< Amosi 3 >
1 Sikilizeni neno hili alilosema Bwana dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:
Klausiet šo vārdu, ko Tas Kungs runā uz jums, Israēla bērni, proti uz visām tām ciltīm, ko Es no Ēģiptes zemes esmu izvedis, sacīdams:
2 “Ni ninyi tu niliowachagua kati ya jamaa zote za dunia; kwa hiyo nitawaadhibu kwa ajili ya dhambi zenu zote.”
Es jūs vien esmu atzinis no visām zemes tautām, tādēļ Es pie jums piemeklēšu visus jūsu noziegumus.
3 Je, watu wawili hutembea pamoja wasipokubaliana kufanya hivyo?
Vai divi gan kopā staigā, ja tie papriekš nav saderējušies?
4 Je, simba hunguruma katika kichaka wakati hana mawindo? Aweza kuvuma katika pango wakati ambao hajakamata chochote?
Vai lauva mežā rūc, kad viņam laupījuma nav? Vai jauns lauva balsi paceļ no savas alas, kad neko nav gūstījis?
5 Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini ambapo hajategewa chambo? Je, mtego unaweza kufyatuka toka ardhini wakati ambapo hakuna chochote cha kunasa?
Vai putns iekrīt valgā pie zemes, kur valga priekš viņa nav? Vai valgs no zemes ceļas, ar ko nekas nav gūstīts?
6 Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari, watu hawatetemeki? Mji upatwapo na maafa, je, si Bwana amesababisha?
Vai pilsētā bazūnē ar bazūni, un ļaudis neiztrūkstās? Vai kāda nelaime notiek pilsētā, ko Tas Kungs nedara?
7 Hakika Bwana Mwenyezi hatafanya neno lolote bila kuwafunulia watumishi wake manabii siri yake.
Tiešām, Tas Kungs Dievs nekā nedara, kad viņš savu noslēpumu neparāda saviem kalpiem, tiem praviešiem.
8 Simba amenguruma: je, ni nani ambaye hataogopa? Bwana Mwenyezi ametamka: je, ni nani awezaye kukosa kutoa unabii?
Kad lauva rūc, kas nebītos? Tas Kungs Dievs runā, kam nebūtu jāsludina?
9 Tangazeni katika ngome za Ashdodi na katika ngome za Misri: “Kusanyikeni juu ya milima ya Samaria; angalieni wingi wa wasiwasi ulio ndani yake, na uonevu ulio miongoni mwa watu wake.”
Liekat to dzirdēt Ašdodas skaistos namos un Ēģiptes zemes pilīs un sakāt: sapulcinājaties uz Samarijas kalniem un redziet tos lielos trokšņus viņas vidū, un tos nospaidītos viņas starpā.
10 Bwana asema: “Hawajui kutenda lililo jema, wale ambao hujilundikia nyara na vitu vilivyotekwa katika ngome zao.”
Jo tie nezin darīt, kas tiesa(taisnība), saka Tas Kungs, krādami netaisnību un varas darbu savās pilīs.
11 Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana Mwenyezi: “Adui ataizingira nchi; ataangusha chini ngome zenu na kuteka nyara maboma yenu.”
Tāpēc Tas Kungs Dievs tā saka: spaidi zemei visapkārt! Un viņš nogāzīs tavu stiprumu, un tavi skaistie nami taps izpostīti.
12 Hili ndilo asemalo Bwana: “Kama vile mchungaji aokoavyo kinywani mwa simba vipande viwili tu vya mfupa wa mguu au kipande cha sikio, hivyo ndivyo Waisraeli watakavyookolewa, wale wakaao Samaria kwenye kingo za vitanda vyao, na katika Dameski kwenye viti vyao vya fahari.”
Tā saka Tas Kungs: kā gans izrauj no lauvas rīkles divus stilbus vai kādu auss gabaliņu, tā Israēla bērni tiks izglābti, kas Samarijā sēž gultas kaktā uz Damaskus pēļa.
13 “Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana Mungu Mwenye Nguvu Zote.
Klausiet un dodiet liecību Jēkaba namam, saka Tas Kungs Dievs, tas Dievs Cebaot:
14 “Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake, nitaharibu madhabahu za Betheli; pembe za madhabahu zitakatiliwa mbali na kuanguka chini.
Tai dienā, kad Es Israēla pārkāpumus pie viņa piemeklēšu, tad Es piemeklēšu Bēteles altārus, un tie altāra ragi taps nocirsti un kritīs zemē.
15 Nitabomoa nyumba ya wakati wa masika, pamoja na nyumba ya wakati wa kiangazi; nyumba zilizonakshiwa kwa pembe za ndovu na majumba makubwa ya fahari yatabomolewa,” asema Bwana.
Un Es sitīšu tiklab ziemas pili kā vasaras pili, un tie ziloņkaulu nami ies bojā, un daudz nami taps izpostīti, saka Tas Kungs.