< Wakolosai 3 >
1 Basi, kwa kuwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo alikoketi mkono wa kuume wa Mungu.
Gode da dili bu gaheabolo esalusu lama: ne, Yesu Gelesu defele wa: lesili uhinisi. Amaiba: le Yesu Gelesu da Ea Fisuga Gode Ea lobodafadili fibiba: le, dilia Hebene diasuga doaga: musa: , mae beba: le, dilia dogo ganodini Hebene liligi fawane dawa: musa: ilegema!
2 Yafikirini mambo yaliyo juu, wala si ya duniani.
Dilia asigi dawa: su ganodini, osobo bagade liligi mae dawa: le, Hebene ganodini hou fawane dawa: musa: ilegema!
3 Kwa maana ninyi mlikufa, nao uhai wenu sasa umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
Bai dilia da fedege agoane bogoi dagoi. Gode da dilia esalusu ouligima: ne, gilisili Yesu Gelesu amola wamolegei dagoi.
4 Wakati Kristo, aliye uzima wenu, atakapotokea, ndipo nanyi mtakapotokea pamoja naye katika utukufu.
Dilia esalusudafa ea bai da Yesu Gelesu. E da Ea hadigi lai dagoiwane bu masea, dilia amola da Ea hadigi lai dagoiwane, E gilisili ba: mu.
5 Kwa hiyo, ueni kabisa chochote kilicho ndani yenu cha asili ya kidunia: yaani uasherati, uchafu, tamaa mbaya, mawazo mabaya na ulafi, ambayo ndiyo ibada ya sanamu.
Amaiba: le, dilia da: i hodo hanai osobo bagade hou wali dilia dogo ganodini hawa: hamonanebe, amo bogoma: ne fane legema. Amo osobo bagade hou da wadela: i uda lasu hou, hou eno dunu ilia ba: beba: le gogosiasu hou, inia uda amola muni liligi amoma gasawane hanai hou amola uasu hou, (uasu mudasu da loboga hamoi ‘gode’ liligi ilima hanaiwane sia: ne gadosu hou defele gala).
6 Kwa sababu ya mambo haya, ghadhabu ya Mungu inakuja.
Hame nabasu dunu da amo hou hamonanebeba: le, Gode Ea ougi gia: i bagade agoane ba: mu.
7 Ninyi pia zamani mlienenda katika mambo haya mlipoishi maisha hayo.
Musa: , amo liligi da dilima ouligisuwane esalebeba: le, dilia amo hou hamosu.
8 Lakini sasa yawekeni mbali nanyi mambo kama haya yote: yaani hasira, ghadhabu, uovu, masingizio na lugha chafu kutoka midomoni mwenu.
Be wali amo hou huluane (ougi hou, uda eno lamu hanai hou amola eno dunuma higasu hou) dilia fadegale fasima. Dilia lafidili, eno dunu wadela: ma: ne mae sia: ma. Wadela: i sia: amola uda fofosu sia: maedafa sia: ma.
9 Msiambiane uongo, kwa maana mmevua kabisa utu wenu wa kale pamoja na matendo yake,
Dilia musa: hou gadofo agoane dilia alalo houga: i dagoiba: le, enoma enoma mae ogogoma.
10 nanyi mmevaa utu mpya, unaofanywa upya katika ufahamu sawasawa na mfano wa Muumba wake.
Dilia gaheabolo hou da dilia gaheabolo gadofo fedege agoane ba: sa. Amo hou da gaheabolo dunu agoane. Gode da amo gaheabolo dunu hahamoi dagoi. Amola Gode da eso huluane, gaheabolo dunu da Ea hou huluane noga: le dawa: ma: ne, gaheabolo hou ea dogo ganodini hamonana.
11 Hapa hakuna Myunani wala Myahudi, aliyetahiriwa wala asiyetahiriwa, asiyestaarabika wala aliyestaarabika, mtumwa wala mtu huru, bali Kristo ni yote, na ndani ya wote.
Amaiba: le, wali Dienadaile amola Yu dunu da hame afafai. Gadofo damui amola hame damui da hame afafai. Iwilaga esalu dunudafa, udigili hawa: hamosu dunu amola halegale lalebe dunu, da hame afafai. Yesu Gelesu da Baidafa amola E da dunu huluane amo ganodini esala.
12 Kwa hiyo, kwa kuwa ninyi mmekuwa wateule wa Mungu, watakatifu wapendwao sana, jivikeni moyo wa huruma, utu wema, unyenyekevu, upole na uvumilivu.
Dilia da Gode Ea fidafa esala. Gode da dili ba: beba: le amola dilima asigiba: le, Ea fi ganodini esaloma: ne, dili ilegei. Amaiba: le, asigi hou, enoma fidisu hou, fonoboi hou amola gebewane hamosu hou abula agoane idiniginisima.
13 Vumilianeni na kusameheana mtu akiwa na lalamiko lolote dhidi ya mwenzake. Sameheaneni kama vile Bwana alivyowasamehe ninyi.
Eno dunu ea giadofai amoma hedolo mae ougima. Eno dunu da dima wadela: le hamosea, hedolowane gogolema: ne olofoma. Hina Gode da dilia hou gogolema: ne olofoi, amo defele dilia eno dunu ilia hou gogolema: ne olofoma.
14 Zaidi ya maadili haya yote jivikeni upendo, ambao ndio unaofunga kila kitu pamoja katika umoja mkamilifu.
Asigi hou da liligi huluane afadafa olofole hamomusa: gilisisa. Amaiba: le eno hou ida: iwane huluane amoma asigi hou gilisima.
15 Amani ya Kristo na itawale mioyoni mwenu, kwa kuwa ninyi kama viungo vya mwili mmoja mmeitiwa amani. Tena kuweni watu wa shukrani.
Yesu Gelesu da dilima olofosu iaha. Gode da amo olofosu olelemusa: , dilima wele sia: nanu, dili huluane fi afadafa hamoi. Ea hawa: hamobeba: le, nodone dawa: ma.
16 Neno la Kristo na likae kwa wingi ndani yenu, mkifundishana na kuonyana katika hekima yote, mkimwimbia Mungu zaburi, nyimbo na tenzi za rohoni, huku mkiwa na shukrani mioyoni mwenu.
Yesu Gelesu Ea Sia: Ida: iwane gala dilia dogo ganodini dialumu da defea. Dilia dawa: iwane enoma enoma olelema. Gesami Hea: su dedei amola Gode gesami hea: ma. Dilia dogo ganodini nodone dawa: beba: le, Godema nodone gesami hea: ma.
17 Lolote mfanyalo, ikiwa ni kwa neno au kwa tendo, fanyeni yote katika jina la Bwana Yesu, mkimshukuru Mungu Baba katika yeye.
Dilia Yesu Gelesu Ea Dioba: le, Ada Godema nodone sia: sea, dilia hawa: hamosu amola dilia sia: huluane, Hina Gode Yesu Gelesu Ea Dioba: le hamoma.
18 Ninyi wake, watiini waume zenu, kama inavyostahili katika Bwana.
Uda! Diligua ilia sia: nabawane hamoma! Yesu Gelesu Ea hou lalegaguiba: le, amo hou hamomu da defea.
19 Ninyi waume, wapendeni wake zenu, wala msiwe na uchungu dhidi yao.
Dunu! Dilia uda ili se nabasa: besa: le, ilima mae ougima. Ilima asigima!
20 Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika mambo yote, kwa maana hivi ndivyo inavyompendeza Bwana.
Mano dilia! Dilia Yesuma fa: no bobogebeba: le, dilia ada amola ame, ela sia: nabawane hamoma. Bai Gode da amo hou hahawane ba: sa.
21 Ninyi akina baba, msiwachokoze watoto wenu, wasije wakakata tamaa.
Ame amola ada! Dilia mano da baligiliwane da: i diosa: besa: le, ilima udigili ougili mae sia: ma.
22 Ninyi watumwa, watiini mabwana zenu wa hapa duniani katika mambo yote. Fanyeni hivyo si wakiwepo tu, wala si kwa kutafuta upendeleo wao, bali kwa moyo mnyofu na kumcha Bwana.
Udigili hawa: hamosu dunu dilia! Dilia osobo bagade ouligisu dunu ilia sia: nabawane hamoma. Ilia siga hahawane ba: ma: ne fawane hame, be dilia dogo ganodini dilia da moloiwane Godema nodonanebeba: le, noga: le hamoma.
23 Lolote mfanyalo, fanyeni kwa moyo kama watu wanaomtumikia Bwana, na si wanadamu,
Dilia dogoga hanaiwane hawa: hamoma. Dilia osobo bagade dunu ba: ma: ne hame, be dilia Hina Gode Ea hawa: hamosu hamonanebeba: le, amo defele noga: le hawa: hamoma.
24 kwa kuwa mnajua kwamba mtapokea urithi wenu kutoka kwa Bwana ukiwa thawabu yenu. Ni Bwana Yesu Kristo mnayemtumikia.
Mae gogolema! Hina Gode da Ea fi dunuma ima: ne, bidi ida: iwane ilegei. Amo E da dilima imunuyo. Dilia hawa: hamosu Hinadafa da Yesu Gelesu.
25 Yeyote atendaye mabaya atalipwa kwa ajili ya mabaya yake, wala hakuna upendeleo.
Be wadela: i hou hamosu dunu da ea wadela: i hou defele bidi lamu. Gode da dunu huluanedafa defele ba: lalu fofada: sa.