< Wakolosai 3 >

1 Basi, kwa kuwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo alikoketi mkono wa kuume wa Mungu.
Nkashele Ongolobhe abhavyosezye pandwemo no Kristi, ganzajiamambo gamwauya gashele o Kristi akhala hukhono gwakwe ogwahushilome wa Ngolobhe.
2 Yafikirini mambo yaliyo juu, wala si ya duniani.
Sebhaji amambo gagali amwanya gashelesegaoegenzi.
3 Kwa maana ninyi mlikufa, nao uhai wenu sasa umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
Afwatanaje mfwinye naolukhalo lwenyu gafisilwe pandwemo no Kristi hwa Ngolobhe.
4 Wakati Kristo, aliye uzima wenu, atakapotokea, ndipo nanyi mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
O wakati o Kristi naibhoneha, afwateje lukhalo lwenyu, shashesho namwe nantele mwaibhonehana no mwene hutuntumu.
5 Kwa hiyo, ueni kabisa chochote kilicho ndani yenu cha asili ya kidunia: yaani uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na ulafi, ambayo ndiyo ibada ya sanamu.
Esho gafisi amambo gagalipansiyai omalaya, ochafu, azilishe shibhibhi, eniyaimbibhi, nanyonywe, eyo mputo oilenka.
6 Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.
Afwataneje amambo ega ilyoyo elya Ngolobhe libhenza, whabhana bhashelesesebha whogopa.
7 Ninyi pia zamani mlienenda katika mambo haya mlipoishi maisha hayo.
Afwataneje amambo ega amwe nantele mwajendilehwego nna mwakhalaga hwabhene.
8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi mambo kama haya yote: yaani hasira, ghadhabu, uovu, masingizio na lugha chafu kutoka midomoni mwenu.
Eshi lazima mgefye amambo ega gonti yau. Ilyoyo, enkuni enia embibhi, indigo, nenongwa embibhi, gagafuma mwilomulyenyu.
9 Msiambiane uongo, kwa maana mmevua kabisa utu wenu wa kale pamoja na matendo yake,
Msakhopelane mwewhamwe afatane mwabhue ubhuntu wenyu owehale ne mbombo yakwe.
10 nanyi mmevaa utu mpya, unaofanywa upya katika ufahamu sawasawa na mfano wa Muumba wake.
Mkwate ubhuntu opya, wahwubhombashipya nenjele afume no lengano whayola yabhomba.
11 Hapa hakuna Myunani wala Myahudi, aliyetahiriwa wala asiyetahiriwa, asiyestaarabika wala aliyestaarabika, mtumwa wala mtu huru, bali Kristo ni yote, na ndani ya wote.
Hunjele ezi nomo Myunani, no Mmyuhadi atahiliwe nasinte tailiwe, obhazo nosagabhaza otumwa yasagali tumwa lelopesho oKristi yomambo gonti wagonti.
12 Kwa hiyo, kwa kuwa ninyi mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao sana, jivikeni moyo wa huruma, utu wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
Nkashele asalulwe bhangolobhe, abhoziwa naabhelwo vwano, hwikwattizi owhuntu owinza, epyana awhishe opole na ajimbe.
13 Vumilianeni na kusameheana mtu akiwa na lalamiko lolote dhidi ya mwenzake. Sameheaneni kama vile Bwana alivyowasamehe ninyi.
Ejelanaji mwemwehwamwe. Sajilanaji shilamuntu nowamwabho, nkashele umntu alamiha whawamwabho asajileshashila, nashi ogosi sabhhasajie amwe.
14 Zaidi ya maadili haya yote jivikeni upendo, ambao ndio unaofunga kila kitu pamoja katika umoja mkamilifu.
Ega amambo gonti, mganane eshoshenyezyo shegolosi.
15 Amani ya Kristo na itawale mioyoni mwenu, kwa kuwa ninyi kama viungo vya mwili mmoja mmeitiwa amani. Tena kuweni watu wa shukrani.
E amani eya Kristi ebhalongozye amoyo genyu. Ehalishe enashe olweteho eli huje mwakwiziwe hubelegumo mbhenolusalifo.
16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu, mkifundishana na kuonyana katika hekima yote, mkimwimbia Mungu zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, huku mkiwa na shukrani mioyoni mwenu.
Izu elya Kristi likhale mhatiyenyu hubhutajiri. Neshinshi yontii fundizanyaji na ajehane mwemwe namwe nahwembe, enyembo, ne nyembo zya humwoyo e, mbaji salifiaji amogogenyu wha Ngolobhe.
17 Lolote mfanyalo, ikiwa ni kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba katika yeye.
Hahonti hambhomba whizu olwe whitawailya Gosi O Yesu, peliensalifyo Ongolobhe oBaba ashilile whamwene.
18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana.
Mbhashe ihaji hwalumebhenyu, nashisasungwa Ogosi.
19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe na uchungu dhidi yao.
Amwebhalume bhagani abhashe bhenyu msabhebhakhali whabhene.
20 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hivi ndivyo inavyompendeza Bwana.
Wana bhogopaji apaji bhenyu humambogoti, eshosasungwa Ogosi.
21 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.
Mwababa mgaje whandizye abahna bhenyu. bhasahilamwe.
22 Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu wa hapa duniani katika mambo yote. Fanyeni hivyo si wakiwepo tu, wala si kwa kutafuta upendeleo wao, bali kwa moyo mnyofu na kumcha Bwana.
Fasontelezi bhogopi agosi bhenyu hubele na mambo gonti, saga huhuduma eyimasonashiabhantu. Nashi abhantu bhasombezye wene nahumoyo uwelwoli mwogopaji Ongolobhe.
23 Lolote mfanyalo, fanyeni kwa moyo kama watu wanaomtumikia Bwana, na si wanadamu,
Hahonti hambhomba bhombaji afume mioyo genyu nashi Ogosi nate hwabhantu.
24 kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana ukiwa thawabu yenu. Ni Bwana Yesu Kristo mnayemtumikia.
Mmenyeaje mbhapate etunzo eyatabhale afumeusha Gosi yo Kristi Ogosi yamhuputa.
25 Yeyote atendaye mabaya atalipwa kwa ajili ya mabaya yake, wala hakuna upendeleo.
Eshiwawhonti yabhomba gasheleseminza abhapate longwe hunjendo zya shelesenyinza gabhombele amnawhemele.

< Wakolosai 3 >