< Matendo 24 >

1 Baada ya siku tano, kuhani mkuu Anania akashuka akiwa amefuatana na baadhi ya wazee pamoja na mwanasheria mmoja aitwaye Tertulo, nao wakaleta mashtaka yao dhidi ya Paulo mbele ya mtawala.
Nazyashila ensiku zisanu, Anania ugosi we shibhanza, nazee nu wayanje itawa lyakwe Tertulo, bhabhala pala. Abhantu ebha bhaletila amashitaka gabha hushitaki u Paulo hwa gavana.
2 Paulo alipoitwa aingie ndani, Tertulo akaanza kutoa mashtaka akisema, “Mtukufu Feliksi, kwa muda mrefu tumefurahia amani na matengenezo mengi mazuri yamefanywa kwa ajili ya watu hawa kwa sababu ya upeo wako wa kuona mambo ya mbele.
Paulo nawimilila hwa gavana, Tertulo wanda hushitaki nayanje hwa gavana, “ate tilinulutengano nawe uletile enyizya ezyalinganye ensi yetu;
3 Wakati wote na kila mahali, kwa namna yoyote, mtukufu sana Feliksi, tumeyapokea mambo haya yote kwa shukrani nyingi.
eshi hulusalifyo lwonti tiposhela shila hantu hubhomba, tihuposhela shila hantu hubhomba, tihulamuha, Wugosi Feliki.
4 Lakini nisije nikakuchosha zaidi, ningekuomba kwa hisani yako utusikilize kwa kifupi.
Lelo insahalisye, elabha untejelezye enongwa endodo wene.
5 “Tumemwona mtu huyu kuwa ni msumbufu, anayechochea ghasia miongoni mwa Wayahudi duniani pote. Yeye ndiye kiongozi wa dhehebu la Wanazarayo,
Timwajile umuntu unu korofi, yasababisya Ayahudi bhonti bhabhe bhakorofi nasinte nahwumvwanwe munsi. Nantele longozi we mathehebu ga Nazarayo.
6 na hata amejaribu kulinajisi Hekalu, hivyo tukamkamata; [tukataka kumhukumu kufuatana na sheria zetu.
Nantele alinjile ananganye eshibhanza shetu, ate takhata
7 Lakini jemadari Lisia alitujia na nguvu nyingi, akamwondoa mikononi mwetu,
8 akiwaamuru washtaki wake waje mbele yako: ili] kwa kumchunguza wewe mwenyewe unaweza kujua kutoka kwake mambo yote tunayomshtaki kwayo.”
Nkashele ubhuzye uPaulo yuyo ubhamanye zyatishitakiye.”
9 Pia wale Wayahudi wakaunga mkono wakithibitisha kuwa mashtaka yote haya ni kweli.
Ayahudi bhope bhashitaki u Paulo, bhaga ezyo zililyoli.
10 Mtawala Feliksi alipompungia Paulo mkono ili ajitetee, yeye akajibu, “Najua kwamba wewe umekuwa hakimu katika taifa hili kwa miaka mingi, hivyo natoa utetezi wangu kwa furaha.
U Liwali nawasontela ukhono uPaulo aje ayanje, u Paulo ahagamula, “Ane imenye huje amaha minji uligamulanyi wi taifa eli, nantele ensungwilwe ayanje huliwe.
11 Unaweza kuhakikisha kwa urahisi kuwa hazijapita zaidi ya siku kumi na mbili tangu nilipopanda kwenda Yerusalemu kuabudu.
Ubhajiye ahakikisye wewe huje sigazishilile ensiku ilongo ne zibhili ahwande panabhaliye apuute hu Yerusalemu.
12 Hawa wanaonishtaki hawakunikuta nikibishana na mtu yeyote Hekaluni au kuchochea umati wa watu katika sinagogi au mahali pengine popote mjini.
Nabhanajile mushibhanza, ane siganadalisinye nu muntu yayonti nantele siganaletile yayonti, nantele siganaletile efujo yayonti mubhungano wala mwisinagogi wala pamuji;
13 Wala hawawezi kabisa kukuthibitishia mashtaka haya wanayonishtaki kwayo.
na sigabhabhajiye ahakikisye zyabhanshiyakila ane.
14 Lakini, ninakubali kwamba mimi namwabudu Mungu wa baba zetu, mfuasi wa Njia, ile ambayo wao wanaiita dhehebu. Ninaamini kila kitu kinachokubaliana na Sheria na kile kilichoandikwa katika Manabii,
Ila iyanga ezyelyoli huliwe huje hwidala lila abhene lyabhaiga lidhehebu, hwilyo nane ihubhombela imbombo Ungulubhi waise bhetu. Ane endi mwaminifu hunsimbozye sheria wakuwe.
15 nami ninalo tumaini kwa Mungu, ambalo hata wao wenyewe wanalikubali kwamba kutakuwa na ufufuo wa wafu, kwa wenye haki na wasio na haki.
Endi nu oujasiri wulawula, abhene wabhangula bhope, uluzyuho lwa bhafwe abinza na bhasigabhinza;
16 Kwa hiyo ninajitahidi siku zote kuwa na dhamiri safi mbele za Mungu na mbele za wanadamu.
hweli ibhomba imbombo iya huje embe nu mwoyo gwasiga gwalongwe hwa Ngulubhi na hwa bhantu ashilile hu mambo gonti.
17 “Basi, baada ya kutokuwepo kwa miaka mingi nilikuja Yerusalemu ili kuwaletea watu wangu msaada kwa ajili ya maskini na kutoa dhabihu.
Eshi nagashila amaha gaminji ane enenzele alete umusaada hwitaifa lyane ne zawadi eye hela.
18 Nilikuwa nimeshatakaswa kwa taratibu za kiibada waliponikuta Hekaluni nikifanya mambo haya. Hapakuwa na umati wa watu, pamoja nami wala aliyehusika kwenye fujo yoyote.
Nanabhombaga isho Ayahudi bhabhafumila hu Asia bhanaga musikulukulu ye lwozyo mushibhanza, bila efuj yayonti nantele bila lipuga lyabhantu.
19 Lakini kulikuwa na baadhi ya Wayahudi kutoka Asia, ambao wangelazimika wawepo hapa mbele yako ili watoe mashtaka kama wanalo jambo lolote dhidi yangu.
Abhantu ebha bhahwanziwa aje bhenze epa bhayanje nkashele bhali ne nongwa zyazyonti nane.
20 Au, watu hawa walioko hapa waseme ni uhalifu gani walioniona nao waliponisimamisha mbele ya baraza,
Bhayanje bhibho nabhandolile nihimiliye pibaraza lya bhayahudi embibhi zyabhazilolile;
21 isipokuwa ni kuhusu jambo hili moja nililopiga kelele mbele yao kwamba, ‘Mimi nashtakiwa mbele yenu leo kwa sababu ya ufufuo wa wafu.’”
ila ahantu hamo hamayanjile panahimiliye pahati yabho, najile hunongwa ye luzyuho lwabhafwe mundonga.”
22 Basi Feliksi ambaye alikuwa anafahamu vizuri habari za Njia ile, akaahirisha shauri lile kwa maelezo yake akisema, “Wakati jemadari Lisia atakapoteremka huku, nitaamua shauri lako.”
U Feliki abhulilwe ahusu idala lila na akhomola ubungano. Waga, “Lisia jemedari nayenza afume hu Yerusalemu ane yaamula amashitaka genyu.”
23 Ndipo akaamuru kiongozi wa askari amweke chini ya ulinzi lakini ampe uhuru na kuwaruhusu rafiki zake wamhudumie.
Epo wamula huje uakida uPaulo, na huje asahabhe umuntu uwabhakhane aholo bhakwe humwavwe na hujendele.
24 Baada ya siku kadhaa, Feliksi alikuja pamoja na Drusila mkewe, ambaye alikuwa Myahudi. Alituma aitiwe Paulo, naye akamsikiliza alipokuwa akinena juu ya imani katika Kristo Yesu.
Ensiku nazyashila, uFeliki wawela nu Drusila ushi wakwe yaahali Muyahudi watuma abhantu hukwizye uPaulo watejelezya enongwa zya lutengano lwalufuma hwa Yesu Kristi.
25 Naye Paulo alipokuwa akinena juu ya haki, kuwa na kiasi na juu ya hukumu ijayo, Feliksi aliingiwa na hofu na kusema, “Hiyo yatosha sasa! Waweza kuondoka. Nitakapokuwa na wasaa nitakuita.”
U Paulo nahayagaga nawo amambo ge ulonzi wa Ngulubhi hwa bhantu uFeliki wogopa waga bhalaga nana ipate enafasi naihukwizya nantele.”
26 Wakati huo Feliksi alitazamia kwamba Paulo angempa rushwa. Hivyo akawa anamwita mara kwa mara na kuzungumza naye.
Omuda gwugwo apambamiye huje uPaulo abhahupele ihela, akwizyaga wilawila ayanje nawo.
27 Baada ya miaka miwili kupita, Porkio Festo akaingia kwenye utawala mahali pa Feliksi, lakini kwa kuwa Feliksi alitaka kuwapendeza Wayahudi, akamwacha Paulo gerezani.
Amaha gabhili nagashila u Porkio Festo ahabha Liwali pyanili wa Feliki, u Feliki umwene ahanzaga ahwipendehezye hwa Yahudi, aleshile uPaulo hwa abhlinzi.

< Matendo 24 >