< Amosi 7 >

1 Hili ndilo alilonionyesha Bwana Mwenyezi katika maono: Alikuwa anaandaa makundi ya nzige baada ya kuvunwa fungu la mfalme na wakati ule tu mimea ya pili ilipokuwa ikichipua.
Saaledes lod den Herre, Herre mig se et Syn: Og se, han dannede Græshopper, da Græsset til anden Slæt begyndte at komme frem; og se der kom Græs til anden Slæt efter Kongens Høslæt.
2 Wakati nzige walikuwa wamekula mimea yote ya nchi, nililia kwa sauti kuu, “Bwana Mwenyezi, samehe! Je, Yakobo atawezaje kuendelea kuishi? Yeye ni mdogo sana!”
Og det skete, der de vare færdige med at æde Urterne i Landet, at jeg sagde: Herre, Herre, tilgiv dog! hvorledes skal Jakob kunne bestaa? thi liden er han.
3 Kwa hiyo Bwana akaghairi. Kisha Bwana akasema, “Hili halitatokea.”
Herren angrede dette; det skal ikke ske, sagde Herren.
4 Hili ndilo Bwana Mwenyezi alilonionyesha katika maono: Bwana Mwenyezi alikuwa akiita hukumu ya moto; nao ulikausha vilindi vikuu, ukateketeza nchi.
Saaledes lod den Herre, Herre mig se et Syn: Og se, den Herre, Herre kaldte for at holde Ret ved Ild; og den fortærede det store Dyb, og den fortærede Ageren.
5 Ndipo nikalia, “Bwana Mwenyezi, nakusihi, zuia! Je, Yakobo atawezaje kuendelea kuishi? Yeye ni mdogo sana!”
Og jeg sagde: Herre, Herre, lad dog af! hvorledes skal Jakob kunne bestaa? thi liden er han.
6 Kwa hiyo Bwana akaghairi. Bwana Mwenyezi akasema, “Hili nalo halitatokea.”
Herren angrede dette; heller ikke det skal ske, sagde den Herre, Herre.
7 Hili ndilo alilonionyesha katika maono: Bwana alikuwa amesimama karibu na ukuta ambao ulikuwa umejengwa kwa timazi, akiwa na uzi wa timazi mkononi mwake.
Saaledes lod han mig se et Syn: Og se, Herren stod paa en lodret Mur, og han havde et Blylod i sin Haand.
8 Naye Bwana akaniuliza, “Je, Amosi unaona nini?” Nikamjibu, “Uzi wa timazi.” Kisha Bwana akasema, “Tazama, ninaweka uzi wa timazi miongoni mwa watu wangu Israeli; sitawahurumia tena.
Og Herren sagde til mig: Hvad ser du, Amos? og jeg sagde: Et Blylod; da sagde Herren: Se, jeg vil bruge et Blylod midt iblandt mit Folk Israel; jeg vil ikke ydermere blive ved at skaane det.
9 “Mahali pa Isaki pa juu pa kuabudia miungu pataangamizwa, na mahali patakatifu pa Israeli pa kuabudia pataharibiwa; kwa upanga wangu nitainuka dhidi ya nyumba ya Yeroboamu.”
Men Isaks Høje skulle ødelægges, og Israels Helligdomme skulle blive øde, og jeg vil rejse mig imod Jeroboams Hus med Sværdet.
10 Kisha Amazia kuhani wa Betheli akatuma ujumbe kwa Yeroboamu mfalme wa Israeli, akisema: “Amosi analeta fitina juu yako katikati ya Israeli. Nchi haiwezi kuvumilia maneno yake yote.
Da sendte Amazia, Præsten i Bethel, Bud til Jeroboam, Israels Konge, og lod sige: Amos har stiftet Sammensværgelse imod dig, midt i Israels Hus, Landet kan ikke udholde alle hans Ord.
11 Kwa kuwa hili ndilo Amosi analosema: “‘Yeroboamu atakufa kwa upanga, na kwa hakika Israeli watakwenda uhamishoni, mbali na nchi yao.’”
Thi saa har Amos sagt: Jeroboam skal dø ved Sværdet, og Israel skal visselig bortføres fra sit Land.
12 Kisha Amazia akamwambia Amosi, “Nenda zako, ewe mwonaji! Urudi katika nchi ya Yuda. Ujipatie riziki yako huko na kutoa unabii wako.
Og Amazia sagde til Amos: Du Seer! gak bort, fly du til Judas Land, og æd der Brød, og spaa der!
13 Usiendelee kutoa unabii katika Betheli, kwa sababu hapa ni mahali pa mfalme pa kuabudia na Hekalu la ufalme huu.”
Men i Bethel maa du ikke ydermere blive ved at spaa; thi det er Kongens Helligdom, og det er Rigets Hus.
14 Amosi akamjibu Amazia, “Mimi sikuwa nabii wala mwana wa nabii, lakini nilikuwa mchungaji wa kondoo na mtunza mikuyu.
Da svarede Amos og sagde til Amazia: Jeg er ikke en Profet, og jeg er ikke en Profets Søn, men jeg er en Hyrde og en Mand, som sanker vilde Morbær.
15 Lakini Bwana akanitoa kutoka kuchunga kondoo na kuniambia, ‘Nenda, ukawatabirie watu wangu Israeli.’
Men Herren tog mig fra Hjorden, og Herren sagde til mig: Gak hen, vær Profet for mit Folk Israel!
16 Sasa basi, sikieni neno la Bwana. Ninyi mnasema, “‘Usitabiri dhidi ya Israeli, na uache kuhubiri dhidi ya nyumba ya Isaki.’
Og nu, hør Herrens Ord; du siger: Du maa ikke spaa imod Israel og ikke lade dine Ord dryppe over Isaks Hus.
17 “Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana: “‘Mke wako atakuwa kahaba mjini, nao wana wako na binti zako watauawa kwa upanga. Shamba lako litapimwa na kugawanywa, na wewe mwenyewe utafia katika nchi ya kipagani. Nayo Israeli kwa hakika itakwenda uhamishoni, mbali na nchi yao.’”
Derfor sasi siger Herren: Din Hustru skal blive en Skøge i Staden, og dine Sønner og dine Døtre skulle falde ved Sværdet, og din Jord skal deles med Maalesnoren, og du selv skal dø i et urent Land, og Israel skal visselig bortføres fra sit Land.

< Amosi 7 >