< Wakolosai 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu:
U Paulo umtume wa Kristi u Yesu, shahuanza Ungolowe nu Timoti uholowetu,
2 Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, waishio Kolosai: Neema na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu ziwe nanyi.
hulweteho na huwaholo awagolosu hwa Kristi wawaleho Hukolosai. Uweene uwe humwenyu nu pumu, afume hwa Ngolowe Udaada weti.
3 Siku zote tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, tunapowaombea ninyi,
Tihusalipwa Ungolowe, Udaada weti wa Yesu UKristi, tihuwalawila hani hani.
4 kwa sababu tumesikia kuhusu imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo wenu mlio nao kwa watakatifu wote:
Tumvyenze ulweteho wamlinao hwa Yesu Ukristi nu lugano wamlinao hwa wantu wonti bhabhaguliwe awe hua Ngolowe.
5 imani na upendo ule utokao katika tumaini mlilowekewa akiba mbinguni, na ambalo mmesikia habari zake katika neno la kweli, yaani, ile Injili
Mli nulugano walioli uweshelwe humwanya awe wenyu. Mwahomvyezye aje agole lioli, shalisele izwi ni injili,
6 iliyowafikia ninyi. Duniani kote Injili hii inazaa matunda na kuenea kama ilivyokuwa kwenu tangu siku ile mlipoisikia na kuielewa neema ya Mungu katika kweli yote.
eyo inyezelehu mwenyu. Inzwi lipapa amadondo liwala musimonti liwomba mhanti yentu ahuande isiku liamuhahovyenzye na manyile lioli uwene wa Ngolobhe.
7 Mlijifunza habari zake kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu mpendwa, yeye aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu,
Eli izwi lyammanyie afume hwa Epafra, uganwwe wetu, umuwomba mbombo uwamwentu, muomba mbombo ugolosu wa Kristi ubadra uwetu.
8 ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho.
U Epafra auwombile uonehane humwenti uugano wenyu Hwampepo.
9 Kwa sababu hii, tangu siku ile tuliposikia habari zenu, hatujakoma kuomba kwa ajili yenu na kumsihi Mungu awajaze ninyi maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote ya kiroho na ufahamu.
Huje ulugano ouu ahwandi isiku hatahahovyenzye sagatileshile huwaputile. Tilishatillawa aje mmeme injelee, ihekima yonti, injele yahupepo.
10 Nasi tunaomba haya ili mpate kuishi maisha yanayostahili mbele za Bwana, na mpate kumpendeza kwa kila namna: mkizaa matunda kwa kila kazi njema, mkikua katika kumjua Mungu,
Tilishatilawa aje mjendaje na jimbe hwa Bwana hwidala lilipendezye. Tilishatilawa aje mpape amadondo shila mbombo inyinza munzawe ni njele iya Ngolowe.
11 mkiwa mmetiwa nguvu kwa uwezo wote kwa kadiri ya nguvu yake yenye utukufu, ili mpate kuwa na wingi wa saburi na uvumilivu. Nanyi kwa furaha
Tilawa mposhele ingovu ni ngovu izyi tuntumu wakwe naje tijimbanje na jimbizanye tonti.
12 mkimshukuru Baba, ambaye amewastahilisha kushiriki katika urithi wa watakatifu katika ufalme wa nuru.
Tilawa aje mshanje tisalipua huadaada yawawombile amwe muwe wakwe hulweteho uselu.
13 Kwa maana ametuokoa kutoka ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa,
Atikomboe afume huutawala wa nkhisi na hutusamizizye huumwene wa Mwana wakwe uganwe.
14 ambaye katika yeye tunao ukombozi, yaani msamaha wa dhambi.
Hwa Mwana wakwe tikombolilwe, tisanjililwe hu mbiwi.
15 Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
Umwana aliye yu Ngolowe yasagaawoneha, upapwe wahuande ya wumbe vyonti.
16 Kwake yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi viliumbwa: vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, viwe ni viti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala; vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
Umwene ivitu vyonti vyahawombwilwe izyahumisanya, izyamunsi viviloleha, visagaviloleha. nkavya enzi, nkavya tawale vyangovu vyonti vyahawubwelwe nu mwene kwaajili yakwe.
17 Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
Umwene aleho wahuande kabla ya vyonti, umwene ivinti vyonti vihatene peka.
18 Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote.
Umwene litwe li pele yaani ishiwanza, umwene wahuande, papwe wahuande afume mwawafyeye. Huje alini nafasi ya huande mvintu vyonti.
19 Kwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake,
Huje Ungolobhe ahasongwelwe aje ufinyile wakwe wonti ukhala mhati yakwe,
20 na kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani.
apatanishe ivintu vyonti hwidala lya Mwana wakwe. Ungolowe aahawombile upumu ashirile idanda lya mshikhomanyo wakwe. Ungolobhe ahapatanisizye wintu vyonti ivyakwe mwene. Nkha vintu vya munsi au ivintu vyahumwanya.
21 Hapo kwanza mlikuwa mmetengana na Mungu, na mlikuwa adui zake katika nia zenu kwa sababu ya mienendo yenu mibaya.
Amwe nantele mwahali wajenu hwa Ngolobhe mwahali wawiwi wakwe hujele na humbombo imbiwi.
22 Lakini sasa Mungu amewapatanisha ninyi kwa njia ya mwili wa Kristo kupitia mauti, ili awalete mbele zake mkiwa watakatifu, bila dosari wala lawama,
Eshi awawonganyenye amwe hu bele wakwe ashilile afye. Ahawombile esho ili awalete amwe muwagolosu wasaga walinimbiwi wala intavu hwitangalila lyakwe,
23 ikiwa mnaendelea katika imani yenu mkiwa imara na thabiti, pasipo kuliacha tumaini lililoahidiwa katika Injili. Hii ndiyo ile Injili mliyoisikia, ambayo imehubiriwa kwa kila kiumbe chini ya mbingu, na ambayo mimi Paulo nimekuwa mtumwa wake.
nkamuza jende mlweteshelo mkamilishe mlishinza msahasogole mdandamaje hunzwi. Hi ndiyo injili iliyotangazwa kwa kila mtu aliyeumbwa chini ya mbingu. Elino ane ni Paulo indi muwomba mbombo.
24 Sasa nafurahia kule kuteseka kwangu kwa ajili yenu, na katika mwili wangu ninatimiliza yale yaliyopungua katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
Eshi ishiye lwipata amalawa kwa ajili yamwe. Nanee iwomba hubele gwane shishipungoha humatawa gane hwa Kristi hubele gwakwe, ishipanga.
25 Mimi nimekuwa mtumishi wa kanisa kwa wajibu alionipa Mungu ili kuwaletea ninyi Neno la Mungu kwa ukamilifu:
Ane nimuomba mbombo wishipanga husawasawa ni mbombo nyimpewilwe afume Hwangolowe hwaajili yamwe, amyemye izwi lya Ngolobhe.
26 Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn g165)
Ene ilioli siri ifisilwe amaha minchi huvizazi. Eshi saga siri hwa wonti wawali nu lweteshelo hwa mwene. (aiōn g165)
27 Kwao, Mungu amechagua kujulisha miongoni mwa watu wa Mataifa utukufu wa utajiri wa siri hii, ambayo ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu.
Ungolowe awazile wala wahwanza huwawonesha utaajiri wa utuntumu wa siri ya ulioli mhanti yawantu munsi zyonti. Huje UKristi aleho mhati yenyu, udandamazu nu tuntumu uuhwenza.
28 Yeye ndiye tunayemtangaza, tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote ili tuweze kumleta kila mmoja akiwa amekamilika katika Kristo.
Uno yuyulatihutengemela Tihusunda kila muntu, tihumanyizya kila muntu injele yonti, ili tulete kila muntu huungolosu hwa Kristi.
29 Kwa ajili ya jambo hili, ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri ya nguvu zake ambazo hutenda kazi ndani yangu kwa uweza mwingi.
Ane ihujilavya na ikazana afuatane ni ngovu zyakwe zyaziwomba imbombo mhati yane nu ngovu.

< Wakolosai 1 >