< Matendo 9 >
1 Wakati ule ule, Sauli alikuwa bado anazidisha vitisho vya kuua wanafunzi wa Bwana, akamwendea kuhani mkuu,
Sawluh naw Bawipa hnukläk jah mkyüh lü jah hnim khaia ngbüki naw,
2 naye akamwomba kuhani mkuu ampe barua za kwenda kwenye masinagogi huko Dameski, ili akimkuta mtu yeyote wa Njia Ile, akiwa mwanaume au mwanamke, aweze kuwafunga na kuwaleta Yerusalemu.
Bawipa tuilam kläklamkie nghnumi kpamie naküt jah khit lü Jerusalema a jah lawpüi vaia, Damatet mlüha sinakoka veki am ca a ja pet vaia Jerusalema ktaiyü ngvaia veia kthäh khaia citki.
3 Basi akiwa katika safari yake, alipokaribia Dameski, ghafula nuru kutoka mbinguni ikamwangaza kotekote.
Acukba cit lü Damatet mlüh pei a pha law üng, khankhawa ka akvai cun angxita a peia vai law sawxatki.
4 Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, “Sauli, Sauli, mbona unanitesa?”
Acunüng, Sawluh mdeka khana kyu lü, “Sawluh, Sawluh, i vai na na mkhuimkhaki ni?” tia kthai a ngjak.
5 Sauli akajibu, “U nani wewe, Bwana?” Ile sauti ikajibu, “Mimi ni Yesu unayemtesa.
Sawluh naw, “Bawipa, nang u ni?” a ti. “Na mkhuimkha Jesuha ka kyaki ni; tia kthai a ngjak.
6 Sasa inuka uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.”
Acunsepi tho law lü mlüh da cita, acunüng na pawh vai ni mtheh khaie ni” a ti.
7 Watu waliokuwa wakisafiri pamoja na Sauli wakasimama bila kuwa na la kusema, kwa sababu walisikia sauti lakini hawakumwona aliyekuwa akizungumza.
Acua a hlawnga cit hngakie naw kthai ngja u sepi, u am hmu u.
8 Sauli akainuka kutoka pale chini na alipojaribu kufungua macho yake hakuweza kuona kitu chochote. Basi wakamshika mkono wakamwongoza mpaka Dameski.
Sawluh cun mdek üngka naw tho law be lü, hang mangki naw ipi am hmu thei se, a kut üng kaih u lü, Damatet mlüha ami cehpüi.
9 Naye kwa muda wa siku tatu alikuwa kipofu naye hakula wala kunywa chochote.
Mhnüp kthum khawdei am hmu lü i am eiaw lü veki.
10 Huko Dameski alikuwepo mwanafunzi mmoja jina lake Anania. Bwana alimwita katika maono, “Anania!” Akajibu, “Mimi hapa Bwana.”
Acunüng, Damateta Anani ngming naki axüisaw mat veki. Pamhnam naw a ngmang üng, “Anani” a ti. Ani naw, “Bawipa aw, hia ve veng” a ti.
11 Bwana akamwambia, “Ondoka uende katika barabara iitwayo Nyofu ukaulize katika nyumba ya Yuda mtu kutoka Tarso, jina lake Sauli, kwa maana wakati huu anaomba,
Bawipa naw a veia, “Tho law lü, lam ngdüng ami tia lama cita, Sawluh naki Tasuh mlüha ka Judaha ima va suia; acua ktaiyü lü veki ni;
12 katika maono amemwona mtu aitwaye Anania akija na kuweka mikono juu yake ili apate kuona tena.”
Anani ngming naki naw lut lü a mik a mdeisak be vaia, a khana a kut mtaih se, hmu päng veng” a ti.
13 Anania akajibu, “Bwana, nimesikia kutoka kwa watu wengi habari nyingi kuhusu mtu huyu na madhara yote aliyowatendea watakatifu wako huko Yerusalemu.
Anani naw, “Bawipa aw, acun cun, Jerusalem mlüha na khyangea khana a jah mkhuimkhanak, khyang ngcim khawhah mpyawng üng ka ngjaki;
14 Naye amekuja hapa Dameski akiwa na mamlaka kutoka kwa viongozi wa makuhani ili awakamate wote wanaotaja jina lako.”
acunüng, hia pi na ngming pyenki naküt a jah mannak vaia ktaiyü ngvaiea veia ana yah pängki ni” ti lü a msang.
15 Lakini Bwana akamwambia Anania, “Nenda! Mtu huyu ni chombo changu kiteule nilichokichagua, apate kulichukua Jina langu kwa watu wa Mataifa na wafalme wao na mbele ya watu wa Israeli.
Acunsepi, Bawipa naw, “Cita, Khyangmjükcee, sangpuxange ja Isarel khyangmjükcee venaka ka ngming cehpüi khaia ka xü ni.
16 Nami nitamwonyesha jinsi impasavyo kuteseka kwa ajili ya Jina langu.”
“Ka ngminga phäha mkhuimkhanak ihlawka khamei khai tia ka ksing lawsak khai” a ti.
17 Kisha Anania akaenda kwenye ile nyumba, akaingia ndani. Akaweka mikono yake juu ya Sauli akasema, “Ndugu Sauli, Bwana Yesu aliyekutokea njiani amenituma kwako ili upate kuona tena na ujazwe Roho Mtakatifu.”
Acunüng, Anani cun va cit lü Sawluha venak ima lutki; a khana a kut mtaih lü, “Ka na Sawluh aw, na mika hmuhnak be vai ja Ngmüimkhya Ngcim am na benak vaia, na law lama Bawipa na veia ngdangki Jesuh naw a na tüih law ni” a ti.
18 Ghafula vitu kama magamba vikaanguka chini, kutoka machoni mwa Sauli, akapata kuona tena. Akasimama, akabatizwa.
Acunja, a mik üngka naw ngalipa nglawh lawa mäiha nglo law lü, a mik mdei law beki; acunüng, tho law lü, Baptican khanki.
19 Baada ya kula chakula, akapata nguvu tena. Sauli akakaa siku kadhaa pamoja na wanafunzi huko Dameski.
Acunüng, a ei päng ja, aktha ve law beki. Acunüng, Damatet khawa veki axüisawea veia asäng veki.
20 Papo hapo akaanza kuhubiri kwenye masinagogi kwamba “Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu”
Sinakoka cit täih lü, Jesuh cun Pamhnama Cakpa akyaka mawng sangki.
21 Watu wote waliomsikia Sauli walishangaa na kuuliza, “Huyu si yule mtu aliyesababisha maangamizi makuu huko Yerusalemu miongoni mwa watu waliolitaja jina hili? Naye si amekuja hapa kwa kusudi la kuwakamata na kuwapeleka wakiwa wafungwa mbele ya viongozi wa makuhani?”
A ngthu pyen ngjaki naküt naw cäi u lü, “Hin hin, Jerusalem mlüha hina ngming pyenki naküt ja khuimkha khawikia am kya ai se? Acune cun jah khit lü ktaiyü ngvaiea veia a jah cehpüi vaia lawki ni” ami ti.
22 Sauli akazidi kuwa hodari na kuwashangaza Wayahudi walioishi Dameski kwa kuthibitisha kuwa Yesu ndiye Kristo.
Acunsepi, Sawluh cun a pyen johit am be law lü, Damateta vekia Judahea pyen naküta ngthu ja msang lü, Jesuh cun Khritaw kcanga akyaka mawng a jah mtheh.
23 Baada ya siku nyingi kupita, Wayahudi wakafanya shauri kumuua Sauli.
Acunüng, asäng nghjawk se, Sawluh hnim khaiea Judahe nghmu u lü cengkie.
24 Lakini shauri lao likajulikana kwa Sauli. Wayahudi wakawa wanalinda malango yote ya mji, usiku na mchana ili wapate kumuua.
Acunsepi, Sawluh naw ami ceng a ksingei. Sawluh hnim khaiea bü u lü mkawte cun amhnüp mthana ami jah ngnäng.
25 Lakini wafuasi wake wakamchukua usiku wakamshusha akiwa ndani ya kapu kupitia mahali penye nafasi ukutani.
Acunsepi, axüisawe naw cehpüi u lü mthana vawh üng takie naw ngvawng üngkhyüh ami ju khyak.
26 Sauli alipofika Yerusalemu akajaribu kujiunga na wanafunzi lakini wote walimwogopa, kwa maana hawakuamini kwamba kweli naye alikuwa mwanafunzi.
Acunüng, Sawluh naw Jerusalem mlüh a pha ja, axüisawe jah ngdawn hüpüi se, axüisawa kya hngaki ti am jum u lü ami van naw ami kyühei.
27 Lakini Barnaba akamchukua, akampeleka kwa wale mitume. Akawaeleza jinsi Sauli akiwa njiani alivyomwona Bwana, jinsi Bwana alivyosema naye na jinsi alivyohubiri kwa ujasiri kwa jina la Yesu huko Dameski.
Banabah naw ngkhahpüi lü axüisawea veia lawpüiki naw, lama Bawipa hmu se a ngthuheipüia mawng, Damatet khawa am kyühei lü Jesuha ngming am ngthu a pyena mawng cun a jah mtheh.
28 Kwa hiyo Sauli akakaa nao akitembea kwa uhuru kila mahali huko Yerusalemu, akihubiri kwa ujasiri katika jina la Bwana.
Acukba Sawluh cun Jerusalem khawa ami veia cit hü lü Bawipa ngming am ling lü ngthu pyenki.
29 Alinena na kuhojiana na Wayahudi wenye asili ya Kiyunani lakini wao walijaribu kumuua.
Krik khyü pyenki Judahea veia ngthu pyen se, ngcupüikie naw, hnim khaie a ami bü.
30 Wale ndugu walipopata habari wakampeleka hadi Kaisaria, wakamsafirisha kwenda Tarso.
Acunüng, Jumeikie naw ami ksing law üng, Ketarih khawa cehpüi u lü Tasuh khawa ami tüihin u.
31 Ndipo kanisa katika Uyahudi wote, Galilaya na Samaria likafurahia wakati wa amani. Likatiwa nguvu, na kwa faraja ya Roho Mtakatifu, idadi yake ikazidi kuongezeka, na likaendelea kudumu katika kumcha Bwana.
Sangcime cun Judah, Kalile ja Samariha dim’yenak am vekie; acunüng, Ngmüimkhya Ngcim naw ngjuk ktha jah pe lü khyang nung law u lü Bawipa cun aktäa kyühkie.
32 Petro alipokuwa akisafiri sehemu mbalimbali, alikwenda kuwatembelea watakatifu walioishi huko Lida.
Pita cun hnün naküt üng cit hü lü Ludah mlüha veki Mhnama khyangea venaka ju citki.
33 Huko alimkuta mtu mmoja aitwaye Ainea, ambaye alikuwa amepooza na kwa muda wa miaka minane alikuwa hajaondoka kitandani.
Acua khyang mat, Eni ngming naki, xo lü kum khyet a ihnak üng ngjänki a hmu.
34 Petro akamwambia, “Ainea, Yesu Kristo anakuponya, inuka utandike kitanda chako.” Mara Ainea akainuka.
Pita naw, “Eni, Jesuh Khritaw naw ning mdaw be ve; tho law lü na ngjännak pyanga” ti se, acun üng, angxita tho lawki.
35 Watu wote wa Lida na Sharoni walipomwona Ainea akitembea wakamgeukia Bwana.
Ludah mlüh ja Saron mlüha vekie naküt naw, Eni hmu u lü, Bawipa veia nghlatkie.
36 Huko Yafa palikuwa na mwanafunzi jina lake Tabitha (ambalo kwa Kiyunani ni Dorkasi). Huyu alikuwa mkarimu sana, akitenda mema na kuwasaidia maskini.
Jukpei mlüh k'uma Tabitah ngmingnakia nghnumi mat veki. A Krik ngming cun Dorka naki, ‘Sa khyuk’ tinaka kyaki. Acuna nghnumi cun jumei lü, akdaw bilo lü, aktäa petmsawkia nghnumia kyaki.
37 Wakati huo akaugua, akafa na wakiisha kuuosha mwili wake wakauweka katika chumba cha ghorofani.
Acunüng, ani cun am mya lü thi se, a yawk cun mthi u lü ima khana ami mphän.
38 Kwa kuwa Yafa hapakuwa mbali sana na Lida, wanafunzi waliposikia kwamba Petro yuko huko waliwatuma watu wawili kwake ili kumwomba, “Tafadhali njoo huku pasipo kukawia.”
Acunüng, Ludah mlüh cun Jukpei mlüh khyüh am thuk, axüisawe naw Pita acua veki tia ami ksing üng, “Käh sü lü, kami veia law kawpi” tia nghui na khaia, khyang nghngih ami jah tüih.
39 Kwa hiyo Petro akainuka akaenda nao, naye alipowasili, wakampeleka hadi kwenye chumba cha ghorofani alipokuwa amelazwa. Wajane wengi walisimama karibu naye wakilia na kuonyesha majoho na nguo nyingine ambazo Dorkasi alikuwa amewashonea alipokuwa pamoja nao.
Acunüng, Pita cun tho law lü, ami veia cit haki. A pha ja khan ima ami cehpüi; hmeinu naküt cun a peia ngdüi u lü, Dorka naw ami veia a ve ham üng a jah pyana kcue ja jihe jah büktengsak u lü kyapkie.
40 Petro akawatoa wote nje ya kile chumba, kisha akapiga magoti akaomba, akaugeukia ule mwili akasema, “Tabitha, inuka.” Akafumbua macho yake na alipomwona Petro, akaketi.
Acunsepi, Pita naw ami van kpunga ja lu lawsak lü a mkhuk süm lü ktaiyüki; yawk da nglat lü “Tabitah, tho law” a ti. Acunüng, mdei law lü, Pita a hmu ja tho law lü ngawki.
41 Petro akamshika mkono akamwinua, ndipo akawaita wale watakatifu na wajane akamkabidhi kwao akiwa hai.
Acunüng, Pita naw a kut säng lü mthoki naw, jumeikie ja hmeinue jah khü lü, akxünga a jah mhnuh.
42 Habari hizi zikajulikana sehemu zote za Yafa na watu wengi wakamwamini Bwana.
Acun cun Jukpei mlüh üngkae ami van naw ngja u lü khyang khawha naw Bawipa jumkie.
43 Petro akakaa Yafa kwa siku nyingi akiishi na Simoni mtengenezaji ngozi.
Pita cun Jukpei mlüha mhnüp khawvei savun pyangki Sihmona ima veki.