< Matendo 7 >

1 Ndipo kuhani mkuu akamuuliza Stefano, “Je, mashtaka haya ni ya kweli?”
AYONAE ilegña y magas mamale: Taegüine este sija?
2 Stefano akajibu, “Ndugu zangu na baba zangu, nisikilizeni! Mungu wa utukufu alimtokea baba yetu Abrahamu, alipokuwa bado yuko Mesopotamia, kabla hajaishi Harani,
Ya güiya ilegña: Mañelujo lalaje yan mañaena, ecungog. Si Yuus y minalag fumatoigüe y tatata as Abraham anae estatabaja guiya Mesopotamia, antes di usaga Charran.
3 akamwambia, ‘Ondoka kutoka nchi yako na kutoka kwa jamii yako, uende hadi nchi nitakayokuonyesha.’
Ya ilegña nu güiya: Suja gui tanomo yan y manparientesmo, ya maela jalom gui tano ni y finanuejo nu jago.
4 “Hivyo aliondoka katika nchi ya Wakaldayo akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu akamtoa huko akamleta katika nchi hii ambayo mnaishi sasa.
Ya güiya jumanao juyong gui tano y Chaldeosija, ya sumaga Charran: ya desde ayo, anae matae si tataña, ninamalofangüe as Yuus güine mague na tano anae mañasaga jamyo pago.
5 Mungu hakumpa urithi wowote katika nchi hii, hakumpa hata mahali pa kuweka wayo mmoja. Bali Mungu alimwahidi kuwa yeye na uzao wake baada yake wangeirithi hii nchi, ingawa wakati huo Abrahamu hakuwa na mtoto.
Ya ti ninae güe jafa na erensiaña güije, aje, taya ni para upolo y adengña gui jiloña: lao prinemete güe na uninae para güinajaña, yan y semiyaña despues di güiya, sa güiyaja trabia tataepatgon.
6 Mungu akasema naye hivi: ‘Wazao wako watakuwa wageni kwenye nchi ambayo si yao, nao watafanywa watumwa na kuteswa kwa miaka mia nne.’
Ya si Yuus jasangan taegüine, Na y semiyaña utaotao juyong gui ti tanoña; yan manmacone ya manmancautiba, ya manmatrata taelaye cuatro sientes años.
7 Mungu akasema, ‘Lakini mimi nitaliadhibu taifa watakalolitumikia kama watumwa, na baadaye watatoka katika nchi hiyo na wataniabudu mahali hapa.’
Ya y nasion ni y manmancautiba, bae jujusga, ilegña si Yuus; na despues di ayo, ufanmamaela juyong ya guajo jumasetbe güine na lugat.
8 Ndipo akampa Abrahamu Agano la tohara. Naye Abrahamu akamzaa Isaki na kumtahiri siku ya nane. Baadaye Isaki akamzaa Yakobo, naye Yakobo akawazaa wale wazee wetu kumi na wawili.
Yan manae güe ni y traton sirconsision: ya si Abraham jalilis si Ysaac, ya masirconsida güe gui mina ocho na jaane; ya si Ysaac jalilis si Jacob; ya si Jacob jalilis y dose na patriarcasija.
9 “Kwa sababu wazee wetu walimwonea wivu Yosefu ndugu yao, walimuuza kama mtumwa huko Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye.
Ya y patriarca sija pot y inigoñija, mabende si José guiya Egipto: lao si Yuus estaba guiya güiya,
10 Akamwokoa kutoka mateso yote yaliyompata, tena akampa kibali na hekima aliposimama mbele ya Farao, mfalme wa Misri, ambaye alimweka kuwa mtawala juu ya Misri na juu ya jumba lote la kifalme.
Ya ninalibre güe todo gui chinatsaga, yan ninae güe finaborese yan tiningo, gui menan Faraon, ray guiya Egipto; yan ninamagalaje güe guiya Egipto, yan todo y guimaña.
11 “Basi kukawa na njaa katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa, nao baba zetu wakawa hawana chakula.
Ayonae mato niñalang todo gui tano Egipto yan Charran, yan dangculon chinatsaga: ya y mañaenata ti manmañoda nengcanoñija.
12 Lakini Yakobo aliposikia kwamba kuna nafaka huko Misri, aliwatuma baba zetu, wakaenda huko kwa mara yao ya kwanza.
Lao anae si Jacob jajungog na guaja trigo guiya Egipto, jatago y mañaenata finenana na biaje.
13 Walipokwenda mara ya pili, Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, nao ndugu zake Yosefu wakajulishwa kwa Farao.
Ya y mina dos biaje, matungo si José ni y mañeluña: ya y parientes José janatungo si Faraon.
14 Ndipo Yosefu akawatuma kumleta Yakobo baba yake pamoja na jamaa yake yote, jumla yao walikuwa watu sabini na watano.
Ya manago si José na umaagange si tataña as Jacob para iya güiya, yan todo y manparientesña, setentaisinco na taotao.
15 Hivyo Yakobo akaenda Misri ambako yeye na baba zetu walifia.
Ya si Jacob jumanao papa Egipto, ya matae güije yan y mañaenata sija.
16 Miili yao ilirudishwa Shekemu na kuzikwa katika kaburi ambalo Abrahamu alinunua kutoka kwa wana wa Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.
Ya manmachule guato Siquem, ya manmapolo gui naftan, ni y finajan Abraham pot salape, gui famaguon Emmor guiya Siquem.
17 “Lakini wakati ulipokuwa unakaribia wa kutimizwa kwa ile ahadi ambayo Mungu alikuwa amempa Abrahamu, watu wetu walizidi kuongezeka sana huko Misri.
Lao anae esta jijot y tiempon y promesa, ni y si Yuus manjula as Abraham, ya y taotao lumamegae, yan manlajyan guiya Egipto,
18 Ndipo mfalme mwingine ambaye hakujua lolote kuhusu Yosefu akatawala Misri.
Asta qui y otro ray cajulo, ya ti jatungo si José.
19 Huyu mfalme akawatendea watu wetu hila na kuwatesa baba zetu kwa kuwalazimisha wawatupe watoto wao wachanga ili wafe.
Este jausa y malamañaña gui manparientesta, yan jatrata taelaye y mañaenata, sa janafanmayute y famaguonñija ni y pago finañago para chañija fanlalâlâ.
20 “Wakati huo Mose alizaliwa, naye hakuwa mtoto wa kawaida. Akalelewa nyumbani kwa baba yake kwa muda wa miezi mitatu.
Ya ayo na tiempo nae mafañago si Moises, ya sumenbonito; ya mapogsae gui guima tataña tres meses.
21 Waliposhindwa kumficha zaidi, wakamweka nje mtoni na binti Farao akamchukua akamtunza kama mtoto wake mwenyewe.
Ya anae mayute, y jagan Faraon jumoca, ya pinegsae para lajiña.
22 Mose akafundishwa hekima yote ya Wamisri, akawa mtu hodari kwa maneno na matendo.
Ya si Moises, maeyag ni y todo y tiningo y taotao Egipto, ya mangaeninasiñaña y finoña yan y chechoña sija.
23 “Mose alipokuwa na umri wa miaka arobaini aliamua kuwatembelea ndugu zake Waisraeli.
Ya anae cana jacumple cuarenta años y sacaña, mato gui corasonña na ubisita y mañeluña ni y famaguon Israel.
24 Aliona mmoja wao akidhulumiwa na Mmisri, akamtetea yule aliyeonewa, akampiga yule Mmisri akamuua kulipiza kisasi.
Ya jalie uno guiya sija ni y japadese y maltrato, ya jadefiende y mumatrata, ya japuno y taotao Egipto.
25 Mose alidhani kuwa ndugu zake wangetambua kwamba Mungu anamtumia ili kuwaokoa, lakini wao hawakuelewa.
Sa pineluña na jatungo y mañeluña na uninafanlibre as Yuus ni y canaeña; lao ti jatungo sija.
26 Siku iliyofuata Mose aliwakuta Waisraeli wawili wakigombana, akajaribu kuwapatanisha kwa kuwaambia, ‘Enyi watu, ninyi ni ndugu, mbona mnataka kudhulumiana?’
Ya y inagpaña na jaane, jafanue sija nu güiya anae managuaguat, ya malago na unaunoja talo sija, ilegña: Señores, jamyo mañelo; jafa na mananataelaye y uno yan y otro?
27 “Lakini yule mtu aliyekuwa akimdhulumu mwenzake akamsukuma Mose kando, akamuuliza, ‘Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu?
Lao ayo y minalalamen y tiguangña, jachonegñaejon, ilegña: Jaye munamagas jao gui jilo mame?
28 Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri jana?’
Malago jao unpunoyo taegüije anae unpuno nigap y taotao Egipto?
29 Mose aliposikia maneno haya, alikimbilia huko Midiani alikokaa kama mgeni, naye akapata watoto wawili wa kiume.
Ya ninafalago si Moises ni este na sinangan, ya tumaotao juyong gui tano Madian, gui anae jalilis y dos na lajiña.
30 “Basi baada ya miaka arobaini kupita, malaika wa Mungu akamtokea Mose jangwani karibu na Mlima Sinai katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto.
Ya anae jacumple cuarenta años, mato guiya güiya un angjet gui jalomtano gui egso Sinae, gui mañila y guafe gui jalom y trongcon chaguan.
31 Alipoona mambo haya, alishangaa yale maono. Aliposogea ili aangalie kwa karibu, akaisikia sauti ya Bwana, ikisema:
Ya anae jalie ayo si Moises, ninagosmanman ni y liniiña; ya anae lumajijot para ugueslie, y inagang y Señot mato guiya güiya,
32 ‘Mimi ndimi Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, Isaki na Yakobo.’ Mose alitetemeka kwa hofu na hakuthubutu kutazama.
Ilegña: Guajo y Yuus y mañaenamo, y Yuus Abraham, yan y Yuus Ysaac, yan y Yuus Jacob. Lao si Moises manlalaolao, ya ti siña jaatan.
33 “Ndipo Bwana akamwambia, ‘Vua viatu vyako kwa maana mahali unaposimama ni patakatifu.
Ya y Señot ilegña nu güiya: Pula y sapatosmo gui adengmo; sa y lugat anae tumotojgue jao, santos na oda.
34 Hakika nimeona mateso ya watu wangu huko Misri. Nimesikia kilio chao cha uchungu, nami nimeshuka ili niwaokoe. Basi sasa njoo, nami nitakutuma Misri.’
Sa seguro julie, y manmasapet y taotaojo guiya Egipto, yan jujungog y inigongñiñija, ya tumunogyo para junafanlibre sija. Ya pago maela jao, sa jutago jao guato Egipto.
35 “Huyu ndiye Mose yule waliyemkataa wakisema, ‘Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu?’ Alikuwa ametumwa na Mungu mwenyewe kuwa mtawala na mkombozi wao, kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kile kichaka.
Este y as Moises ni y jarechasa ilegñija: Jaye munamagas jao yan unjues? Güiya tinago as Yuus na umagas yan uninafanlibre pot y canae y angjet ni y mafato guiya güiya gui jalomtano.
36 Aliwaongoza wana wa Israeli kutoka Misri, baada ya kufanya ishara na maajabu mengi huko Misri, katika Bahari ya Shamu, na katika jangwa kwa muda wa miaka arobaini.
Güiya chumule sija juyong, ya despues manfinanue ni y namanman, yan señat sija gui tano Egipto, yan y Tasen Agaga, yan y jalomtano cuarenta anos.
37 “Huyu ndiye yule Mose aliyewaambia Waisraeli, ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka miongoni mwa ndugu zenu wenyewe.’
Este ayo y as Moises, ni y ilegña ni y famaguon Israel: Y Yuusmiyo janacajulo un profeta guiya jamyo gui mañelunmiyo taegüine iya guajo.
38 Huyu ndiye yule Mose aliyekuwa katika kusanyiko huko jangwani, ambaye malaika alisema naye pamoja na baba zetu kwenye Mlima Sinai, naye akapokea maneno yaliyo hai ili atupatie.
Este ayo y estaba gui inetnon, gui jalomtano, yan y angjet ni y cumuentuse güe gui egso Sinae, yan y mañaenata; ni y rumesibe y nalâlâ na tinago para ufanmanaejit.
39 “Lakini baba zetu walikataa kumtii Mose, badala yake wakamkataa na kuielekeza mioyo yao Misri tena.
Ni y mañaenata ti manmalago jaosgue lao mayute juyong guiya sija, ya y corasonñija manalo tate Egipto,
40 Wakamwambia Aroni, ‘Tufanyie miungu watakaotuongoza, kwa maana mtu huyu Mose aliyetutoa nchi ya Misri, hatujui yaliyompata.’
Ilegñija as Aaron: Fatinasejam Yuus para ujanao gui menanmame, as este y as Moises ni y cumonejam juyong gui tano Egipto, ti intingo jafa ujuyong.
41 Huu ni ule wakati walitengeneza sanamu katika umbo la ndama, wakailetea sadaka kufanya maadhimisho kwa ajili ya kile kitu walichokitengeneza kwa mikono yao wenyewe.
Ya sija manmamatinas un tatnero, ya machule y inefrese para idolo sija, güije sija na jaane, ya ninafansenmagof ni y checho y canaeñija.
42 Ndipo Mungu akageuka, akawaacha waabudu jeshi lote la mbinguni, kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha Manabii: “‘Je, mliniletea dhabihu na sadaka kwa miaka arobaini kule jangwani, ee nyumba ya Israeli?
Ayonae jabira si Yuus, ya japolo na ujaadora y inetnon y langet; taegüije esta matugue gui leblon y profeta: O jamyo ni y guima Israel, inofreseyo pinino gâgâ sija yan inefrese sija gui cuarenta años gui jalomtano?
43 La, ninyi mliinua madhabahu ya Moleki, na nyota ya mungu wenu Refani, vinyago mlivyotengeneza ili kuviabudu. Kwa hiyo nitawapeleka mbali’ kuliko Babeli.
Yan injatsa y tabemaculon Moloc, yan y estreyas y Yuus Refán, jechura sija ni y infatinas para inadora sija; ya guajo juchule jamyo mas chago qui Babilonia.
44 “Baba zetu walikuwa na lile Hema la Ushuhuda huko jangwani. Lilikuwa limetengenezwa kama Mungu alivyokuwa amemwelekeza Mose, kulingana na kielelezo alichoona.
Y mañaenata, guaja ni y tabernaculon y testimonio gui jalomtano, taegüije tinanchoña ni ilegña as Moises na ufatinas taemanoja na jechura y liniiña.
45 Baba zetu wakiisha kulipokea hema kwa kupokezana wakiongozwa na Yoshua katika milki ya nchi kutoka kwa yale mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao, nalo likadumu katika nchi mpaka wakati wa Daudi,
Ni y mañaenata locue gui tiempoñija a machule jalom yan si Josué anae jumalom gui erensian y Gentiles, ni y si Yuus yumute juyong gui menan y mañaenata, asta y jaanen David;
46 ambaye alipata kibali kwa Mungu, naye akaomba kwamba ampatie Mungu wa Yakobo maskani.
Ni y sumoda finaborese gui menan Yuus, yan jagagao na ualiligao tabernaculo para si Yuus Jacob.
47 Lakini alikuwa Solomoni ndiye alimjengea Mungu nyumba.
Lao si Salomon fumatinase güe un guma.
48 “Hata hivyo, Yeye Aliye Juu Sana hakai kwenye nyumba zilizojengwa kwa mikono ya wanadamu. Kama nabii alivyosema:
Sa y Gueftaquilo, ti sumasaga gui guima sija ni y finatinas canae; taegüije y sinangan y profeta.
49 “‘Mbingu ni kiti changu cha enzi, nayo dunia ni mahali pa kuweka miguu yangu. Mtanijengea nyumba ya namna gani? asema Bwana. Au mahali pangu pa kupumzikia patakuwa wapi?
Y langet tronujo, ya y tano fañajangan y papa adengjo; jafa na guma injatsayeyo? ilegña y Señot; pat jafa na sagayan nae jusaga?
50 Je, mkono wangu haukufanya vitu hivi vyote?’
Ada ti y canaejo fumatinas todo este sija na güinaja?
51 “Enyi watu wenye shingo ngumu, msiotahiriwa mioyo wala masikio, daima hamwachi kumpinga Roho Mtakatifu, kama walivyofanya baba zenu.
Jamyo ni y gaetongjo tiso, yan ti manmasirconsida y corason yan y talanga, sa siempre incontra y Espiritu Santo; taegüije y checho y mañaenanmiyo inchechegüe.
52 Je, kuna nabii gani ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki. Nanyi sasa mmekuwa wasaliti wake na wauaji.
Jaye gui profeta ti japetsigue y mañaenanmiyo? ya japuno ayo sija y manmañangangane antes ni y mamamaela Uno na Tunas; ya jamyo pago inentrega, yan inpino;
53 Ninyi ndio mlipokea sheria zilizoletwa kwenu na malaika, lakini hamkuzitii.”
Ni y inresibe y tinago pot y inareglan y angjet, ya ti inadaje.
54 Waliposikia haya wakaghadhibika, wakamsagia meno.
Ya anae jajungog estesija, manchinachat asta y corasonñija, ya janafañegcheg y nifenñija guiya güiya.
55 Lakini yeye Stefano, akiwa amejaa Roho Mtakatifu, alikaza macho mbinguni, akaona utukufu wa Mungu, na Yesu akiwa amesimama mkono wa kuume wa Mungu.
Lao güiya, bula ni y Espiritu Santo, ya jaatan meton y langet, ya jalie y minalag Yuus, yan si Jesus na tumotojgue gui agapa na canae Yuus.
56 Akasema, “Tazameni! Naona mbingu zimefunguka, na Mwana wa Adamu amesimama upande wa kuume wa Mungu.”
Ya ilegña, Estagüe na julie y langet na mababa, ya y Lajin taotao tumotojgue gui agapa na canae Yuus.
57 Lakini wao wakapiga kelele kwa sauti kubwa, wakaziba masikio yao, wakamrukia kwa nia moja.
Ayonae sija managang ni y dangculo na inagangñija, yan jatampe y talanganñija, ya manmalago guato guiya güiya;
58 Wakamtupa nje ya mji, wakampiga kwa mawe. Nao mashahidi wakaweka mavazi yao miguuni mwa kijana mmoja ambaye jina lake aliitwa Sauli.
Ya mayute juyong gui siuda, ya mafagas ni y acho: ya y testigo sija, japolo papa y magagoñija gui adeng un patgon na taotao na y naanña si Saulo.
59 Walipokuwa wakimpiga mawe, Stefano aliomba, “Bwana Yesu, pokea roho yangu.”
Ya mafagas ni y acho si Esteban, ya jaaagang ni Yuus, ilegña: Señot, Jesus, resibe y Espiritujo.
60 Kisha akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa akasema, “Bwana usiwahesabie dhambi hii.” Baada ya kusema hayo, akalala.
Ya dumimo papa, ya umagang ni y dangculo na inagangña, ilegña: Señot, chamo pumopolo este na isao gui cuentanñija; ya anae munjayan jasangan este, maego.

< Matendo 7 >