< Amosi 6 >

1 Ole wenu ninyi mnaostarehe na kuridhika katika Sayuni, na ninyi mnaojisikia salama juu ya Mlima Samaria, ninyi watu mashuhuri wa taifa lililoendelea kuliko mataifa mengine, ambao watu wa Israeli wanawategemea!
Ak vai, tiem, kas droši dzīvo Ciānā un bez bēdām uz Samarijas kalna, tiem vareniem pirmajā tautā, pie kuriem nāk tie no Israēla nama.
2 Nendeni Kalne mkaone kutoka huko; mwende hadi Hamathi iliyo kuu, kisha mshuke hadi Gathi ya Wafilisti. Je, wao ni bora kuliko falme zenu mbili? Je, nchi yao ni kubwa kuliko yenu?
Ejat uz Kalni un skatāties, un no turienes ejat uz Hamatu, to lielo pilsētu, tad noejat uz Gadu Fīlistos, vai tās ir labākas nekā šīs valstis, jeb vai viņu robežas lielākas nekā jūsu robežas.
3 Mnaiweka mbali siku iliyo mbaya na kuleta karibu utawala wa kuogofya.
Jūs, kam šķiet nelaimes dienu tālu esam un kas tuvu ceļat varasdarba krēslu,
4 Ninyi mnalala juu ya vitanda vilivyofunikwa kwa pembe za ndovu, na kujinyoosha juu ya viti vya fahari. Mnajilisha kwa wana-kondoo wazuri na ndama walionenepeshwa.
Kas guļat uz ziloņkaulu gultām un staipāties savās guļās un ēdat jērus no ganāmā pulka un barotos teļus no laidaru vidus,
5 Ninyi mnapiga vinubi kama Daudi, huku mkitunga nyimbo za vinanda mbalimbali.
Kas pūšat somastabules un izdomājat mūzikas rīkus kā Dāvids,
6 Mnakunywa mvinyo kwa bakuli zilizojazwa, na mnajipaka mafuta mazuri, lakini hamhuzuniki kwa maangamizi ya Yosefu.
Kas vīnu dzerat no kausiem un svaidāties ar visdārgāko eļļu, bet nebēdājaties par Jāzepa vainu!
7 Kwa hiyo mtakuwa miongoni mwa watu wa kwanza kwenda uhamishoni; karamu zenu na kustarehe kutakoma.
Tādēļ tie nu ies cietumā paši pirmie starp cietumniekiem, un plītnieku kliegšana mitēsies.
8 Bwana Mwenyezi ameapa kwa nafsi yake mwenyewe: Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema: “Nachukia kiburi cha Yakobo, nachukia ngome zake; nitautoa mji wao na kila kitu kilichomo ndani mwake.”
Tas Kungs Dievs ir zvērējis pie savas dvēseles, saka Tas Kungs, tas Dievs Cebaot: Man riebj Jēkaba lepnība un Es ienīstu viņa skaistos namus, tādēļ Es to pilsētu nodošu ar visu, kas tur iekšā.
9 Kama watu kumi watabaki katika nyumba moja, wao pia watakufa.
Un notiks, ja tur desmit vīri būs atlikuši vienā namā, tie mirs.
10 Kama jamaa ambaye atachoma miili akija ili kuitoa nje ya nyumba, na kumuuliza yeyote ambaye bado anajificha humo, “Je, yuko mtu yeyote pamoja nawe?” Naye akisema, “Hapana,” ndipo atakaposema, “Nyamaza kimya! Haturuhusiwi kutaja jina la Bwana.”
Un kad ko ņems viņa svainis vai viņa dedzinātājs, un iznesīs tos kaulus no nama un sacīs uz to, kas nama kambarī: vai tur vēl kāds pie tevis? Un tas sacīs: nav neviena. Tad viņš sacīs: ciet klusu! Jo Tā Kunga vārdu nebūs pieminēt.
11 Kwa kuwa Bwana ameamuru, naye atabomoa jumba kubwa vipande vipande na nyumba ndogo vipande vidogo vidogo.
Jo redzi, Tas Kungs dod pavēli, un sitīs to lielo namu, ka sagrūs, un to mazo namu, ka sadrups.
12 Je, farasi waweza kukimbia kwenye miamba mikali? Je, aweza mtu kulima huko kwa maksai? Lakini mmegeuza haki kuwa sumu na matunda ya uadilifu kuwa uchungu:
Vai zirgi var skriet pa klintīm? Vai tur virsū var art ar vēršiem? Jo jūs esat pārvērtuši tiesu par žulti un taisnības augļus par vērmelēm?
13 ninyi mnaoshangilia kushindwa kwa Lo-Debari na kusema, “Je, hatukuteka Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
Jūs, kas priecājaties par nieku un sakāt: Vai mēs caur savu stiprumu sev neesam varu dabūjuši?
14 Maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema, “Nitainua taifa dhidi yenu, ee nyumba ya Israeli, nalo litawatesa kuanzia Lebo-Hamathi hadi Bonde la Araba.”
Jo redzi, pret jums, jūs Israēla nams, saka Tas Kungs, tas Dievs Cebaot, Es celšu vienu tautu, - un tā jūs nospaidīs no Hamatas ceļa līdz tuksneša upei.

< Amosi 6 >