< Matendo 5 >
1 Lakini mtu mmoja jina lake Anania pamoja na mkewe Safira waliuza kiwanja.
Hannisenla mi inkhat a riming Ananias a dôngma Sapphira leh an oma, an neinun senkhat a juora.
2 Huku mkewe akijua kikamilifu, Anania alificha sehemu ya fedha alizopata, akaleta kiasi kilichobaki na kukiweka miguuni pa mitume.
Hannirese ma sum hah a dôngma inrietpuiin in-ang a thupa, adang aminieng kai hah tîrtonngei kuta an hong pêka.
3 Petro akamuuliza, “Anania, mbona Shetani ameujaza moyo wako ili kumwambia uongo Roho Mtakatifu, ukaficha sehemu ya fedha ulizopata kutokana na kiwanja?
Hanchu Peter'n, “Ananias Ratha Inthieng huongin ram man in-angrip thup rangin ithomo Soitan'n nu mulungrîla racham ni min nei?
4 Je, kabla hujauza hicho kiwanja si kilikuwa mali yako? Hata baada ya kukiuza, fedha ulizopata si zilikuwa kwenye uwezo wako? Kwa nini basi umewaza hila hii moyoni mwako kufanya jambo kama hili? Wewe hukumwambia uongo mwanadamu bali Mungu.”
Nu juor mâna han khom nata ania; nu juor suo nûkin khom aman chu nata ania, ithomo ma anga neinun tho rangin nu mulunga na masata? Miriemngei huong nimak chea, Pathien huong kêng ni ni,” a tipea.
5 Anania aliposikia maneno haya akaanguka chini na kufa. Hofu kuu ikawapata wote waliosikia jambo lililokuwa limetukia.
Ananias'n ma chong hah a riet lehan, ha renghan an leta a thi kelena; hanchu ha thurchi a riet murdi'n chu asân an chi zoia.
6 Vijana wakaja, wakaufunga mwili wake sanda, wakamchukua nje kumzika.
Ruothartengei an honga, a ruok hah an thoma, an rojôna, male an phûm zoi.
7 Saa tatu baadaye mkewe Anania akaingia, naye hana habari ya mambo yaliyotukia.
Dâr inthum vêl suole a dôngma khom ite roi riet loiin a hong lûta.
8 Petro akamuuliza, “Niambie, je, mliuza kiwanja kwa thamani hii?” Akajibu, “Ndiyo, tuliuza kwa thamani hiyo.”
Peter'n amanu kôm, “Na pasal le neinun man nin man hah hi dôr veihi mo ani, ni ril roh?” tiin a rekela, “O, ma dôr vai hih ani,” tiin amanu han a thuona.
9 Ndipo Petro akamwambia, “Imekuwaje mkakubaliana kumjaribu Roho wa Bwana? Tazama! Nyayo za vijana waliomzika mumeo ziko mlangoni, wewe nawe watakuchukua nje.”
Masikin Peter'n amanu kôm han, “Ithomo Pumapa Ratha minsinna rangin no lômpa le nin inruol? En ta atûn hin na lômpa phûm ngei khom mokota an hong tung nôk zoi so, male nangma khom nang rojôn nôk an tih,” a tia.
10 Saa ile ile akaanguka chini miguuni mwake na kufa. Nao wale vijana wakaingia, wakamkuta amekufa, wakamchukua wakamzika kando ya mumewe.
Hanchu voikhat rengin Peter ke kunga han ân leta a thi kelena. Ruothartengei hah an hong lûta, amanu hah a thîn an hong mua, masikin an rojôn paia, a pasal kôla han an phûmsa zoi.
11 Hofu kuu ikalipata kanisa lote pamoja na watu wote waliosikia juu ya matukio haya.
Koiindang mi murdi ngei le midangngei ha roi a riet murdi'n chu asân an chi sabak zoi.
12 Mitume wakafanya ishara nyingi na miujiza miongoni mwa watu. Walioamini wote walikuwa wakikusanyika katika ukumbi wa Solomoni.
Tîrtonngei chu mipui lâia kamâmruoingei le sininkhêl tamtak an tho tira. Iempungei anrêngin Solomon Bokropa an intûpkhôm ngâia.
13 Hakuna mtu mwingine aliyethubutu kuambatana nao ijapokuwa waliheshimiwa sana na watu.
An pâl pêntieng mingei hah tute an kôma kop ngam khâimak ngeia, nikhomsenla mingeiin anni ngei hah an minpâk ngâi.
14 Hata hivyo, waliomwamini Bwana wakazidi kuongezeka, wanaume na wanawake.
Hannirese Pumapa iempungei pasal le nupang tamtakin an pâla kopin an hong pung bang ani.
15 Hata wakawa wanawaleta wagonjwa na kuwalaza kwenye magodoro na kwenye vitanda barabarani ili yamkini Petro akipita kivuli chake kiwaguse baadhi yao.
Tîrtonngei sintho sika han, damloingei khom khalâidung lamlienngeia an hong rojôna, jâlmunngeia, puonphângeia an min jâl ngeia, Peter hong inlôi zorân a rilîm tete luon mi minli thei duoi mo, an tia.
16 Pia watu wakakusanyika kutoka miji iliyokuwa karibu na Yerusalemu, wakileta wagonjwa na watu walioteswa na pepo wachafu. Hao wote wakaponywa.
Jerusalem kôl revêla khopuingei renga mipuingei an honga, damloingei, ramkhori sûrngei an hong tuonga; anrêngin an dam let zoi.
17 Kisha kuhani mkuu na wenzake wote waliokuwa pamoja naye, waliokuwa wa kundi la Masadukayo, wakajawa na wivu.
Hanchu ochai Inlaltak le a champui Sadduceengei murdi an honga, tîrtonngei hah an narsa ngei tataka, dûkmintong ngei rang an masata.
18 Wakawakamata mitume na kuwatia gerezani.
Tîrtonngei hah an sûr ngeia intâng ina an khum ngei zoi.
19 Lakini wakati wa usiku, malaika wa Bwana akaja, akafungua milango ya gereza na akawatoa nje. Akawaambia,
Hannirese, jâna Pumapa vântîrton inkhatin intâng in mokot hah ajuong mo-onga, pêntieng a tuong ngeia male an kôm,
20 “Nendeni, mkasimame Hekaluni mkawaambie watu maneno yote ya uzima huu mpya.”
“Se ungla Biekina vân ding ungla, male mipuingei kôm hi ringna thar roi hih varil roi,” a tia.
21 Waliposikia haya wakaenda Hekaluni alfajiri wakaendelea kufundisha watu. Kuhani mkuu na wale waliokuwa pamoja nao walipowasili, alikusanya baraza na wazee wote wa Israeli wakatuma wale mitume waletwe kutoka gerezani.
Ma chong hah an jôma, male an sea, khuovârchak dôrin Pathien Biekina an lûta, mi an minchu phut zoi. Hanchu Ochai Inlaltak le a champuingei hah an honga, Juda ulienngei murdi hah roijêkna lientak nei rangin an koi bûma; an makunga rangin tîrtonngei varuoi rangin intâng ina mi an tîra.
22 Lakini wale walinzi wa Hekalu walipokwenda gerezani hawakuwakuta mitume mle. Kwa hiyo wakarudi na kutoa habari.
Aniatachu, ulienngei hah an vatungin chu intâng ina han tîrtonngei hah tute va mu khâi mak ngeia, masikin an hong kîr nôka,
23 Wakasema, “Tumekuta milango ya gereza imefungwa sawasawa na askari wa gereza wamesimama nje ya mlango, lakini tulipofungua milango hakuwepo mtu yeyote ndani.”
“Intâng in ha asadimin inkhârin a rungpungei mokotngeia indingin kin va mua; hannirese kin mo onga asûnga tute mu mak me,” tiin an hong rila.
24 Basi mkuu wa walinzi wa Hekalu na viongozi wa makuhani waliposikia haya, wakafadhaika na kushangaa sana kwa ajili yao kwamba jambo hili litakuwaje.
Biekina ochaisi le ruoipu ulien han ha chong hah an rietin chu, “Tîrtonngei chunga imo atung ani zoi hih,” tiin an kamâm sabak zoia.
25 Ndipo mtu mmoja akaja akawaambia, “Tazameni watu mliowatia gerezani wako Hekaluni wakiwafundisha watu.”
Hanchu mi inkhat a honga, an kôm, “Rangâita u! Intâng ina mi nin khum ngei han Biekina mi an minchu ngei bang so,” tiin a hong rila.
26 Ndipo yule mkuu wa walinzi wa Hekalu wakaenda pamoja na askari wakawaleta wale mitume, lakini bila ghasia kwa sababu waliogopa kupigwa mawe na watu.
Hanchu ruoipu ulien hah a champuingei le an honga tîrtonngei hah rangrât song loiin an hong ruoi ngeia, rangrât an songin chu mipuingeiin lungin me deng ni ngei ti an chi sikin.
27 Wakiisha kuwaleta mitume wakawaamuru kusimama mbele ya baraza ili kuhani mkuu awahoji.
Tîrtonngei asûnga an hong tuonga male roijêkna muna an inding ngeia, male Ochai Inlaltak han chong a rakel ngeia.
28 “Tuliwaonya kwa nguvu msifundishe kwa jina hili, lakini ninyi mmeijaza Yerusalemu yote mafundisho yenu na tena mmekusudia kuleta damu ya mtu huyu juu yetu.”
“Hi mi riminga hin minchu tet khâi loi rangin chong inngartak nangni kin pêka, aniatachu en ta u nin chongrilin Jerusalem nin min sipzit zoi hi! hi mi thina hih keini ngei mi minpêl rang nin bôk ani hih!” tiin a ti pe ngeia.
29 Petro na wale mitume wengine wakajibu, “Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu.
Peter le tîrton dangngei han, “Miriemngei chong nêkin Pathien chong kin jôm ngêt rang ani.
30 Mungu wa baba zetu alimfufua Yesu kutoka kwa wafu, ambaye ninyi mlimuua kwa kumtundika kwenye msalaba.
Nangnin Khrosa peret leh nin jêmdela nin that Jisua hah ei richibulngei Pathien'n a kaithoi nôk zoi.
31 Mungu alimtukuza, akamweka mkono wake wa kuume kuwa Kiongozi na Mwokozi ili awape Israeli toba na msamaha wa dhambi.
Israelngei nunsie minsîr ngeia ngâidam an chang theina rangin Ama ngêt hah Pathien'n Ruoipu le Sanminringpu ni rangin a changtienga rangin a kaithoi zoia.
32 Nasi tu mashahidi wa mambo haya, vivyo hivyo na Roho Mtakatifu ambaye Mungu amewapa wale wanaomtii.”
Keini hih ha roi rietpuipungei kin nia, Keini le Ratha Inthieng, Pathien'n chong jôm ngei kai kôma a pêk ngâi hah kin ni sa,” tiin an thuona.
33 Wale wajumbe wa baraza la wazee waliposikia haya, walijawa na ghadhabu, wakataka kuwaua mitume.
Hanchu roijêkpungei han ma chong ha an rietin chu asân an ning athika, tîrtonngei hah thatpai rang an bôka.
34 Lakini Farisayo mmoja, jina lake Gamalieli, aliyekuwa mwalimu wa sheria, aliyeheshimiwa na watu wote, akasimama mbele ya baraza akaamuru mitume watolewe nje kwa muda.
Hannirese an lâia Pharisee inkhat a riming Gamaliel, Balam minchupu le mitinin mirit an tho ngâi hah Roijêkna han ândinga. Tîrtonngei hah pêntieng chomolte mojôk rangin chong a pêka,
35 Ndipo alipowaambia wajumbe wa baraza, “Enyi watu wa Israeli, fikirini kwa uangalifu mnayotaka kuwatendea watu hawa.
hanchu roijêkpungei makunga han, “Ki Israel champuingei, hi mingei chunga tho ranga nin bôk chunga hin indîn roi.
36 Kwa maana wakati uliopita, aliinuka mtu mmoja jina lake Theuda, alijidai kuwa yeye ni mtu maarufu, akapata wafuasi wapatao 400 walioambatana naye. Lakini aliuawa, na wafuasi wake wote wakatawanyika, wakawa si kitu.
Moton han khom Theudas, ‘Milien ki ni’ tiin a hong oma, mi raza minli dôr an jûi ti nin la riet, nikhomrese ama hah thatin a oma, a nûk jûipungei khom anrêngin chekaninchâi zita ite ni khâimak ngei.
37 Baada yake, alitokea Yuda Mgalilaya wakati wa kuorodhesha watu, naye akaongoza kundi la watu kuasi. Yeye pia aliuawa, nao wafuasi wake wakatawanyika.
Ma suonûk khom han, intelna zora lâiin Galilee rama om Judas hah a hong om nôka; a tieng mi tamtak an kop nôka, aniatachu, ama khom thatin a om nôka a nûk jûipungei murdi khom chekaninchâi zit nôka.
38 Kwa hiyo, kwa habari ya jambo hili nawashauri, jiepusheni na watu hawa. Waacheni waende zao! Kwa maana kama kusudi lao na shughuli yao imetokana na mwanadamu, haitafanikiwa.
Masikin ma roia hin nangni ki ti, hi mingei hih tôn ngei no roi, omchien rese ngei! tho ranga an bôk le an sintho ngei hih miriem renga ânzir anînchu mong nôk kelen atih,
39 Lakini ikiwa imetoka kwa Mungu, hamtaweza kuwazuia watu hawa. Badala yake mtajikuta mnapigana na Mungu.”
hannirese Pathien renga an tho anînchu mene no tunui, Pathien doi kêng nin hong changna rang!” a tia. Roijêkna han Gamaliel chong hah an poma.
40 Wakapokea ushauri wa Gamalieli. Wakawaita mitume ndani, wakaamuru wachapwe mijeledi, kisha wakawaagiza wasinene tena kwa jina la Yesu, wakawaachia waende zao.
Tîrtonngei hah asûnga an koi ngeia, an vîk ngeia, Jisua rimingin thurchi misîr tet khâiloi rangin chong an pêk ngeia, male an mojôk ngei zoi.
41 Nao mitume wakatoka nje ya baraza, wakiwa wamejaa furaha kwa sababu wamehesabiwa kustahili kupata aibu kwa ajili ya jina la Yesu.
Hanchu, roijêkpungei lâi renga an jôka Jisua riming sika tuong thei rangin intelin an om sikin asân an râiasâna.
42 Kila siku, Hekaluni na nyumba kwa nyumba, hawakuacha kufundisha na kuhubiri habari njema kwamba Yesu ndiye Kristo.
Male anîngtin Biekin le insûng ngeia thurchisa misîrin, Jisua chu Messiah ani tiin an misîr bang ngâi.