< Matendo 8 >

1 Naye Sauli alikuwepo pale, akiridhia kuuawa kwa Stefano. Siku ile kukatukia mateso makuu dhidi ya kanisa huko Yerusalemu, waumini wote isipokuwa mitume wakatawanyika, wakakimbilia Uyahudi na Samaria.
Sauli ajhele makubaliano gha kifo kya muene. Legono elu ndo ajhandili kubhatesya kinyume kya kanisa lya lyejhele Yerusalemu; na bhoha jha bhiamini bhabhatawanyiki mu majimbo gha Yudea ni Samaria, isipokujha mitume.
2 Watu wacha Mungu wakamzika Stefano na kumwombolezea sana.
Bhanu bhacha mungu bhan'syelili Stefano ni kubhomba maombolez mabhaha juu jha muene.
3 Lakini kwa habari ya Sauli alikuwa analiharibu kanisa, akiingia nyumba kwa nyumba, akiwaburuta wanawake na wanaume na kuwatupa gerezani.
Lakini Sauli alilizuru likanisa. Alotili nyumba kwa nyumba nikubhabuniza kwibhala bhadala ni bhagosi, ni kubhasopa mu ligereza.
4 Kwa hiyo wale waliotawanyika wakalihubiri neno la Mungu kila mahali walipokwenda.
Bhabhikeera ambabho bhatawanyiki bado bhalihubiri lilobhi.
5 Filipo akateremkia mji mmoja wa Samaria akawahubiria habari za Kristo
Filipo asalili katika mji bhwa Samaria ni kun'tangasya Kristu okhu.
6 Watu walipomsikia Filipo na kuona ishara na miujiza aliyofanya, wakasikiliza kwa bidii yale aliyosema.
Baada jha makutano kup'eleka ni ishara syaabhombi Filipo; bhakabheka umakini juu jha khela kyaajobhili.
7 Pepo wachafu wakawa wakiwatoka watu wengi huku wakipiga kelele na wengi waliopooza na viwete wakaponywa.
Kuhomela apu bhanu bhingi bhabhap'eliki pepo bhachafu bhakabhabhoka bhanu khoni bhilela kwa sauti mbaha, ni bhingi bhabhapoozili ni fiwete bhaponyisibhu.
8 Hivyo pakawa na furaha kuu katika mji huo.
Na kwajhele ni furaha mbaha mu mji.
9 Basi mtu mmoja jina lake Simoni alikuwa amefanya uchawi kwa muda mrefu katika mji huo akiwashangaza watu wote wa Samaria. Alijitapa kwamba yeye ni mtu mkuu,
Lakini pajhele ni munu mmonga mu mji bhola lihina lya muene Simoni ambajhe abhombeghe uhabhi; ambabho abhutimili kubhashangasya bhanu bha taifa la Samaria, wakati ijobha kujha muene ndo munu muhimu.
10 nao watu wote wakubwa kwa wadogo wakamsikiliza na kumaka, wakisema “Mtu huyu ndiye uweza wa Mungu ujulikanao kama ‘Uweza Mkuu.’”
Bhasamaria bhoha kuhomela bhana hata bhabhaha, bhakamp'elekesya, bhakajobha, “Munu ojho ndo jhela nghofu jha K'yara ambajho ndo mbaha.”
11 Wakamfuata kwa sababu kwa muda mrefu alikuwa amewashangaza kwa uchawi wake.
Bhakamp'elekesya, kwa ndabha abhesyangese mda mrefu kwa uhabhi bhwa muene.
12 Lakini watu walipomwamini Filipo alipohubiri habari njema za Ufalme wa Mungu na jina la Yesu Kristo, wakabatizwa wanaume na wanawake.
Lakini wakati bhakyeriri kujha Filipo ahubiriri juu jha ufalme bhwa K'yara ni juu jhalihina lya Yesu Kristu, bhabatisibhu bhagosi kwa bhadala.
13 Simoni naye akaamini na akabatizwa. Akamfuata Filipo kila mahali, akistaajabishwa na ishara kuu na miujiza aliyoiona.
Ni Simoni muene akyeriri; baada jha kubatisibhwa ajhendelili kujha ni Filipo; bho abhuene ishara ni miujiza jhaijhele jhibhombekeghe, ashangele.
14 Basi mitume waliokuwa Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria wamelipokea neno la Mungu, wakawatuma Petro na Yohana waende huko.
Wakati mitume bha Yerusalemu bho bhap'eliki kujha samaria ipokili lilobhi lya K'yara bhakabhautma Petro ni Yohana.
15 Nao walipofika wakawaombea ili wampokee Roho Mtakatifu,
Wakati bhiselela bhakabhaombela; kujha bhampokelayi Roho mtakatifu.
16 kwa sababu Roho Mtakatifu alikuwa bado hajawashukia hata mmoja ila wamebatizwa tu katika jina la Bwana Yesu.
Mpaka mda obhu, Roho mtakatifu ajhele akona kubhaselelela hata mmonga ghwa bhene; bhabatisibhu lu kwa lihina lya Bwana Yesu.
17 Ndipo Petro na Yohana wakaweka mikono yao juu ya wale waliobatizwa, nao wakapokea Roho Mtakatifu.
Ndipo Petro ni Yohana bhakabhabhekela mabhoko ni bhene bhakampokela Roho mtakatifu.
18 Simoni alipoona kuwa watu wanapokea Roho Mtakatifu mitume walipoweka mikono juu yao, akataka kuwapa fedha
Wakati Simoni abhwena Roho mtakatifu abhosibhu kupetelakubhekibhwa mabhoko ni mitume; alondeghe kubhapela hela,
19 akisema, “Nipeni na mimi uwezo huu ili kila mtu nitakayeweka mikono yangu juu yake apate kupokea Roho Mtakatifu.”
Akajobha, “Nipelayi nghofu ejhe, ili kila jha nibetakumbeka mabhoko paokelayi Roho mtakatifu.”
20 Petro akamjibu, “Fedha yako na iangamie pamoja nawe, kwa sababu ulidhani unaweza kununua karama ya Mungu kwa fedha!
Lakini Petro akan'jobhela; hela jha jhobhi pamonga ni bhebhe ijhaghanikilayi patali, kwa ndabha udhanili kujha karama jha K'yara jhipalikana kwa hela.
21 Wewe huna sehemu wala fungu katika huduma hii kwa kuwa moyo wako si mnyofu mbele za Mungu.
Ujhelepi ni sehemu kulijambo e'le, n'nofu lepi mbele sya K'yara.
22 Kwa hiyo tubu kwa uovu huu wako na umwombe Bwana. Yamkini aweza kukusamehe mawazo uliyo nayo moyoni mwako.
Hivyo basi, tubuayi maovu gha jhobhi ni kun'soka K'yara labda wibeta kusamehebhwa fikra sya muoyo ghwa jhobhi.
23 Kwa maana ninaona kwamba wewe umejawa na uchungu na ni mfungwa wa dhambi.”
Kwa maana nibhona ujhele mu sumu jha bhuchungu ni kifungu kya dhambi.”
24 Ndipo Simoni akajibu, “Niombeeni kwa Bwana, ili hayo mliyosema lolote yasinitukie.”
Simoni akajibu ni kujobha, “Mun'sokayi Bwana kwa ndabha jha nene kwa kujha mambo ghoha ghamulongelili ghibhwesya kunitokela.
25 Nao walipokwisha kutoa ushuhuda na kuhubiri neno la Bwana, wakarudi Yerusalemu wakihubiri Injili katika vijiji vingi vya Samaria.
Wakati Petro ni Yohana bho bhashuhudili ni kuhubiri lilobhi lya Bwana, bhakakerebhuka Yerusalemu kwa njela ejhu; bhahubiri injili mu fijiji fingi fya bhasamaria.
26 Basi malaika wa Bwana akamwambia Filipo, “Nenda upande wa kusini kwenye ile barabara itokayo Yerusalemu kuelekea Gaza ambayo ni jangwa.”
Basi malaika bha Bwana anenili ni Filipo ni kujobha, “Jhangasiajhi na ulotayi kusini kwa njela jhajhilota kusika jha Yerusalemu kulotela Gaza.” (Njela ejhe jhijhe mujangwa).
27 Hivyo akaondoka. Akiwa njiani akakutana na towashi wa Kushi, aliyekuwa afisa mkuu, mwenye mamlaka juu ya hazina zote za Kandake, Malkia wa Kushi. Huyu towashi alikuwa amekwenda Yerusalemu ili kuabudu,
Akajhangasya ni kulota. Langayi, kwajhele ni munu ghwa Ethiopia, towashi mwenye mamlaka mbaha pasi pa kandese; Malkia ghwa Ethiopia. Jhaabhekibhu panani pa hazina jha muene jhioha; nu muene akalota Yerusalemu kuabudu.
28 naye akiwa njiani kurudi nyumbani alikuwa ameketi garini mwake akisoma kitabu cha nabii Isaya.
Wakati ikerebhuka atamili mu ligari lyamuene isoma chuo kya nabii Isaya.
29 Roho Mtakatifu akamwambia Filipo, “Nenda kwenye lile gari ukae karibu nalo.”
Roho akajobha ni Filipo, “Hegelelayi karibu ni ligari e'le ukakamulana nalu.
30 Ndipo Filipo akakimbilia lile gari na kumsikia yule mtu anasoma kitabu cha nabii Isaya. Filipo akamuuliza, “Je, unaelewa hayo usomayo?”
“Efyo Filipo akalota mbio, akampeleka isoma mu chuo kya nabii Isaya; akajobha, umanyili kya wisoma?”
31 Yule towashi akasema, “Nitawezaje kuelewa mtu asiponifafanulia?” Hivyo akamkaribisha Filipo ili apande na kuketi pamoja naye.
Muethiopia akajobha, “nibebhwesya bhuli munu kama andongwisi lepi?” Akan'sihi Filipo akwela mu ligari ni kutama pamonga ni muene.
32 Huyu towashi alikuwa anasoma fungu hili la Maandiko: “Aliongozwa kama kondoo aendaye machinjoni, kama mwana-kondoo anyamazavyo mbele yake yule amkataye manyoya, hivyo hakufungua kinywa chake.
Henu lifungu lya maandiku lya asomeghe Muethiopia ndo e'le, Alongosibhu kama likondoo kulota kuchinjibhwa ku machinjioni; ni kama likondoo agudeme kinunu, afunguililepi kinywa kya muene.
33 Katika kufedheheshwa kwake alinyimwa haki yake. Nani awezaye kueleza juu ya kizazi chake? Kwa maana maisha yake yaliondolewa kutoka duniani.”
Kwa huzunishibhwa kwa muene hukumu jha muene jhabhosibhu, niani jha ibetakujhelesya kizazi kya muene? maisha muene ghabhosibhu munchi.”
34 Yule towashi akamuuliza Filipo, “Tafadhali niambie, nabii huyu anena habari zake mwenyewe au habari za mtu mwingine?”
Hivyo towashi akan'kota Filipo, ni kujobha, “nikus'oka, nabii jholeku ilongelibhwa habari sya muene, ni kuhusu muene au sya munu jhongi”?
35 Ndipo Filipo akaanza kutumia fungu lile la Maandiko, akamweleza habari njema za Yesu.
Filipo ajhandikulongela, abhwanji kwa andiko e'le lya Isaya kun'hubirira habari sya Yesu.
36 Walipokuwa wakiendelea na safari wakafika mahali palipokuwa na maji, yule towashi akamuuliza Filipo, “Tazama, hapa kuna maji. Kitu gani kitanizuia nisibatizwe?” [
Bhobhajhe munjela, bhakafika pa masi,' towashi akajobha, “Langayi, pajheni masi apa kheleku kizuila nisibatisibhu?”
37 Filipo akamwambia, “Kama ukiamini kwa moyo wako wote unaweza kubatizwa.” Akajibu, “Naamini kuwa Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu.”]
Malobhi agha, “Hivyo Muethiopia akajibu “Nikiera kujha Yesu Kristu ndo mwana ghwa K'yara,” ghajhelepi mu maandiku gha muandi). Ndipo Muethiopia akaamuru ligari lijhemayi.
38 Naye akaamuru lile gari lisimamishwe. Wakateremka kwenye maji wote wawili, yule towashi na Filipo, naye Filipo akambatiza.
Bhakalota mugati mu masi, pamonga ni Filipo ni towashi, Filipoakambatisya.
39 Nao walipopanda kutoka kwenye maji, ghafula Roho wa Bwana akamnyakua Filipo, naye towashi hakumwona tena, lakini akaenda zake akifurahi.
Wakati bhofobhwiki mu masi, Roho ghwa Bwana jhampeliki Filipo patali; tawashi ambwene lepi, akalota njela jha muene khoni ishangilila.
40 Filipo akajikuta yuko Azoto, akasafiri akihubiri Injili katika miji yote mpaka alipofika Kaisaria.
Lakini Filipo akahomela Azoto. Apetili mu mkoa bhola ni kuhubiri injili mu miji ghioha mpaka bho afikili Kaisaria.

< Matendo 8 >