< Amosi 7 >

1 Hili ndilo alilonionyesha Bwana Mwenyezi katika maono: Alikuwa anaandaa makundi ya nzige baada ya kuvunwa fungu la mfalme na wakati ule tu mimea ya pili ilipokuwa ikichipua.
Na da esala ba: i amo ganodini Ouligisudafa Hina Gode ba: i. Isala: ili hina bagade ea gisi da noi dagoi amola gisi da bu heda: lebe amo esoga Hina Gode da danuba: wa: i bagadedafa hamonanebe ba: i.
2 Wakati nzige walikuwa wamekula mimea yote ya nchi, nililia kwa sauti kuu, “Bwana Mwenyezi, samehe! Je, Yakobo atawezaje kuendelea kuishi? Yeye ni mdogo sana!”
Na esala ba: i amo ganodini, na da danuba: mola: ya: i liligi huluane soge ganodini amo na dagoi ba: i. Amalalu, na da amane sia: i, “Ouligisudafa Hina Gode! Dia fi ilia hou gogolema: ne olofoma! Ilia da habodane esaloma: bela: ! Ilia da fonobahadi amola gasa hame!”
3 Kwa hiyo Bwana akaghairi. Kisha Bwana akasema, “Hili halitatokea.”
Hina Gode da Ea asigi dawa: su afadenene, amane sia: i, “Dia esala ba: i amo da dafawane hame ba: mu.”
4 Hili ndilo Bwana Mwenyezi alilonionyesha katika maono: Bwana Mwenyezi alikuwa akiita hukumu ya moto; nao ulikausha vilindi vikuu, ukateketeza nchi.
Ouligisudafa Hina Gode da nama esala ba: su eno olelei. E da Ea fi dunu se dabe iasu ima: ne, lalu didilalu. Lalu da hano wayabo bagade osobo hagudu diala amo nei dagoi. Amalalu, lalu da osobo bagade amola amo nemusa: muni nenanu.
5 Ndipo nikalia, “Bwana Mwenyezi, nakusihi, zuia! Je, Yakobo atawezaje kuendelea kuishi? Yeye ni mdogo sana!”
Amalalu, na amane sia: i, “Hame mabu! Ouligisudafa Hina Gode mae! Dia fi da habodane esaloma: bela: ? Ilia da fonobahadi amola gasa hame!”
6 Kwa hiyo Bwana akaghairi. Bwana Mwenyezi akasema, “Hili nalo halitatokea.”
Hina Gode da bu Ea asigi dawa: su afadenene, amane sia: i, “Amo amola da hame ba: mu.”
7 Hili ndilo alilonionyesha katika maono: Bwana alikuwa amesimama karibu na ukuta ambao ulikuwa umejengwa kwa timazi, akiwa na uzi wa timazi mkononi mwake.
Ouligisudafa Hina Gode da nama esala ba: su eno olelei. Amo ganodini na da Hina Gode dobea gagui (amo da ogoma efe ilegesu amoga defei) amo dafulili lelebe ba: i. Ea lobo ganodini, ogoma efe ilegesu dialebe ba: i.
8 Naye Bwana akaniuliza, “Je, Amosi unaona nini?” Nikamjibu, “Uzi wa timazi.” Kisha Bwana akasema, “Tazama, ninaweka uzi wa timazi miongoni mwa watu wangu Israeli; sitawahurumia tena.
E da nama amane adole ba: i, “A: imose! Di da adi ba: sala: ?” Na da bu adole i, “Na da ogoma efe ilegesu ba: sa!” Amalalu, E da nama amane sia: i, “Amoga Na da dima olelesa. Na fi dunu da dobea noga: le hame ilegele gagui defele esala. Na da ilima se dabe iasu ima: ne Na asigi dawa: su bu hame afadenemu.
9 “Mahali pa Isaki pa juu pa kuabudia miungu pataangamizwa, na mahali patakatifu pa Israeli pa kuabudia pataharibiwa; kwa upanga wangu nitainuka dhidi ya nyumba ya Yeroboamu.”
Aisage egaga fi ilia nodone sia: ne gadosu sogebi huluane da wadela: lesi dagoi ba: mu. Isala: ili soge hadigi sogebi huluane da wadela: lesi dagoi ba: mu. Na da hina bagade Yelouboua: me ea fi hina bagade hou huluane wadela: lesi dagomu.”
10 Kisha Amazia kuhani wa Betheli akatuma ujumbe kwa Yeroboamu mfalme wa Israeli, akisema: “Amosi analeta fitina juu yako katikati ya Israeli. Nchi haiwezi kuvumilia maneno yake yote.
A: masaia, Bedele gobele salasu dunu, da Yelouboua: me (Isala: ili hina bagade) ema sia: ne iasi amane, “A: imose da di wadela: ma: ne dunu huluane ilima hohonone sia: daha. Ea sia: da ninia soge fi huluane wadela: lesimu.
11 Kwa kuwa hili ndilo Amosi analosema: “‘Yeroboamu atakufa kwa upanga, na kwa hakika Israeli watakwenda uhamishoni, mbali na nchi yao.’”
E da amane sia: daha, ‘Yelouboua: me da gegesu ganodini bogomu. Isala: ili fi dunu huluane da ilia sogega fadegale, ga soge amo ganodini mugululi asi dagoi ba: mu.’”
12 Kisha Amazia akamwambia Amosi, “Nenda zako, ewe mwonaji! Urudi katika nchi ya Yuda. Ujipatie riziki yako huko na kutoa unabii wako.
Amalalu, A:masaia da A: imosema amane sia: i, “Balofede dunu! Ouiya: ma! Eno hame! Di Yuda sogega buhagili, amogai dia sia: olelema. Ilia fawane da dia sia: beba: le, bidi imunu da defea.
13 Usiendelee kutoa unabii katika Betheli, kwa sababu hapa ni mahali pa mfalme pa kuabudia na Hekalu la ufalme huu.”
Be Bedele moilai guiguda: ba: la: lusu sia: bu mae sia: ma. Bai amo sogebi da Isala: ili hina bagade ea nodone sia: ne gadosu sogebi amola Isala: ili fi ilia Debolo sogebi.”
14 Amosi akamjibu Amazia, “Mimi sikuwa nabii wala mwana wa nabii, lakini nilikuwa mchungaji wa kondoo na mtunza mikuyu.
A: imose da bu adole i, “Na da bidi lama: ne ba: la: lusu hou hame hamosa. Na da sibi ouligisu dunu amola figi ifa ouligisu dunu.
15 Lakini Bwana akanitoa kutoka kuchunga kondoo na kuniambia, ‘Nenda, ukawatabirie watu wangu Israeli.’
Be Hina Gode da na sibi ouligisu hawa: hamosu fisili, ea fi Isala: ili dunuma fa: no misunu hou olelema: ne sia: i.
16 Sasa basi, sikieni neno la Bwana. Ninyi mnasema, “‘Usitabiri dhidi ya Israeli, na uache kuhubiri dhidi ya nyumba ya Isaki.’
Amaiba: le, wali Hina Gode Ea sia: nabima! Di da nama na da ba: la: lusu fisili, Isala: ili dunuma dadousa gagabosu sia: bu mae hamoma: ne sia: sa.
17 “Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana: “‘Mke wako atakuwa kahaba mjini, nao wana wako na binti zako watauawa kwa upanga. Shamba lako litapimwa na kugawanywa, na wewe mwenyewe utafia katika nchi ya kipagani. Nayo Israeli kwa hakika itakwenda uhamishoni, mbali na nchi yao.’”
Amaiba: le, A:masaia, Hina Gode da dima amane sia: sa, ‘Dia uda da di fisili, udigili moilai bai bagade ganodini ea da: i dunuma udigili bidi lamu. Amola dia mano huluane gegesu ganodini medole legei dagoi ba: mu. Dia soge da fifili, eno dunuma i dagoi ba: mu. Amola disu da Gode Ea hou hame lalegagui ga soge amo ganodini bogomu. Amola Isala: ili dunu da dafawane ilia sogega fadegale, eno sogega mugululi asi dagoi ba: mu.”

< Amosi 7 >