< Amosi 5 >

1 Sikia neno hili, ee nyumba ya Israeli, ombolezo hili ninalifanya kuwahusu ninyi:
Nabima! Isala: ili fi dunu goe bogoi da: iya gesami hea: su, amo agoane Na dilima gesami hea: mu.
2 “Bikira Israeli ameanguka, kamwe hatainuka tena, ameachwa pweke katika nchi yake, hakuna yeyote wa kumwinua.”
Isala: ili da a: fini dafai agoane ba: sa. Bu wa: legadomu da hamedei galebe! E da osobo gudu diasa: i enoga fisi udigili diala, amola dunu afaega da fidili hame wa: legadolesisa.
3 Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “Wakati mmoja wa miji yako utakapopeleka watu elfu moja vitani kwa ajili ya Israeli, mia moja tu watarudi; wakati mji utakapopeleka mia moja, kumi tu ndio watarudi hai.”
Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa. “Isala: ili osobo dogone fi ilia da gegesu dunu 1000 agoane gegena masa: ne asunasisa, be amomane 100 agoane ilia fawane bu sinidigili manebe ba: sa. Amola Isala: ili osobo dogone fi eno amo ganodini ilia fi oda 100 agoane gegena masa: ne asunasisa be amomane 10 ilia fawane buhagisa.”
4 Hili ndilo Bwana asemalo kwa nyumba ya Israeli: “Nitafuteni mpate kuishi;
Ouligisudafa Hina Gode da Isala: ili dunu fi ilima amane sia: sa. “Nama misa! Amasea, dilia da esalumu.
5 msitafute Betheli, msiende Gilgali, msisafiri kwenda Beer-Sheba. Kwa maana kwa hakika Gilgali itakwenda uhamishoni, na Betheli itafanywa kuwa si kitu.”
Dilia Biasiba moilai bai bagadega nodone sia: ne gadomusa: mae masa. Dilia Bedele moilaiga Na hogole ba: musa: mae masa! Bedele da hamedei agoane ba: mu. Giliga: le sogega mae masa! Ea fi dunu da ga sogega afugili gaguli asi dagoi ba: mu.”
6 Mtafuteni Bwana mpate kuishi, au atafagia nyumba ya Yosefu kama moto; utawateketeza, nayo Betheli haitakuwa na yeyote wa kuuzima.
Dilia Hina Godema sinidigima! Amasea dilia da esalumu. Be Ema hame sinidigisia, Ea da lalu agoane misini, Isala: ili dunuma se dabe imunu. Amo lalu da Bedele dunu huluane nene dagomu, amola amo lalu da ha: ba: domu hamedeiwane ba: mu.
7 Ninyi ambao mnageuza haki kuwa uchungu na kuiangusha haki chini
Dilia da dunu eno se nabima: ne ogogosa amola moloidafa hou hame dawa: Amaiba: le, dilia da gugunufinisi dagoi ba: mu.
8 (yeye ambaye alifanya Kilimia na Orioni, ambaye hugeuza giza kuwa mapambazuko na mchana kuwa usiku, ambaye huyaita maji ya bahari na kuyamwaga juu ya uso wa nchi: Bwana ndilo jina lake;
Hina Gode da gasumuni huluane hahamoi. Hi fawane da gasumuni gilisisu Baleiadese amola Olione hahamoi. Ea da gasi amo afadenene bu ha iaha. Amola ha amo afadenene bu gasi iaha. E da wayabo bagade amoma hano misa: ne sia: sea, amomane E da osobo bagadega sogadigisa. Ea Dio da Hina Godedafa.
9 yeye hufanya maangamizo kwenye ngome na kufanya mji uliozungushiwa ngome kuwa ukiwa),
Ea da dunu gasala fofonobonesisa amola ilia diasu noga: le gagili sala amo mugulusa.
10 mnamchukia yule akemeaye mahakamani, na kumdharau yule ambaye husema kweli.
Be dunu moloidafa ilia fofada: musa: masea, amola sia: moloi sia: sea, amo dunu dilia da higasa.
11 Mnamgandamiza maskini na kumlazimisha awape nafaka. Kwa hiyo, ingawa mmejenga majumba ya mawe ya fahari, hamtaishi ndani yake; ingawa mmepanda mashamba mazuri ya mizabibu, hamtakunywa divai yake.
Dilia da liligi hame gagui dunu ilia liligi amola ha: i manu huluane wamolasa. Dilia da diasu igiga noga: le gasa gala gagui, be amomane dilia da diasu goega hame esalumu. Amola dilia sagaia da waini sagai, be amomane da waini hano da hame manu, goe sagai ganodini.
12 Kwa kuwa ninajua hesabu ya makosa yenu na ukubwa wa dhambi zenu. Mmewaonea wenye haki na kupokea rushwa na kuzuia haki ya maskini mahakamani.
Na dawa: dilia wadela: i hou amo da wadela: idafa amola Na dawa: dilia afuda: i liligi amo. Dilia da dunu noga: i amo wadela: lesisa. Dilia hano suligi sia: amoga sia: ma: ne bidi laha amola dunu liligi hame gagui amo ea sia: amo moloidafa mae sia: ma: ne dedebosa.
13 Kwa hiyo mtu mwenye busara hunyamaza kimya nyakati kama hizo, kwa kuwa nyakati ni mbaya.
Amola dilia wadela: i hou ba: sea hamedafa gagabole sia: sa: ima da defea, dilia da giadofale agoane dawa: sa.
14 Tafuteni mema, wala si mabaya, ili mpate kuishi. Ndipo Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote atakuwa pamoja nanyi, kama msemavyo yupo nanyi.
Dilia da hou noga: idafa amola moloidafa ilegema! Amane hamosea, dilia da noga: le esalumu. Dilia da agoane sia: sa, ‘Gode, Hina Gode Bagadedafa E amo da nini gilisili esafula.’ Be dilia wadela: i hou hamobeba: le, E da dili gilisili hame esafula. Be noga: i hou goe hamosea, defeadafa, Gode da dili gilisili esalumu.
15 Yachukieni maovu, yapendeni mema; dumisheni haki mahakamani. Yamkini Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote atawahurumia mabaki ya Yosefu.
Wadela: i hou huluane yolesima amola hou moloidafa fa: no bobogema! Dilia fofada: su ganodini sia: moloidafa sia: sa: ima! Dilia moloidafa sia: dasea, Hina Gode da dili amola dilia fi dunu hame bogoi esala, amo hame yolesimu be gagui dialumu.
16 Kwa hiyo hili ndilo Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote, asemalo: “Kutakuwepo maombolezo katika barabara zote na vilio vya uchungu katika njia kuu zote. Wakulima wataitwa kuja kulia, na waombolezaji waje kuomboleza.
Ouligisudafa Hina Gode Bagadedafa da amane sia: sa, “Osobo dogone fi moilai bai bagade logo fodoi amogai aligili ilima didigia: su bagade da nabimu. Amola sagale nasu dawa: dunu huluane da wele guda: le da muni lama: ne bogoi da: iya asigili didigia: be agoane hamomu.
17 Kutakuwepo kuomboleza katika mashamba yote ya mizabibu, kwa kuwa nitapita katikati yenu,” asema Bwana.
Waini sagai huluane amo ganodini da didigia: su bagade nabimu. Bai Na da misini dilima se dabe imunu.” Hina Gode da amane sia: i dagoi.
18 Ole wenu ninyi mnaoitamani siku ya Bwana! Kwa nini mnaitamani siku ya Bwana? Siku hiyo itakuwa giza, si nuru.
Dilia da Hina Gode Ea Eso hedolodafa doaga: mu hanai be dilia da amomane se bagade nabimu. Amo eso doaga: sea da dili hame fidimu. Dilia dawa: lobada, amo da esoi hadigisala: ? Hame mabu! Amo eso da dilima gasi agoane ba: mu.
19 Itakuwa kama vile mtu aliyemkimbia simba kumbe akakutana na dubu, kama vile mtu aliyeingia nyumbani mwake na kuupumzisha mkono wake kwenye ukuta, kumbe akaumwa na nyoka.
Fedege agoane amo eso doaga: sea da agoane ba: mu. Dunu e da laione wa: me amo sodole hobeale ahoasea, e da bea ea logo damubi ba: mu. O dunu da hina: diasuga golili dasea, ea lobo amo dobea amoga ligisisia, saniaga lobo gasomai ba: mu.
20 Je, siku ya Bwana haitakuwa giza, na si nuru: giza nene, bila mwonzi wa mwanga?
Hina Gode E mabe galu, amo da gasi bagade misunu amola hamedafa hadigi ba: mu. Hame dafawanese!
21 “Ninachukia, ninazidharau sikukuu zenu za dini; siwezi kuvumilia makusanyiko yenu.
Hina Gode Ea amane sia: sa “Na da dilia nodone sia: ne gadosu lolo nabe hou goga da Na hamedafa hanasa, amola hahawane hame amo hou Na higasa!
22 Hata ingawa mnaniletea sadaka zenu za kuteketezwa na sadaka za nafaka, sitazikubali. Ingawa mnaniletea sadaka nzuri za amani, sitazitambua.
Dilia Wadela: i Hou Dabe Ima: ne Iasu amola Gala: ine Iasu amo gaguli masea, Na da amo hame lamu. Na dilia ohe sefena gaguli masea amo Na da hame lamu.
23 Niondoleeni kelele za nyimbo zenu! Sitasikiliza sauti za vinubi vyenu.
Dilia gesami hea: lalebe go yolelesima! Na hihi nababe dilia dusu go dudu dabe go.
24 Lakini acheni haki itiririke kama mto, na uadilifu uwe kama kijito kisichokauka!
Be hou noga: i hamosa esaloma amola moloi esaloma! Moloidafa hou da hano bagade amo da habe hame dawa: , agoane ba: mu da defea.
25 “Je, mliniletea dhabihu na sadaka kwa miaka arobaini kule jangwani, ee nyumba ya Israeli?
Dilia Isala: ili fi dunu! Ode 40 amoga Na soge sedaga wadela: i hafoga: i soge amo ganodini dili Na da oule ahoasu, amo ganodini Na da dilima gobele salasu amola udigili iasu ima: ne logele hame sia: i.
26 Mmeyainua madhabahu ya mfalme wenu, Sikuthi mungu wenu mtawala, na Kiuni mungu wenu wa nyota, ambao mliwatengeneza wenyewe.
27 Kwa sababu hiyo nitawapeleka uhamishoni mbali kupita Dameski,” asema Bwana, ambaye jina lake ni Mungu Mwenye Nguvu Zote.
Be dilia da Sagade ogogosu ‘gode’ (amo da dilia ‘hina gode’ dilia da giadofale sia: sa) amola Gaiwane (amo da dilia gasumuni ‘gode’ dilia da giadofale sia: sa) amo loboga hamoi liligi dilia da nodone sia: ne gadoiba: le, Na da dilia soge Dama: sagase moilai bai bagade baligi amoga afugili oule ahoasea, dilia da amo loboga hamoi liligi amola gaguli masunu,” Hina Gode (Ea Dio da Ouligisudafa Godedafa) Ea da amane sia: sa.

< Amosi 5 >