< Matendo 1 >

1 Katika kitabu changu cha kwanza nilikuandikia, mpendwa Theofilo, kuhusu mambo yote Yesu aliyofanya na kufundisha tangu mwanzo,
ཧེ ཐིཡཕིལ, ཡཱིཤུཿ སྭམནོནཱིཏཱན྄ པྲེརིཏཱན྄ པཝིཏྲེཎཱཏྨནཱ སམཱདིཤྱ ཡསྨིན྄ དིནེ སྭརྒམཱརོཧཏ྄ ཡཱཾ ཡཱཾ ཀྲིཡཱམཀརོཏ྄ ཡདྱད྄ ཨུཔཱདིཤཙྩ ཏཱནི སཪྻྭཱཎི པཱུཪྻྭཾ མཡཱ ལིཁིཏཱནི།
2 hadi siku ile alipochukuliwa kwenda mbinguni, baada ya kuwapa maagizo kupitia kwa Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua.
ས སྭནིདྷནདུཿཁབྷོགཱཏ྄ པརམ྄ ཨནེཀཔྲཏྱཡཀྵཔྲམཱཎཽཿ སྭཾ སཛཱིཝཾ དརྴཡིཏྭཱ
3 Baada ya mateso yake, alijionyesha kwao na kuwathibitishia kwa njia nyingi kwamba yeye yu hai. Katika muda wa siku arobaini baada ya kufufuka kwake aliwatokea na kunena kuhusu Ufalme wa Mungu.
ཙཏྭཱརིཾཤདྡིནཱནི ཡཱཝཏ྄ ཏེབྷྱཿ པྲེརིཏེབྷྱོ དརྴནཾ དཏྟྭེཤྭརཱིཡརཱཛྱསྱ ཝརྞནམ ཨཀརོཏ྄།
4 Wakati mmoja alipokuwa pamoja nao, aliwapa amri hii, “Msitoke Yerusalemu, bali ingojeni ahadi ya Baba, ambayo mmenisikia nikisema habari zake.
ཨནནྟརཾ ཏེཥཱཾ སབྷཱཾ ཀྲྀཏྭཱ ཨིཏྱཱཛྙཱཔཡཏ྄, ཡཱུཡཾ ཡིརཱུཤཱལམོ྅ནྱཏྲ གམནམཀྲྀཏྭཱ ཡསྟིན྄ པིཏྲཱངྒཱིཀྲྀཏེ མམ ཝདནཱཏ྄ ཀཐཱ ཨཤྲྀཎུཏ ཏཏྤྲཱཔྟིམ྄ ཨཔེཀྵྱ ཏིཥྛཏ།
5 Yohana aliwabatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”
ཡོཧན྄ ཛལེ མཛྫིཏཱཝཱན྄ ཀིནྟྭལྤདིནམདྷྱེ ཡཱུཡཾ པཝིཏྲ ཨཱཏྨནི མཛྫིཏཱ བྷཝིཥྱཐ།
6 Mitume walipokuwa wamekusanyika pamoja, wakamuuliza Yesu, “Bwana, je, huu ndio wakati wa kuwarudishia Israeli ufalme?”
པཤྩཱཏ྄ ཏེ སཪྻྭེ མིལིཏྭཱ ཏམ྄ ཨཔྲྀཙྪན྄ ཧེ པྲབྷོ བྷཝཱན྄ ཀིམིདཱནཱིཾ པུནརཔི རཱཛྱམ྄ ཨིསྲཱཡེལཱིཡལོཀཱནཱཾ ཀརེཥུ སམརྤཡིཥྱཏི?
7 Yesu akawaambia, “Si juu yenu kujua nyakati na majira ambayo Baba ameyaweka katika mamlaka yake mwenyewe.
ཏཏཿ སོཝདཏ྄ ཡཱན྄ སཪྻྭཱན྄ ཀཱལཱན྄ སམཡཱཾཤྩ པིཏཱ སྭཝཤེ྅སྠཱཔཡཏ྄ ཏཱན྄ ཛྙཱཏྲྀཾ ཡུཥྨཱཀམ྄ ཨདྷིཀཱརོ ན ཛཱཡཏེ།
8 Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, Uyahudi kote na Samaria, hadi miisho ya dunia.”
ཀིནྟུ ཡུཥྨཱསུ པཝིཏྲསྱཱཏྨན ཨཱཝིརྦྷཱཝེ སཏི ཡཱུཡཾ ཤཀྟིཾ པྲཱཔྱ ཡིརཱུཤཱལམི སམསྟཡིཧཱུདཱཤོམིརོཎདེཤཡོཿ པྲྀཐིཝྱཱཿ སཱིམཱཾ ཡཱཝད྄ ཡཱཝནྟོ དེཤཱསྟེཥུ ཡཪྻྭེཥུ ཙ མཡི སཱཀྵྱཾ དཱསྱཐ།
9 Baada ya kusema mambo haya, walipokuwa wanatazama, akachukuliwa juu mbinguni mbele ya macho yao na wingu likampokea wasimwone tena.
ཨིཏི ཝཱཀྱམུཀྟྭཱ ས ཏེཥཱཾ སམཀྵཾ སྭརྒཾ ནཱིཏོ྅བྷཝཏ྄, ཏཏོ མེགྷམཱརུཧྱ ཏེཥཱཾ དྲྀཥྚེརགོཙརོ྅བྷཝཏ྄།
10 Walipokuwa bado wakikaza macho yao kuelekea juu alipokuwa akienda zake Mbinguni, tazama ghafula, wanaume wawili waliovaa mavazi meupe wakasimama karibu nao,
ཡསྨིན྄ སམཡེ ཏེ ཝིཧཱཡསཾ པྲཏྱནནྱདྲྀཥྚྱཱ ཏསྱ ཏཱདྲྀཤམ྄ ཨཱུརྡྭྭགམནམ྄ ཨཔཤྱན྄ ཏསྨིནྣེཝ སམཡེ ཤུཀླཝསྟྲཽ དྭཽ ཛནཽ ཏེཥཱཾ སནྣིདྷཽ དཎྜཱཡམཱནཽ ཀཐིཏཝནྟཽ,
11 wakasema, “Enyi watu wa Galilaya, mbona mnasimama mkitazama juu angani? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda Mbinguni, atarudi tena jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake Mbinguni.”
ཧེ གཱལཱིལཱིཡལོཀཱ ཡཱུཡཾ ཀིམརྠཾ གགཎཾ པྲཏི ནིརཱིཀྵྱ དཎྜཱཡམཱནཱསྟིཥྛཐ? ཡུཥྨཱཀཾ སམཱིཔཱཏ྄ སྭརྒཾ ནཱིཏོ ཡོ ཡཱིཤུསྟཾ ཡཱུཡཾ ཡཐཱ སྭརྒམ྄ ཨཱརོཧནྟམ྄ ཨདརྴམ྄ ཏཐཱ ས པུནཤྩཱགམིཥྱཏི།
12 Ndipo waliporudi Yerusalemu kutoka Mlima wa Mizeituni, uliokuwa karibu na Yerusalemu, umbali wa mwendo wa Sabato kutoka mjini.
ཏཏཿ པརཾ ཏེ ཛཻཏུནནཱམྣཿ པཪྻྭཏཱད྄ ཝིཤྲཱམཝཱརསྱ པཐཿ པརིམཱཎམ྄ ཨརྠཱཏ྄ པྲཱཡེཎཱརྡྡྷཀྲོཤཾ དུརསྠཾ ཡིརཱུཤཱལམྣགརཾ པརཱཝྲྀཏྱཱགཙྪན྄།
13 Walipowasili mjini Yerusalemu, walikwenda ghorofani kwenye chumba walichokuwa wakiishi. Wale waliokuwepo walikuwa: Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Tomaso, Bartholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
ནགརཾ པྲཝིཤྱ པིཏརོ ཡཱཀཱུབ྄ ཡོཧན྄ ཨཱནྡྲིཡཿ ཕིལིཔཿ ཐོམཱ བརྠཛམཡོ མཐིརཱལྥཱིཡཔུཏྲོ ཡཱཀཱུབ྄ ཨུདྱོགཱ ཤིམོན྄ ཡཱཀཱུབོ བྷྲཱཏཱ ཡིཧཱུདཱ ཨེཏེ སཪྻྭེ ཡཏྲ སྠཱནེ པྲཝསནྟི ཏསྨིན྄ ཨུཔརིཏནཔྲཀོཥྛེ པྲཱཝིཤན྄།
14 Hawa wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao walikuwepo wanawake kadha, na Maria mama yake Yesu, pamoja na ndugu zake Yesu.
པཤྩཱད྄ ཨིམེ ཀིཡཏྱཿ སྟྲིཡཤྩ ཡཱིཤོ རྨཱཏཱ མརིཡམ྄ ཏསྱ བྷྲཱཏརཤྩཻཏེ སཪྻྭ ཨེཀཙིཏྟཱིབྷཱུཏ སཏཏཾ ཝིནཡེན ཝིནཡེན པྲཱརྠཡནྟ།
15 Katika siku hizo Petro akasimama katikati ya waumini (jumla yao wote walikuwa watu wapatao 120), akasema,
ཏསྨིན྄ སམཡེ ཏཏྲ སྠཱནེ སཱཀལྱེན ཝིཾཤཏྱདྷིཀཤཏཾ ཤིཥྱཱ ཨཱསན྄། ཏཏཿ པིཏརསྟེཥཱཾ མདྷྱེ ཏིཥྛན྄ ཨུཀྟཝཱན྄
16 “Ndugu zangu, ilibidi Andiko litimie ambalo Roho Mtakatifu alitabiri kupitia kwa Daudi kumhusu Yuda aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.
ཧེ བྷྲཱཏྲྀགཎ ཡཱིཤུདྷཱརིཎཱཾ ལོཀཱནཱཾ པཐདརྴཀོ ཡོ ཡིཧཱུདཱསྟསྨིན྄ དཱཡཱུདཱ པཝིཏྲ ཨཱཏྨཱ ཡཱཾ ཀཐཱཾ ཀཐཡཱམཱས ཏསྱཱཿ པྲཏྱཀྵཱིབྷཝནསྱཱཝཤྱཀཏྭམ྄ ཨཱསཱིཏ྄།
17 Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”
ས ཛནོ྅སྨཱཀཾ མདྷྱཝརྟྟཱི སན྄ ཨསྱཱཿ སེཝཱཡཱ ཨཾཤམ྄ ཨལབྷཏ།
18 (Basi Yuda alinunua shamba kwa zile fedha za uovu alizopata; akiwa huko shambani akaanguka, akapasuka na matumbo yote yakatoka nje.
ཏདནནྟརཾ ཀུཀརྨྨཎཱ ལབྡྷཾ ཡནྨཱུལྱཾ ཏེན ཀྵེཏྲམེཀཾ ཀྲཱིཏམ྄ ཨཔརཾ ཏསྨིན྄ ཨདྷོམུཁེ བྷྲྀམཽ པཏིཏེ སཏི ཏསྱོདརསྱ ཝིདཱིརྞཏྭཱཏ྄ སཪྻྭཱ ནཱཌྱོ ནིརགཙྪན྄།
19 Kila mtu Yerusalemu akasikia habari hizi, kwa hiyo wakapaita mahali hapo kwa lugha yao, Akeldama, yaani Shamba la Damu).
ཨེཏཱཾ ཀཐཱཾ ཡིརཱུཤཱལམྣིཝཱསིནཿ སཪྻྭེ ལོཀཱ ཝིདཱནྟི; ཏེཥཱཾ ནིཛབྷཱཥཡཱ ཏཏྐྵེཏྲཉྩ ཧཀལྡཱམཱ, ཨརྠཱཏ྄ རཀྟཀྵེཏྲམིཏི ཝིཁྱཱཏམཱསྟེ།
20 “Kama vile ilivyoandikwa katika kitabu cha Zaburi, “‘Mahali pake na pawe ukiwa, wala asiwepo yeyote atakayeishi humo,’ na, “‘Mtu mwingine aichukue nafasi yake ya uongozi.’
ཨནྱཙྩ, ནིཀེཏནཾ ཏདཱིཡནྟུ ཤུནྱམེཝ བྷཝིཥྱཏི། ཏསྱ དཱུཥྱེ ནིཝཱསཱརྠཾ ཀོཔི སྠཱསྱཏི ནཻཝ ཧི། ཨནྱ ཨེཝ ཛནསྟསྱ པདཾ སཾཔྲཱཔྶྱཏི དྷྲུཝཾ། ཨིཏྠཾ གཱིཏཔུསྟཀེ ལིཁིཏམཱསྟེ།
21 Kwa hiyo inatubidi tumchague mtu mwingine miongoni mwa wale ambao wamekuwa pamoja nasi wakati wote Bwana Yesu alipoingia na kutoka katikati yenu,
ཨཏོ ཡོཧནོ མཛྫནམ྄ ཨཱརབྷྱཱསྨཱཀཾ སམཱིཔཱཏ྄ པྲབྷོ ཪྻཱིཤོཿ སྭརྒཱརོཧཎདིནཾ ཡཱཝཏ྄ སོསྨཱཀཾ མདྷྱེ ཡཱཝནྟི དིནཱནི ཡཱཔིཏཝཱན྄
22 kuanzia ubatizo wa Yohana mpaka siku aliyochukuliwa kutoka kwetu kwenda Mbinguni. Kwa kuwa mmoja wao inabidi awe shahidi pamoja nasi wa ufufuo wake.”
ཏཱཝནྟི དིནཱནི ཡེ མཱནཝཱ ཨསྨཱབྷིཿ སཱརྡྡྷཾ ཏིཥྛནྟི ཏེཥཱམ྄ ཨེཀེན ཛནེནཱསྨཱབྷིཿ སཱརྡྡྷཾ ཡཱིཤོརུཏྠཱནེ སཱཀྵིཎཱ བྷཝིཏཝྱཾ།
23 Wakapendekeza majina ya watu wawili: Yosefu, aitwaye Barsaba (ambaye pia alijulikana kama Yusto) na Mathiya.
ཨཏོ ཡསྱ རཱུཌྷི ཪྻུཥྚོ ཡཾ བརྴབྦེཏྱུཀྟྭཱཧཱུཡནྟི ས ཡཱུཥཕ྄ མཏཐིཤྩ དྭཱཝེཏཽ པྲྀཐཀ྄ ཀྲྀཏྭཱ ཏ ཨཱིཤྭརསྱ སནྣིདྷཽ པྲཱཪྻྱ ཀཐིཏཝནྟཿ,
24 Kisha wakaomba, wakasema, “Bwana, wewe waujua moyo wa kila mtu. Tuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua
ཧེ སཪྻྭཱནྟཪྻྱཱམིན྄ པརམེཤྭར, ཡིཧཱུདཱཿ སེཝནཔྲེརིཏཏྭཔདཙྱུཏཿ
25 ili achukue nafasi ya huduma ya utume ambayo Yuda aliiacha ili aende mahali pake mwenyewe.”
སན྄ ནིཛསྠཱནམ྄ ཨགཙྪཏ྄, ཏཏྤདཾ ལབྡྷུམ྄ ཨེནཡོ རྫནཡོ རྨདྷྱེ བྷཝཏཱ ཀོ྅བྷིརུཙིཏསྟདསྨཱན྄ དརྴྱཏཱཾ།
26 Kisha wakawapigia kura, nayo kura ikamwangukia Mathiya, naye akaongezwa kwenye wale mitume kumi na mmoja.
ཏཏོ གུཊིཀཱཔཱཊེ ཀྲྀཏེ མཏཐིརྣིརཙཱིཡཏ ཏསྨཱཏ྄ སོནྱེཥཱམ྄ ཨེཀཱདཤཱནཱཾ པྲརིཏཱནཱཾ མདྷྱེ གཎིཏོབྷཝཏ྄།

< Matendo 1 >