< Amosi 6 >
1 Ole wenu ninyi mnaostarehe na kuridhika katika Sayuni, na ninyi mnaojisikia salama juu ya Mlima Samaria, ninyi watu mashuhuri wa taifa lililoendelea kuliko mataifa mengine, ambao watu wa Israeli wanawategemea!
woe! [the] secure in/on/with Zion and [the] to trust in/on/with mountain: mount Samaria to pierce first: beginning [the] nation and to come (in): come to/for them house: household Israel
2 Nendeni Kalne mkaone kutoka huko; mwende hadi Hamathi iliyo kuu, kisha mshuke hadi Gathi ya Wafilisti. Je, wao ni bora kuliko falme zenu mbili? Je, nchi yao ni kubwa kuliko yenu?
to pass Calneh and to see: see and to go: went from there Hamath the great Hamath the great and to go down Gath Philistine pleasant from [the] kingdom [the] these if: surely yes many border: area their from border: area your
3 Mnaiweka mbali siku iliyo mbaya na kuleta karibu utawala wa kuogofya.
[the] to put away to/for day bad: evil and to approach: bring [emph?] seat violence
4 Ninyi mnalala juu ya vitanda vilivyofunikwa kwa pembe za ndovu, na kujinyoosha juu ya viti vya fahari. Mnajilisha kwa wana-kondoo wazuri na ndama walionenepeshwa.
[the] to lie down: lay down upon bed tooth: ivory and to overrun upon bed their and to eat ram from flock and calf from midst stall
5 Ninyi mnapiga vinubi kama Daudi, huku mkitunga nyimbo za vinanda mbalimbali.
[the] to divide upon lip: word [the] harp like/as David to devise: design to/for them article/utensil song
6 Mnakunywa mvinyo kwa bakuli zilizojazwa, na mnajipaka mafuta mazuri, lakini hamhuzuniki kwa maangamizi ya Yosefu.
[the] to drink in/on/with bowl wine and first: best oil to anoint and not be weak: grieved upon breaking (Joseph *L(abh)*)
7 Kwa hiyo mtakuwa miongoni mwa watu wa kwanza kwenda uhamishoni; karamu zenu na kustarehe kutakoma.
to/for so now to reveal: remove in/on/with head: first to reveal: remove and to turn aside: remove banquet to overrun
8 Bwana Mwenyezi ameapa kwa nafsi yake mwenyewe: Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema: “Nachukia kiburi cha Yakobo, nachukia ngome zake; nitautoa mji wao na kila kitu kilichomo ndani mwake.”
to swear Lord YHWH/God in/on/with soul: myself his utterance LORD God Hosts to loathe I [obj] pride Jacob and citadel: fortress his to hate and to shut city and fullness her
9 Kama watu kumi watabaki katika nyumba moja, wao pia watakufa.
and to be if to remain ten human in/on/with house: home one and to die
10 Kama jamaa ambaye atachoma miili akija ili kuitoa nje ya nyumba, na kumuuliza yeyote ambaye bado anajificha humo, “Je, yuko mtu yeyote pamoja nawe?” Naye akisema, “Hapana,” ndipo atakaposema, “Nyamaza kimya! Haturuhusiwi kutaja jina la Bwana.”
and to lift: raise him beloved: male relative his and to burn him to/for to come out: send bone from [the] house: home and to say to/for which in/on/with flank [the] house: home still with you and to say end and to say to silence for not to/for to remember in/on/with name LORD
11 Kwa kuwa Bwana ameamuru, naye atabomoa jumba kubwa vipande vipande na nyumba ndogo vipande vidogo vidogo.
for behold LORD to command and to smite [the] house: home [the] great: large fragment and [the] house: home [the] small breach
12 Je, farasi waweza kukimbia kwenye miamba mikali? Je, aweza mtu kulima huko kwa maksai? Lakini mmegeuza haki kuwa sumu na matunda ya uadilifu kuwa uchungu:
to run: run [emph?] in/on/with crag horse if: surely yes to plow/plot in/on/with cattle for to overturn to/for poison justice and fruit righteousness to/for wormwood
13 ninyi mnaoshangilia kushindwa kwa Lo-Debari na kusema, “Je, hatukuteka Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
[the] glad to/for Lo-debar Lo-debar [the] to say not in/on/with strength our to take: take to/for us Karnaim
14 Maana Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote asema, “Nitainua taifa dhidi yenu, ee nyumba ya Israeli, nalo litawatesa kuanzia Lebo-Hamathi hadi Bonde la Araba.”
for look! I to arise: attack upon you house: household Israel utterance LORD God [the] Hosts nation and to oppress [obj] you from Lebo-(Hamath) Hamath till Brook [the] (Brook of) the Arabah