< Amosi 4 >

1 Sikilizeni neno hili, ninyi ngʼombe wa Bashani mlioko juu ya Mlima Samaria, ninyi wanawake mnaowaonea maskini, na kuwagandamiza wahitaji, na kuwaambia wanaume wenu, “Tuleteeni vinywaji!”
“Goe nabima, dilia Samelia uda! Dilia da Ba: isia: ne soge bulamagau noga: le ha: i manu iawane debe agoane sefena desa. Dilia da gasa hame dunu ilima gasa fi hamosa. Amola dunu liligi hame gagui amo dilia uda da banenesisa. Amola adini moma: ne dilia egoa ilima gasawane edegesa.
2 Bwana Mwenyezi ameapa kwa utakatifu wake: “Hakika wakati utakuja mtakapochukuliwa na kulabu, na wanaosalia kwa ndoana za samaki.
Ouligisudafa Hina Gode E da hadigi noga: idafa, Ea da dafawane ilegele sia: i dagoi, “Eso da doaga: mu di memeda besega gagubi agoane, dili huluane da menabo memeda besega gagui agoai ba: mu.
3 Nanyi mtakwenda moja kwa moja kupitia mahali palipobomolewa kwenye ukuta, nanyi mtatupwa nje kuelekea Harmoni,” asema Bwana.
Dilia da gagoi ganodini dialu amo gagoi dusa: le sa: ili, hamega moiya ha: digi ba: mu.”
4 “Nendeni Betheli mkatende dhambi; nendeni Gilgali mkazidi kutenda dhambi. Leteni dhabihu zenu kila asubuhi, zaka zenu kila mwaka wa tatu.
Ouligisudafa Hina Gode da amane sia: sa, “Defea! Isala: ili fi dunu! Dilia da agoane hanai galea, hadigi sogebi amo Bedele moilai amo ganodini wadela: i hou hamomusa: masa! Ha: giwane wadela: i hou fawane hamoma! Mae yolele ohe amo nodone gobele salasu agoane hamomusa: , hahabe huluane gaguli misa. Amola osoda eso huluane amoga, dilia muni nabuane mogili, afadafa Godema ima: ne gaguli misa.
5 Mchome mkate uliotiwa chachu kama sadaka ya shukrani, jisifuni kuhusu sadaka zenu za hiari: jigambeni kwa ajili ya sadaka hizo, enyi Waisraeli, kwa kuwa hili ndilo mnalopenda kulitenda,” asema Bwana Mwenyezi.
Mae yolele, asili Godema dia agi ga: gi amo Ema bagade hahawane nodone ima! Amola liligi oda eno gaguli misi amoga nodone dilila: hou amo gaguia gadoma! Goe hou hamomusa: hanai liligi amo dilia hamomusa: hanai bagade.
6 “Niliwapa njaa kwenye kila mji, na ukosefu wa chakula katika kila mji, hata hivyo bado hamjanirudia mimi,” asema Bwana.
Nafawane, dilia moilai bai bagade fi gilisi ganodini ha: i bagade i amo, be amomane dilia Nama bu hame sinidigili misi.
7 “Pia niliwazuilia ninyi mvua miezi mitatu kabla ya kufikia mavuno. Nilinyesha mvua kwenye mji mmoja, lakini niliizuia mvua isinyeshe mji mwingine. Shamba moja lilipata mvua, na lingine halikupata, nalo likakauka.
Na da gibu mae sa: ima: ne gagulaligi, dilia ha: i manu sagai liligi heda: mu amomane. Na da gibu sa: ima: ne moilai bai bagade afae iligili i, be oda moilai iligili da hame i. Gibu da ifabi afae amogai sa: i, be eno ifabi amogai da hame sa: i, be amo ifabi da hafoga: sa.
8 Watu walitangatanga mji hata mji kutafuta maji, lakini hawakupata ya kuwatosha kunywa, hata hivyo hamjanirudia mimi,” asema Bwana.
Da: i gasa hamedene hano hanai dunu oda ilia da moilai bai bagade fi gilisi, ilia da moilai bai bagade afae ea fi ganodini hano ganabela: le hano hogola asi be amomane hano manu defea hame ba: i. Be amomane di da Nama hame buhagi.
9 “Mara nyingi nilizipiga bustani zenu na mashamba ya mizabibu, niliyapiga kwa kutu na ukungu. Nzige walitafuna tini zenu na miti ya mizeituni, hata hivyo hamjanirudia mimi,” asema Bwana.
Na fo bagade i dilia ha: i manu sagadusa: i amo hafoga: ma: ne. Danuba: da dilia ifabi ganodini misini amola waini sagai, dilia figi ifa amola olefe ifa amola na ebelei. Be amomane dilia Nama hame buhagi.
10 “Niliwapelekea tauni miongoni mwenu kama nilivyofanya kule Misri. Niliwaua vijana wenu wa kiume kwa upanga, niliwachukua farasi wenu. Nilijaza pua zenu kwa uvundo kutoka kwenye kambi zenu, hata hivyo hamjanirudia mimi,” asema Bwana.
Na da olo bagade dilima iaguda: i, amo da Na musa: Idibidi soge fi dunuma i amai. Na dilia dunu ayeligi amo gegesu ganodini fane legei, amola dilia hosi oule asi. Na bogoi dunu ilia da: i gaha amoga dilia mi gelabo didili heda: i, amola dilia fisisu ganodini gaha amoga nabai. Be amomane dilia Nama bu hame sinidigi.
11 “Niliwaangamiza baadhi yenu kama nilivyoangamiza Sodoma na Gomora. Mlikuwa kama kijiti kiwakacho kilichonyakuliwa motoni, hata hivyo hamjanirudia,” asema Bwana.
Na da dili wadela: lesi, Na Sodame amola Goumola ela wadela: lesi amane. Be oda dilia hame bogoi ahoanebe, dilia da lalu geda afae nenanebe amo lalu didi oda amoga fadegai agoane ba: i. Be amomane dilia Nama hame buhagi,” Hina Gode da amane sia: sa.
12 “Kwa hiyo hili ndilo nitakalowafanyia, Israeli, na kwa sababu nitawafanyia hili, jiandaeni kukutana na Mungu wenu, ee Israeli.”
“Amaiba: le Isala: ili dunu fi, Na da dilima se dabe imunu. Amola Na dilima se dabe imunuba: le, dilia fofada: su hou amo hamomuba: le, amo fofada: be ba: musa: momagele ha: esaloma!”
13 Yeye ambaye hufanya milima, anaumba upepo, na kufunua mawazo yake kwa mwanadamu, yeye ageuzaye asubuhi kuwa giza, na kukanyaga mahali pa juu pa nchi: Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote ndilo jina lake.
Gode Hi fawane da goumi huluane hahamoi amola fo. Ea asigi dawa: su hou amo dunu ilima dawa: ma: ne Hi fawane olelesa amola Hi fawane da eso amo gasi hamoma: ne afadenesa. Ea da osobo bagadega goumi da: iya ahoa. Ea Dio: da Hina Gode Bagadedafa!

< Amosi 4 >