< Wakolosai 3 >

1 Basi, kwa kuwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo alikoketi mkono wa kuume wa Mungu.
Jodi Isor pora apuni ke Khrista logote uthai dise, titia hoile apuni to upor laga jinis ke he bisaribi, kun jagate Khrista to Isor laga dyna hathte bohi ase.
2 Yafikirini mambo yaliyo juu, wala si ya duniani.
Prithibi laga jinis khan nohoi, kintu uporte thaka jinis khan ke bhabona koribi.
3 Kwa maana ninyi mlikufa, nao uhai wenu sasa umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
Kelemane apuni mori jaise, aru apuni laga jibon to Isor te Khrista dwara lukai kene ase.
4 Wakati Kristo, aliye uzima wenu, atakapotokea, ndipo nanyi mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
Jitia Khrista wapas ahibo, jun apuni laga jibon ase, titia apuni bhi Tai laga mohima te ahibo.
5 Kwa hiyo, ueni kabisa chochote kilicho ndani yenu cha asili ya kidunia: yaani uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na ulafi, ambayo ndiyo ibada ya sanamu.
Etu nimite prithibi te thaka kaam khan sob morai dibi- bebichari, sapha nathaka, gaw mangso itcha, biya laga itcha, aru lalchi kora, kuntu to murti puja kora nisina he ase.
6 Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.
Etu kaam khan nimite Isor laga khong to ahi ase.
7 Ninyi pia zamani mlienenda katika mambo haya mlipoishi maisha hayo.
Ekta homoi te apuni khan etu kaam khan kori kene jinda thakise.
8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi mambo kama haya yote: yaani hasira, ghadhabu, uovu, masingizio na lugha chafu kutoka midomoni mwenu.
Kintu etiya apuni khan sob purana kaam khan chari dibole lage- gusa, khong, biya bhabona, sorom khilai diya, aru apuni laga mukh pora biya kotha ula khan.
9 Msiambiane uongo, kwa maana mmevua kabisa utu wenu wa kale pamoja na matendo yake,
Ekjon-ekjon logote misa kotha nokoribi, kelemane apuni khan logote purana manu aru purana kaam kori thaka khan sob ulaikene phelai dise,
10 nanyi mmevaa utu mpya, unaofanywa upya katika ufahamu sawasawa na mfano wa Muumba wake.
aru kun pora apuni khan ke notun manu bonai dise Tai laga gyaan pora notun hoi jaise.
11 Hapa hakuna Myunani wala Myahudi, aliyetahiriwa wala asiyetahiriwa, asiyestaarabika wala aliyestaarabika, mtumwa wala mtu huru, bali Kristo ni yote, na ndani ya wote.
Yate kun bhi Yunani aru Yehudi nai, sunnot kora aru sunnot nakora nai, dusra jat aru desh laga manu nai, ta te Scythia laga manu nai, noukar aru ajad thaka manu nai, kintu Khrista he sob ase, aru sob te Tai he ase.
12 Kwa hiyo, kwa kuwa ninyi mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao sana, jivikeni moyo wa huruma, utu wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
Etu nimite, Isor pora basi luwa manu nisena, pobitro aru morom thaka khan, apnikhan daya, morom, nomro aru norom aru dhorjo eitu khan pindhi lobi.
13 Vumilianeni na kusameheana mtu akiwa na lalamiko lolote dhidi ya mwenzake. Sameheaneni kama vile Bwana alivyowasamehe ninyi.
Ekjon-ekjon logote nomro aru morom kori kene thakibi. Jodi kunba manu dusra laga bhirodh kore, Probhu pora apuni ke maph kori diya nisena, taikhan ke bhi maph kori dibi.
14 Zaidi ya maadili haya yote jivikeni upendo, ambao ndio unaofunga kila kitu pamoja katika umoja mkamilifu.
Etu sob kotha khan pora bhi, morom thakibi, etu pora he sob to bhal bonai dibo.
15 Amani ya Kristo na itawale mioyoni mwenu, kwa kuwa ninyi kama viungo vya mwili mmoja mmeitiwa amani. Tena kuweni watu wa shukrani.
Khrista laga shanti apuni khan laga monte raj kori bole dibi. Etu shanti nimite apuni khan ke ekta gaw hoi kene matise. Aru dhanyavad dibole janibi.
16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu, mkifundishana na kuonyana katika hekima yote, mkimwimbia Mungu zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, huku mkiwa na shukrani mioyoni mwenu.
Khrista laga kotha apuni khan logote bhorta hoi kene rakhi bhi. Atma laga gana kori kene ekjon-ekjon ke gyaan pora sikhai dibi. Apuni laga monte Isor ke dhanyavad dikene gana kori thakibi.
17 Lolote mfanyalo, ikiwa ni kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba katika yeye.
Apuni khan ki kore, kotha aru kaam pora, Probhu Jisu laga naam te he koribi. Tai nimite Baba Isor ke dhanyavad dibi.
18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana.
Maiki khan, nijor mota logote bhal pora thakibi, etu he Probhu usorte thik ase.
19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe na uchungu dhidi yao.
Mota khan, nijor laga maiki ke morom koribi, aru taikhan logote mon tita kori kene nathakibi.
20 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hivi ndivyo inavyompendeza Bwana.
Bacha khan, sob kotha te ama baba khan laga kotha mani kene thakibi, kelemane Probhu etu he khushi pai.
21 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.
Baba khan, apuni laga bacha khan ke biya kotha na koribi, etu pora taikhan laga mon dukh kori bole nadibi.
22 Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu wa hapa duniani katika mambo yote. Fanyeni hivyo si wakiwepo tu, wala si kwa kutafuta upendeleo wao, bali kwa moyo mnyofu na kumcha Bwana.
Sewak kora khan, gaw pora ki pare etu loi kene apuni malik laga kotha mani kene thakibi, manu ki suku pora dikhi kene khushi pai etu pora nohoi, kintu bhal mon loi kene. Probhu ke bhoi koribi.
23 Lolote mfanyalo, fanyeni kwa moyo kama watu wanaomtumikia Bwana, na si wanadamu,
Apuni ki kori ase, atma pora kaam koribi aru Probhu nimite koribi, manu khan nimite kora nisena na koribi.
24 kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana ukiwa thawabu yenu. Ni Bwana Yesu Kristo mnayemtumikia.
Apuni jane Probhu pora apuni waris hobole laga inam pabo. Etu Probhu Khrista ase kunke apuni khan sewa kori ase.
25 Yeyote atendaye mabaya atalipwa kwa ajili ya mabaya yake, wala hakuna upendeleo.
Kun manu biya kaam khan kore tai biya kaam kora laga hisab te he sajai pabo, aru taike eku alag morom napabo.

< Wakolosai 3 >