< Matendo 1 >

1 Katika kitabu changu cha kwanza nilikuandikia, mpendwa Theofilo, kuhusu mambo yote Yesu aliyofanya na kufundisha tangu mwanzo,
תאופילוס היקר, במכתבי הראשון סיפרתי לך על חייו, מעשיו ותורתו של ישוע המשיח, וכיצד עלה לשמים, לאחר שנתן לשליחיו הנבחרים הוראות נוספות בגבורת רוח הקודש.
2 hadi siku ile alipochukuliwa kwenda mbinguni, baada ya kuwapa maagizo kupitia kwa Roho Mtakatifu wale mitume aliowachagua.
3 Baada ya mateso yake, alijionyesha kwao na kuwathibitishia kwa njia nyingi kwamba yeye yu hai. Katika muda wa siku arobaini baada ya kufufuka kwake aliwatokea na kunena kuhusu Ufalme wa Mungu.
במשך ארבעים יום לאחר צליבתו נגלה ישוע אל השליחים פעמים אחדות, והוכיח להם בדרכים שונות שהוא אכן חי. בהזדמנויות אלה הוא גם שוחח איתם על מלכות האלוהים.
4 Wakati mmoja alipokuwa pamoja nao, aliwapa amri hii, “Msitoke Yerusalemu, bali ingojeni ahadi ya Baba, ambayo mmenisikia nikisema habari zake.
באחת הפגישות האלה הורה ישוע לתלמידיו שלא יעזבו את ירושלים עד שיבוא עליהם רוח הקודש, כפי שהבטיח להם האב. ישוע שוחח איתם על כך פעמים רבות בעבר.
5 Yohana aliwabatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”
”יוחנן הטביל אתכם במים, “הזכיר להם ישוע,”אולם בעוד ימים אחדים תיטבלו ברוח הקודש!“
6 Mitume walipokuwa wamekusanyika pamoja, wakamuuliza Yesu, “Bwana, je, huu ndio wakati wa kuwarudishia Israeli ufalme?”
כשנגלה אליהם ישוע בפעם אחרת, שאלו אותו:”אדון, האם אתה עומד להשיב את המלכות לישראל?“
7 Yesu akawaambia, “Si juu yenu kujua nyakati na majira ambayo Baba ameyaweka katika mamlaka yake mwenyewe.
”האב הוא הקובע תאריכים אלה, “ענה ישוע,”ואינכם צריכים לדעת אותם.
8 Lakini mtapokea nguvu akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu, nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, Uyahudi kote na Samaria, hadi miisho ya dunia.”
אולם כשרוח הקודש יצלח עליכם, תקבלו כוח וסמכות להיות עדים לי בירושלים, ביהודה ושומרון ועד קצה העולם.“
9 Baada ya kusema mambo haya, walipokuwa wanatazama, akachukuliwa juu mbinguni mbele ya macho yao na wingu likampokea wasimwone tena.
זמן קצר לאחר מכן עלה ישוע לשמים לעיני תלמידיו, ונעלם בתוך ענן.
10 Walipokuwa bado wakikaza macho yao kuelekea juu alipokuwa akienda zake Mbinguni, tazama ghafula, wanaume wawili waliovaa mavazi meupe wakasimama karibu nao,
בעוד התלמידים מאמצים את עיניהם כדי לזכות במבט נוסף, עמדו ביניהם לפתע שני אנשים לבושים גלימות לבנות,
11 wakasema, “Enyi watu wa Galilaya, mbona mnasimama mkitazama juu angani? Huyu Yesu aliyechukuliwa kutoka kwenu kwenda Mbinguni, atarudi tena jinsi iyo hiyo mlivyomwona akienda zake Mbinguni.”
ואמרו:”אנשי הגליל, מדוע אתם עומדים ומביטים לשמים? ישוע אמנם עלה לשמים, אך יום אחד הוא יחזור בדיוק כפי שהלך מכם!“
12 Ndipo waliporudi Yerusalemu kutoka Mlima wa Mizeituni, uliokuwa karibu na Yerusalemu, umbali wa mwendo wa Sabato kutoka mjini.
כשקרה הדבר הזה הם היו בהר־הזיתים, ועתה חזרו ברגל לירושלים (מרחק של פחות מקילומטר).
13 Walipowasili mjini Yerusalemu, walikwenda ghorofani kwenye chumba walichokuwa wakiishi. Wale waliokuwepo walikuwa: Petro, Yohana, Yakobo, Andrea, Filipo, Tomaso, Bartholomayo, Mathayo, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni Zelote na Yuda mwana wa Yakobo.
כשהגיעו העירה, הם התאספו לתפילה בחדר העלייה שבו גרו. באסיפה זאת נכחו האנשים הבאים: פטרוס, יוחנן ויעקב, ‎אַנְדְּרֵי, פיליפוס, תומא, בר־תלמי, מתתיהו, יעקב בן־חלפי, שמעון מהקנאים, יהודה בן־יעקב ואחיו של ישוע. היו שם גם נשים אחדות, וביניהן אמו של ישוע.
14 Hawa wote waliungana pamoja katika maombi. Pamoja nao walikuwepo wanawake kadha, na Maria mama yake Yesu, pamoja na ndugu zake Yesu.
15 Katika siku hizo Petro akasimama katikati ya waumini (jumla yao wote walikuwa watu wapatao 120), akasema,
אסיפת התפילה נמשכה ימים אחדים, ויום אחד, כשנכחו שם מאה ועשרים איש, קם שמעון פטרוס ואמר:
16 “Ndugu zangu, ilibidi Andiko litimie ambalo Roho Mtakatifu alitabiri kupitia kwa Daudi kumhusu Yuda aliyewaongoza wale waliomkamata Yesu.
”אחים, נבואות התנ״ך צריכות היו להתקיים בנוגע ליהודה, אשר בגד בישוע והוביל אליו את ההמון, שהרי רוח הקודש דיבר על כך לפני זמן רב בפי דוד המלך.
17 Yuda alikuwa mmoja wetu, kwa maana na yeye alichaguliwa ashiriki katika huduma hii.”
יהודה היה אחד מאיתנו; הוא נבחר בדיוק כמונו להיות שליח.
18 (Basi Yuda alinunua shamba kwa zile fedha za uovu alizopata; akiwa huko shambani akaanguka, akapasuka na matumbo yote yakatoka nje.
בכסף שקיבל תמורת הבגידה הוא קנה לעצמו שדה, ושם מצא את מותו – הוא נפל ארצה על פניו, בטנו נבקעה ומעיו נשפכו החוצה.
19 Kila mtu Yerusalemu akasikia habari hizi, kwa hiyo wakapaita mahali hapo kwa lugha yao, Akeldama, yaani Shamba la Damu).
הידיעה על מותו התפשטה במהירות בין כל תושבי ירושלים, והם מכנים את המקום ההוא בשפתם’חקל דמא‘, שפירושו’שדה־הדם‘.
20 “Kama vile ilivyoandikwa katika kitabu cha Zaburi, “‘Mahali pake na pawe ukiwa, wala asiwepo yeyote atakayeishi humo,’ na, “‘Mtu mwingine aichukue nafasi yake ya uongozi.’
דוד המלך ניבא על כך בתהלים, ואמר שביתו יהיה שומם ושאיש לא יישב בו. ובמקום אחר אמר דוד שתפקידו (של יהודה) יינתן למישהו אחר.
21 Kwa hiyo inatubidi tumchague mtu mwingine miongoni mwa wale ambao wamekuwa pamoja nasi wakati wote Bwana Yesu alipoingia na kutoka katikati yenu,
”משום כך עלינו לבחור במישהו אחר, אשר ימלא את מקומו של יהודה, ויצטרף אלינו בעדותנו על תחייתו של ישוע אדוננו. הבה נבחר באדם שהיה איתנו מאז הימים הראשונים – מאז שישוע נטבל על־ידי יוחנן ועד שנלקח מאיתנו לשמים.“
22 kuanzia ubatizo wa Yohana mpaka siku aliyochukuliwa kutoka kwetu kwenda Mbinguni. Kwa kuwa mmoja wao inabidi awe shahidi pamoja nasi wa ufufuo wake.”
23 Wakapendekeza majina ya watu wawili: Yosefu, aitwaye Barsaba (ambaye pia alijulikana kama Yusto) na Mathiya.
הנאספים נקבו בשני שמות: יוסף יוסטוס (שנקרא גם”בר־שבא“) ומתתיהו.
24 Kisha wakaomba, wakasema, “Bwana, wewe waujua moyo wa kila mtu. Tuonyeshe ni yupi kati ya hawa wawili uliyemchagua
לאחר מכן התפללו כולם וביקשו שייבחר האדם הנכון.”אלוהים, “התפללו,”אתה המכיר כל לב, הראה נא לנו במי מהשניים בחרת למלא את מקומו של יהודה הבוגד, שהלך למקום הראוי לו!“
25 ili achukue nafasi ya huduma ya utume ambayo Yuda aliiacha ili aende mahali pake mwenyewe.”
26 Kisha wakawapigia kura, nayo kura ikamwangukia Mathiya, naye akaongezwa kwenye wale mitume kumi na mmoja.
הם הפילו גורל כדי לבחור בין שני המועמדים, ושמו של מתתיהו עלה בגורל. באותו יום הצטרף מתתיהו אל אחד־עשר השליחים.

< Matendo 1 >