< Matendo 6 >
1 Basi ikawa katika siku hizo, wakati idadi ya wanafunzi ilipokuwa ikiongezeka sana, palitokea manungʼuniko kati ya Wayahudi wa Kiyunani, dhidi ya Waebrania kwa sababu wajane wao walisahaulika katika mgawanyo wa chakula wa kila siku.
Lyahanu mwaanu mazuva, linu impalo ya valutwana haiva kukabwinjiha, impiraero ya Magerike va Majuda chiyatanga Kulwisa Maheveru, kakuti imberwa zavo zivali kuketululwa mwizuva ni zuva lya kuholiswa kwa zilyo.
2 Wale mitume kumi na wawili wakakusanya wanafunzi wote pamoja wakasema, “Haitakuwa vyema sisi kuacha huduma ya neno la Mungu ili kuhudumu mezani.
Vena ikumi ni vovele chivasupi chinavungi cha varutwana kuvali ni kuti, “kakwina hande kwetu kuti tusiye liinzwi lye Ireeza niku taha he ntafule.
3 Kwa hiyo ndugu, chagueni watu saba miongoni mwenu, watu wenye sifa njema, waliojawa na Roho Mtakatifu na hekima, ambao tunaweza kuwakabidhi kazi hii,
Mu swanera lyahanu kuketa, vakwaluzuvo, bakwame vakwana iyanza ni vovere mukatikenu, bakwame vene vuhalo vulotu, ve zwile luhuho ni vutali. Avo vatuwola kuketa mwei impisinisi.
4 nasi tutatumia muda wetu kuomba na huduma ya neno.”
Haili iswe, katuzwire havusu mwi intapero ni mukukutaza liinzwi.”
5 Yale waliyosema yakawapendeza watu wote, nao wakamchagua Stefano (mtu aliyejawa na imani na Roho Mtakatifu) pamoja na Filipo, Prokoro, Nikanori, Timoni, Parmena na Nikolao, mwongofu kutoka Antiokia.
Zi wambo zavo ziva tavisi chinavungi chonse. Linu chivaketa Sitefani, mukwame yowizwire intumelo ni Luhuho Lujolola, ni Filipi, ni Porokoras, ni Nikonora, ni Timoni, ni Parmemasi, ni Nikolasi muprositelite yozwa kwa Antiyoke.
6 Wakawaleta watu hawa mbele ya mitume, nao wakawaombea na kuwawekea mikono juu yao.
Varumeri vavaleti ava vakwame havusu vwa vapositola, vava lapeli ni ku tula mayanza avo havali.
7 Neno la Mungu likazidi kuenea. Idadi ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana katika Yerusalemu hata makuhani wengi wakaitii ile imani.
Chovulyo linzwi lya Ireeza liva weli; imi impalo ya varutwana ivayekezehi mwa Jerusarema nikuhitiliza; mi impalo yingi ya vapurisita ivakezi kukuteka intumelo.
8 Stefano, akiwa amejaa neema na nguvu za Mungu, alifanya ishara na miujiza mikubwa miongoni mwa watu.
Lyahanu Sitefani, avezwile chisemo ni maata, ava kupanga inkezo zikomokisa ni imboniso mukati kavaantu.
9 Hata hivyo, ukainuka upinzani wa watu wa Sinagogi la Watu Huru (kama lilivyokuwa linaitwa), la Wayahudi wa Kirene na wa Iskanderia, na wengine kutoka Kilikia na Asia. Watu hawa wakaanza kupingana na Stefano.
Kono chikweza kuzimana vantu wa wila kumasinagoge asumpwa masinagoge alukuluhite, va kwa Serina ni Alexandriya, nivamwi vazwa kwa Silicia ni Asia. Ava vaantu vava kukandekisana ni Sitefani.
10 Lakini hawakuweza kushindana na hekima yake wala huyo Roho ambaye alisema kwake.
Kono kana vava kuwola kuzimana kulwisanisa vutali ni Luhuho ulo lwa vakuwamba chalo Sitefani.
11 Ndipo kwa siri wakawashawishi watu fulani waseme, “Tumemsikia Stefano akisema maneno ya kufuru dhidi ya Mose na dhidi ya Mungu.”
Linu che inkunutu chiva susuweza vamwi vakwame kuwamba, “Twazuwa Sitefani na wamba maanzwi akunyefula Mushe ni Ireeza.”
12 Wakawachochea watu, wazee na walimu wa Sheria, nao wakamkamata Stefano wakamfikisha mbele ya baraza.
Vava vengisi vaantu, vakulwana, ni vañoli, mi chiva yenda kwa Sitefani, ni kumukaheeka, ni kumuleeta kunkuta.
13 Wakaweka mashahidi wa uongo ambao walishuhudia wakisema, “Mtu huyu kamwe haachi kusema dhidi ya mahali hapa patakatifu na dhidi ya Sheria.
Vava leti impaki zamapa, vava wambi, “Uzu mukwame kaleki kuwamba maanzwi alwisanisa chivaka chichena ni mulao.
14 Kwa maana tumemsikia akisema kwamba Yesu wa Nazareti atapaharibu mahali patakatifu na kubadili desturi zote tulizopewa na Mose.”
Kakuti tuvamuzuwi nawamba kuti Jesu wa Nazareta usaka kushinya ichi chivaka ni ku chincha milawo yavaleti Mushe hansi kwetu.”
15 Watu wote waliokuwa wameketi katika baraza wakimkazia macho Stefano, wakaona uso wake unangʼaa kama uso wa malaika.
Vaantu vonse vavekele munkuta vava twalite menso avo kwali mi chivavona chifateho chakwe ni chikola ili chifateho che Iñeloi.