< Danieli 10 >
1 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Koreshi mfalme wa Uajemi, Danieli (ambaye aliitwa Belteshaza) alipewa ufunuo. Ujumbe wake ulikuwa kweli, nao ulihusu vita vikubwa. Ufahamu wa ujumbe ulimjia katika maono.
In yac aktolu ke Cyrus el Tokosra Fulat lun Persia, sie pweng akkalemyeyuk nu sel Daniel, su oayapa pangpang Belteshazzar. Pweng sac pweng na pwaye se, tusruktu arulana upa in eteyuk kalmac uh. Tuh aketeyuki nu sel Daniel in sie aruruma.
2 Wakati huo, mimi Danieli nikaomboleza kwa majuma matatu.
In pacl sac, nga, Daniel, tuh muta in asor lulap luk ke wik tolu.
3 Sikula chakula kizuri; nyama wala divai havikugusa midomo yangu; nami sikujipaka mafuta kamwe mpaka majuma matatu yalipotimia.
Nga tuh tiana kang kutena mongo yuyu, ku mongo ikwa, ku nim wain, ku mosrwela sifuk nwe ke na wik tolu ah safla.
4 Kwenye siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa nimesimama kwenye ukingo wa mto mkubwa Hidekeli,
Ke len aklongoul akosr in malem se meet ke yac sac, nga tuh tu pe facl ke Infacl lulap Tigris.
5 nikatazama juu, na mbele yangu alikuwepo mtu aliyevaa mavazi ya kitani na mshipi wa dhahabu safi kutoka ufazi kiunoni mwake.
Nga ngetak ac liye sie mwet su nukum nuknuk linen, ac infulwal losyuki ke sie pel ma orekla ke gold na wowo.
6 Mwili wake ulikuwa kama kito cha zabarajadi safi, uso wake kama umeme wa radi, macho yake kama mwali wa moto, mikono yake na miguu yake kama mngʼao wa shaba iliyosuguliwa sana, nayo sauti yake kama ya umati mkubwa wa watu.
Manol saromrom oana sie wek na saok. Mutal kalem oana sarmelik lun sarom uh, ac atronmutal firir oana e se. Paol ac nial saromrom oana bronze su aksaromromyeyukla, ac pusracl oana pusren wowo lun sie un mwet na lulap.
7 Mimi Danieli, ni mimi peke yangu niliyeona hayo maono; watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona, lakini waligubikwa na hofu kuu, hata wakakimbia na kujificha.
Nga mukena pa liye aruruma sac. Mwet ma wiyu ah elos tiana liye kutena ma, tusruktu elos arulana sangengla, kaingelik ac wikla.
8 Kwa hiyo niliachwa peke yangu, nikikodolea macho maono hayo makubwa; sikubakiwa na nguvu, na rangi ya uso wangu ikabadilika kama aliyekufa, nikakosa nguvu.
Nga mukena lula insac, ke nga liye aruruma na usrnguk se inge. Wanginla ku luk, ac mutuk arulana ekla, oru wangin mwet ku in akilenyuyak.
9 Kisha nikamsikia akisema, nami nilipokuwa nikimsikiliza, nikalala kifudifudi, nikapatwa na usingizi mzito.
Ke nga lohng pusracl, nga putati nu infohk uh, nikinyula ac oanna insac oankiyuki.
10 Mkono ulinigusa, ukaninyanyua, na kuniweka nikipiga magoti na mikono yangu ikashika chini, huku nikiwa bado ninatetemeka.
Na poun mwet se sruokyuwi ac tukasyuyak nu fin intik ac pouk, ac nga srakna rarrar.
11 Akasema, “Danieli, wewe mtu upendwaye sana, fikiri kwa makini maneno ninayokwenda kunena nawe sasa; simama wima, kwa maana sasa nimetumwa kwako.” Naye aliponiambia haya, nikasimama nikitetemeka.
Na lipufan sac fahk nu sik, “Daniel, God El lungse kom. Tuyak ac lohng akwoye ma nga ac fahk nu sum uh. Supweyukme nga nu yurum.” Ke el fahk ma se inge, na nga tuyak, tusruktu nga srakna rarrar.
12 Ndipo akaendelea kusema, “Danieli, usiogope. Tangu siku ya kwanza ulipotia moyo wako ili kupata ufahamu na kujinyenyekeza mbele ya Mungu wako, maneno yako yalisikiwa, nami nimekuja ili kujibu maneno yako.
Na el fahk, “Daniel, nimet kom sangeng. God El lohng pre lom oe ke len se oemeet ma kom sulela in akfwilpapyekom tuh kom in ku in eis etauk. Tuku luk uh pa topken pre lom uh.
13 Lakini mkuu wa ufalme wa Uajemi alinipinga kwa siku ishirini na moja. Ndipo Mikaeli, mmoja wa malaika wakuu, alikuja kunisaidia, kwa sababu nilikuwa nimezuiliwa huko na mfalme wa Uajemi.
Lipufan se su oana fisrak se in karinganang tokosrai lun Persia el lainyu ke len longoul sie. Na Michael, sie sin lipufan fulat, el tuku in kasreyu, mweyen nga tuh sisila mukena muta in acn Persia.
14 Sasa nimekuja kukuelezea mambo yatakayowatokea watu wako wakati ujao, kwa maana maono hayo yanahusu wakati ambao haujaja bado.”
Nga tuku in oru kom in kalem ke ma ac sikyak nu sin mwet lom uh ke pacl fahsru. Aruruma se inge ma nu ke pacl fahsru.”
15 Alipokuwa akinielezea haya, nilisujudu uso wangu ukiwa umeelekea chini, nikawa bubu.
Ke el fahk ma inge, nga suwoli ac tia ku in fahk kutena ma.
16 Ndipo mmoja aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa midomo yangu, nami nikafungua kinywa changu, nikaanza kunena. Nikamwambia yule aliyesimama mbele yangu, “Nimepatwa na huzuni kubwa kwa sababu ya maono haya, bwana wangu, nami nimeishiwa nguvu.
Na lipufan se ma oana in mwet se ah saplakme ac kahlya ngoasrok. Ac nga fahk nu sel, “Leum luk, aruruma se inge arulana eisla kuiyuk, oru nga tia ku in tila rarrar.
17 Bwana wangu, mimi mtumishi wako nitawezaje kuzungumza na wewe? Nguvu zangu zimeniishia hata ninashindwa kupumua.”
Nga oana sie mwet foko su tu ye mutun leum lal. Nga ac kaskas nu sum fuka? Wanginla ku luk, ac wanginla pac monguk.”
18 Tena yule aliyeonekana kama mwanadamu akanigusa na kunitia nguvu.
Na el sifilpa sruokyuwi, ac nga pula lah oasri kutu ku luk.
19 Akasema, “Ee mtu upendwaye sana, usiogope. Amani iwe kwako! Uwe na nguvu sasa; jipe nguvu.” Alipozungumza nami, nilipata nguvu, nikasema, “Nena, bwana wangu, kwa kuwa umenipa nguvu.”
Ac el fahk, “God El lungse kom, ke ma inge nimet kom fosrnga ku sangeng ke kutena ma.” Ke el fahk ouinge, nga kui liki na meet ah, ac nga fahk, “Leum luk, fahkma nu sik ma kom ac fahk an. Kom arulana akkeyeyula.”
20 Kwa hiyo akasema, “Je, unajua kwa nini nimekujia? Sasa hivi nitarudi kupigana dhidi ya mkuu wa Uajemi, nami nikienda, mkuu wa Uyunani atakuja.
Na el fahk, “Ku kom etu lah efu ku nga tuku nu yurum? Inge nga ac sifilpa folokla ac lain lipufan se ma karinganang tokosrai lun Persia, ac nga fin safla yorol, na lipufan se ma karinganang tokosrai lun Greece el ac fah tuku.
21 Lakini kwanza nitakuambia kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Kweli. (Hakuna hata mmoja anayenisaidia dhidi yao isipokuwa Mikaeli, mkuu wenu.
Tusruktu nga tuku in fahkot nu sum ma simla in book lun ma pwaye uh. Wangin sie ac wiyu alein nu sin lipufan inge sayal Michael, lipufan se su karinganang tokosrai lun Israel.