< Wakolosai 1 >

1 Paulo, mtume wa Kristo Yesu, kwa mapenzi ya Mungu, na Timotheo ndugu yetu:
Ik' shunon Krstos Iyesush wosheets wottso P'awlosn at no eshu T'imotiyosoke.
2 Kwa ndugu watakatifu na waaminifu katika Kristo, waishio Kolosai: Neema na amani zitokazo kwa Mungu Baba yetu ziwe nanyi.
K'olasayasn beyiru Krstosn S'ayinonat amanek wotts amantsuwotssh. Ik'o no nihokere deeronat jeenon itsh wotowe.
3 Siku zote tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, tunapowaombea ninyi,
It jangosh Ik'o t k'onor nodoonz Iyesus Krstos nih Ik'o úni aawo údirwone.
4 kwa sababu tumesikia kuhusu imani yenu katika Kristo Yesu, na upendo wenu mlio nao kwa watakatifu wote:
Krstos Iyesusn it detsts imnetiyonat amants jamwotssh it detsts shuno shishrone.
5 imani na upendo ule utokao katika tumaini mlilowekewa akiba mbinguni, na ambalo mmesikia habari zake katika neno la kweli, yaani, ile Injili
Ari aap' wottso doo shishiyo shin shino itok b́bodor bítse fa'a jangeyirwo shishirute, mansh it imnetiyonat it shunon b́need' darotse k'aniyere itn kotirwo jangiyetsmanatsne.
6 iliyowafikia ninyi. Duniani kote Injili hii inazaa matunda na kuenea kama ilivyokuwa kwenu tangu siku ile mlipoisikia na kuielewa neema ya Mungu katika kweli yote.
Dooshishiyan dats jamatse shwonat eenoke b́fa'oni mank'o it doo shishyo itk'ebiyakonat Ik'i s'aato arik b́wottsok'owo t'iwints itdek'iyak aawotstson it dagots finoke b́faoni.
7 Mlijifunza habari zake kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu mpendwa, yeye aliye mhudumu mwaminifu wa Kristo kwa ajili yenu,
Hanowere no shegro Krstos guuts amanetso wottsonat noontonuwere towaat finirwo shuneetso Ep'afray itsh keewre.
8 ambaye pia ametuambia kuhusu upendo wenu katika Roho.
Mank'owere Ik'i Shayiron it atsatseyo it shunewo bí noosh keewre.
9 Kwa sababu hii, tangu siku ile tuliposikia habari zenu, hatujakoma kuomba kwa ajili yenu na kumsihi Mungu awajaze ninyi maarifa ya mapenzi yake katika hekima yote ya kiroho na ufahamu.
Mansh han noshishts aawotstson tuwat Shayiri dani teleefon t'iwints jamo Ik'i shunon t'iwints itdek'etu s'eents dano it detsetwok'o itsh Ik' k'ono ned'iratsone.
10 Nasi tunaomba haya ili mpate kuishi maisha yanayostahili mbele za Bwana, na mpate kumpendeza kwa kila namna: mkizaa matunda kwa kila kazi njema, mkikua katika kumjua Mungu,
Mank'owere doonzosh wotts weeron beyarr b́ jamon bín it gene'ushitwok'o kon naari sheeng fino finon shuwo it shwitwok'onat Ik' danon eenfere it ametuwok'o Ik'o k'onituwe.
11 mkiwa mmetiwa nguvu kwa uwezo wote kwa kadiri ya nguvu yake yenye utukufu, ili mpate kuwa na wingi wa saburi na uvumilivu. Nanyi kwa furaha
Doonzo aydek' een wotts b́ kup'on itsh ang jamo ime, k'amoon jam keewo falon k'andek'tswotsi it wotitwok'o itn woshwe,
12 mkimshukuru Baba, ambaye amewastahilisha kushiriki katika urithi wa watakatifu katika ufalme wa nuru.
dabnuere shááni mengstutse S'ayinwotsnton rstiyo it kayitwok'o itn betsts Ik'o niho gene'on údooere.
13 Kwa maana ametuokoa kutoka ufalme wa giza na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa,
Bíwere t'alwi angotse noon kashit shuneets naayo mengstots no kinditwok'o woshre.
14 ambaye katika yeye tunao ukombozi, yaani msamaha wa dhambi.
Bíínowere noo aaniyi keeweyat no morrosh orowe eto daatsrone.
15 Yeye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
Krstos be'eraw Ik'osh bíariyoniye. Bí azeets jamoniyere k'aabe.
16 Kwake yeye vitu vyote vilivyoko mbinguni na juu ya nchi viliumbwa: vitu vinavyoonekana na visivyoonekana, viwe ni viti vya enzi au falme, au wenye mamlaka au watawala; vitu vyote viliumbwa na yeye na kwa ajili yake.
Daronat datsatse fa'awots, be'eyirwonat be'eraw, daratsi angwotsnat keewirwotsno, naashwotsnat aliru jamwots bo azee bíne. Ik'o jam keewo bí az bín bíshe.
17 Yeye alikuwepo kabla ya vitu vyote, na katika yeye vitu vyote vinashikamana pamoja.
Bí jam keewoniyere shine b́ teshi, jam keewo desheyat b́ need' bíne.
18 Yeye ndiye kichwa cha mwili, yaani kanisa, naye ndiye mwanzo na mzaliwa wa kwanza kutoka kwa wafu, ili yeye awe mkuu katika vitu vyote.
Bí bí ats wotts Ik' moosh b tooke, jam keewon shntso b́ wotitwok'o, k'irotse tuwon shintsonat k'aaboniye.
19 Kwa kuwa ilimpendeza Mungu kwamba utimilifu wake wote ukae ndani yake,
Han b́wotwere Ik'o Ik' b́woti s'eeno b́ naayn b́wotish Ik'o niho shuntso b́wottsotsne.
20 na kwa njia yake aweze kuvipatanisha vitu vyote na yeye mwenyewe, viwe ni vitu vilivyo duniani au vilivyo mbinguni, kwa kufanya amani kwa damu yake, iliyomwagika msalabani.
Bínowere daron wotowa datsatse fa'a keewu jamwotsi b́ tookonton maniyo shunre, jitatse kud'ts b́naay s'atson jeeno b́woshi.
21 Hapo kwanza mlikuwa mmetengana na Mungu, na mlikuwa adui zake katika nia zenu kwa sababu ya mienendo yenu mibaya.
Shin Ik'atse wokaatni it beefoni, it asaabiyona it gond finatse tuutson balangarwotsiye it teshi.
22 Lakini sasa Mungu amewapatanisha ninyi kwa njia ya mwili wa Kristo kupitia mauti, ili awalete mbele zake mkiwa watakatifu, bila dosari wala lawama,
Andmó S'ayinwotsnat eegonor s'amiyerawotsi, boatse eeg eeg daatserawotsi woshdek't b́shinats itn t'intsosh, b́ naay meetson b́ k'irtsosh, Ik'o b́tookonton itin b́ maniyi.
23 ikiwa mnaendelea katika imani yenu mkiwa imara na thabiti, pasipo kuliacha tumaini lililoahidiwa katika Injili. Hii ndiyo ile Injili mliyoisikia, ambayo imehubiriwa kwa kila kiumbe chini ya mbingu, na ambayo mimi Paulo nimekuwa mtumwa wake.
Han b́ wotitwere bíyats need'dek'at matseyat bíko dooshishiyatse daatsosh jangiyets keewatse it giwrawo amanon kup'arr it beewor s'uziye, dooshishiyanwere it it shishtsonat datsatsere fa'a ashuwotssh nabetsoniye, taa P'awlos guutso twot dooshishiyanshe.
24 Sasa nafurahia kule kuteseka kwangu kwa ajili yenu, na katika mwili wangu ninatimiliza yale yaliyopungua katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, ambao ni kanisa.
And it jangatse tdek'iru gond bek'osh geneeúwirwe, bíats wotts Ik'i moowshowere Krstos gondbek'o kaydek'oonton taash shapitwo tmeetson s'eentsitwe.
25 Mimi nimekuwa mtumishi wa kanisa kwa wajibu alionipa Mungu ili kuwaletea ninyi Neno la Mungu kwa ukamilifu:
Ik'i aap'o s'eenon itsh kitsosh Ik'oke taash imets alok'oon Ik'i moosh fintso wotere.
26 Hii ni siri iliyokuwa imefichika tangu zamani na kwa vizazi vingi, lakini sasa imefunuliwa kwa watakatifu. (aiōn g165)
Ik'i aap'onwere beshts dúron shweets ash na'úwotssh ááshat teshtsonat andmó Ik'o bík S'ayinwotts jamwotssh b́kiitsts ááshat teshtsoniye. (aiōn g165)
27 Kwao, Mungu amechagua kujulisha miongoni mwa watu wa Mataifa utukufu wa utajiri wa siri hii, ambayo ni Kristo ndani yenu, tumaini la utukufu.
Ik'onwere bík S'ayinwotssh kitsosh b́geeyir hanoke fa'o ááshts mangi gaalo ititse Ik'i ashwoterawwots dagotse awuk'o bodts een b́wottsok'oniye, ááshtsanwere jangat nokotiru mang bín datsetu Krstos ititse b́ wotoniye.
28 Yeye ndiye tunayemtangaza, tukimwonya kila mtu na kumfundisha kila mtu kwa hekima yote ili tuweze kumleta kila mmoja akiwa amekamilika katika Kristo.
Asho ik ikon Krstosn bodtso b́wotitwok'o kaldek'at t'intsosh ash jamosh dani teleef jamon daniyat izon Krstos jango nabirwone.
29 Kwa ajili ya jambo hili, ninajitaabisha, nikijitahidi kwa kadiri ya nguvu zake ambazo hutenda kazi ndani yangu kwa uweza mwingi.
Ik'o bíeen angon tgitsotse b́ finirwotse angaann no keewtsán b́finetwok'o kup'dek'at maak'orefetsat shaatsirwe.

< Wakolosai 1 >