< Matendo 26 >

1 Ndipo Agripa akamwambia Paulo, “Unayo ruhusa kujitetea.” Hivyo Paulo akawaashiria kwa mkono wake, akaanza kujitetea, akasema:
Chujou chun, Agrippa in Paul jah ah, “Nakihonna thuphong thei in nate,” ati. Hichun Paul in akhut alhang doh in akihon nathu asei tai.
2 “Mfalme Agripa, najiona kuwa na heri kusimama mbele yako leo ninapojitetea kuhusu mashtaka yote ya Wayahudi,
“Kakipah lheh jeng e, Leng Agrippa, tunia Juda lamkai hon themmo eichen nau chung chang a kakihon nathu ja ah nang bou nahi.
3 hasa kwa sababu unajua vyema desturi zote za Kiyahudi na ya kuwa wewe unajua kwa undani mila na masuala ya mabishano. Kwa hiyo, nakusihi unisikilize kwa uvumilivu.
Ajeh chu judate kivaipoh dol le akinel bautam nau hethem ah nahi kahen, hijeh chun kathusei hi lung neng tah in nei ngai peh in.”
4 “Wayahudi wote wanajua jinsi nilivyoishi tangu nilipokuwa mtoto, kuanzia mwanzo wa maisha yangu katika nchi yangu na pia huko Yerusalemu.
Keima ka chapan lai a pat a kanam mite lah le Jerusalem a kon hung seilen a, Juda nam chon le khan kichuh them sa kahi hi Juda lamkai hon ahetsoh keiyu ahi.
5 Wao wamefahamu kwa muda mrefu na wanaweza kushuhudia kama wakipenda, ya kwamba kutokana na misimamo mikali sana ya dhehebu letu kwenye dini yetu, niliishi nikiwa Farisayo.
Amahon asei nom ule, atil a pat a ahet jing sau Pharisee mi, hou thudol a chondan kikhel tah kahi aheuve.
6 Nami sasa ni kwa sababu ya tumaini langu katika kile ambacho Mungu aliwaahidi baba zetu, ninashtakiwa leo.
Chule tuahi kapu kapa teu heng a Pathen tepsa hung guilhung ding kakinep na thudol a, kachung thu khol dia hikom a ding ah kahi.
7 Hii ndiyo ahadi ambayo makabila yetu kumi na mawili yanatarajia kuiona ikitimizwa wanapomtumikia Mungu kwa bidii usiku na mchana. Ee mfalme, ninashtakiwa na Wayahudi kwa ajili ya tumaini hili.
Adih tah a sei din, Israel phungsom le phung nin sun le jan a anahou jing u ahi. Vo Lengpa hiche kinep na thudol a Judaten eiheh-u ahi bouve.
8 Kwa nini yeyote miongoni mwenu afikiri kwamba ni jambo lisilosadikika Mungu kufufua wafu?
Ipijeh a Pathen in mi thisa atho doh sah thei thudol hi tahsan lel nahiu vem?
9 “Mimi pia nilikuwa nimeshawishika kwamba imenipasa kufanya yote yale yaliyowezekana kupinga Jina la Yesu wa Nazareti.
Keima jeng jong Nazareth Yeshua min douna a thil ijakai bol ding kana ngai tosa ahi.
10 Nami hayo ndiyo niliyoyafanya huko Yerusalemu. Kwa mamlaka ya viongozi wa makuhani, niliwatia wengi wa watakatifu gerezani na walipokuwa wakiuawa, nilipiga kura yangu kuunga mkono.
Atah beh in jong Jerusalema kana bol in, Thempu pipui ho a kon in thuneina kalan, mitheng tampi songkul'ah kana khum in chule atha jeng-u jong chu pha kasan ahi.
11 Mara nyingi nilikwenda kutoka sinagogi moja hadi ingine nikiamuru waadhibiwe, nami nilijaribu kuwalazimisha wakufuru. Katika shauku yangu dhidi yao, hata nilikwenda miji ya kigeni ili kuwatesa.
Phat atam jon houthu dol a akikhop nau in tina jong talent kamat sah jin, Yeshua atahsan nau taitom sah in hoise tah in kana douvin, gamdang miho khopi dung gei in kana nocheh jin ahi.
12 “Siku moja nilipokuwa katika mojawapo ya safari hizi nikiwa ninakwenda Dameski, nilikuwa na mamlaka na agizo kutoka kwa kiongozi wa makuhani.
Nikhat hi katoh ban tong jom din Thempu pipui ho thuneina le thusah keng in Damascus jon in kachen ahi.
13 Ilikuwa yapata adhuhuri, ee mfalme, nilipokuwa njiani, niliona nuru kutoka mbinguni kali kuliko jua, ikingʼaa kunizunguka pande zote mimi na wale niliokuwa pamoja nao.
Sunkim don tah in, vo Lengpa, lampia chun van'a kon nisa sang a vah jo vah khat in keile kalhon piho eihin khouvin ahile.
14 Wote tulipokuwa tumeanguka chini, nikasikia sauti ikisema nami kwa lugha ya Kiebrania, ‘Sauli, Sauli, mbona unanitesa? Ni vigumu kwako kuupiga teke mchokoo.’
Kabon chau vin kalhu sohtauvin ahi, hichun, Aramaic paovin kajah a, “Saul, Saul ibola nang in nei bolset jing ham? Nei dou jinghi nang a din aphat chom na aumpoi,” eiti.
15 “Nikauliza, ‘Ni nani wewe, Bwana?’ “Naye Bwana akajibu, ‘Ni Mimi Yesu unayemtesa.
Hichun keiman, “Nang koi nahim, Pakai?” kati. “Hichun, Aman eihin donbut in, ‘nabol set jing Yeshua chu kahi.
16 Sasa inuka usimame kwa miguu yako. Nimekutokea ili nikuteue uwe mtumishi na shahidi wa mambo ambayo umeyaona, na yale nitakayokuonyesha.
Tun nakeng in pansan ding in, nangma leiset kolkim vel'a kathu hettohsah le kalhacha a pang ding, chule nathil mu chengse le kahin musah kit ding chengse hettohsah a pansah ding a hung kilah kahi
17 Nitakuokoa kutoka kwa watu wako na watu wa Mataifa ambao ninakutuma kwao,
Chule kasol na chidang namdang te lah le nanam mite lah a kon a kahuh doh jing ding nahi,
18 uyafumbue macho yao ili wageuke kutoka gizani waingie nuruni, na kutoka kwenye nguvu za Shetani wamgeukie Mungu, ili wapate msamaha wa dhambi na sehemu miongoni mwa wale waliotakaswa kwa kuniamini mimi.’
Amit'u hasah a, muthim lah a kona lungheiya khovah ahin mu nathei diule satan thanei na a kon a Pathen heng a ahung kihei nathei diu, chule chonset ngaidam na achan thei nadiu le tahsan jal a Pathen mite ahithei nadiuva kasol ding nahi,’ eiti.
19 “Hivyo basi, Mfalme Agripa, sikuacha kuyatii yale maono yaliyotoka mbinguni,
Chule, Leng Agrippa, vanlam'a kon themgao thilmu kamu thua nung ah kahi.
20 bali niliyatangaza kwanza kwa wale wa Dameski, kisha Yerusalemu na katika vijiji vyote vya Uyahudi na pia kwa watu wa Mataifa, kwamba inawapasa kutubu na kumgeukia Mungu na kuthibitisha toba yao kwa matendo yao.
Amasan Damascus a umho heng a kahil lhanglen, chu jouvin Jerusalem le Juda gamkol sung chukitle chidang namdang ho heng ah, chonset kisih a Pathen lam ahin bel nadiu le alung hei utoh lhon a thilpha abolna diuvin kahil lhanglei.
21 Ni kwa sababu hii Wayahudi walinikamata nilipokuwa Hekaluni, wakataka kuniua.
Hiche thu kahil lhang le jeh a hi Judahon Houin sung a eimat uva, thading eigot u ahi.
22 Hadi leo nimepata msaada kutoka kwa Mungu, na hivyo nasimama hapa nikishuhudia kwa wakubwa na wadogo. Sisemi chochote zaidi ya yale ambayo manabii na Mose walisema yatatukia:
Ahin tuphat chana Pathen venbitna kachan jeh in mijouse, aneo kom hihen alenkom hijong le hettohsah in kapang jing e. Thudang ima kahilpoi Themgao hole Mosen hung guilhung ding a aseiyu–
23 kwamba Kristo atateswa, na kwamba yeye atakuwa wa kwanza kufufuka kutoka kwa wafu, na atatangaza nuru kwa watu wake na kwa watu wa Mataifa.”
Christan hesoh genthei athoh a, thina a kon a thoudoh masapen a pang ding, chuleh Judate le chidang namdang ho heng a Pathen vah thudol aphondoh ding je kasei ahibouve,” ati.
24 Paulo alipokuwa akifanya utetezi huu, Festo akasema kwa sauti kubwa, “Paulo, wewe umerukwa na akili! Kusoma kwingi kunakufanya uwe kichaa!”
Photlot louvin Festus chu ahung pengjah jeng in, “Paul angol ah nahitai; nalekha thep nan nangol sah ahitai,” ati.
25 Lakini Paulo akajibu, “Mimi sijarukwa na akili, mtukufu sana Festo, bali nanena kweli nikiwa na akili zangu timamu.
Hichun Paul in adonbut in, “Angol a kahipoi, vo Lalchungnung Festus, kicheh tah a thudih kasei joh ahibouve.
26 Naam, Mfalme anajua kuhusu mambo haya yote, nami nasema naye kwa uhuru. Kwa sababu nina hakika kwamba hakuna hata mojawapo ya mambo haya asilolijua, kwa kuwa hayakufanyika mafichoni.
Chule Agrippa Lengpan jong ahei. Ijeh inem itile aning koi a kibol ahilou jeh in aman hitobang ho hi ahesoh keiye ti kichen tah in kahei, hijeh a chu hangsan tah a kasei ahi,” ati.
27 Mfalme Agripa, je, unaamini manabii? Najua kuwa unaamini.”
Leng Agrippa, themgao ho natahsan em? Natahsan e ti kahei, ati.
28 Agripa akamwambia Paulo, “Je, unanishawishi kwa haraka namna hii niwe Mkristo?”
Hichun Agrippa in, “Kintah a Christian hisah jeng thei dia nei gel ham?” ati.
29 Paulo akasema, “Ikiwa ni kwa haraka au la, namwomba Mungu, si wewe peke yako bali pia wale wote wanaonisikiliza leo, wawe kama mimi nilivyo, kasoro minyororo hii.”
Chuin Paul in adonbut in, “Gang henlang gang hih jongle, nangle hiva mipi umjouse hi, thih khaova kakihen naho tilouvin keima tobang hisoh kei ule tin, Pathen hengah kataove,” ati.
30 Baada ya kusema hayo, mfalme akainuka pamoja na mtawala na Bernike na wale waliokuwa wameketi pamoja nao.
Hichun Lengpa, Gamvaipo, Bernice chule adangho se adingdoh un adalha tauve.
31 Walipokuwa wakiondoka, wakaambiana, “Mtu huyu hafanyi jambo lolote linalostahili kufa au kufungwa.”
Apotdoh uva akihou naule akinopto nau chun “Hiche mipa hin thina le songkul tan-na thei changei ima bolset aneipoi,” atiuve.
32 Agripa akamwambia Festo, “Mtu huyu angeachwa huru kama hangekuwa amekata rufaa kwa Kaisari.”
Chule Agrippa in Festus jah a, “Aman Caesar henga dinga ngehna anabollou hile lhadoh thei ahitai,” ati.

< Matendo 26 >