< Wakolosai 3 >

1 Basi, kwa kuwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo alikoketi mkono wa kuume wa Mungu.
Idan irji shbeyi babah Almasihu, tobikawandi ahemishu. Idan Almasihu kuniwokorli Urji.
2 Yafikirini mambo yaliyo juu, wala si ya duniani.
Rlimre ikewandi aheni shu'a, anani tuikpe wandi a henimemena.
3 Kwa maana ninyi mlikufa, nao uhai wenu sasa umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
Tobikyumba, ivrkimbi ari ni Almasihu nimiirji.
4 Wakati Kristo, aliye uzima wenu, atakapotokea, ndipo nanyi mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
Tunda ahetoki Almasihu yetrerju niwa ndi iki isronbu, ahetoki biyime bi wludeniwu ni wrzi wandi ahe'a ni bu'u soma.
5 Kwa hiyo, ueni kabisa chochote kilicho ndani yenu cha asili ya kidunia: yaani uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na ulafi, ambayo ndiyo ibada ya sanamu.
Ki kparisu niyo shishi nikpi bin gbungbluii-wambandi walilohrzji hamasoh rziarziame, memeyoshishi nyemenikpi memenandyime niku shishi, bakima ba louchi ni birji.
6 Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.
Nitu kima inturji ni gyirji nitubiandu bana wo'uana.
7 Ninyi pia zamani mlienenda katika mambo haya mlipoishi maisha hayo.
Nimyikpi ba'ah bisizre towandandi binasohaimyinba.
8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi mambo kama haya yote: yaani hasira, ghadhabu, uovu, masingizio na lugha chafu kutoka midomoni mwenu.
Tunda aheitoki seikika-ka infu taga memesro'a taga, memetia taga, mrenzji taga, ni memetre biandi barzunyumbu'a
9 Msiambiane uongo, kwa maana mmevua kabisa utu wenu wa kale pamoja na matendo yake,
Natiche tikpanbi na donbi chichenji ni sroma rjukpanba.
10 nanyi mmevaa utu mpya, unaofanywa upya katika ufahamu sawasawa na mfano wa Muumba wake.
Bila sruh njiriisama hi myitowa nitu ihlan dyiwandia tiu.
11 Hapa hakuna Myunani wala Myahudi, aliyetahiriwa wala asiyetahiriwa, asiyestaarabika wala aliyestaarabika, mtumwa wala mtu huru, bali Kristo ni yote, na ndani ya wote.
Iwirji kimaii baheline nahena imbaba yahude, iduwandi afunju niwandi ana funjuna, bitsri, baubawa, ni basikitiye, igrah niiwandi achusimarju kitode ahi Almasihu pepeme alahemyi wawuu.
12 Kwa hiyo, kwa kuwa ninyi mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao sana, jivikeni moyo wa huruma, utu wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
Nimyibininkoh iwandi bahlayiniurjia, biandi bahe iyaryameh nibandi ba nyebe niba'a sruh losroh, tikpibindidima situh, vusroh nilosroh.
13 Vumilianeni na kusameheana mtu akiwa na lalamiko lolote dhidi ya mwenzake. Sameheaneni kama vile Bwana alivyowasamehe ninyi.
Kivu sronnikpanmbuh, kitati kpendidi nikpabu idan vayime tikpa unfu niwu uka karji niwuh yanda itimbu'a karji tawu'a.
14 Zaidi ya maadili haya yote jivikeni upendo, ambao ndio unaofunga kila kitu pamoja katika umoja mkamilifu.
Ikpeiwandi azabaki mpempeme'a ahi kikbatibi nyebe, kimamba utikogye gyrengyreme.
15 Amani ya Kristo na itawale mioyoni mwenu, kwa kuwa ninyi kama viungo vya mwili mmoja mmeitiwa amani. Tena kuweni watu wa shukrani.
Kindu sisro'u Almasihu du sonisronbuh. nitu wayi sisro'i bayoyi nimyi kpariri ngyri yi.
16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu, mkifundishana na kuonyana katika hekima yote, mkimwimbia Mungu zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, huku mkiwa na shukrani mioyoni mwenu.
Katre trehurji chuwo kusonimyi sronbi babra. nitokle to kima, niwronkpanbi nise ubrerji niseni ugbrerjisah awandi ani kba sronbi hi'ni Rji. Utimbu'a.
17 Lolote mfanyalo, ikiwa ni kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba katika yeye.
Angardi idan ikpewandi bitre konduwandi biti bikatiu nimyinde. Itimbu Vrerji nila trongyribi nirji itimbu.
18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana.
Imba katukabi nibalombi, nitunkowandi irji ninyeme.
19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe na uchungu dhidi yao.
Lilon, kpanyeme nimbambi na henidi nibawuna.
20 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hivi ndivyo inavyompendeza Bwana.
Dongye, tawotre batimbi konitah nitu kima Irji nihe nikla sroh.
21 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.
Biyi batii, natikpe unfu “nimirimbi nindi nglemba kyuna.
22 Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu wa hapa duniani katika mambo yote. Fanyeni hivyo si wakiwepo tu, wala si kwa kutafuta upendeleo wao, bali kwa moyo mnyofu na kumcha Bwana.
Igrah, katu kabi nitikon bi nimyikpa nitun koba wawu'u, nati iwandi shishin megye bato na hemi kin wa sroa na ndu heni srome riiri klu sisri Rji.
23 Lolote mfanyalo, fanyeni kwa moyo kama watu wanaomtumikia Bwana, na si wanadamu,
Mpepeme nimyi ikpiwandu bisiti ti kongyeji nimyi sronbi don irji na nitu njina.
24 kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana ukiwa thawabu yenu. Ni Bwana Yesu Kristo mnayemtumikia.
Bitondi, bikpa inyu isandu binirji nitu kimah bitondi bisiti nitimburji.
25 Yeyote atendaye mabaya atalipwa kwa ajili ya mabaya yake, wala hakuna upendeleo.
Nitukima idan una tindindi mana ukpasa iwandi utianahi ndidi maana, isotunahena.

< Wakolosai 3 >