< Matendo 28 >
1 Baada ya kufika nchi kavu salama, ndipo tukafahamu kwamba jina la kile kisiwa ni Malta.
Bhotufikisibhu kinofu, twamanyili kujha kisibhwa kukutibhwa Malta.
2 Wenyeji wa kile kisiwa wakatufanyia ukarimu usio wa kawaida. Waliwasha moto na kutukaribisha sisi sote kwa sababu mvua ilikuwa inanyesha na kulikuwa na baridi.
Bhanu bhenyeji bha pala si tu bhatupelili ukarimu bhwa kawaida, bali bhakosi muoto ni kutukaribisya bhoha, kwandabha jha fula ni mepu jha jhijhendeleleghe.
3 Paulo alikuwa amekusanya mzigo wa kuni na alipokuwa anaweka kwenye moto kwa ajili ya joto, nyoka mwenye sumu akatoka humo na kujisokotea mkononi mwake.
Lakini Paulo bho abhongeniye nsighu ghwa mbabhu ni kubheka pa muoto, lijhoka lidebe lyalijhe ni sumu akahoma mu mbabhu mola kwandabha jha lijotolela, ni kwisyongosya mu kibhoko kya muene.
4 Wale wenyeji wa kile kisiwa walipomwona yule nyoka akiningʼinia mkononi mwa Paulo, wakaambiana, “Huyu mtu lazima awe ni muuaji, ingawa ameokoka kutoka baharini, haki haijamwacha aishi.”
Bhanu bhenyeji bha pala bhobhebhuene mnyama inimbila mu kibhoko kya muene, bhakajobhesana bhene kwa bhene, “Munu ojho hakika muuaji atoruiki mu bahari, lakini haki jhikanduhusu lepi kuishi.”
5 Lakini Paulo akamkungʼutia yule nyoka ndani ya moto wala yeye hakupata madhara yoyote.
Lakini muene akansopa mnyama ojhu mu muoto na akabhilepi madhara ghoghoha.
6 Watu walikuwa wanangoja avimbe au aanguke ghafula na kufa. Lakini baada ya kungoja kwa muda mrefu na kuona kwamba hakuna chochote kisicho cha kawaida kilichomtokea, wakabadili mawazo yao na kuanza kusema kwamba yeye ni mungu.
Bhene bhakajha bhakandendela afimbayi kwa homa au abinayi ghafla ni kufwa. Lakini baada jha kundanga kwa muda mrefu ni kubhona kujha lijhelepi lijambo ambalyo la kawaida lepi kwa muene, bhakabadilisya mawazo gha bhene ni kujobha ajhele K'yara.
7 Basi karibu na sehemu ile, palikuwa na shamba kubwa la mtu mmoja kiongozi wa kile kisiwa, aliyeitwa Publio. Alitupokea na akatuhudumia kwa ukarimu mkubwa kwa muda wa siku tatu.
Basi mahali pala karibu pajhele ni ardhi ambajho jhajhele mali jha mbaha ghwa kisiwa, munu jha akutibhweghe Pablio. Atukaribisi ni kutukarimu kwa magono madatu.
8 Baba yake Publio alikuwa mgonjwa kitandani, akiwa anaumwa homa na kuhara damu. Paulo akaingia ndani ili kumwona na baada ya maombi, akaweka mikono juu yake na kumponya.
Jhatokili kujha ni dadi ghwa Pablio akamulibhu ni homa ni bhutamu bhwa kuhara. Ni Paulo bho andotili, asokili akabheka mabhoko panani pa muene ni kumponesya.
9 Jambo hili lilipotukia, watu wote wa kisiwa kile waliokuwa wagonjwa wakaja, nao wakaponywa.
Baada jha e'le kuhomela, bhanu bhangi pa kisiwa pala bhabhalwaleghe kabhele bhakalota ni kumponyesibhwa.
10 Wakatupa heshima nyingi, nasi tulipokuwa tayari kusafiri kwa njia ya bahari, wakapakia melini vitu vyote tulivyokuwa tunavihitaji.
Bhanu bhakatuheshimu kwa heshima simehele. Bho twikiandala kusafiri, bhatupelili fela fya tulondeghe.
11 Miezi mitatu baadaye tukaanza safari kwa meli iliyokuwa imetia nanga kwenye kisiwa hicho kwa ajili ya majira ya baridi. Hii ilikuwa meli ya Iskanderia yenye alama ya miungu pacha waitwao Kasta na Poluksi.
Baada jha miesi midatu, twasafiri mugati mu meli jha Iskanda ambajho jhajhele jhitobhibhu mepi apu pakisiwa, ambajho bhalongosi bhake bhajhele bhalongo bhabhele mapasa.
12 Kituo chetu cha kwanza kilikuwa Sirakusa na tukakaa huko siku tatu.
Baada jha kujha tutolili pa mji bhwa Sirakusa, twatamili pala magono madatu.
13 Kisha tukangʼoa nanga, tukafika Regio. Siku iliyofuata, upepo mkali wa kusi ukavuma, na siku ya pili yake tukafika Puteoli.
Kuhomela pala twasafiri mu mji bhwa Regio. Baada jha ligono limonga mp'ongo ghwa kusini ghwatokili ghafla, na baada jha magono mabhele twafikili ku mji bhwa Putoli.
14 Huko tukawakuta ndugu, nasi tukakaribishwa tukae nao kwa siku saba. Hivyo tukaendelea na safari mpaka Rumi.
Okhu twabhakolili baadhi jha bhalongobhifu na twakalibisibhu kutama nabhu kwa magono saba. Kwa njela ejhe tukahida Rumi.
15 Ndugu wa huko Rumi waliposikia habari zetu, walikuja mpaka Soko la Apio na mahali paitwapo Mikahawa Mitatu kutulaki. Paulo alipowaona, alimshukuru Mungu akatiwa moyo.
Kuhoma okhu bhala bhalongobhitu, baada jha kujha bhapeliki habari sya tete, bhakahida kutupokela okho soko lya Apias ni Hotel sidatu. Paulo bho abhuene bhala bhalongo akan'shukuru K'yara akakipela ujasiri.
16 Tulipofika Rumi, Paulo aliruhusiwa kuishi peke yake akiwa na askari wa kumlinda.
Bho tujhingili Roma, Paulo aruhusibhu kutama muene pamonga ni jhola askari jha andendeghe.
17 Siku tatu baadaye Paulo akawaita pamoja viongozi wa Kiyahudi. Walipokwisha kukusanyika akawaambia, “Ndugu zangu, ingawa sikufanya jambo lolote dhidi ya watu wetu au dhidi ya desturi za baba zetu, lakini nilikamatwa huko Yerusalemu nikakabidhiwa kwa Warumi.
Basi jhajhele baada jha magono madatu Paulo abhakutili bhala bhagosi bhabhajhele bhalongosi kati jha Bhayahudi. Bho bhahidili pamonga, ajobhi kwa bhene, “Bhalongobhangu, pamonga ni kwamba nibhombilepi likosa lyolyoha kwa bhanu abha au kubhomba kinyume ni taratibu sya bhakhokho bhitu bhabhatulongolili, napisibhu kama mfungwa kuhoma Yerusalemu hadi mu mabhoko gha Bharumi.
18 Wao walipokwisha kunihoji, wakataka kuniachia huru kwa sababu hawakuona kosa lolote nililolifanya linalostahili adhabu ya kifo.
Baada jha kunihoji, bhanogheleghe kundeka huru, kwandabha kwajhelepi ni sababu kwa nene kulondeka adhabu jha kifo.
19 Lakini Wayahudi walipopinga uamuzi huo, nililazimika kukata rufaa kwa Kaisari, ingawa sikuwa na lalamiko lolote juu ya taifa langu.
Lakini Bhayahudi bhala bho bhalongili kinyume kya shauku jha bhene, nalazimiki kukata rufaa kwa Kaisari, japokujha jhajhelepi kana kwamba nileta mashataka panani pa taifa lya nene.
20 Basi hii ndiyo sababu nimewatumania, ili niseme nanyi. Kwa kuwa ni kwa ajili ya tumaini la Israeli nimefungwa kwa minyororo.”
Kwa ndabha jha kukata kwa nene rufaa, efyo, nasokili ni kulongela namu. Kwandabha jha khela ambakyo Israeli ajhe ni ujasiri naku, nifungibhu ni kifungu ekhe.
21 Wakamjibu, “Hatujapokea barua zozote kutoka Uyahudi zinazokuhusu, wala hapana ndugu yeyote aliyekuja hapa ambaye ametoa taarifa au kuzungumza jambo lolote baya juu yako.
Kisha bhakan'jobhela, “Tubhwayilepi kupokela barua kuhoma Yudea kuhusu bhebhe, wala ndongobhu kuhida kupisya taarifa au kujobha lilobhi lyolyoha lela libaya kuhusu bhebhe.
22 Lakini tungependa kusikia kutoka kwako unalofikiri kwa sababu tunajua kwamba kila mahali watu wanazungumza mabaya kuhusu jamii hii.”
Lakini twilonda kupeleka likundi e'le lya bhanu abha, kwandabha limanyikene kwa tete kujha lilongela kinyume kila mahali.”
23 Baada ya kupanga siku ya kuonana naye, watu wengi wakaja kuanzia asubuhi hadi jioni akawaeleza na kutangaza kuhusu Ufalme wa Mungu akijaribu kuwahadithia juu ya Yesu kutoka Sheria ya Mose na kutoka Manabii.
Bhobhatengili ligono kwandabha jha bhene, bhanu bhingi bhan'hidili mahali pa atameghe. Ajobhi lijambo lela kwa bhene ni kushuhudila kuhusu ufalme bhwa K'yara. Ajaribu kubhashawishi kuhusu Yesu, kwa namna syoha sibhele kuhoma kusheria sya Musa ni kuhoma kwa manabii, kujhandila lukhela hadi kimihi.
24 Baadhi wakasadiki yale aliyosema, lakini wengine hawakuamini.
Baadhi jha bhene bhashawishiki kuhusu mambo ghala ghaghajobhibhu, wakati bhamana bhkyeri lepi.
25 Hivyo hawakukubaliana, nao walipokuwa wanaondoka, Paulo akatoa kauli moja zaidi: “Roho Mtakatifu alinena kweli na baba zenu aliposema mambo yale yaliyomhusu Bwana Yesu kwa kinywa cha nabii Isaya kwamba:
Bhobhashindilu kukubaliana bhene kwa bhene, bhabhokili baada jha Paulo kulijobha lijambo e'le limonga, “Roho Mtakatifu ajobhili kinofu kup'etela Isaya nabii kwa bhadadi jhinu.
26 “‘Nenda kwa watu hawa na useme, “Hakika mtasikiliza lakini hamtaelewa; na pia mtatazama, lakini hamtaona.”
Ajobhili, 'Lotayi kwa bhanu abha ujobhayi, “Kwa mb'olokoto sya jhomu mwibetakup'eleka, lakini mwibetalepi kujhelebhwa; Na kwa mihu ghinu mwibetakulola lakini mwibetakutambula lepi.
27 Kwa kuwa mioyo ya watu hawa imekuwa migumu; hawasikii kwa masikio yao, na wamefumba macho yao. Wasije wakaona kwa macho yao, na wakasikiliza kwa masikio yao, wakaelewa kwa mioyo yao, na kugeuka nami nikawaponya.’
Kwandabha jha mioyo jha bhanu abha midhaifu, mb'ol'okoto sya bhene sipeleka kwa tabu, bhafumbili mihu gha bhene, ili kwamba bhasihidi kutambula kwa mihu gha bhene, ni kup'el'eka kwa mb'ol'okoto sya bhene, ni kujhelebhwa kwa mioyo ghya bhene ni kugeuka kabhele, na nganibhaponyisi.”'
28 “Basi na ijulikane kwenu kwamba, huu wokovu wa Mungu umepelekwa kwa watu wa Mataifa, nao watasikiliza.” [
Kwa hiyo, mwilondeka kumanya kujha bhwokovu obho bhwa K'yara up'elekibhu kwa bhanu bha Mataifa, na bhibetakup'elekesya.”
29 Naye akiisha kusema maneno haya, Wayahudi wakaondoka wakiwa na hoja nyingi miongoni mwao.]
30 Kwa miaka miwili mizima Paulo alikaa huko kwa nyumba aliyokuwa amepanga. Akawakaribisha wote waliokwenda kumwona.
Paulo atamili mu nyumba jha muene jha kupanga kwa miaka ghioha mibhele, na kwa muene.
31 Akahubiri Ufalme wa Mungu na kufundisha mambo yale yaliyomhusu Bwana Yesu Kristo, kwa ujasiri wote na bila kizuizi chochote.
Akajha ihubiri ufalme bhwa K'yara na akajha ifundisya mambo juu jha Bwana Yesu Kristu kwa ujasiri bhwoha. Ajhelepi jha am'besili.