< Danieli 3 >

1 Mfalme Nebukadneza alitengeneza sanamu ya dhahabu, yenye kimo cha dhiraa sitini, na upana wa dhiraa sita, akaisimamisha kwenye tambarare ya Dura katika jimbo la nchi ya Babeli.
Nebiuga: denese da sia: beba: le, ea ouligisu dunu da dununa amo gouliga hamone, Dula umi sogebi Ba: bilone soge bagade ganodini bugisi. Amo ea sedade defei da27mida amola ea ba: de defei da3mida agoane ba: i.
2 Kisha mfalme akaita wakuu, wasimamizi, watawala, washauri, watunza hazina, waamuzi, mahakimu na maafisa wengine wote wa jimbo kuja kuizindua sanamu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha.
Ilia amo ligisi dagolalu, Nebiuga: denese da eagene ouligisu dunu huluane gilisila misa: ne sia: i. Amola ouligisu dunu bisilua amola amo baligia aligisu da: i, dunu muni ouligisu, fofada: su dunu eno amola diasu fi eno, amo dunu huluane gilisi. Ilia da Nebiuga: denese ea dununa hamoi liligi bagade amo ilegemusa: gilisi.
3 Basi wakuu, wasimamizi, watawala, washauri, watunza hazina, waamuzi, mahakimu na maafisa wengine wa jimbo walikusanyika ili kuizindua sanamu ile Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha, nao wakasimama mbele ya hiyo sanamu.
Amola goe dunu bagade dawa: su amola eagene amola amo dunu ilia dununa hamoi amo modale ligiagamusa: , ea midadi aligi lelea,
4 Ndipo mpiga mbiu akatangaza kwa sauti kubwa, “Enyi watu wa kabila zote, mataifa na watu wa kila lugha, hili ndilo mnaloamriwa kulifanya:
sisia: su dunu afae da ha: giwane amane wei, “Dilia fifi asi gala dunu huluane amola sia: hisu hisu dunu amola dunu amola uda huluane noga: le nabima!
5 Mara mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za sauti za ala za uimbaji, lazima mwanguke chini na kuabudu sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza ameisimamisha.
Dilia da dalabede dubi nabimu. Amalalu, dilia da gesami hea: lalu dusu liligi bagohame amola amo dubi nabimu. Amo dilia nabalu, defea, dilia beguduli, amo dununa hamoi Nebiuga: denese ea bugi, amoma nodone sia: ne gadoma.
6 Mtu yeyote ambaye hataanguka chini na kuiabudu sanamu hiyo, atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto.”
Nowa da amoma hame sia: ne gadosea, dadi gagui da amo dunu hedolodafa lale, lalu bubugi sawa: bagade amo ganodini galadigimu!”
7 Kwa hiyo, mara waliposikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinanda na aina zote za ala za uimbaji, watu wa kabila zote, mataifa na watu wa kila lugha wakaanguka chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu ambayo Mfalme Nebukadneza alikuwa ameisimamisha.
Amaiba: le, fifi asi gala dunu amola sia: hisu hisu dunu huluane da gesami hea: sa dusu liligi amo ea ga: lalabolalu, ilia da beguduli, amo dununa hamoi Nebiuga: denese ea bugi, amoma ilia da sia: ne gadoi.
8 Wakati huo baadhi ya Wakaldayo walijitokeza na kuwashtaki Wayahudi.
Amogalu, Ba: bilone dunu mogili amo da Yu dunu higasu, ilia da Yu dunuma diliwaneya udidima: ne logo doasi dagoi ba: i.
9 Wakamwambia Mfalme Nebukadneza, “Ee mfalme, uishi milele!
Ilia da hina bagade Nebiuga: denesema amane sia: i, “Hina bagade! Di da eso huluane mae bogole fifi ahoanumu da defea!”
10 Ee mfalme, umetoa amri kwamba kila mmoja atakayesikia sauti ya baragumu, filimbi, kinubi, zeze, kinanda, zumari na aina zote za ala za uimbaji lazima aanguke chini na kuiabudu ile sanamu ya dhahabu,
“Hina bagade dia sema ligi amo da amane sia: i. Gesami hea: lalu liligi ga: nabalalu, dunu huluane da dununa dia loboga gouliga hamone bugi amoma beguduli sia: ne gadoma: ne sia: i dagoi galu.
11 na kwamba yeyote ambaye hataanguka chini na kuiabudu atatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto.
Be nowa dunu da amoga hame beguduli sia: ne gadolalea, dia dadi gagui da amo dunu lale, lalu bubugi sawa: bagade amo ganodini galagamu sia: i galu.
12 Lakini wako baadhi ya Wayahudi ambao umewaweka juu ya mambo ya jimbo la Babeli: yaani, Shadraki, Meshaki na Abednego, ambao hawakujali wewe, ee mfalme. Hawaitumikii miungu yako wala kuiabudu ile sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”
Be Yuda dunu udiana amo ilia da Ba: bilone soge ouligima: ne di sia: i. Ilia dio da Sia: dala: ge, Misia: ge amola Abedenigou. Amola ilia da dia hamoma: ne sia: i amo hame nabi. Ilia da dia ‘gode’ ema hame sia: ne gadosa, amola dununa dia hamoi amoma ilia hame beguduli sia: ne gadoi!”
13 Mfalme Nebukadneza, akiwa amekasirika na mwenye ghadhabu kali, akawaita Shadraki, Meshaki na Abednego. Hivyo watu hawa wakaletwa mbele ya mfalme,
Hina bagade da amo sia: nababeba: le, ougi bagadedafa ba: i. E amane sia: i, “Amo dunu udiana nama oule misa!”
14 naye Nebukadneza akawauliza, “Je, ni kweli kwamba ninyi Shadraki, Meshaki na Abednego hamuitumikii miungu yangu wala kuiabudu sanamu ya dhahabu niliyoisimamisha?
Ilia da hina bagadema misini doaga: loba, e da ilima amane adole ba: i,” Sia: dala: ge, Misia: ge amola Abedenigou! Dilia da na ‘gode’ amola na dununa hamoi amoma dilia da sia: ne gadomusa: higasa na da nabi. Amo ilia da sia: dalebe da dafawanela: ?
15 Basi wakati mtakaposikia sauti ya baragumu, filimbi, marimba, zeze, kinubi, zumari na aina zote za ala za uimbaji, kama mtakuwa tayari kusujudu na kuiabudu hiyo sanamu niliyoitengeneza, vyema sana. Lakini kama hamtaiabudu, mtatupwa saa iyo hiyo ndani ya tanuru iwakayo moto. Naye ni mungu yupi atakayeweza kuwaokoa ninyi, kutoka mkono wangu?”
Be wali dilia da gesami hea: lalu liligi amo ilia ga: eno nabalalu, dilia beguduli amola dununa hamoi amoma nodone sia: ne gadoma. Be dilia na sia: hame nabasea, dadi gagui da dili lale, lalu bubugi sawa: bagade amo ganodini galadimu. Amola nowa ‘gode’ da dili laluga mae nema: ne fidima: bela: ?” Nebiuga: denese da amane sia: i.
16 Shadraki, Meshaki na Abednego wakamjibu mfalme, “Ee Nebukadneza, hatuhitaji kujitetea mbele zako kuhusu jambo hili.
Sia: dala: ge, Misia: ge amola Abedenigou da amane sia: i, “Hina bagade! Ninisu da ninia hou hame gaga: mu. Dia ninima adi liligi hamomusa: dawa: sea hamoma.
17 Ikiwa tutatupwa ndani ya tanuru iwakayo moto, Mungu tunayemtumikia anaweza kutuokoa na moto, naye atatuokoa kutoka mkononi mwako, ee mfalme.
Ninia da Godedafa Ema hawa: hamosa. E da nini lalu bubugi sawa: bagade amola dia gasa amoga gaga: musa: defele esala. E da amo hamomusa: dawa: sea, E da amo hamomu.
18 Lakini hata ikiwa hatatuokoa, ee mfalme, tunataka ufahamu kwamba, hatutaitumikia miungu yako wala kuiabudu sanamu ya dhahabu uliyoisimamisha.”
Be E da nini hame gaga: sea, defea, ninia da hame dawa: mu. Be ninia da dia ‘gode’ goma ninia hame sia: ne gadomu. Amola ninia da dia dununa gouliga hamoi amoma hamedafa begudumu.”
19 Ndipo Nebukadneza akawa na ghadhabu kali sana kwa Shadraki, Meshaki na Abednego, nayo nia yake ikabadilika kwao. Akaagiza tanuru ichochewe moto mara saba kuliko kawaida yake
Nebiuga: denese da amo sia: nababeba: le ougi bagade ba: i. E da Sia: dala: ge, Misia: ge amola Abedenigou ilia hou dawa: beba: le, ea si da hea: le dagoidafa ba: i. E da ea hawa: hamosu dunuma ilia da lalu ea gasa bagade fesuale agoane bu hahamoma: ne sia: i.
20 na kuwaamuru baadhi ya askari wake wenye nguvu zaidi katika jeshi lake kuwafunga Shadraki, Meshaki na Abednego na kuwatupa ndani ya tanuru iwakayo moto.
Amola e da baligili gasa bagade dadi gagui dunu ilima ilia da Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ili oule asili, lalu bubugi sawa: bagade ganodini galadagima: ne sia: i.
21 Hivyo watu hawa, walifungwa na kutupwa ndani ya tanuru iwakayo moto wakiwa wamevaa majoho yao, suruali, vilemba na nguo zao nyingine.
Amalalu, ilia da amo udiana la: gili, amola ilia abula gilisili la: gili, lalu bubugi sawa: bagade amo ganodini galagai.
22 Amri ya mfalme ilikuwa ya haraka sana na tanuru ilikuwa na moto mkali kiasi kwamba miali ya moto iliwaua wale askari waliowapeleka Shadraki, Meshaki na Abednego.
Hina bagade da ea fidisu dunu ilima lalu dogolo bagade heda: ma: ne sia: i dagoi. Amaiba: le, dadi gagui sosodo aligisu dunu ilia Yuda dunu udiana amo gaguli asili lalu ganodini galagai. Lalu da dogolo bagadeba: le, sosodo aligisu dunu amo nei dagoi ba: i.
23 Watu hawa watatu walianguka ndani ya tanuru iwakayo moto wakiwa wamefungwa kwa uthabiti sana.
Be Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ili da efega lala: gili, lalu dogoa amodili muwane sa: i.
24 Ndipo Mfalme Nebukadneza akashangaa, akainuka kwa haraka na kuwauliza washauri wake, “Je, hawakuwa watu watatu ambao tuliwafunga na kuwatupa ndani ya moto?” Washauri wakajibu, “Hakika, ee mfalme.”
Nebiuga: denese da ili ba: beba: le hedolodafa wa: legadole lelu. E da ea fidisu dunu ilima amane sia: i, “Ninia dunu udiana ninia la: la: gili amola lalu bubugi sawa: amoga galagai o hame galagaila: ? Ilia amane adole i,” Ma! Ninia da dunu udiana galagai.”
25 Mfalme akasema, “Tazama! Naona watu wanne wakitembeatembea ndani ya moto, hawajafungwa wala kudhurika, naye mtu yule wa nne anaonekana kama mwana wa miungu.”
Nebiuga: denese da amane sia: i, “Amaiba: le, na da abuliba: le dunu biyaduyale amo lalu ganodini lalalebe ba: sala: ? Amola ilia da mae la: la: gili lalebe. Amola lalu amoga ili da hame nei. Amola dunu biyadu e da ‘gode’ ea mano agoai ba: sa.
26 Ndipo Nebukadneza akaukaribia mdomo wa ile tanuru iwakayo moto na kupaza sauti, “Shadraki, Meshaki na Abednego, watumishi wa Mungu Aliye Juu Sana, tokeni! Njooni hapa!” Ndipo Shadraki, Meshaki na Abednego wakatoka ndani ya moto.
Amanoba, Nebiuga: denese da asili, lalu logo ga: su amo gadenene aligili, amane wei, “Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou! Dilia da Gode Gadodafa amo Ea hawa: hamosu dunu. Dili gadili misa!” Amalalu, ilia da lalu amo yolesili gadili asi dagoi.
27 Nao maliwali, wasimamizi, watawala na washauri wa mfalme wakakusanyika kuwazunguka. Waliona kwamba moto haukudhuru miili yao, wala unywele wa vichwa vyao haukuungua, majoho yao hayakuungua, wala hapakuwepo na harufu ya moto kwenye miili yao.
Amola hina bagade ea eagene ouligisu dunu mimogo amo ili gadenene misini, Yuda dunu udiana amo ba: i. Be ba: loba da ili da laluga hame nei ba: i. Amola ili ba: loba da laluga da ilia abula amola ilia hinabo da laluga hame nei. Amola ilia da: i hodo amoga da lalu mobi gaha agoai da hamedafa nabi.
28 Ndipo Nebukadneza akasema, “Ahimidiwe Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego, ambaye amemtuma malaika wake na kuwaokoa watumishi wake. Walimtumaini na kukaidi amri ya mfalme, nao wakawa tayari kufa kuliko kutumikia au kuabudu mungu mwingine yeyote isipokuwa Mungu wao.
Amola hina bagade da amane sia: i, “Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ilia Gode Ea Dio nodone gaguia gadoma! E da a: igele dunu asunasili, dunu udiana ili gaga: i dagoi. Bai ilia da Ema dafawaneyale dawa: be amola Ema hawa: hamonana. Amola ilia da eno ‘gode’ liligi amoma beguduli sia: ne gadomu higa: iba: le, ilia da na sia: hame nabi, amola ilia da bogomuba: le hame beda: su.
29 Kwa hiyo ninaamuru kwamba watu wa taifa lolote au lugha yoyote watakaosema kitu chochote dhidi ya Mungu wa Shadraki, Meshaki na Abednego wakatwe vipande vipande na nyumba zao zifanywe kuwa malundo ya kokoto, kwa maana hakuna mungu mwingine awezaye kuokoa namna hii.”
Wali na da sema eno ilegesa. Nowa dunu fifi asi gala sia: hisu dunu huludafa amo afae da Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ilia Gode Ea hou lasogole sia: sea, na dadi gagui dunu da amo dunu ea emo amola lobo huluane hiougili dagagala: ma: mu. Amola ea diasu mugululi, isu salasu agoane hamomu. Gode Bagadedafa da Gaga: su dunudafa. Eno ‘gode’ agoaiwane da hamedafa gala.”
30 Kisha mfalme akawapandisha vyeo Shadraki, Meshaki na Abednego katika jimbo la Babeli.
Hina bagade da adoi dagoi. Amola e da Sia: dela: ge, Misia: ge amola Abedenigou ilima hawa: hamosu amo da ilia musa: hawa: hamosu baligi, Ba: bilone soge ganodini ilima i.

< Danieli 3 >