< Amosi 3 >

1 Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:
Слышите слово сие, еже глагола Господь на вы, доме Израилев, и на все племя, еже изведох из земли Египетския, рекий:
2 “Ni ninyi tu niliowachagua kati ya jamaa zote za dunia; kwa hiyo nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi zenu zote.”
вас точию познах от всех племен на земли, сего ради отмщу на вас вся грехи вашя.
3 Je, watu wawili hutembea pamoja wasipokubaliana kufanya hivyo?
Еда пойдут два вкупе всяко, аще не познают себе?
4 Je, simba hunguruma katika kichaka wakati hana mawindo? Aweza kuvuma katika pango wakati ambao hajakamata chochote?
Или возревет лев из дубравы своея, ловитвы не имый? Или испустит глас свой львичищь из ложа своего всяко, аще не похитит чесого?
5 Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini ambapo hajategewa chambo? Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?
Или падет птица на землю без ловца? Или спадет пругло на землю, аще не имет ничесоже?
6 Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari, watu hawatetemeki? Mji upatwapo na maafa, je, si Bwana amesababisha?
Или возгласит труба во граде, и не убоятся людие? Или будет зло во граде, еже Господь не сотвори?
7 Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
Понеже не сотворит Господь Бог дела, аще не открыет наказания Своего к рабом Своим пророком.
8 Simba amenguruma: je, ni nani ambaye hataogopa? Bwana Mwenyezi ametamka: je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?
Лев возревет, и кто не убоится? Господь Бог глагола, и кто не проречет?
9 Tangazeni katika ngome za Ashdodi na katika ngome za Misri: “Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria; angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake, na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”
Поведите странам во Ассирианех и во странах Египетских и рцыте: соберитеся на гору Самарийскую и видите чудесная многа среде ея и насильство еже в ней.
10 Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema, wale ambao hujilundikia nyara na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”
И не уразуме, яже будут противу ей, глаголет Господь, сокровищствующии неправду и страсть в селех своих.
11 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: “Adui ataizingira nchi; ataangusha chini ngome zenu na kuteka nyara maboma yenu.”
Сего ради сия глаголет Господь Бог: Тире, окрест земля твоя опустеет, и отимет от тебе крепость твою, и разграбятся страны твоя.
12 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba vipande viwili tu vya mfupa wa mguu au kipande cha sikio, hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa, wale wakaao Samaria kwenye kingo za vitanda vyao, na katika Dameski kwenye viti vyao vya fahari.”
Сия глаголет Господь: якоже пастух, егда исторгнет от уст львовых две голени, или обушие уха, тако исторгнутся сынове Израилевы живущии в Самарии прямо племене и в Дамасце.
13 “Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
Жерцы, послушайте и засвидетелствуйте дому Иаковлю, глаголет Господь Бог Вседержитель:
14 “Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake, nitaharibu madhabahu za Betheli; pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali na kuanguka chini.
понеже в день, егда отмщу нечестия Израилева на нем, и отмщу на требищих Вефилих, и раскопаю роги требища, и падутся на землю:
15 Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika, pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi; nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,” asema Bwana.
сокрушу и поражу дом с преклеты с домом летним, и погибнут домове кости слоновыя, и потребятся и друзии домове мнози, глаголет Господь.

< Amosi 3 >