< Matendo 25 >

1 Siku tatu baada ya Festo kuwasili Kaisaria kuchukua wajibu wake mpya, alipanda kwenda Yerusalemu,
Fesadase da Sesaliaga doaga: le, eso udiana aligili, yolesili asili, Yelusaleme moilai bai bagade amoga doaga: i.
2 ambako viongozi wa makuhani na viongozi wa Wayahudi walikuja mbele yake na kuleta mashtaka yao dhidi ya Paulo.
Yelusalemega, gobele salasu ouligisu dunu amola Yu ouligisu dunu da Boloma fofada: su liligi ema olelei.
3 Wakamsihi sana Festo, kama upendeleo kwao, aamuru Paulo ahamishiwe Yerusalemu, kwa kuwa walikuwa wanaandaa kumvizia ili wamuue akiwa njiani.
Ilia Fesadasema e da Bolo Yelusaleme moilai bai bagade amoga fofada: musa: oule misa: ne, ha: giwane sia: i. Bai ilia da logoga Bolo medole legemusa: ilegeiba: le, amane sia: i.
4 Festo akawajibu, “Paulo amezuiliwa huko Kaisaria, nami mwenyewe ninakwenda huko hivi karibuni.
Be Fesadase da bu adole i, “Bolo da Sesalia se dabe iasu diasu ganodini sali esala. Na da fonobahadi aligili, Sesalia moilaiga buhagimu.
5 Baadhi ya viongozi wenu wafuatane nami na kutoa mashtaka dhidi ya mtu huyo huko, kama amekosa jambo lolote.”
Dilia ouligisu dunu da Sesalia moilaiga na sigi asili, Bolo da wadela: i hou hamoi galea, ema fofada: mu da defea.”
6 Baada ya Festo kukaa miongoni mwao kwa karibu siku nane au kumi, akashuka kwenda Kaisaria na siku iliyofuata akaitisha mahakama, akaketi penye kiti chake cha hukumu, akaamuru Paulo aletwe mbele yake.
Fesadase da eso nabuane Yelusaleme moilai bai bagadega ouesalu, Sesalia moilai amoga asi. Golale hahabe, e da fofada: su diasuga golili sa: ili, fili, Bolo ema oule misa: ne sia: i.
7 Paulo alipotokea, wale Wayahudi waliokuwa wameteremka toka Yerusalemu wakasimama wakiwa wamemzunguka, wakileta mashtaka mengi mazito dhidi yake ambayo hawakuweza kuyathibitisha.
Bolo da doaga: loba, Yu dunu amo da Yelusalemega misi ilia da Boloma bagadewane diwaneya udidili sia: nanu. Be ba: su dunu hameba: le, Bolo dafamu da hamedei ba: i.
8 Ndipo Paulo akajitetea, akasema, “Mimi sikufanya jambo lolote kinyume cha sheria ya Wayahudi au dhidi ya Hekalu au kinyume cha Kaisari.”
Bolo da ea hou gaga: i, amane, “Na da ninia Sema, Yu dunu, Debolo Diasu amola Louma gamane ouligisudafa, amo huluanema wadela: le hamedafa hamoi.”
9 Festo, akitaka kuwapendeza Wayahudi, akamuuliza Paulo, “Je, ungependa kwenda Yerusalemu na kukabili mashtaka mbele yangu huko?”
Be Fesadase da Yu dunu na: iyado hamomusa: dawa: beba: le, e da Boloma amane adole ba: i, “Di da Yelusaleme moilai bai bagade amoga amo fofada: su hou nama bu fofada: ma: ne masunu da defeala: ?”
10 Paulo akasema, “Mimi sasa nimesimama mbele ya mahakama ya Kaisari, ambako ndiko ninakostahili kushtakiwa. Kama vile wewe mwenyewe ujuavyo vyema kabisa sijawatendea Wayahudi kosa lolote.
Bolo da bu adole i, “Na da Louma gamane ouligisudafa amo ea fofada: su diasudafa amo ganodini lela. Amo da defea. Na da Yu dunu wadela: ma: ne, wadela: i hamedafa hamoi. Amo di noga: le dawa:
11 Basi kama mimi nina hatia ya kutenda kosa lolote linalostahili kifo, sikatai kufa. Lakini kama mashtaka yaliyoletwa dhidi yangu na hawa Wayahudi si kweli, hakuna yeyote aliye na haki ya kunikabidhi mikononi mwao. Naomba rufaa kwa Kaisari!”
Na da Sema wadela: lesi ganiaba, o se imunusa: fofada: su amo defele wadela: i hamoi ganiaba, na da se imunusa: fofada: mu da defea gala: loba. Be nama fofada: su da ogogoi ganiaba, na da se imunusa: fofada: mu da defea hame gala: loba. Na da Louma gamane ouligisudafa ema fofada: ma: mu.”
12 Baada ya Festo kufanya shauri pamoja na baraza lake, akatangaza, “Wewe umeomba rufaa kwa Kaisari, nako kwa Kaisari utakwenda!”
Amalalu, Fesadase, ea fada: i adole iasu dunuma gilisili sia: dalu, Boloma bu adole i, “Di da Louma Gamane ouligisudafa ema fofada: musa: adole ba: beba: le, defea, di da ema fofada: musa: masunu!”
13 Baada ya siku kadhaa Mfalme Agripa na Bernike wakapanda kuja Kaisaria kumsalimu Festo.
Fa: no, hina bagade Agaliba amola idua Benisi, da Fesadase gousa: musa: , Sesalia moilaiga misi.
14 Kwa kuwa walikuwa wakae huko Kaisaria kwa siku nyingi, Festo alijadili shauri la Paulo na mfalme, akisema, “Kuna mtu mmoja hapa ambaye Feliksi alimwacha gerezani.
Eso udianawane esalu, Fesadase da Agalibama Bolo ea hou olelei, amane, “Dunu da guiguda: esala, Filigisi da asiba: le, amo e da se dabe iasu diasu ganodini sali amomane fisi.
15 Nilipokuwa huko Yerusalemu, viongozi wa makuhani na wazee wa Wayahudi walinijulisha habari zake na wakaomba hukumu dhidi yake.
Na da Yelusaleme moilai bai bagade amoga asili, Yu gobele salasu ouligisu dunu amola asigilai dunu, ilia da e da wadela: le hamoi amo sia: i. Ilia da na ema medoma: ne fofada: musa: sia: i.
16 “Lakini mimi nikawaambia kwamba si desturi ya Kirumi kumtoa mtu yeyote auawe kabla mshtakiwa kuonana uso kwa uso na washtaki wake, naye awe amepewa nafasi ya kujitetea kuhusu mashtaka anayoshutumiwa.
Be na ilima bu adole i, ‘Ninia Louma dunu hou da agoane gala. Dunu ilia eno dunu da wadela: le hamoi sia: beba: le, ninia da amo dunuma udigili hame fofada: sa. E da ea hou gaga: ma: ne, ema fofada: su dunu hidadea ilia odagi ba: beba: le fawane fofada: mu!’ na amane sia: i.
17 Hivyo walipokutana hapa, sikukawia, kesho yake niliitisha baraza, nikaketi penye kiti changu cha hukumu, nikaagiza huyo mtu aletwe.
Amaiba: le, ilia guiguda: manoba, golale hahabe na da hedolowane fofada: su diasu amo ganodini fili, na dadi gagui ilima Bolo ganodini oule misa: ne sia: i.
18 Washtaki wake waliposimama, hawakushtaki kwa uhalifu wowote niliokuwa ninatarajia.
Ema ha lai dunu da wa: legadole, ema diwaneya udidi. Na da agoane dawa: i galu. Ilia da e da wadela: idafa hou hamoi sia: mu na dawa: i galu. Be hame.
19 Badala yake walikuwa na vipengele fulani vya kutokukubaliana naye kuhusu dini yao na juu ya mtu mmoja aitwaye Yesu, ambaye alikufa, lakini yeye Paulo alidai kwamba yu hai.
Be ilia ema amane fofada: i. E da ilia Gode Ea sema wadela: lesi, ilia sia: i. Amola e da ogogosu dunu ea dio amo Yesu da bogoi be bu wa: legadole esala, amo ogogole sia: i, ilia diwaneya udidi.
20 Kwa kuwa sikujua jinsi ya kupeleleza jambo hili, nilimuuliza kama angependa kwenda Yerusalemu na kuhojiwa huko kuhusu mashtaka haya.
Na da amo hou bai dawa: mu gogolei galu. Amaiba: le, Boloma na amane adole ba: i, ‘Di da Yelusaleme moilai bai bagade amoga amo fofada: su hou bu fofada: ma: ne masunu da defeala: ?’
21 Lakini Paulo alipoomba afadhiliwe ili rufaa yake isikilizwe na Mfalme Agusto, nilimwamuru alindwe mpaka nitakapoweza kumpeleka kwa Kaisari.”
Be Bolo da Louma gamane ouligisudafa ema fofada: musa: sia: i. E da se dabe iasu diasu sosodo aligisu dunu amoga ouligilalu, Louma gamane ouligisudafa fofada: musa: masunu sia: i. Amaiba: le, na dadi gagui dunuma, na amo hou hamomusa: sia: i. Na da Louma gamane ouligisudafa ema asunasimusa: dawa: i!”
22 Ndipo Agripa akamwambia Festo, “Ningependa kumsikiliza mtu huyo mimi mwenyewe.” Yeye akajibu, “Kesho utamsikia.”
Agaliba da Fesadasema amane sia: i, “Amo dunu ea sia: nisu nabimu hanai gala.” Fesadase da bu adole i, “Defea! Aya hahabe di da nabimu!”
23 Siku iliyofuata Agripa na Bernike walifika kwa fahari kubwa wakaingia katika ukumbi wa mahakama, pamoja na majemadari wa jeshi na watu mashuhuri wa mji. Ndipo kwa amri ya Festo, Paulo akaletwa ndani.
Golale hahabe, Agaliba amola Benisi da misini, dunu bagohame elama nodone hamonanebe ba: i. Dunu gilisisu diasu bagade amo ganodini golili sa: ili, dadi gagui ouligisu dunu huluane amola moilai ouligisu dunu, gilisila misi. Fesadase sia: beba: le, sosodo aligisu dunu da Bolo diasu ganodini oule misi.
24 Festo akasema, “Mfalme Agripa, nanyi nyote mlio hapa pamoja nasi, mnamwona mtu huyu! Jumuiya yote ya Kiyahudi wamenilalamikia kuhusu mtu huyu huko Yerusalemu na hapa Kaisaria, wakipiga kelele kwamba haimpasi kuendelea kuishi.
Fesadase amane sia: i, “Hina Agaliba amola dunu huluane guiguda: gilisi. Amo dunu ba: ma. Ema Yu fi dunu huluane guiguda: esala amola Yelusaleme moilai bai bagade ganodini esala, amo da ema halale fofada: sa. Ilia ha: giwane, e bogoma: ne medomusa: halasa.
25 Sikuona kwamba ametenda jambo lolote linalostahili kifo, ila kwa kuwa alikuwa ameomba rufaa yake kwa mfalme, niliamua kumpeleka Rumi.
Be e da se imunusa: fofada: su amo defele wadela: le hamoi na da hamedafa ba: i. E da hisu Louma ouligisudafa ema fofada: musa: sia: i dagoiba: le, na da Louma gamane ouligisudafa ema asunasimusa: sia: i dagoi.
26 Lakini mimi sina kitu maalum cha kumwandikia Bwana Mtukufu kumhusu mtu huyu. Kwa hiyo nimemleta mbele yenu ninyi nyote, hasa mbele yako, Mfalme Agripa, ili kutokana na matokeo ya uchunguzi huu, niweze kupata kitu cha kuandika.
Be na da bai moloidafa Louma gamane ouligisudafa ema meloa dedene imunu gogoleiba: le, na da di ba: ma: ne amo dunu oule misi. Hina bagade Agaliba! Disu noga: le dawa: ma. Bai na da ema fofada: nanu, bai noga: i amo Louma gamane ouligisudafa ema dedemu hanai gala.
27 Kwa kuwa naona hakuna sababu ya kumpeleka mfungwa bila kuainisha mashtaka dhidi yake.”
E wadela: i hou mae ba: le, ema fofada: su noga: le hame dawa: le, udigili asunasimu da defea hame galebe.”

< Matendo 25 >