< Danieli 12 >
1 “Katika wakati huo Mikaeli, mtawala mkuu ambaye huwalinda watu wako, atainuka. Kutakuwako wakati wa taabu ambao haujatokea tangu mwanzo wa mataifa hadi wakati huo. Lakini wakati huo, watu wako, kila mmoja ambaye jina lake litakutwa limeandikwa kwenye kitabu, ataokolewa.
Malaikat yang memakai pakaian linen itu berkata lagi, "Pada saat itu akan muncul malaikat besar Mikhael pelindung bangsamu. Kemudian akan ada masa kesukaran yang tiada bandingannya sejak ada bangsa-bangsa. Tetapi semua orang dari bangsamu yang namanya tertulis dalam buku Allah, akan diselamatkan.
2 Wengi ambao wamelala kwenye mavumbi wataamka, baadhi yao kwa uzima wa milele, wengine kwa aibu na kudharauliwa milele.
Banyak di antara mereka yang sudah mati akan hidup lagi; sebagian akan menikmati hidup yang kekal, dan sebagian lagi akan mengalami kehinaan dan kengerian yang kekal juga.
3 Wale wenye hekima watangʼaa kama mwanga wa mbingu, nao wale ambao huwaongoza wengi kutenda haki, watangʼaa kama nyota milele na milele.
Para pemimpin yang bijaksana akan bersinar seperti cahaya langit. Dan mereka yang telah mengajar banyak orang untuk melakukan apa yang baik dan adil, akan bersinar seperti bintang-bintang untuk selama-lamanya."
4 Lakini wewe Danieli, yafunge na kuyatia muhuri maneno ya kitabu hiki mpaka wakati wa mwisho. Wengi watakwenda huku na huko, na maarifa yataongezeka.”
Lalu kata malaikat itu lagi kepadaku, "Daniel, tutuplah buku itu sekarang, dan bubuhilah segel supaya tetap tertutup sampai pada akhir zaman. Banyak orang akan mencoba menyelidiki apa yang sedang terjadi. Tetapi usaha mereka itu akan sia-sia belaka."
5 Ndipo mimi Danieli nikaangalia, nako mbele yangu walisimama wengine wawili, mmoja katika ukingo huu wa mto, na mwingine ukingo wa pili wa mto.
Kemudian kulihat dua orang laki-laki. Yang seorang berdiri di tepi sungai sebelah sini, dan yang lain di tepi sungai sebelah sana.
6 Mmoja wao akasema na yule mtu aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, “Je, itachukua muda gani kabla mambo haya ya kushangaza hayajatimizwa?”
Yang seorang bertanya kepada yang berdiri lebih dekat dengan hulu sungai, "Kapankah kejadian-kejadian yang ajaib ini akan berakhir?"
7 Kisha mtu yule aliyevaa nguo za kitani, aliyekuwa juu ya maji ya mto, akainua mkono wake wa kuume na mkono wake wa kushoto kuelekea mbinguni, nami nikamsikia akiapa kwa jina lake yeye aishiye milele, akisema, “Itakuwa wakati, nyakati mbili, na nusu wakati. Nguvu za watu watakatifu zitakapokuwa zimevunjwa kabisa, ndipo mambo haya yote yatakapotimizwa.”
Orang yang lain itu mengangkat kedua tangannya ke langit. Kudengar dia bersumpah demi Allah yang kekal dan berkata, "Kejadian-kejadian itu akan berlangsung selama tiga setengah tahun. Setelah penganiayaan terhadap umat Allah berakhir, maka berakhir pula kejadian-kejadian yang ajaib itu."
8 Nilisikia, lakini sikuelewa. Kwa hiyo nikauliza, “Bwana wangu, matokeo ya haya yote yatakuwa nini?”
Semua yang dikatakannya itu memang kudengar, tetapi aku tidak memahaminya. Lalu aku bertanya, "Tuan, bagaimana semua ini akan berakhir?"
9 Akajibu, “Danieli, enenda zako, kwa sababu maneno haya yamefungwa na kutiwa muhuri mpaka wakati wa mwisho.
Ia menjawab, "Pergilah sekarang, Daniel, sebab kata-kata ini harus disembunyikan dan dirahasiakan sampai akhir zaman.
10 Wengi watatakaswa, na kuondolewa mawaa na kufanywa safi, lakini waovu wataendelea kuwa waovu. Hakuna mmoja wa waovu atakayefahamu, lakini wale wenye hekima watafahamu.
Banyak orang akan diuji dan dimurnikan. Mereka yang jahat tidak akan mengerti dan akan terus berlaku jahat; hanya mereka yang bijaksana akan mengerti.
11 “Tangu wakati ule wa kukomeshwa dhabihu ya kila siku na kusimamishwa kwa chukizo la uharibifu, kutakuwako siku 1,290.
Dari waktu kurban harian itu dihentikan dan sesuatu yang mengerikan yang disebut Kejahatan yang menghancurkan itu ditegakkan, akan berlalu 1.290 hari.
12 Amebarikiwa mtu yule atakayevumilia hadi kufikia mwisho wa hizo siku 1,335.
Berbahagialah mereka yang tetap setia sampai hari ke-1.335.
13 “Lakini wewe, enenda zako mpaka mwisho. Utapumzika, nawe ndipo mwisho wa hizo siku utafufuka ili kuupokea urithi uliowekewa.”
Engkau Daniel, setialah sampai akhir. Engkau akan meninggal, tetapi akan bangkit untuk menerima upahmu pada akhir zaman."