< Amosi 9 >

1 Nilimwona Bwana akiwa amesimama kando ya madhabahu, naye akasema: “Piga vichwa vya nguzo ili vizingiti vitikisike. Viangushe juu ya vichwa vya watu wote; na wale watakaosalia nitawaua kwa upanga. Hakuna awaye yote atakayekimbia, hakuna atakayetoroka.
Na da Hina Gode oloda dafulili lelebe ba: i. E da amane hamoma: ne sia: i, “Debolo duni bugi amo gadodili, amo Debolo ea bai yaguguma: ne fama! Ilia da mugululi, dunu ilia dialumaga sa: ima: ne, fima! Na da dunu hame bogoi amo huluane gegesu ganodini fane legemu! Dunu afae da hobea: i dagoi hame ba: mu.
2 Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu, kutoka huko mkono wangu utawatoa. Wajapopanda juu hadi kwenye mbingu, kutoka huko nitawashusha. (Sheol h7585)
Ilia da uli dogone, gudu sa: ili, bogoi sogega doaga: sea, Na da ili hogole ba: mu. Ilia da muagado heda: sea, Na da ili ba: mu. (Sheol h7585)
3 Wajapojificha juu ya kilele cha Karmeli, huko nitawawinda na kuwakamata. Wajapojificha kutoka kwenye uso wangu katika vilindi vya bahari, huko nako nitaamuru joka kuwauma.
Ilia da Gamele Goumi gadodili da: iya wamoaligisia, Na da ili hogoi helele lamu. Ilia da hano wayabo bagade hagududafa amoga Na ili mae ba: ma: ne, wamoaligisia, Na da gasonasu ohe bagade hano wayabo bagade ganodini esala, amo ili gasomoma: ne sia: mu.
4 Wajapopelekwa uhamishoni na adui zao, huko nako nitaamuru upanga uwaue. Nitawakazia macho yangu kwa mabaya wala si kwa mazuri.”
Ilima ha lai da ili ga sogega mugululi ahoasea, Na da amo dunu ili fane legema: ne sia: mu. Na da ili mae fidili, udigili wadela: lesimu fawane ilegei dagoi.
5 Bwana, Bwana Mwenye Nguvu Zote, yeye agusaye dunia nayo ikayeyuka, na wote wakaao ndani mwake wakaomboleza: nayo nchi yote huinuka kama Naili, kisha hushuka kama mto wa Misri;
Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa da osobo bagade digili ba: sea, osobo bagade da yagugusa. Dunu huluane amogai esala da didigia: mu. Osobo bagade da Naile Hano defele, gado heda: sa amola gudu daha.
6 yeye ambaye hujenga jumba lake la kifalme katika mbingu na kuisimika misingi yake juu ya dunia, yeye aitaye maji ya bahari na kuyamwaga juu ya uso wa nchi: Bwana ndilo jina lake.
Hina Gode da Ea diasu muagado ganodini gagusa. E da mu dedebosu agoane osobo bagadega figisisa. E da hano wayabo bagade amo ea hano misa: ne sia: sea, osobo bagade da: iya sogadigisa. Ea Dio da Hina Godedafa!
7 “Je, Waisraeli, ninyi si sawa kwangu kama Wakushi?” asema Bwana. “Je, sikuleta Israeli kutoka Misri, Wafilisti kutoka Kaftori, na Washamu kutoka Kiri?
Hina Gode da amane sia: sa, “Isala: ili fi dunu! Na da Suda: ne dunu ilima asigisa, dilima asigisu defele. Na da dili Idibidi sogega oule misi, amo defele Na da Filisidini dunu Galidi sogega gadili oule misi amola Na da Silia dunu Ge sogega gadili oule misi.
8 “Hakika macho ya Bwana Mwenyezi yako juu ya ufalme wenye dhambi. Nami nitauangamiza kutoka kwenye uso wa dunia: hata hivyo sitaiangamiza kabisa nyumba ya Yakobo,” asema Bwana.
Na, Ouligisudafa Hina Gode, da wadela: i hamosu Isala: ili dunu fi amo ba: lala. Na da ili osobo bagadega bu hame ba: ma: ne dafawanedafa ili wadela: lesimu. Be Ya: igobe ea fi huluanedafa Na da hame wadela: lesimu. Dunu eno bagahame da esalumu.
9 “Kwa kuwa nitatoa amri, na nitaipepeta nyumba ya Israeli miongoni mwa mataifa yote, kama vile nafaka ipepetwavyo katika ungo, na hakuna hata punje moja itakayoanguka chini.
Na da wadela: musa: sia: ne, na da Isala: ili dunu amo gagoma gasa: le legesu ganodini igugusa amo defele ili igugumu. Na da wadela: i dunu fadegamusa: , ili fifi asi gala huluane amo ganodini Isala: ili dunu igugumu.
10 Watenda dhambi wote miongoni mwa watu wangu watauawa kwa upanga, wale wote wasemao, ‘Maafa hayatatupata wala kutukuta.’
Wadela: i hamosu dunu Na fi amo ganodini huluane da gegesu ganodini fane legei dagoi ba: mu. Amo wadela: i dunu da mae dawa: iwane amane sia: sa, “Hina Gode da ninia se nabasu mae ba: ma: ne, eso huluane nini gaga: mu.”
11 “Katika siku ile nitaisimamisha hema ya Daudi iliyoanguka. Nitakarabati mahali palipobomoka na kujenga upya magofu yake, na kuijenga kama ilivyokuwa awali,
Hina Gode da amane sia: sa, “Eso da misunu, amoga Na da Da: ibidi ea hina bagade hou amola ea fi (wali amo da diasu mugului dagoi agoane ba: sa) amo bu hahamomu. Na da ea dobea bu hahamomu amola amo fi da ilia musa: hou defele ba: mu.
12 ili wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu, na mataifa yote yale yanayobeba Jina langu,” asema Bwana ambaye atafanya mambo haya.
Amasea, Isala: ili dunu da Idome soge la: di diala amo hasalimu amola soge fi musa: Na gagui amoga hasalasimu,” Hina Gode E da amo hamomusa: amane sia: sa.
13 “Siku zinakuja,” asema Bwana, “wakati mvunaji atatanguliwa na mkulima, naye mpanzi atatanguliwa na yeye akamuaye zabibu. Divai mpya itadondoka kutoka milimani, na kutiririka kutoka vilima vyote.
Hina Gode da amane sia: sa, “Eso da misunu amoga widi amola gagoma amola ha: i manu huluane da hedolowane heda: le, yoi hamobeba: le, huluane faimu da hamedei ba: mu. Waini fage da hedolowane legele, yoi hamobeba: le, huluane amoga waini hamomu da hamedei ba: mu. Goumiga waini hano ea hedai da ula agoane dadadisa ahoanebe ba: mu. Agologa waini hano da hano nawa: li agoane ahoanebe ba: mu.
14 Nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa; wataijenga tena miji iliyoachwa magofu, nao wataishi ndani mwake. Watapanda mizabibu na kunywa divai yake; watalima bustani na kula matunda yake.
Na da Na fi dunu ilia sogega bu oule misunu. Ilia moilai bai bagade wadela: lesi amo ilia da bu hahamomu. Amola ilia da amo ganodini esalumu. Ilia da waini efe sagamu amola amoga waini hamoi manu. Ilia da ifabia sagamu amola amo ea ha: i manu fai manu.
15 Nitaipanda Israeli katika nchi yao wenyewe, hawatangʼolewa tena kutoka nchi ambayo nimewapa,” asema Bwana Mungu wenu.
Na da Na fi amo soge Na da ilima i, amoga Na da Na fi bu bugimu. Enoga bu fadegamu da bu hamedafa ba: mu.” Dilia Hina Gode da sia: i dagoi. Sia: ama dagoi

< Amosi 9 >