fi hamosa, E da amo dunu bu fonobomusa: dawa: !”

< Danieli 4 >