< Wakolosai 1 >
1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu:
Manzo Kristi yesu, ni nyme irji mba Timoti vayinbu.
2 Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, waishio Kolosai: Neema na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu ziwe nanyi.
Hi ni bi tsatra ndi Irji, wandi ba to kponji tre ni miri vayinbu biwandi ki bimba nimi Kristi biwa ba heni Kolosi. Du sisron ni kinklasron ni mi Irji nitimbu shu yiwu.
3 Siku zote tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, tunapowaombea ninyi,
Kisi ngiri ni Irji itimbu mba ti Baci mbu Kristi. konita kibre Irjhi nitumbi chachu.
4 kwa sababu tumesikia kuhusu imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo wenu mlio nao kwa watakatifu wote:
Kiwo njanjinbi nimi Kristi Yesu ni ngyeme iwandi bi heniwu niwandi nitumbi bahe hwahwere ni Irji.
5 imani na upendo ule utokao katika tumaini mlilowekewa akiba mbinguni, na ambalo mmesikia habari zake katika neno la kweli, yaani, ile Injili
Biheni iwayi nitu ngyiri u njaji nitu ikpewandi batizi niyiwu nishulu. biwo yanko nikponji tre u jaji blatrerji.
6 iliyowafikia ninyi. Duniani kote Injili hii inazaa matunda na kuenea kama ilivyokuwa kwenu tangu siku ile mlipoisikia na kuielewa neema ya Mungu katika kweli yote.
Iwandi niyimu, tre irji, ningrji mirti na kpobi nigbunglua kigon. ani titombane myimbi Irji niviwandi bi wou' nitindum'u' ni malatiiwandi Irji ujanji.
7 Mlijifunza habari zake kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu mpendwa, yeye aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu,
Itre irji hibiwandi kiwoni Abafaras, ikpa wandi kinyebeu, ahi kpanbu ubre, ahi jiji kpanbu iwandi kinyebe niwu'a. wawuyi ni kirli nikoshishi Almasihu natre ninyumbu.
8 ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho.
Abafaras a watre nyebenbi nimyimre.
9 Kwa sababu hii, tangu siku ile tuliposikia habari zenu, hatujakoma kuomba kwa ajili yenu na kumsihi Mungu awajaze ninyi maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote ya kiroho na ufahamu.
Rjinise tunturmu niviwandi kiwotokima, kikukri nibrerji gbangbanme. Kisi kukrli nibre ninduyi to kpekpeme nikpawandi asirimrenituma nimyitoma mrema ni myi tre Rji ni sisriji.
10 Nasi tunaomba haya ili mpate kuishi maisha yanayostahili mbele za Bwana, na mpate kumpendeza kwa kila namna: mkizaa matunda kwa kila kazi njema, mkikua katika kumjua Mungu,
Kisibrerji ninduyi zre ezrewandi irjimiheni kinkla sro'a na ngyemeniyi kibrerjiindu bingirji midi ninko ndu dindi biwlude nimyi trerji
11 mkiwa mmetiwa nguvu kwa uwezo wote kwa kadiri ya nguvu yake yenye utukufu, ili mpate kuwa na wingi wa saburi na uvumilivu. Nanyi kwa furaha
Ki brerji ungwroyi nimiyi kpe wandi bitoti'u nitu ngbegle kwungbarju ni vusro ni gblestro.
12 mkimshukuru Baba, ambaye amewastahilisha kushiriki katika urithi wa watakatifu katika ufalme wa nuru.
Kibrerji bingyiri ni kinkla sronitimbu iwandi ahenishu atinko iwandi bi fe isanbi 'u' gado nimyibiwandi baheni srondidi ni myikpa.
13 Kwa maana ametuokoa kutoka ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa,
Arutakpani ngbengble bwu yeni jiji vrema.
14 ambaye katika yeye tunao ukombozi, yaani msamaha wa dhambi.
Nitu jijivrema anikarji nawuruhlatrenbu hlega ni'atawu.
15 Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
wa wui Ivrerji umumla ni gbugluimpempeme kongye aheni kogonma nindidi niwandi anahi dindimana.
16 Kwake yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi viliumbwa: vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, viwe ni viti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala; vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
Nintuma Irji ati kpibiadi baheshu nibiandi baheni ngbunglu biandi kitoba nibiandi kina tobana ni dindima niwandi ana dindimana.
17 Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
Ni kosa nibi ngbengble ati kongye chudu.
18 Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote.
Ngarli wawu'i hitunza utrarji. ngarli wawu'i hi ri nimyi mumla iwandi akyu na wlundemiyibe, nitukima aheni bubumumla ni kongye.
19 Kwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake,
Don irji aheni kinklansoro nitu Ibrama a shuninema.
20 na kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani.
Ngarli akarji ni kongye kmahini wawunitu vuvre. irji aji kukla sorn ye nituyi ma iwandi akahlega. irji'a karji kbahini kpama, nikpwiwandi baheni gbuglu nikpi biwandi waheni shulu.
21 Hapo kwanza mlikuwa mmetengana na Mungu, na mlikuwa adui zake katika nia zenu kwa sababu ya mienendo yenu mibaya.
Tunisen bina bitsri nirji, bina kanbiniwu harmyisorombi, binabiandi bitali memekpi'a.
22 Lakini sasa Mungu amewapatanisha ninyi kwa njia ya mwili wa Kristo kupitia mauti, ili awalete mbele zake mkiwa watakatifu, bila dosari wala lawama,
Abayaziza'a na karji niyi'u nitu kyuma ukpa. atitoyi nami son kayinibiandi baheni kinklasro'a biandi bana heni kpeandi batreni tumba mememana.
23 ikiwa mnaendelea katika imani yenu mkiwa imara na thabiti, pasipo kuliacha tumaini lililoahidiwa katika Injili. Hii ndiyo ile Injili mliyoisikia, ambayo imehubiriwa kwa kila kiumbe chini ya mbingu, na ambayo mimi Paulo nimekuwa mtumwa wake.
Idanbimlazre nimyi kinkla sroa'a nikukrli ngbangba, binabi kmayagon nimyi yankon niningyiri nitrerjiandi bizi wou. Iwayi hetrerji wandi kowanrji iwandi Irji tiu niza shulu. iwayi hitre Rji iwandi ime Bulus mihgranituma
24 Sasa nafurahia kule kuteseka kwangu kwa ajili yenu, na katika mwili wangu ninatimiliza yale yaliyopungua katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
Ziza'a mingyri nitu ya'a wandi misha nitumbi'a nimyi mitikpewandu a don almasihu uwyama nitu kpamawandi wawuyi hetutrerji'a.
25 Mimi nimekuwa mtumishi wa kanisa kwa wajibu alionipa Mungu ili kuwaletea ninyi Neno la Mungu kwa ukamilifu:
Nitu itutrerji mikamatigra, nitu idiwandi izinendumitini tumbi, domin tinduma wawurji kle.
26 Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn )
Iwayi'i he gbugblu unjanji iwandi a kuri ise ni se haryeluwa. ziza'a bahla'u kpekesheme nibiandi bangye me niwu. (aiōn )
27 Kwao, Mungu amechagua kujulisha miongoni mwa watu wa Mataifa utukufu wa utajiri wa siri hii, ambayo ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu.
Nitumbayi irjison unjanjima nimyinji itsro Almasihumbani myimba, tondi ikimba siye.
28 Yeye ndiye tunayemtangaza, tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote ili tuweze kumleta kila mmoja akiwa amekamilika katika Kristo.
Iwayihikpewandi kisidubu. kisi nworo inji mpepembawu kitro kungi, andu to kpewandi aheni kpa. don kimi nji ndi wandi anihurji ngbagbame'a himi ko shishi.
29 Kwa ajili ya jambo hili, ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri ya nguvu zake ambazo hutenda kazi ndani yangu kwa uweza mwingi.
Nitu nayi mitindu ni srori ni ngbengble iwandi ahemi newu ni gbengblenmu