< Amosi 1 >

1 Maneno ya Amosi, mmoja wa wachunga wanyama wa Tekoa: yale aliyoyaona kuhusu Israeli miaka miwili kabla ya tetemeko la ardhi, wakati Uzia alikuwa mfalme wa Yuda, na Yeroboamu mwana wa Yehoashi alikuwa mfalme wa Israeli.
Šie ir Amosa, Tekoas avju gana, vārdi, ko viņš ir redzējis pār Israēli Uzijas, Jūda ķēniņa, dienās, un Jerobeama, Jehoas dēla, Israēla ķēniņa, dienās, divus gadus priekš tās zemes trīcēšanas.
2 Alisema: “Bwana ananguruma toka Sayuni, pia ananguruma kutoka Yerusalemu; malisho ya wachunga wanyama yanakauka, kilele cha Karmeli kinanyauka.”
Un viņš sacīja: Tas Kungs rūc no Ciānas un paceļ Savu balsi no Jeruzālemes, ka ganības bēdājās, un Karmeļa galva nokalst.
3 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Dameski, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliipura Gileadi kwa vyombo vya chuma vyenye meno.
Tā saka Tas Kungs: treju vai četru Damaskus pārkāpumu dēļ - to Es nenovērsīšu, - tāpēc ka tie Gileādu kūluši ar asiem dzelzs spriguļiem,
4 Nitatuma moto juu ya nyumba ya Hazaeli ambao utateketeza ngome za Ben-Hadadi.
Tāpēc Es sūtīšu uguni Azaēļa namā, tas aprīs BenHadada skaistās pilis.
5 Nitalivunja lango la Dameski; nitamwangamiza mfalme aliyeko katika Bonde la Aveni, na yeye ambaye anaishika fimbo ya utawala katika Beth-Edeni. Watu wote wa Aramu watakwenda uhamishoni huko Kiri,” asema Bwana.
Un Es salauzīšu Damaskus aizšaujamo un izdeldēšu tos iedzīvotājus no Avenas ielejas un to, kas scepteri tur no BetEdenas; un Sīrijas ļaudis taps aizvesti uz Ķiru, saka Tas Kungs.
6 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Gaza, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu walichukua mateka jumuiya nzima na kuwauza kwa Edomu,
Tā saka Tas Kungs: triju vai četru Gacas pārkāpumu dēļ, - to Es nenovērsīšu, - tādēļ ka tie (Manus ļaudis) lielā pulkā aizveduši, tos nodot Edomam,
7 nitatuma moto juu ya kuta za Gaza ambao utateketeza ngome zake.
Tādēļ Es sūtīšu uguni Gacas mūros, tas aprīs viņas skaistos namus.
8 Nitamwangamiza mfalme wa Ashdodi na yeye aishikaye fimbo ya utawala katika Ashkeloni. Nitaugeuza mkono wangu dhidi ya Ekroni, hadi Mfilisti wa mwisho atakapokufa,” asema Bwana Mwenyezi.
Un Es izdeldēšu tos iedzīvotājus no Ašdodas, un, kas scepteri tur, no Askalonas, un Es griezīšu Savu roku pret Ekronu, ka bojā ies viss Fīlistu atlikums, saka Tas Kungs Dievs.
9 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Tiro, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu ameuza jumuiya nzima ya mateka kwa Edomu, na kutokujali mapatano ya undugu,
Tā saka Tas Kungs: treju vai četru Tirus pārkāpumu dēļ, - to Es nenovērsīšu, - tāpēc ka tie Manus ļaudis lielā pulkā nodevuši Edomam un nav pieminējuši brāļu derību,
10 Nitatuma moto kwenye kuta za Tiro ambao utateketeza ngome zake.”
Tāpēc Es sūtīšu uguni Tirus mūros, un tas aprīs viņa skaistos namus.
11 Hili ndilo Bwana asemalo: “Kwa dhambi tatu za Edomu, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu alimfuatia ndugu yake kwa upanga, alikataa kuonyesha huruma yoyote, kwa sababu hasira yake kali iliendelea kupanda wakati wote na ghadhabu iliwaka bila kuzuiliwa.
Tā saka Tas Kungs: triju vai četru Edoma pārkāpumu dēļ, - to Es nenovērsīšu, - tāpēc ka viņš savu brāli ar zobenu vajājis, un savu mīlestību iznīcinājis un savā bardzībā arvien plosās un patur mūžam savas dusmas,
12 Nitatuma moto juu ya Temani ambao utateketeza ngome za Bosra.”
Tāpēc Es sūtīšu uguni Temanā, tas aprīs Bocras skaistos namus.
13 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Amoni, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliwatumbua wanawake wajawazito wa Gileadi ili kuongeza mipaka yake.
Tā saka Tas Kungs: triju vai četru Amona bērnu pārkāpumu dēļ - to Es nenovērsīšu, - tāpēc ka tie Gileādas grūtās sievas uzšķērduši savas robežas izplest,
14 Nitatuma moto kwenye kuta za Raba ambao utateketeza ngome zake katikati ya vilio vya vita katika siku ya mapigano, katikati ya upepo mkali katika siku ya dhoruba.
Tāpēc Es iededzināšu uguni Rabas mūros, tas aprīs viņas skaistos namus, kara dienas kliegšanā un vētras dienas aukā.
15 Mfalme wake atakwenda uhamishoni, yeye pamoja na maafisa wake,” asema Bwana.
Un viņu ķēniņš ies cietumā ar saviem lielkungiem, saka Tas Kungs.

< Amosi 1 >